usijali mhandisi.....ni mambo mambo tuu.....tutasemezana
Kama jembe likigoma unambie nilete excavator,asante sana.....revolver iwache kwanza maana itakuwa murder......ni kamlima kadogo tu nitakapita lakini ni kasumbufu sana kukakwea
usijali mhandisi.....ni mambo mambo tuu.....tutasemezana
Mtahandisiana sio?
Mkimaliza mnambie niwabaolojist fasta.
Tumsifu Yesu Kristupouwa mhandisi,sema na Biggie basi akuponye moyo mm ntamalizia,,, afu mwambie nimemmissss