I am Bless
JF-Expert Member
- Jul 23, 2017
- 231
- 518
I can guess your real age, kwa kutumia hesabu, unatakiwa tu kufuata maelekezo yangu,
Hatua ya kwanza: Chukua namba yoyote kati ya 1-9, yani 1 2 3 4 5 6 7 8 9 1, chukua namba yoyote moja tu kati ya hizo 9,
Hatua ya pili: Ile namba moja uliyo ichukua kwenye hatua ya kwanza izidishe mara x2,
Hatua ya tatu: Jibu ulilo lipata kwenye hatua ya pili lijumlishe na 5,
Hatua ya nne: Jibu ulilo lipata kwenye hatua ya tatu lizidishe Mara x50,
Hatua ya tano: Kama tayari umesha sherehekea birthday yako mwaka huu jumlisha jibu ulilolipata kwenye hatua ya nne na namba hii 1770, na kama bado ujasherehekea jumlisha jibu ulilolipata kwenye hatua ya nne na namba hii 1769,
Hatua ya sita: Sasa jibu ulilo lipata kwenye hatua ya tano unatakiwa utoe na mwaka wako ulio zaliwa mfano (toa 1999),
Sasa jibu litakalo kuja baada ya kutoa litakuwa na tarakimu tatu,
The incredible results,
X - Namba moja ya mwanzo kutoka kushoto kati ya zile ulizozipata kwenye zile tarakimu tatu ulizozipata kwenye hatua ya mwisho ni namba moja wapo kati ya zile 1-9 ulizo zichagua kwenye hatua ya kwanza,
YZ- Namba zile mbili za mwisho ulizo zipata kwenye hatua ya mwisho tokea kulia ni miaka uliyo nayo sasa hivi, nileteeni mrejesho hapa.......,
Hatua ya kwanza: Chukua namba yoyote kati ya 1-9, yani 1 2 3 4 5 6 7 8 9 1, chukua namba yoyote moja tu kati ya hizo 9,
Hatua ya pili: Ile namba moja uliyo ichukua kwenye hatua ya kwanza izidishe mara x2,
Hatua ya tatu: Jibu ulilo lipata kwenye hatua ya pili lijumlishe na 5,
Hatua ya nne: Jibu ulilo lipata kwenye hatua ya tatu lizidishe Mara x50,
Hatua ya tano: Kama tayari umesha sherehekea birthday yako mwaka huu jumlisha jibu ulilolipata kwenye hatua ya nne na namba hii 1770, na kama bado ujasherehekea jumlisha jibu ulilolipata kwenye hatua ya nne na namba hii 1769,
Hatua ya sita: Sasa jibu ulilo lipata kwenye hatua ya tano unatakiwa utoe na mwaka wako ulio zaliwa mfano (toa 1999),
Sasa jibu litakalo kuja baada ya kutoa litakuwa na tarakimu tatu,
The incredible results,
X - Namba moja ya mwanzo kutoka kushoto kati ya zile ulizozipata kwenye zile tarakimu tatu ulizozipata kwenye hatua ya mwisho ni namba moja wapo kati ya zile 1-9 ulizo zichagua kwenye hatua ya kwanza,
YZ- Namba zile mbili za mwisho ulizo zipata kwenye hatua ya mwisho tokea kulia ni miaka uliyo nayo sasa hivi, nileteeni mrejesho hapa.......,