I need a friend to text me love me and share good things

I need a friend to text me love me and share good things

kwamba huyu ndio yule hamnazo?
Dah nimesema tena nisikilize kwa makini huu dada ni uzi wangu siitaji stress zenu sijui huyu ni chizi au nyie mnamachizi yenu hiyo ni wewe tu na akili zako.
Sijui umeziokota utajua mwenyewe usivamie post za watu soma vizuri kimakini halafu ukiona haukufai tambaa au anzisha post kuhusu machizi yenu msutane .
 
Dah nimesema tena nisikilize kwa makini huu dada ni uzi wangu siitaji stress zenu sijui huyu ni chizi au nyie mnamachizi yenu hiyo ni wewe tu na akili zako.
Sijui umeziokota utajua mwenyewe usivamie post za watu soma vizuri kimakini halafu ukiona haukufai tambaa au anzisha post kuhusu machizi yenu msutane .
Haya wanaanza kukupandisha mashetani 🤣🤣🤣
 
Eee dada candy apewe pesa ya kodi buana..!! 🤣🤣🤣
Si mnajisifia matajiri humu!! Haya mlipieni da candy kodi
Awe na kiuno feni lakini... Magogo yanafaa kwa mbao tu
 
Back
Top Bottom