Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EeeehhMe Myself And I
Mai lavu, nitumie hela.
😉😉 Alikiba watu wanamsahidia kuongea.hata alikiba nae katoa sema hapendi show off
Weweeee Vanny boy anaumiza sana kwenye matamasha na anajua ku control umati.Dogo ataimba weee ikifika kwny tamasha la wasafi atapewa muda wa kuimba nyimbo 2 tu.
#Boss hanuniwi.
The ben unamjua vizuri?ngoma za hivi anaziweza meddy tuu
Juzi kwny Wasafi festival Rayvan alipiga shoo ya dakika ngapi mkuu?Weweeee Vanny boy anaumiza sana kwenye matamasha na anajua ku control umati.
Fatilia show zake uone akisema watu wote wawashe tochi hakuna mtu anaibiwa asiyewasha mchawi wanawasha woteeeee hata Mondi kwenye hili hafiki.
Utani wake sasa ndo unaomfanya apendwe sana onstage
Weka hapa acha kutega....Nenda YouTube utaikuta.
Iyo ngoma sio kali acha kutoa promo za kipumbavuMwanamziki kutoka label ya WCB rayvanny boy mwenye sauti tamu Kama vanilla ametoa kazi nzuri Sana wimbo unaitwa I love you.
Kitu kinichopendea kwenye hii ngoma ni mashairi yake, beat nzuri, Melody nzuri na ngoma haishi utamu kiufupi ni bongo fleva halisi.
Big up rayvanny kwa kutupa ngoma Kali endelea hivo hivo kwa kuachia hit after hit.
Lete ngoma yako ili tuprove ulichoandika.Iyo ngoma sio kali acha kutoa promo za kipumbavu
Mi nimetoa maono yangu sipo hapa kushindanaLete ngoma yako ili tuprove ulichoandika.
Dk 15 zilifika na bado alirudi jukwaani tenaJuzi kwny Wasafi festival Rayvan alipiga shoo ya dakika ngapi mkuu?
Mkuu umekoment kwa dharau Sana.Mi nimetoa maono yangu sipo hapa kushindana
Unaendeshwa na hisiaMkuu umekoment kwa dharau Sana.