I love you - Rayvanny | Wimbo Maalum kwa wapendanao

[emoji26][emoji26][emoji24][emoji24]siwaoni kule kwa uzi wa picha au mmehamia kwa uzi gani tena
Hahahah mimi usiponiona nipo makapuku ndio uzi wangu pendwa na sakayo hivyohivyo
 
Video HD. Ndio kizuri pekee nimekiona.
 
The ben unamjua vizuri?
Kuna wasanii wako west africa huko ni wanaimba manyimbo ya hivi ni balaaaa Meddy si kwakuwa unamsikia sana na kangoma kake kale basi ushamuona anaweeeeza
The Ben si ndo yule wa kwenye ile loose control na meddy?? anajua kiukweli.
 
dadek mwaka huu ukikusanya nyimbo za huyu dogo na zile alizoshirikishwa zote unapigia disco mpaka kuche, unabembelezea dem wako mloachana, unatafutia kamanzi kengine kapya, una n.k yaan mwendo wa back to back duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…