Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha wee, sasa sisy unaonaje Jack akiwa shemeji yangu 😜Poa sana....I miss u .....umepotea sana
Kwani hujasikia Dr Kisanga wa Muhimbili kasema wagonjwa waneongezeka?who cares?tuliagizwa na Bwana tutunze sana mioyo yetu na sio tutunze Figo😂😂😂😂😂 mkianza kuumwa figo na maini simo
Umeogopa kusema ulichotaka kusema??Kumbe ni ruhsa ..
Mi nikupe hongera.....😁😁😁😁😁
Sina kipingamizi kabisa
😂😂😂😂 Manyanza atakuua na pombe zake zilizo chini ya viwango shauri zakoKatoto kambea wewe🤣🤣
Nimekuogopa sijui kwanini mwayaUmeogopa kusema ulichotaka kusema??
Hongera nimekwambia nimemkubali?? 🤣🤣🤣
Yangu mpe boda aniletee basi 😋😋Hapa nishakata chupa Moja ya Pearly bay halafu nikakumbuka niingie kidogo online
🤣🤣🤣🤣 Hivi anajua unasagia hivyo kunguni?tatizo Jack Palladino mzungu sana mi mzaramo tutawezana kweli?hawezi kula utumbi wa kuku huyo na kisunguraWacha wee, sasa sisy unaonaje Jack akiwa shemeji yangu 😜
Mnapendezana kuliko kizee chako cha hovyo 🤣🤣🤣
😂😂😂😂 gadner mwenzio anajuta ss hiviKwani hujasikia Dr Kisanga wa Muhimbili kasema wagonjwa waneongezeka?who cares?tuliagizwa na Bwana tutunze sana mioyo yetu na sio tutunze Figo😂
Nipe area code bolt afanye yake,chap kwa harakaYangu mpe boda aniletee basi 😋😋
Na mi napenda uniogope da mauNimekuogopa sijui kwanini mwaya
Upo wapi utujoin?Au mko wote mnalewa mana kila mmoja leo analewa kasoro mimi 😂😂😂
Sijui nyuma ya ID ninani kiukweliNa mi napenda uniogope da mau
Kweli sikapendi toka kisutane siku moja na member mmoja hivi, nimekaona ka ovyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hivi anajua unasagia hivyo kunguni?tatizo Jack Palladino mzungu sana mi mzaramo tutawezana kweli?hawezi kula utumbi wa kuku huyo na kisungura
😍😍😍 naku piemNipe area code bolt afanye yake,chap kwa haraka
Sawa Tajiri...nasubiri alert❤️Miss u more!..ila nimetingwaa but lazima tukutane tupige vitu kidogo