xfactor
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,511
- 1,289
wewe taratibu wewe sikubali kuweka kabatini hivi hivi mpaka nione kila kitu kinapatikana mule ndani ya kabati
Hapa ndio kuna kichuguu mkuu Tembosa jipange sawasawa maana hawa wa kaskazini chalii angu wametumwa makaratasi ya rangi mjini,hawajaja kutanganza injili
Last edited by a moderator: