Statarea
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 891
- 1,278
Ukisema ngoma fulani kali umewainspire wengine wakaitafute, koo hio ni promo tayar
Unaonekana una akili ndogo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisema ngoma fulani kali umewainspire wengine wakaitafute, koo hio ni promo tayar
Unaonekana una akili ndogo sana
Lofa huyo ni hater alafu bado anaifatilia WCBMkuu umekoment kwa dharau Sana.
Akili hii ni ya 22
Akili hii ni ya 22
Lofa wewe huna lolote kajifungue leba huko mtoto chukiHao ndo mashost zako?
Mi bila kuona coment ya Kasie mtata hapa siridhiki @"Hazard CFC,
We ujui mziki ulitaga nyimbo za keleleMbona ya kawaida sana tu?
Nyimbo za kelele sio muziki? Au sijakuelewa?We ujui mziki ulitaga nyimbo za kelele
Mkuu kwa hiyo Rayvann sauti yake kwako ni tamu kama vanilla?Mwanamziki kutoka label ya WCB rayvanny boy mwenye sauti tamu Kama vanilla ametoa kazi nzuri Sana wimbo unaitwa I love you.
Kitu kinichopendea kwenye hii ngoma ni mashairi yake, beat nzuri, Melody nzuri na ngoma haishi utamu kiufupi ni bongo fleva halisi.
Big up rayvanny kwa kutupa ngoma Kali endelea hivo hivo kwa kuachia hit after hit.
Mtani naona unajitekenya mwenyewe na kucheka....Mbaga Jr popote ulipo, njoo uutulize moyo wangu.
Mtani naona unajitekenya mwenyewe na kucheka....
Sie walima bamia za miezi miwili tunasemaje?
Wana upofu haoKademu kakali, ila ndo ivo kila mtu atasema demu/mke wake ni mkali kuliko huyo video queen.
Kademu kakali, ila ndo ivo kila mtu atasema demu/mke wake ni mkali kuliko huyo video queen.
Kwa haraka haraka, Rihanna na demu/mkeo nani mkali!?Lazima uvutie kwako mkuu..kama usipomsifia wakwako nani atamsifia??
Kademu ka kwenye video kazuri sema kana komwee la rihanna linasubiri[emoji23][emoji23]
Of course jamaa ana sauti tamuMkuu kwa hiyo Rayvann sauti yake kwako ni tamu kama vanilla?
Acha kufananisha kifo na usingizi mkuuKwa haraka haraka, Rihanna na demu/mkeo nani mkali!?