Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abeeeh kuna nini eti
Yupo likes ukoHivi yule chalii davet yuko wapi au kabadili id?
Nimemsaidia tu 😂Naona umetumwa umwite [emoji1787]
Yaani uko hatoki kama kawekewa gundi mpaka watu wanajua kabadili idNimemsaidia tu [emoji23]
Maana yule ametia nanga kwenye Likes
Hahahah tumekumiss pia dear jamani tupo mbona haujatutafuta tu
Hahahah mimi usiponiona nipo makapuku ndio uzi wangu pendwa na sakayo hivyohivyo[emoji26][emoji26][emoji24][emoji24]siwaoni kule kwa uzi wa picha au mmehamia kwa uzi gani tena
Wimbo maalumu kwa wapendanao. Mtag yoyote umpendae hapa. Wa kwangu nita mtag mwishoni kabisa mwa comments zote
I Love You – Rayvanny Lyrics, Letra:
Ilikuwa safari ndefu yenye mateso
Machozi mizigo vikwazo
Ila yote umenitua
Naomba penzi letu lisife kesho
Ukanipa pressure mawazo
Chonde mama utaniua
Na vile hujui kununa fundi wa kudeka
Hata sijakutekenya unacheka
Ooooh tambua ushaniteka
Hata bila chakula nanenepa, my love
Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau
Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukakanyanyasika
Ila mpenzi usisahau
Mi ooh oh, I, mi amor, I
My Love, I, te amor, I
I love you I love you
Baby I love you, I love you
I love you(Mi nakupenda sana)
I love you(Usiniache mama)
Baby I love you(Me oooh)
I love you
Sura ya mama, umbo lawama
Unayabia maguu
Unanichanganya ukiinama
Naangalia tattoo
Nipakulie chakula mama sikomi
Asubuhi mchana mpaka jioni
Michezo unaijua mama msomi
Pini kitovu kifua na sikioni
Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau
Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukanyanyasika
Ila mpenzi asahau
Mi ooh oh, I, mi amor, I
My Love, I, te amor, I
I love you I love you
Baby I love you, I love you
I love you(Mi nakupenda sana)
I love you(Usiniache mama)
I love you
Hahahah mimi usiponiona nipo makapuku ndio uzi wangu pendwa na sakayo hivyohivyo
Kwan n vibaya kujipenda ?Mtani naona unajitekenya mwenyewe na kucheka....
Karibu dearOohh sawa nitakuwa nakuja huko huko
Karibu dear
The Ben si ndo yule wa kwenye ile loose control na meddy?? anajua kiukweli.The ben unamjua vizuri?
Kuna wasanii wako west africa huko ni wanaimba manyimbo ya hivi ni balaaaa Meddy si kwakuwa unamsikia sana na kangoma kake kale basi ushamuona anaweeeeza
Ni fireee, sikiliza na ngoma yao nyingine iko kama ya gospel inaitwa Thank my GodThe Ben si ndo yule wa kwenye ile loose control na meddy?? anajua kiukweli.