RAYAN THE DON
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 679
- 1,218
- Thread starter
-
- #141
Okay. Wamekusikia.Uzi mzuri.... anyways sitaki kujaza server za JF ila mnaokuja PM mnaonaje mkitanguliza picha zenu? Maana naogopa ku deal na watu wafupi waliokomaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wanaume taabu kweli, Unashindwa kuwa unique, Najua unafahamu kuwa nyuzi kama hizi juu Yake ni nyingi, Umeshindwa nini kumfata Piemu, Mchombeze , Uanze hata na kaurafiki, Uwe unalike posts zake Speed Ya Mkwepu Jr maana mshkaji kapita hadi speed Ya light,
Then Umwambie unavofeel,
Unadhani kuandika hapa ndo atakuonea huruma, Arrrgh Umenifelisha sana Bro
Feelings Hazijengwi Siku moja bwanaaa Acha kuwa kama Chalii anaeishi kwa fantasy Da vinci [emoji23][emoji23][emoji23]π€£
Ushauri kutoka kwa mvulana kwenda kwa mwanaume
Mtoa thread wewe ni mhaya?!Thanks for your question.
In regards to your questions I respond that I put down the discourse because of love and wanted the world(JF) to fathom my feelings over you and nothing to hide. Also, as you know when a real man loves he can't choose a battlefield.
Further, I'm ready to take full responsibility, if my acts prejudiced you.
I love you, Joanah.
HahahahahhhhTatizo hutoi mrejesho unagonga na kusepa issue ya
Mim Mars
Naye ikuwaje leta feedback upate connection tena
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah! unaweza kuta ni ID ya babaako
Ok anza kumfuatilia njiwa wako kuanzia huku kwenye public mtegee mtama Ataringa , Usichoke jenga ukaribu mwombe afungue piemu, uwe na mada za akili πππSawa mkuu, lakini wengine kule PM hawajibu. Ngoja mwakani nitaanza na hiyo technic ikiwezekana 2021 ukawemwaka wa kusimulia makubwa yaliyotokea kwa sababu PM za JamiiForums. Ahsantee sana mkuu.! Ukiwa na ujanja mwingine namna ya kuwin moyo wa manzi usisite kunitag Redpanther the happy dude [emoji4]
Happy dude [emoji67]β[emoji538]
Ufupi na urefu ni ulinganisho wa kimo chako na uliyesimama nae. Taja urefu wako kwanza kwa kipimo cha sentimita (cm) ili mtu ajilinganishe.Uzi mzuri.... anyways sitaki kujaza server za JF ila mnaokuja PM mnaonaje mkitanguliza picha zenu? Maana naogopa ku deal na watu wafupi waliokomaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye mwenyewe. Lkn navyomfahamu ni " ke /me"Hivi nani ako na uhakika wa jinsia ya joanah ?
Wakikujibu nitag
Kuna wanaume taabu kweli, Unashindwa kuwa unique, Najua unafahamu kuwa nyuzi kama hizi juu Yake ni nyingi, Umeshindwa nini kumfata Piemu, Mchombeze , Uanze hata na kaurafiki, Uwe unalike posts zake Speed Ya Mkwepu Jr maana mshkaji kapita hadi speed Ya light,
Then Umwambie unavofeel,
Unadhani kuandika hapa ndo atakuonea huruma, Arrrgh Umenifelisha sana Bro
Feelings Hazijengwi Siku moja bwanaaa Acha kuwa kama Chalii anaeishi kwa fantasy Da vinci ππππ€£
Ushauri kutoka kwa mvulana kwenda kwa mwanaume
Kwenda piemu ni kama mfano tuu brother , Kuandika public ndo atakuonea hurumaKuwa unique ni kwenda PM? just think beyond the box.
Hahahahah. Temerity is the most important to a man. Nothing to hide. Why nimfuate mafichoni huko PM?
kumpenda mwanamke na kufunga openly kama hapa siyo tatizo hata kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kama ni dume je ? maana uyo Joanah ujawai muonaNo matter what. Nampenda sana Joanah. Kama tunaweza mpenda Mungu ambaye hatumuoni why nashindwe kumpenda JOANAH ambaye ipo siku tutakutana na ataelewa ninachokizungumza?
Acha kunilisha maneno yako mkuu.Kwenda piemu ni kama mfano tuu brother , Kuandika public ndo atakuonea huruma
Think Beyond
aiseeKama ni ME anajifanya KE. Nitamwambia anipe jicho lake nilipanue.
Mbona umepanic brother unaanza matusi?Acha kunilisha maneno yako mkuu.
Hakuna sehemu yoyote niliyoandika kuwa natafuta huruma kutoka kwake mkuu.
kama kuna sehemu nimeandika naomba unioneshe mkuu.
Endapo hautaonesha hicho kitu. Nakushauri yafuatayo:-
Kwanza, Kama wewe ni ME badlisha mwenendo wako ili uwe mwanaume kamili
Pili, acha wivu wa kike. Tutaacha kumpenda yeye mwisho wa siku tutakutanua wewe hilo jicho mkuu.
Ungemjibu 'Gracias' ingependeza zaidi kwa wafuatiliaji wa Spanish.Asante
Unafeli mwamba.Kama ni ME anajifanya KE. Nitamwambia anipe jicho lake nilipanue.