I Love you too much Lamomy

Kumbe ni ruhsa ..
Mi nikupe hongera.....😁😁😁😁😁
Sina kipingamizi kabisa
Umeogopa kusema ulichotaka kusema??
Hongera nimekwambia nimemkubali?? 🀣🀣🀣
 
Wacha wee, sasa sisy unaonaje Jack akiwa shemeji yangu 😜
Mnapendezana kuliko kizee chako cha hovyo 🀣🀣🀣
🀣🀣🀣🀣 Hivi anajua unasagia hivyo kunguni?tatizo Jack Palladino mzungu sana mi mzaramo tutawezana kweli?hawezi kula utumbi wa kuku huyo na kisungura
 
Kwani hujasikia Dr Kisanga wa Muhimbili kasema wagonjwa waneongezeka?who cares?tuliagizwa na Bwana tutunze sana mioyo yetu na sio tutunze FigoπŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ gadner mwenzio anajuta ss hivi
 
🀣🀣🀣🀣 Hivi anajua unasagia hivyo kunguni?tatizo Jack Palladino mzungu sana mi mzaramo tutawezana kweli?hawezi kula utumbi wa kuku huyo na kisungura
Kweli sikapendi toka kisutane siku moja na member mmoja hivi, nimekaona ka ovyo 🀣🀣🀣
Turudi kwa Jack huyo nimempitisha bila kupingwa, hiyo ya uzungu na uzaramo haihusu kikubwa mpendane. Jack Palladino nimekupa dada yangu. Napenda uwe shemeji yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…