I am single again

I am single again

Unaona masela zake wanafaidi sana pesa zake kuliko wewe.. kuwa mpole always men tuna ile kitu inaitwa Nguvu ya masela So huwez kuwadisrespect masela kisa dem bcoz b4 kupatikana ww masela walikuepo lakin point ya kusema kwamba anawapapatia masela zake kwa hali ya kawaida ni kweli lakin sio kwa namna ulivoelezea hapo coz maelezo yako it seems kama yuko deep sana kwa masela kuliko ww..[emoji23][emoji23]

My Humble Opinions
 
Back
Top Bottom