Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Me nishachoka aisee.. jirani tufanye kumchangia kodiππ€£π€£π€£π€£πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nishachoka aisee.. jirani tufanye kumchangia kodiππ€£π€£π€£π€£πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Nishajua nyie mnataka kunigombanisha na dada zangu da mau na da candy ππππUtajua hujuiπ€£π€£
Kwahiyo Leo unanikana mbele ya watu πDa Mau kanikataza kuwa na marafiki π€£π€£π€£
Aweke namba tuanze harambee π€£π€£π€£Me nishachoka aisee.. jirani tufanye kumchangia kodiπ
Na wewepunguza kunishobokea nimemjibu mwengine unakuja kujibu wewe unawashwa? kameze dawa zako
Serious maana hizi ni fedhea sasa maana kama bipolar imepitilizaππAweke namba tuanze harambee π€£π€£π€£
HehAweke namba tuanze harambee π€£π€£π€£
Mwambie alete account. Anataka kodi ya miaka mingapi na kwa mwaka analipa ngapiDa candy anacho ww tuma hela ya kodi kwanza πππ
nyie endeleeni kumchokoza π€£π€£ yuko anahesabu maadui zake !!punguza kunishobokea nimemjibu mwengine unakuja kujibu wewe unawashwa? kameze dawa zako
π€£π€£π€£π€£ Si umeona kwenye uzi wake kule nilivyofika mimi kaniambia ww ndio nilikuwa nakutaka hujawahi kunipenda..!!Kwahiyo Leo unanikana mbele ya watu π
Kisa mau
sasa wewe maua unaezaje kujitekenya mwenyewe ukajicheka mwenyewe? umeona ukimbie kule uje kivingine huo n uzima? achana na bangi tumia matembele ndio size yakoWewe ndio unahitaji medical attention nimefungua uzi wangu unaingia nashida zenu kha sijui hili au lile
Da candy njoo uweke account basi ulipiwe kodi kuna tajiri kajitokeza πππMwambie alete account. Anataka kodi ya miaka mingapi na kwa mwaka analipa ngapi
msaidieni mana anakoelekea tutamfunga kambaAna Bipolar anahitaji ukaribu wa watu zaidi
πππππππππ alooDah wewe unauhaini kichwani unahitaji kufungiwa mahali utapona penye giza
π€£π€£π€£Nikicheka naambiwa simpendi da mau si mnaona lakini??? ππππ
Mrs Besyige Leejay49 Nuzulati Tayana-wog Mama Mwana
Umewahi kuniona mahali unajazba sana shida nini ?? Halafu unaniombea njaa wah!mungu hanipi njaa atawapa maadui zangu njaa upo bibie uwaze kuwa mie sijui nyani ,nyuni hawayani shauri yako sikujui hujui yaanini nihangaike nawewe. Pambana na hali yako kwani wewe hujijibu mwenyewe shughulika na maisha yako.sasa wewe maua unaezaje kujitekenya mwenyewe ukajicheka mwenyewe? umeona ukimbie kule uje kivingine huo n uzima? achana na bangi tumia matembele ndio size yako