Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Kwanza me nimeshaacha kulike.. Huu ni mzigo wako pambana😂😂😂Jirani 🤣🤣🤣🤣
Baadae nabebeshwa lawama mimi si unaona lakini???😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza me nimeshaacha kulike.. Huu ni mzigo wako pambana😂😂😂Jirani 🤣🤣🤣🤣
Baadae nabebeshwa lawama mimi si unaona lakini???😂
Dah nimesema tena nisikilize kwa makini huu dada ni uzi wangu siitaji stress zenu sijui huyu ni chizi au nyie mnamachizi yenu hiyo ni wewe tu na akili zako.kwamba huyu ndio yule hamnazo?
Sasa hivi uko happy wakati umetoka kumchamba mtu eti ana uso kama mandazi ya jela 🤣 nikikukuta mbinguni naandamana !!🤣🤣🤣🤣🤣☝️ mie ni sweet lady kila mahali mpaka kidudu kidogo kitramu
True unahitaji mke serious how old are you??Danga hapana.
Wa kuishi nae sawa
Haya wanaanza kukupandisha mashetani 🤣🤣🤣Dah nimesema tena nisikilize kwa makini huu dada ni uzi wangu siitaji stress zenu sijui huyu ni chizi au nyie mnamachizi yenu hiyo ni wewe tu na akili zako.
Sijui umeziokota utajua mwenyewe usivamie post za watu soma vizuri kimakini halafu ukiona haukufai tambaa au anzisha post kuhusu machizi yenu msutane .
Sasa unavyoandika ukamalizia na emoji ujue unaleta shida pia 🤣Yaani we acha.. Mbona nimeacha kulike like kila comment 😂😂
Very serious.True unahitaji mke serious how old are you??
🤣🤣 ila nyie dhambi mjuehuyu wafanye wamnyang'anye simu au mwez mchanga?
Eee dada candy apewe pesa ya kodi buana..!! 🤣🤣🤣Naona unafanya udalali wa danga likalipe kodi.
🤣🤣🤣🤣🙌Nikicheka naambiwa simpendi da mau si mnaona lakini??? 😂😂😂😂
Mrs Besyige Leejay49 Nuzulati Tayana-wog Mama Mwana
😂😂😂😂😂 Pls naomba tusaidianeKwanza me nimeshaacha kulike.. Huu ni mzigo wako pambana😂😂😂
Awe na kiuno feni lakini... Magogo yanafaa kwa mbao tuEee dada candy apewe pesa ya kodi buana..!! 🤣🤣🤣
Si mnajisifia matajiri humu!! Haya mlipieni da candy kodi
Hapana nimewaonya sipendi shida mie napenda rahaHaya wanaanza kukupandisha mashetani 🤣🤣🤣
tusicheke this lady needs medication, huu sio uzima kabisa🤣🤣 ila nyie dhambi mjue
Ota tu maskiniAwe na kiuno feni lakini... Magogo yanafaa kwa mbao tu
Hallo mama P🤣🤣🤣🤣🙌