Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
-
- #21
Hivi inaruhusiwa kutaja hata macrush?
@sweetheart
Haha vile unataja kumbe babe wake yuko anakusorola tu πYes..hao ndio unaweka hata list ndefu
Hana ban ..[emoji23][emoji23]atakua na ban huyo hembu tag mwingine
Ole wako umtaje shemejioHaha vile unataja kumbe babe wake yuko anakusorola tu [emoji125]
Nikitafakari penzi,Mapenzi matamu
Niwapo nawe mpenzi
Sioni mwingine
Wa kufanana na weweπ
Nitalienzi penzi lako
Sitokuacha asilani
Nitalienzi penzi lako
Sitokuacha asilani
.
.
.Penzi lina raha yake asiyejua ni nani π
Penzi mfano wa Pete uvaapo kidoleni π
Haha vile unataja kumbe babe wake yuko anakusorola tu [emoji125]
Sharing haziepukiki Dada πOle wako umtaje shemejio
Nayo ukikuta choko tena anapiga castle?Hahaha juzi nimepita maeneo ya kino bar moja hivi nikaona choko akinywa safari lager..toka siku hyo nimeamua kuachana na safari kwa sasa nitakunywa castle lager
Ngoja nikagonge glass hata mbili nakuja kuwataja πΊNdio ashikilie mzigo wake vizuri kama alikua anazingua zingua
Siyo kwa shemejio ..tafadhali tafadhaliSharing haziepukiki Dada [emoji23]
Wanaume wenyewe wako wachache
Litanikuta jambo uongo? πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amtaje asiogope ila kitampata kitu
Nayo ukikuta choko tena anapiga castle?
Siyo Cha shemeji yako..kua na adabuKizuri kula na nduguyo