.Ucpange Jambo kabla hujafika ulikokusudia utapata ajali Madamπ π π
yaani humu waweza ingia na mambo yako kichwani ukajikuta tu unaishia kucheka..!
Nipo dear , naomba hela ya uchaguzi kesho π[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi nawe siku zote ni washindani.
Patience123 yu wapi siku hizi?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ooh my love njoo chukua na ta matokeo kabisaNipo dear , naomba hela ya uchaguzi kesho [emoji28]
Huenda just huenda hakuwa comfortable around you ndo maana marafiki zake wakimuita anaenda kwa haraka na anakuja nao hadi kwa dates zenyu.
Anyway karibu chamani.
Hapana usidumbukie. AhsanteKwamba hapa Pana empty set , nidumbukie? [emoji23][emoji23]
Hapana usidumbukie. Ahsante
Unantangazia sasaNianze kwa kusema hili sio tangazo. Siwezi nikajitongozesha JF.
Anyways tuende direct kwenye mada. I am newly single guys. Hakuna kitu nachukia kama kuwa single ila ndo ishakuwa nifanyeje.
Huyu chalii nilikutana nae few months ago yani alikuwa na kila kitu nilichokuwa natafuta. Nikajiona nimefika bhna, kumbe! .
Ukistaajabu ya musa utayaona ya Firaun hakukosea kabisa. Huyu chalii kilichonishinda yani marafiki zake anawanyenyekea sijui kama kitu gani. Yani tunaweza kuwa kitandani ila rafiki yake yeyote akimpigia simu akamchukue mahali ataacha kila kitu akamchukue yani inshort kama anawehuka fulani hivi.
Ana ratiba zake Jumamosi jioni lazima akawanunulie washkaji zake pombe walewe Jumapili anajaza gari mafuta wanaenda kula bata. Anawafuga nyumbani kwake chakula pombe kila kitu juu yake. Yani nimestaajabu sana. Sijawahi kukutana na zahma kama hii.
Imefika wakati nikawaza labda jamaa shoga coz it doesn't make sense. Mtu unawapapatikiaje na kuwaogopa wanaume wenzako hivi. Siku asipopokea simu zao wananuna na yeye anakosa raha.
Yote tisa muda na mimi hana kabisa. Bora hata angekuwa na wanawake wengine ningejua cha kufanya. Wanaume nitashindana nao vipi mimi
Mwanzo ilikuwa tukitoka on a date lazima aje na jamaa yake nikampiga stop. Nilimwambia kama huwezi kuja peke yako its better usije kabisa. Si akaacha kutoka na mimi [emoji23][emoji23][emoji23] nikaona hapa hamna mtu hapa.
Anyways aluta continua! Mapambano lazima yaendelee. Dua zenu wadau.
Pole sanaNianze kwa kusema hili sio tangazo. Siwezi nikajitongozesha JF.
Anyways tuende direct kwenye mada. I am newly single guys. Hakuna kitu nachukia kama kuwa single ila ndo ishakuwa nifanyeje.
Huyu chalii nilikutana nae few months ago yani alikuwa na kila kitu nilichokuwa natafuta. Nikajiona nimefika bhna, kumbe! .
Ukistaajabu ya musa utayaona ya Firaun hakukosea kabisa. Huyu chalii kilichonishinda yani marafiki zake anawanyenyekea sijui kama kitu gani. Yani tunaweza kuwa kitandani ila rafiki yake yeyote akimpigia simu akamchukue mahali ataacha kila kitu akamchukue yani inshort kama anawehuka fulani hivi.
Ana ratiba zake Jumamosi jioni lazima akawanunulie washkaji zake pombe walewe Jumapili anajaza gari mafuta wanaenda kula bata. Anawafuga nyumbani kwake chakula pombe kila kitu juu yake. Yani nimestaajabu sana. Sijawahi kukutana na zahma kama hii.
Imefika wakati nikawaza labda jamaa shoga coz it doesn't make sense. Mtu unawapapatikiaje na kuwaogopa wanaume wenzako hivi. Siku asipopokea simu zao wananuna na yeye anakosa raha.
Yote tisa muda na mimi hana kabisa. Bora hata angekuwa na wanawake wengine ningejua cha kufanya. Wanaume nitashindana nao vipi mimi
Mwanzo ilikuwa tukitoka on a date lazima aje na jamaa yake nikampiga stop. Nilimwambia kama huwezi kuja peke yako its better usije kabisa. Si akaacha kutoka na mimi πππ nikaona hapa hamna mtu hapa.
Anyways aluta continua! Mapambano lazima yaendelee. Dua zenu wadau.
Unaonekana ni mwanamke mwenye mdomo mchafu na roho mbaya hao marafik hujui wana umuhimu gane kwake na Pengine wao walianza kujuana kabla yako kumjua... Utaendelea kukaa singo hivyohivyo