I declare it, I love you so much...

I declare it, I love you so much...

Mtoto yupo wala simfungii sasa wewe tia tena miguu ujionee atakavyo kucharaza!!!

Mkuu nilisha staafu! ila sishindwi, usijaribu kuni beep me mbaya!! Wewe ndugu yangu kwanini tuvunje undugu??!.endelea kwa raha zako.
 
Rich Pol We ni costebo sasa unataka kujipa cheo cha jenerali
We fanya mapinduzi umma ushuudie punguza blaa blaa!!!
Pale pamechimbiwa kitu pale sana sana zitaliwa zije kipandee hii!!!
 
Last edited by a moderator:
Rich Pol We ni costebo sasa unataka kujipa cheo cha jenerali
We fanya mapinduzi umma ushuudie punguza blaa blaa!!!
Pale pamechimbiwa kitu pale sana sana zitaliwa zije kipandee hii!!!

Haya mkuu usiseme sijakuonya! Ulishawahi kuona una mke lakini Mtoto akizaliwa anafanana na rafiki yako??! Shauri yako, me mmbayaaa!!
 
Last edited by a moderator:
Haya mkuu usiseme sijakuonya! Ulishawahi kuona una mke lakini Mtoto akizaliwa anafanana na rafiki yako??! Shauri yako, me mmbayaaa!!

We pambana utarudi umeinamisha kichwa chini!!!
 
rich unajua kushusha mkwara!!

Mkuu mimi nimemuachia kwa Kuwa Kibo10 ni ndugu yangu, sioni sababu ya kugombana, pia mimi siraha ninayo nikiingia polini ninauhakika kwa kurudi na Swara au digidigi, sasa anajisifia, ndiyo namuambia Mimi mmbayaa! ni kawaida yangu kiliza watu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wewe endelea tu! Kama nikirudi sihitaji kukuambia, utajua tu, maana mambo yangu yanakishindo.
kiwatengu mimi sitaki mtu abadilishe njia
Rich nimempa uhuru wa kuendelea kupiga picha na beib maana ni star
Sasa itakapofikia hata picha anapewa utege asirudi tu akilia lia maana mnasio pale upo!!
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu mimi sitaki mtu abadilishe njia
Rich nimempa uhuru wa kuendelea kupiga picha na beib maana ni star
Sasa itakapofikia hata picha anapewa utege asirudi tu akilia lia maana mnasio pale upo!!

unahatari kibo, ila big up sana
charty ameweza kutulia. jambo jema
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu mimi sitaki mtu abadilishe njia
Rich nimempa uhuru wa kuendelea kupiga picha na beib maana ni star
Sasa itakapofikia hata picha anapewa utege asirudi tu akilia lia maana mnasio pale upo!!

Mkuu Kibo10 endelea tu ndugu yangu! Wish u all the best.
 
Last edited by a moderator:
charty najua unanipenda mpenzi wangu, lakini urembo wako unaniweka roho yangu juu, angalia usihadaike na walaghai,kama Rich Pol ukitoka kazini pitia hapa uone anavyo mdanganya shemeji yako kiwatengu ili umpe makavu live nakupenda mpenzi wangu Mwaaaa…kazi njema!
"Muhudumu"Aiisseee nipe supu na kinana baariiidiii...nimsubiri wife hapa!
 
Last edited by a moderator:
Tembosa ooh jamani its nice am just waiting to make every thing clear then come back to me with a new vision... nashukuru kwa kufanyia ushauri wangu kazi ni jambo jema pia kwangu...... remember i told you DON'T BLINK.... and never do that
 
Last edited by a moderator:
Tembosa ooh jamani its nice am just waiting to make every thing clear then come back to me with a new vision... nashukuru kwa kufanyia ushauri wangu kazi ni jambo jema pia kwangu...... remember i told you DON'T BLINK.... and never do that

Hatimae na wewe umepata wa kukuhifadhi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom