Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nipo home hapa nimerudi kutoka kibaruani nakula pilau la dada alilopika 🤣🤣🤣Upo wapi utujoin?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo home hapa nimerudi kutoka kibaruani nakula pilau la dada alilopika 🤣🤣🤣Upo wapi utujoin?
Nipe location chap😅Nipo home hapa nimerudi kutoka kibaruani nakula pilau la dada alilopika 🤣🤣🤣
Daaah 🤣🤣🤣....Huyo Jack mtasha sana mi nitaachika ghafla bwanaKweli sikapendi toka kisutane siku moja na member mmoja hivi, nimekaona ka ovyo 🤣🤣🤣
Turudi kwa Jack huyo nimempitisha bila kupingwa, hiyo ya uzungu na uzaramo haihusu kikubwa mpendane. Jack Palladino nimekupa dada yangu. Napenda uwe shemeji yangu
Zaidi ya Maxence Mello kuna id nyingine unamjua aliye nyuma??Sijui nyuma ya ID ninani kiukweli
Hello Mr half cast!!! [emoji23][emoji23][emoji23]Hello from kigoma[emoji41]
SoonSawa Tajiri....nasubiri mlio
Sawa Tajiri...nasubiri alert❤️
😜 nipo bonyokwa hukuNipe location chap😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule kambong'olea huyu, huyu alibong'oleshwa na yulee, yaan full tafraniii.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hatareee!! Hivi walianza dose?
JF ina mambo mengi km series ya Spartacus huyu kampanda yule, na yule kapandwa na yule bas tafrani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jibabu la haja lenye bus*a lake [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtawezana bana mi napenda muwe couple humu, halafu Jack hana mambo mengi 😜Daaah 🤣🤣🤣....Huyo Jack mtasha sana mi nitaachika ghafla bwana
Washa location.😜 nipo bonyokwa huku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mnanichanganya ujue nyie wana ndugu.Mtawezana bana mi napenda muwe couple humu, halafu Jack hana mambo mengi [emoji12]
Halafu usimsemee muache aseme mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 nimecheka mpk nimepaliwa udugu, washafungua na mkadi kumbe?? 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule kambong'olea huyu, huyu alibong'oleshwa na yulee, yaan full tafraniii.
Wana kadi zao hapo CTC Amana. Woiiiih
😂😂😂😂 huamini?? Kweli niko bonyokwaWasha location.
Wasifungue? Wao hawaogopiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mpk nimepaliwa udugu, washafungua na mkadi kumbe?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Udugu tumshawishi dada na Jack wawe pamoja, hutaki tuwe na shemeji wa kitasha?? 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mnanichanganya ujue nyie wana ndugu.
Namuelewa sanaaaa mbona🤣🤣🤣Mtawezana bana mi napenda muwe couple humu, halafu Jack hana mambo mengi 😜
Halafu usimsemee muache aseme mwenyewe 😂😂😂
😂😂😂😂 kwahiyo ss hivi wanabugia??Wasifungue? Wao hawaogopiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Files zao zipo huko, ni kuitwa tyuuh wakachukue kunde wabugieee.
Uduguu em huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]