Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nipe wa kumfanyia hivyo.We kuweza??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe wa kumfanyia hivyo.We kuweza??
Si yule unayesemaga unampenda, umemsahau??Nipe wa kumfanyia hivyo.
Yupi huyo ebu fungua codes hata kwa herufi ya kwanza😂Si yule unayesemaga unampenda, umemsahau??
Hi ni mara ya pili nimenasa kwake ila bado hajanipa majibu ila nimerudi kwa mara nyingine ili ajue Kama nilimpenda sana. Ila Kama haiwezekani basi


Hajakupa kipochi manyoya James Hadley Chase mpe link mdau akajimalizeila bado hajanipa
Mumeo ana bahati mbaya..nimpe poleAnivutie hata namjua?? Mi mke wa mtu mume wangu yupo Korea kikazi
Unashughulikiwa kinyumbani.😂😂😂 We mshindwe kwa jina la Yesu
Haya, chezeeni tu hisia za mshkaji🤣,Usichukulie serious, sometimes watu wanafanya utani tu 😅
Aangalie asije scamiwa kimasihara 😆Anataka apewe kimasihara [emoji23]
Tatizo they've no emotional control, manzi karomantisize kidogo tu kwenye thread jamaa huyo🤣🤣🤣Tell them ukikoswa kwenye maradhi unachunwa ubaki kama kuku asie na mkia
wivu umetokea wapi tena? 🤣Acha wivu!
Huyu mshkaji wako anajizima data,Mtu keshapewa za uso kitambo bado anang'ang'ana mpaka aliwe nauli ndio aje alielie humuHaya, chezeeni tu hisia za mshkaji🤣,
Mwanangu chamaclotus usiwasikilize hawa viumbe.
berylyn unaitwaJamanh na mimi naomba mnisaidie kumuambia berylyn na nampenda sana,ni tamanio kubwa moyo kuwa na yeye, haijalishi kaolewa au ana mcumba, au mchepuko,
suffering is good for you, and makes you more resilient 🐒Hi ni mara ya pili nimenasa kwake ila bado hajanipa majibu ila nimerudi kwa mara nyingine ili ajue Kama nilimpenda sana. Ila Kama haiwezekani basi