I feel like I want to die

Dahhh ntakujibu ingawa muda hauko upande wangu.....
Yaani katika yote uliyosema hakuna ambalo limenifanya nishtuke hata kwa dakika kiasi cha kusema unastahili kidooogo kujiua... kila MTU akisema shida zake hapa lazma utarudi kwenye ibada na utaimba nyimbo zote za shukrani unazozijua...
Unapata muda na bundle LA kuombea ushauri af unajistahikia kifo??.. Na kama ni kweli sumu haifanyi kazi,bhasi una sababu ya kuish ambayo umeshindwa kuiona kwa upofu wa shida zako..itafute
 
Kumbe mtoto wa kiume ndo unalia ivi kaza buti banahujawai kuishi uswahilini uza io smartphone anzia biashara ata kama ni kuuza mihogo ukishindwa kabisa njoo kijijin huku watu wanaushi tu bila hata kufanya kazi
 
Embu jaribu maji ya betri, kula cement hata mfuko mmoja hiv, ngao ya mbu.

Ukishindwa nione.
 
Form six umemaliza unalia hivyo? kwani unaishi wapi? umeshindwa hata kutafuta bodaboda uendeshe?
 
Yan ww kwa maelezo yako yooote inaonesha ww ni bonge la msanii

-inakuaje ad saiz unamilk smartphone
-pesa ya kfurushi unatoa wap
-Na inakuaje unapata muda wa kuingia hum akat ushakata tamaa na maisha??

We jiuue2!!
 
Asante mkuu kwa ushauri Ni stress Tu zilinifanya kutaka kujiua but thanx kwa kunitia nguvu na kubadili Nia yangu
I can not say a thing, i can not help, im just crying, please come back and say this is just a story, please !!!
Is not just a story mkuu is the reality but I've already change my mind and I thank God that I'm alive
 
Thanx kwa ushauri Mkuu but nadhani hayo uliosema nilishaomba ushauri kuhusu Hilo kama one week or two hivi... Nkaomba kupata connections and more options so sijakurupuka japo about yesterday it was a stress ILA now if you can help me please help me for anything
 
"

"Mtoto wa kiume unalia lia nini, acha kulalamika unanyanyashwa fighting hard uwanyanyase hao wanaokusumbua.. next ukiandika post kaza sauti"
I don't know if sikukaza sauti au nilikaza or whatever but asante kwa ushauri mkuu God bless you
 
T Thanx mkuu kwa ushauri and God bless you
 
Thanx kwa ushauri na Hilo ndo nalifanyia kazi mkuu
 
Thanx so much kwa ushauri and God bless you
 
My assumption is that this is a story. Why? The guy with such degree of problems has a cell phone or computer access to write a thread on JF web!
do you think to have a smartphone is a big deal? Do you know where I got this phone? For which price? For me to write just a story here what for? What do I want mpaka niandike false story here? Don't you know even for 500 Tsh you can use internet cafe? Mkuu don't think that I'm such kind of person who can tell lies to the people who even don't know them... I have a lot to explain but is not necessary for now but if you are interested then I will tell you through private message if you want... For now trust me or if you don't then its ok because I have no right to force you to believe me and I don't have anything to tell you more so that you can trust me
 
Nicheki pm mpendwa
 
Asante mkuu kwa ushauri Ni stress Tu zilinifanya kutaka kujiua but thanx kwa kunitia nguvu na kubadili Nia yangu
Is not just a story mkuu is the reality but I've already change my mind and I thank God that I'm alive

Unamshukuru mungu kwa lipi?

Shukrani ziende kwa waliyokupa ushauri usijiue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…