I think its my time to rest, I am nothing in this world

I think its my time to rest, I am nothing in this world

Unadhani ulichoandika ni sifa mkuu? Kila mtu yupo duniani kwa sababu maalumu, msaidie mwenzako sio lazima kumpa pesa, mpe tumaini la kesho.
Tumain la kesho ndio kitu gani Wewe unajua kesho utakua Wapi Muda km huu?

Una mangapi yamekua mzigo mzito kwako na umeshindwa kuyatimiza una watoto wa Dada yako kule wanakuita anko wanashinda kwenda Shule sababu ya kukosa karo ya Shule wengine wamesimamishwa Chuo hujawahi kuchangia hata 100 Ila hapa unajitutumua kujifanya una roho nzuri sana
 
mkuu elewa tu kuwa haupo peke yako anayepitia magumu hapa dunian, endapo kila mmoja angefunguka ya kwake hapa, nadhani ungejiona una afadhali mara 20,

komaa mkuu haya maisha yana mengi.

ephen_
Mkuu. Kufunguka hivi ni tiba tosha kuliko angekaa na jambo moyoni. Bottom line ni kuwa hayuko peke yake mwenye changamoto kwenye maisha ingawa hajaweka wazi aina ya changamoto anayopitia
 
Tumain la kesho ndio kitu gani Wewe unajua kesho utakua Wapi Muda km huu?

Una mangapi yamekua mzigo mzito kwako na umeshindwa kuyatimiza una watoto wa Dada yako kule wanakuita anko wanashinda kwenda Shule sababu ya kukosa karo ya Shule wengine wamesimamishwa Chuo hujawahi kuchangia hata 100 Ila hapa unajitutumua kujifanya una roho nzuri sana
Toooobaaaaaa
 
Wadau wote wa jamii forum naandika uzi huu nikiwa na wazo moja tu la kupotea ktk dunia hii yenu

Napitia magumu mno nimekosa msaada hata wa mtu kuongea naye nikamwelezea matatizo yangu nimekuwa mpweke zaidi tu wanangu ambao hata hawajielewa ndio walikuwa faraja yangu ila ilipofikia nimezidiwa.

Wana JF endeleeni kutoa ishauri ndani ya hili jukwaa kiukweli backgroubd watu tunateseka sana.

Mungu awabariki sana
We Jamaa pole sana ila maelezo Yako yanachekesha,utapona Muuombe Mungu wako but elewa kwamba destruction ni lazima Ili maisha yaendelee
 
ongea ndugu yetu ukute kuna mtu ana suluhisho la changamoto yako humu , usiwaache vijana peke yao , talk up mi yout
 
Mkuu nenda kanisani kaombewe...
Matatizo tunayo wote na tunaishi nayo tu...wewe mpk umepata watoto bado unawaza kujiua...
Unamkosea Mungu
 
Duniani kuna mengi ya kukatisha tamaa,mimi mwenyewe hapa nimekata tamaa,nimepoteza tumaini la kuishi najikongoja tu hapa.Sijui hatma yangu.
 
Ukijiua utaongeza matatizo. Bora ubaki tu. Likubali tatizo.Songa mbele.
 
Tumain la kesho ndio kitu gani Wewe unajua kesho utakua Wapi Muda km huu?

Una mangapi yamekua mzigo mzito kwako na umeshindwa kuyatimiza una watoto wa Dada yako kule wanakuita anko wanashinda kwenda Shule sababu ya kukosa karo ya Shule wengine wamesimamishwa Chuo hujawahi kuchangia hata 100 Ila hapa unajitutumua kujifanya una roho nzuri sana
Hata kama nimeshindwa kutimiza lakini nina amani, furaha na natumaini huyu jamaa atapata amani ya moyo wake.

Mengi sana yamekuwa mzigo, wengi sijawasaidia ila haimaanishi mtu akiwa na shida nimkandamize hata kwa maneno magumu.

Be kind to others wala hupungukiwi, hata kama unashida zako binafsi. Hakuna ambaye yupo kwa comfort zone 100%, ila tunasaidiana hivyo...

Au wewe unataka mwenzako afe kwa msongo ili uzidi kufurahi.
 
Wadau wote wa jamii forum naandika uzi huu nikiwa na wazo moja tu la kupotea ktk dunia hii yenu

Napitia magumu mno nimekosa msaada hata wa mtu kuongea naye nikamwelezea matatizo yangu nimekuwa mpweke zaidi tu wanangu ambao hata hawajielewa ndio walikuwa faraja yangu ila ilipofikia nimezidiwa.

Wana JF endeleeni kutoa ishauri ndani ya hili jukwaa kiukweli backgroubd watu tunateseka sana.

Mungu awabariki sana
Kila mtoto anapozaliwa ni lazima alie,maana yake "amekuja kupambana na magumu ya maisha"
Usikate tamaa ukiona Giza limelizidi ujue machweo yamekaribia.Ili dhahbu iwe dhahabu lazima ipitie kwenye moto.Jitahidi sana kumlilia Mwenyezi Mungu akufunulie kusudio lake kwako hapa duniani.Utajipata na amini katika Mungu omba bila kuchoka.Ondoa kabisa mawazo mabaya uliyonayo....Ni ujinga wa mwisho kujidhulumu uhai.
kwa Mimi ninayeamini falsafa ya stoicism "Hata kuishi tu ni mafanikio pia"...Nasisitiza tena mdogo wangu Sali sana kwa Mungu wako na Imani yako ila tu usitumbukie kwa waganga ama fake pastors...All the best nakutakia ufaulu mwema...
 
Back
Top Bottom