father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 971
- 1,117
Kwa mtizamo wangu hawa bloggers ndio warembo kuliko bloggers wengine wa kike wa Tanzania...Glory be to God for these beautiful pieces of his creation...



Shamim mwasha nampa namba moja.
Yasinta Ngonyani chukua nafasi ya pili.
My baby miss Manongi nampa namba tatu.
swali.
Hizi picha tatu zina kitu kinafanana..Niambie ni kitu gani upate zawadi. ya xmas...
kumbuka mimi ni father-xmas...



Shamim mwasha nampa namba moja.
Yasinta Ngonyani chukua nafasi ya pili.
My baby miss Manongi nampa namba tatu.
swali.
Hizi picha tatu zina kitu kinafanana..Niambie ni kitu gani upate zawadi. ya xmas...
kumbuka mimi ni father-xmas...