kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Mwisho ajinyongeAsubiri dirisha la usajili lifunguliwe 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho ajinyongeAsubiri dirisha la usajili lifunguliwe 😂😂😂
Kwani yy atakuwa wa kwanza kujinyonga?? 🤣Mwisho ajinyonge
Sio kweli. Analyse @kashiba sikukuuNasshindwa kuamini nikiangalia chatting na vichambo vya lammoy
Wanatumia mamlaka yao vibayaIla nyie viumbe mungu anawaona🤣
Mbingu mtaisikiaBado hamjasema 😂😂😂
Dhambi pekee itakayo pelekea Watu wengi kuikosa pepo ni nyie viumbe ✋🥲🥲Bado hamjasema 😂😂😂
Na utachoka kweli usishangae we ndo huyo mutu 😎😂Kwender unanichosha 😏
I dig it bro 🤣🤣🤣Shame on him for real! After all, it's a wrong move mkuu🤣🤣
Haitawezekana kabisa Nina standard zangu kwa kila jambo 😂😂😂🤣🤣🤣 Embu ngoja kwanza...
Kwani ingekua kweli ungekubali??😁
Shindwaaaa 🤣🤣🤣🤣Na utachoka kweli usishangae we ndo huyo mutu 😎😂
Standard zako kina suzy bale, tuache utani Manyanza nani akutake wewe kwa mfano?? Mtu mwenyewe spana mkononi, muda wote kagonjwa gonjwa unabadilisha hospital kila siku, una unyafuzi. 🤣🤣🤣🤣Haitawezekana kabisa Nina standard zangu kwa kila jambo 😂😂😂
Sema kweli❗Ah wapi.. hayo ya vijana, mm na age hii siwez kuwa na hizo. Although, sijakuwa attentive sana na kufatilia fatilia au kupenda kudet na wanawake wengi.
Yani kwa ufupi mm ni husband material 😅
Looh 😅Huyo hakuna wa kumtaka ana stress sana’a kabaki kujifunza uchawi 🤣🤣🤣
Sishindwi sema we ni jirani yangu muke ya shemejiShindwaaaa 🤣🤣🤣🤣
Shemeji yupi teena?? Uko wapi jirani? Ushaanza kulewa??Sishindwi sema we ni jirani yangu muke ya shemeji
Sikukuu unailia wapi rafiki?Hahahahaha..kweli mjini mipango..nimekubali Rafiki
Leo Nina mpango wa kulewaaa,hapa naifosi simu iishe chaji kabisaaa na bundle nisije nikamwaga Siri humu😁😁😁Shemeji yupi teena?? Uko wapi jirani? Ushaanza kulewa??
Mlevi hajitangazii Sister wacha kutupoteza maboya 😅😅😅Leo Nina mpango wa kulewaaa,hapa naifosi simu iishe chaji kabisaaa na bundle nisije nikamwaga Siri humu😁😁😁
Nshakata visungura viwili hapa type cShemeji yupi teena?? Uko wapi jirani? Ushaanza kulewa??