I have been scammed 1,100$ through Forex

Yaani we jamaa ni popoma kweli. Yaani mtu atrade on your behalf eti udeposit kwenye account yake? Au udeposit kwa broker ambaye ana red flags kubao halafu unakuja kulalamika umetapeliwa serious?

Hivi mnadhani sisi tunaotrade na brokers ambao wana review nzuri mtandaoni ni mapopom eh?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa alivyo ambiwa kuwa akiweka $2000 ndani ya siku 14 atapa 500% nafikiri alianza na kuulizia bei za Range [emoji23][emoji23]

God save us
 
That’s true

Ila kuna vitu mtu unazaliwa navyo how can u control them nikiwa chuo nishatapeliwa 4M kwasababu ya tamaa hiyo hiyo kuna vingine nilikuwa na viepuka sijajua hii ni vipi but mostly hizi zinafanywa Na Nigerian na kuna nguvu huwa wanatumia ukishaanza kuchat nao they set u coz kuna website nimepitia kuna watu wamepoteza nyingi zaidi ya hii so pia ni part of life
 
Jamaa alivyo ambiwa kuwa akiweka $2000 ndani ya siku 14 atapa 500% nafikiri alianza na kuulizia bei za Range [emoji23][emoji23]

God save us

Sio Range bro Ford Ranger Wildtrack nilishaquote Crown nikawa naidharau kabisa nikaacha kuiendesha
 
Madhara ya kujifungia chumbani ndio yanafanya mtu anashindwa kujua vitu kama hivi... .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hongera bro japokuwa umepigwa ila wewe ni risk taker, same amount ungeweza invest mahal pengine ungekuwa na kitu angalau kidogo kama faida umepata
 

Watu wanataka pesa ya chap boss,hawataki kuhustle
 
Ndugu yangu kwanini unachezea hela hivyo tena na utapeli wa FOREX? Bora ingekua business umeingia loss, hio inajulikana, ila forex?

Sent using Unataka kujua ili iweje
 
Kila mtu na ujinga wake ndugu sema wengine hawaongei
Ni kweli mkuu.
lakini hili kosa lako duuh umepigwa kirahsis sana, tatizo kubwa zaidi unapigwa mara ya pili kwa mtindo uleule!!
Ya kwanza nakusamehe lakini mara ya pili???
 
Achana uvivu wa kufikiri hakuna mchezo wa ku-download hela
 
Ngoja mpigwe mnapenda pesa za bila kutoa jasho, wewe nazani haurudii tena, vijana wamekuwa wapenda kamali na michezo ya kubahatisha, wazungu wanaharibu kizazi chenu mtakuwa wazee wapenda dili
 

Fanya biashara na kitu ulicho na passion nacho sio kujaribu jaribu tu,ukifanya business ambayo una passion nayo hutakata tamaa kirahisi,settle do your research and usipende short cut,short cut is always the wrong cut
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…