SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #21
Yes mambo na ID ingine so niambie wewe mia zako ziko wapi??flower gelo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes mambo na ID ingine so niambie wewe mia zako ziko wapi??flower gelo
akuu....mie nimekuita as flower girl...aka sweet candyYes mambo na ID ingine so niambie wewe mia zako ziko wapi??
🤣🤣🤣🤣🤣☝️ mie ni sweet lady kila mahali mpaka kidudu kidogo kitramumna uhakika hii sio account nyingine ya dada maua !! maana hapa nikimtag atafungua uzi 🤣 kujaza server za watu zipate moto ziungue !!
nimechekaaamna uhakika hii sio account nyingine ya dada maua !! maana hapa nikimtag atafungua uzi 🤣 kujaza server za watu zipate moto ziungue !!
We mke wa Besyige puliiiizz usinigombanishe na da mau 😂😂😂😂nimechekaaaaaaa....nimecheka tena...dah...una akili sana wewe..read btn lines
Mie ni lovely girl hakuna matataakuu....mie nimekuita as flower girl...aka sweet candy
😆😆😆😆🙌🙌hii nchiEwaaaa
Nitafutie danga kodi inaisha msupu😆😆😆😆🙌🙌hii nchi
Da maua Unique Flower wanakuchokoza huku njoo tuwashambulie niko upande wako 😂😂😂😂mna uhakika hii sio account nyingine ya dada maua !! maana hapa nikimtag atafungua uzi 🤣 kujaza server za watu zipate moto ziungue !!
hivi humuhakuna wake saikologist??kuna shida pahalamaana leo anaattack kila mtu
Huyu asaidiwe jamani naona Kuna kitu hakipo sawa😆😆😆😆🙌🙌hii nchi
Umeanza lini kuwa snitch 🤣🤣🤣🤣Da maua Unique Flower wanakuchokoza huku njoo tuwashambulie niko upande wako 😂😂😂😂
Umeona da mau nilikwambia ww ss hivi brand kubwa..!! 🤣🤣🤣
mnoo....dah i feelbadHuyu asaidiwe jamani naona Kuna kitu hakipo sawa
Umenipendraa
njoo kasulu babeNitafutie danga kodi inaisha msupu
Snitch tena??Umeanza lini kuwa snitch 🤣🤣🤣🤣
Unahusika njoo unipeHuo upendo kama hela haihusiki basi simo