I have been scammed 1,100$ through Forex

Yaaani kama vile wale jamaa wauza odds kule kwenye betting. Kama zina lipa kwanini wasibet wenyewe wakatajirika.
 

Yaani bora kubet kuliko utapeli huu wa wazi kabisa
 
Matatizo mengine tunayatafuta wenyewe. Yaani mtu anakuahidi profit ya 500% na wewe unakubali na kuingia kichwa kichwa! Tamaa nyingi, mbele kiza.
 
Pole sana ao wadada wapo wengiiii mnoooo.mi huwa wakini dm nawatongoza,kwanza siku akaniuliza unatokea nch gani nikamwambia tanzania akanambia anao wateja weng tz nikamtongoza mwisho nikamwambia sipo interest n biz yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe NI fala
 
Huo sio uwekezaji mdogo pikipikii 5 kwa m2 sawa na m10 bahaji 5 bajaji moja ni m7 ..bado mgahawa bado saloon.hahaha eti uwekezaji mdogo Nani kasemaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii haina tofauti na jamaa Fulani wakenya unafungua akaunt sport pesa, kisha, unaweka salio kisha unawapa wao password na pia unawalipa hela ya kukusaidia kucheza, inaitwa Account Management.

Yaani wao kama ni wataalamu zaidi si wajielekeze kwenye kucheza account zao wenyewe badala ya kucheza za wengine??
 
Mpumbavu wa karne huyu. Wewe hujui chochote kuhusu forex na wala ulikuwa hutrade forex bali ulikuwa unacheza mchezo wa upatu.

Yani mfano ingekuwa kwenye kubet, wewe ni sawa na mtu ambaye hajawahi kubet na wala hana idea ya how watu wanabet. Basi utafute mtu akufungulie akaunti na akubetie, then huyo mtu achukue mpunga wako ulowekeza akimbie nao, halafu baada ya hapo uje hapa jf uenze kulaumu eti betting is a scam.

Hapo tatizo sio forex, ni wewe kutokuwa na knowledge ya jinsi forex inavyoendeshwa.

Shubamitt kenge miti[emoji78][emoji82]

Unforgetable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…