I dedicated my Monday to read this beautiful story

Habari mimi ni moja ya mmliki wa hiyo forum kuepuka hizo notification fungua akaunti kisha accept cookies anyway inaonekana simu yako inakioo kidogo
Salamaa,asAntee kwa kujibu. Sijui imekuaje ila kwa point ya size ya kioo sidhaniii,sim yangu haina kioo kidogo naamini.. ni Sony Xperia z3.
I found another link though, I'll stick up there.
 
Hii story imefanya mambo kadhaa nsiyafanye kwa wakati, ndo kwanza npo chapter 700, dahlia kazungukwa na washenzi, kale ka Julie nakachukia kinoma,
 
Kua mwandishi nguli inahitaji ubongo mpana , mwandishi kanishinda tabia
 
Umeupiga mwingi balaa, hii kitu inabidi niipunguzie ratiba , ina addiction flani
 
Namimi nimo nimo niko page ya 1526 jamaa kamlete baba yake wa kumlea zawadi ya chui, kwamba chui ana msikiliza anachosema, mwishoe chui kaliamsha kamzingua julie anataka amzingue na dahlia dustin katokea daah, sema hii n movie sema tu ipo kwenye maandishi, lets go
 
Pg 1927 mambo bado ni [emoji91]
 
Nimeishia page 1940. Naposomea ndo imekomea hapo mwenye mwendelezo link tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…