Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndio mana mashoga wanaongezeka
muda si mrefu wataanza kuvaa bikini
maana skirt tayari, skonkonko tayari
imebaki Bikini na Bra
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndio mana mashoga wanaongezeka
muda si mrefu wataanza kuvaa bikini
maana skirt tayari, skonkonko tayari
imebaki Bikini na Bra
naomba ni tagie hao wadada niwaoneKuna wadada walinishangaza humu jana wanasema mwanaume akisuka na kuweka hereni ndio hb....mdomo wangu ulibaki wazi
Eeh mbona mawazo yao yako hovyo sana?Kuna wadada walinishangaza humu jana wanasema mwanaume akisuka na kuweka hereni ndio hb....mdomo wangu ulibaki wazi
Te quiero mucho mi amor
Te quiero tanto mi amor [emoji73]
naomba ni tagie hao wadada niwaone
au niwekee link ya huo uzi nikawatafutie huko niwajue
kimoyomoyo hapa nishaanza wahisi
"niwekee link mkuu"
Eeh mbona mawazo yao yako hovyo sana?
Siwapendi wanaume wa dizain hiyo mm
Te quiero mucho mi amigo [emoji41]
Naona umeushinda uoga na umeweza taja...Tatizo Naogopaa
Yan hapo nimejitahidi sanaNaona umeushinda uoga na umeweza taja...
Nilihisi tu lazima mtu atasema Mshana.
Mbona JF M ziko nyingi tu
😂😂😂😂😂😂😂 na ulivyomkaririBasi mshubate[emoji23][emoji23]
Thubutuuuu sa zingine tu ata kumtaja mume ni shida 🤣 🤣 🤣Wtz ni wagumu sana kutaja wapenzi wao au umri wao[emoji23]
This is for my baeHebu tangini watu wenu chat za nini au mnamichepuko mingi.
Inamaana kwenye hiyo list ya wasanii mpenz wako yuko ktk kudi hilo auKwani hawa wasaniiiii (wakiume) wameambiwa na nani wakisuka suka hayo manywele kama wadada
wanapendeza?? mi inaniboaaaaaaaa 😡😡