I need a friend to text me love me and share good things

I need a friend to text me love me and share good things

Jamani hadi ID mpya mnaikosoa kha aibu zenu kama hamtaki kunitafutia danga na kodi imeisha basi siwataki humu maana hamuendani na post yangu .

Nimesema natafuta marafiki wenye upendo sasa nyie mnaleta karaha hamna upendo
Uandishi wako unafanana na dada yangu mmoja kipenzi sana..!!! 🀣
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Da maua Unique Flower wanakuchokoza huku njoo tuwashambulie niko upande wako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Umeona da mau nilikwambia ww ss hivi brand kubwa..!! 🀣🀣🀣
kasema Leejay49 akikuta mnamjadili analike wengine mnacheka !! leo tumejua unafiki wa warembo wa JF mnamzunguka mwenzenu 🀣
 
Back
Top Bottom