I am single again

I am single again

Sema tu ukweli kuwa umeshindwa kumtawala hicho tu hahahaha. Mimi binafsi ni kama huyo jamaa tulisha kuwa hivi kwa sababu tulisha ona wanawake hamnaga cha zaidi zaidi ya vi k vyenu
 
Kwamba hapa Pana empty set , nidumbukie? [emoji23][emoji23]
Huenda just huenda hakuwa comfortable around you ndo maana marafiki zake wakimuita anaenda kwa haraka na anakuja nao hadi kwa dates zenyu.

Anyway karibu chamani.
 
Unaonekana ni mwanamke mwenye mdomo mchafu na roho mbaya hao marafik hujui wana umuhimu gane kwake na Pengine wao walianza kujuana kabla yako kumjua... Utaendelea kukaa singo hivyohivyo
 
Hii dunia hakika hakuna ambae hana namna yake ambayo haikubaliki na watu wengine, Hivyo ni bora kukubaliana na yaliyopo kuliko kufikiri vitu usivyoviona, Hakuna mkamilifu
 
Umemkuta na kila kitu unachokitaka, unajua kavipateje na hao marafiki unajua mchango wao kwa jamaa hadi kufikia hapo alipo???


Kitu ambacho sikipendi katika mahusiano ni mwanamke kutaka kunibadili niwe anavyotaka yeye.

Umenikuta na wahskaji zangu unajua tumetoka nao wapi?!

Mwisho wa siku hata ndugu zangu utawapiga stop kuingia kwangu, sasa wewe ni mke au matatizo mengine?

Mwache jamaa aendelee kuishi kwa amani, wapo Wanawake wenye uwezo wa kuishi na watu kama hao.

Hajawahi kuambia unamkera kwa kumnyima uhuru??

Mpe mwenzio uhuru kuishi jinsi anavyotaka utapendwa mpaka utajiona Dunia umeibeba wewe, sasa jifanye mtu wa Guidence and Counseling.
 
Nianze kwa kusema hili sio tangazo. Siwezi nikajitongozesha JF.

Anyways tuende direct kwenye mada. I am newly single guys. Hakuna kitu nachukia kama kuwa single ila ndo ishakuwa nifanyeje.

Huyu chalii nilikutana nae few months ago yani alikuwa na kila kitu nilichokuwa natafuta. Nikajiona nimefika bhna, kumbe! .

Ukistaajabu ya musa utayaona ya Firaun hakukosea kabisa. Huyu chalii kilichonishinda yani marafiki zake anawanyenyekea sijui kama kitu gani. Yani tunaweza kuwa kitandani ila rafiki yake yeyote akimpigia simu akamchukue mahali ataacha kila kitu akamchukue yani inshort kama anawehuka fulani hivi.

Ana ratiba zake Jumamosi jioni lazima akawanunulie washkaji zake pombe walewe Jumapili anajaza gari mafuta wanaenda kula bata. Anawafuga nyumbani kwake chakula pombe kila kitu juu yake. Yani nimestaajabu sana. Sijawahi kukutana na zahma kama hii.

Imefika wakati nikawaza labda jamaa shoga coz it doesn't make sense. Mtu unawapapatikiaje na kuwaogopa wanaume wenzako hivi. Siku asipopokea simu zao wananuna na yeye anakosa raha.

Yote tisa muda na mimi hana kabisa. Bora hata angekuwa na wanawake wengine ningejua cha kufanya. Wanaume nitashindana nao vipi mimi

Mwanzo ilikuwa tukitoka on a date lazima aje na jamaa yake nikampiga stop. Nilimwambia kama huwezi kuja peke yako its better usije kabisa. Si akaacha kutoka na mimi [emoji23][emoji23][emoji23] nikaona hapa hamna mtu hapa.

Anyways aluta continua! Mapambano lazima yaendelee. Dua zenu wadau.
Unantangazia sasa
 
Hii ni shida
kuna Dada nae aliachwa sababu Hiyo.

akiwa ndani na boyfriend rafiki zake wakioiga anamwacha boyfriend ndani anafuata marafiki,
weekend ni girls day out yaani hatoki na bwana anatoka na mashosti,
alivyoachika tu mashosti wameolewa mmoja baada ya mwingine

kibaya zaidi ex amemchukua rafiki wa one of the girls
 
Nianze kwa kusema hili sio tangazo. Siwezi nikajitongozesha JF.

Anyways tuende direct kwenye mada. I am newly single guys. Hakuna kitu nachukia kama kuwa single ila ndo ishakuwa nifanyeje.

Huyu chalii nilikutana nae few months ago yani alikuwa na kila kitu nilichokuwa natafuta. Nikajiona nimefika bhna, kumbe! .

Ukistaajabu ya musa utayaona ya Firaun hakukosea kabisa. Huyu chalii kilichonishinda yani marafiki zake anawanyenyekea sijui kama kitu gani. Yani tunaweza kuwa kitandani ila rafiki yake yeyote akimpigia simu akamchukue mahali ataacha kila kitu akamchukue yani inshort kama anawehuka fulani hivi.

Ana ratiba zake Jumamosi jioni lazima akawanunulie washkaji zake pombe walewe Jumapili anajaza gari mafuta wanaenda kula bata. Anawafuga nyumbani kwake chakula pombe kila kitu juu yake. Yani nimestaajabu sana. Sijawahi kukutana na zahma kama hii.

Imefika wakati nikawaza labda jamaa shoga coz it doesn't make sense. Mtu unawapapatikiaje na kuwaogopa wanaume wenzako hivi. Siku asipopokea simu zao wananuna na yeye anakosa raha.

Yote tisa muda na mimi hana kabisa. Bora hata angekuwa na wanawake wengine ningejua cha kufanya. Wanaume nitashindana nao vipi mimi

Mwanzo ilikuwa tukitoka on a date lazima aje na jamaa yake nikampiga stop. Nilimwambia kama huwezi kuja peke yako its better usije kabisa. Si akaacha kutoka na mimi 😂😂😂 nikaona hapa hamna mtu hapa.

Anyways aluta continua! Mapambano lazima yaendelee. Dua zenu wadau.
Pole sana
 
Kuna jambo linalo endelea hapa, maana tangu juzi mnafukuliana mijikaburi..🤣
 
Unaonekana ni mwanamke mwenye mdomo mchafu na roho mbaya hao marafik hujui wana umuhimu gane kwake na Pengine wao walianza kujuana kabla yako kumjua... Utaendelea kukaa singo hivyohivyo
 
Back
Top Bottom