I need a friend to text me love me and share good things

I need a friend to text me love me and share good things

Serious maana hizi ni fedhea sasa maana kama bipolar imepitiliza😆😂
Hiyo bipolar msaidien kumpata mtaalamu !! watu wa design hii mtazichanga anaweza kuzitoa bank na kuzitia kibiriti note zote !! kuhandle hisia kwao ni ngumu sana !!
Hivi hapa watu wanazungumzia maua huyu pipi tamu kajaa nyembe 🤣🤣🤣 hawaamini kama wa wana shida
 
Hiyo bipolar msaidien kumpata mtaalamu !! watu wa design hii mtazichanga anaweza kuzitoa bank na kuzitia kibiriti note zote !! kuhandle hisia kwao ni ngumu sana !!
Hivi hapa watu wanazungumzia maua huyu pipi tamu kajaa nyembe 🤣🤣🤣 hawaamini kama wa wana shida
Yaani hili nalo tatizo.. wacha nimtafutie kwanza psychologist 😆
 
Umewahi kuniona mahali unajazba sana shida nini ?? Halafu unaniombea njaa wah!mungu hanipi njaa atawapa maadui zangu njaa upo bibie uwaze kuwa mie sijui nyani ,nyuni hawayani shauri yako sikujui hujui yaanini nihangaike nawewe. Pambana na hali yako kwani wewe hujijibu mwenyewe shughulika na maisha yako.
sasa najijibu mwenyewe umesikia mimi ni taaira kama ww? mimi nnazo timam zako zimepungua
 
Back
Top Bottom