I need a friend to text me love me and share good things

I need a friend to text me love me and share good things

Aaaareererereerereeerereereee!
Iiiiiigggweeeeeeeeeeeeeeeeeee! Tawire wifi tawireee

Na Smart911 babalaoo tunamkaribisha sanaaa!
Oyoooooooooo!!! Harusi tunayo
cocastic andaa kijora na tarumbeta la kuserebuka kumuimbia wifi karibu nyumbani ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธโ€โ™€๏ธ
 
Kwa jinsi wifi alivyo mtanange utakuwa mzito usiku wa kwanza wa harusi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Afanye fasta, nilizaliwa kwa ajili yake tu ndio maana nilikuwa singo namsubiri.
 
Afanye fasta, nilizaliwa kwa ajili yake tu ndio maana nilikuwa singo namsubiri.
Chonde chonde usije kumpa sate ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Chonde chonde usije kumpa sate ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
Sate wanapewa wale wanaotafuta madanga.
Huyu ni wife material kabisa, SweetyCandy
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Bff ukichambwa sikusaidii unajua da mau kanikataza
Utaniachaje lakini ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Ila ngoja ninyamaze Kinga yangu ndogo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Wakuu hii ni I'd mpya nawapa tahadhali na maokoto yenu ..!

Shehe mmoja imebadilika kanzu tu
FB_IMG_17021395911671159.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Dah shida unayo mwanaume mwanamke shida nini?? Savi wanaume kwa wanaume shida nini ukikuta mwanaume unavunga wewe uliye mwanaume halisi unashida hujitambui . Ukijitambua mtoto wako atajivunia anababa ila kwa sasa hajivunii ndo mana analia sana ana wasi wasi anamzigo wa kuubeba ambao ni wewe
Wanao sema unashida hawaja kosea
 
angalia
Ukiona mtu anakusumbua ujue kuna kitu umemzidi unasema mie tahira umeniona wapi nikikukojolea puani au hilo limdomo kubwa kama beseni la vyombo . Halafu weka profile picture yako kama hatutazimia tuambie unaingiza sh. Ngapi hadi ujione unaweza sema tu. Maana kila anayedharau watu anakitu wewe unanini mie namdomo
hii ng'ombe inavyoniwewesekea
 
Back
Top Bottom