Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
My wiii nimechanganyikiwa ukaribie Kibaha maili moko.Wifi mwaliko wa pilau mbona umeubania??
Naona mwaka wako huu wa kujidai Jf😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My wiii nimechanganyikiwa ukaribie Kibaha maili moko.Wifi mwaliko wa pilau mbona umeubania??
Kibaha hapo tyuu!! Nakuja wii ngoja nije na caton ya ceres, wakinga hatujazoea kwenda mikono mitupu kwa watu 😀😀😀My wiii nimechanganyikiwa ukaribie Kibaha maili moko.
Naona mwaka wako huu wa kujidai Jf😁😁
Nitag location tukaruke majoka huko, Sitaki uje magetoni ukawa sehemu ya chakula cha eidLeo eid bana Abaya ndio mwake…!!
Winga mbona hujanipa mwaliko nije kuufinya?? Watu wachoyo 🤣🤣🤣
Abaya ni vazi liko overrated sana, mbn zipo nguo kibao tu unaweza vaaa ukawaka kinoma!
MshindweeeUnashughulikiwa kinyumbani.
"Mapembelo"
Ko saiv jamaaako ukitoka nae out Leo unavaaa abaya?Kila Vazi na mahala pake mkuu
Ngoja nifunge hesabu kwanza, halafu nitaangalia nina mialiko mingi leo. Sasa ww huko nyumbani huna mke?? Mi nataka kula pilau la wifi 😂😂Nitag location tukaruke majoka huko, Sitaki uje magetoni ukawa sehemu ya chakula cha eid
Heee!! Jamani pole ya nini?? 😂😂😂Mumeo ana bahati mbaya..nimpe pole
There is no pride in beggingAm less concerned
Hujui mm na ndoa tulikosana tangu ni tumboni mwa mamayangu, we fika bila kukosa utakula na kunywaNgoja nifunge hesabu kwanza, halafu nitaangalia nina mialiko mingi leo. Sasa ww huko nyumbani huna mke?? Mi nataka kula pilau la wifi 😂😂
Ko saiv jamaaako ukitoka nae out Leo unavaaa abaya?
Huyo hakuna wa kumtaka ana stress sana’a kabaki kujifunza uchawi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Embu ngoja kwanza...
Kwani ingekua kweli ungekubali??😁
Nimekuelewa mtoto mzuriNikienda kula pilau la Eid. Out kuna mavazi yake nayo
Ww una mke na watoto bana acha uongo 🤣🤣🤣Hujui mm na ndoa tulikosana tangu ni tumboni mwa mamayangu, we fika bila kukosa utakula na kunywa
Utoto raha sanaHi ni mara ya pili nimenasa kwake ila bado hajanipa majibu ila nimerudi kwa mara nyingine ili ajue Kama nilimpenda sana. Ila Kama haiwezekani basi
Kusema za ukweli mke Sina sikudanganyi!Ww una mke na watoto bana acha uongo 🤣🤣🤣
Au unamvizia manzi humu?!!
Ww ushaanza kumpenda mzigua lione 😂😂😂Nimekuelewa mtoto mzuri
Jehovah nisi! Jehovah Sharma🤦Ww ushaanza kumpenda mzigua lione 😂😂😂