I think its my time to rest, I am nothing in this world

I think its my time to rest, I am nothing in this world

Uza simu hiyo ukanywe Zako bia kadhaa na kitimoto kilo kadhaa na vijindizi vya kukaanga na wanao,,Acha kutusumbuasumbua
 
Huo ndo wanaume, hiyo pesa nilikua nimeisotea nje ya nchi na washa viombo na kubeba ma box kama wa bongo wanavo tukejeli kwa miaka 7, jamaa angu kaniuguza asbhi mapema, ila nili kubali matokeo ya uchaguzi ni kasonga mbele leo niko hapa a live and kicking, Allah is great.
Mungu yupo kwa wanaosubiri
 
Ila usije ukajaribu kwenda kwa waganga au hawa wanaojiita manabii kama kina Mwamposa. Huko ndo watakumaliza na kukufanya msukule
 
Wadau wote wa jamii forum naandika uzi huu nikiwa na wazo moja tu la kupotea ktk dunia hii yenu

Napitia magumu mno nimekosa msaada hata wa mtu kuongea naye nikamwelezea matatizo yangu nimekuwa mpweke zaidi tu wanangu ambao hata hawajielewa ndio walikuwa faraja yangu ila ilipofikia nimezidiwa.

Wana JF endeleeni kutoa ishauri ndani ya hili jukwaa kiukweli backgroubd watu tunateseka sana.

Mungu awabariki sana
Mkuu kama wanao bado hawajaelewa kama usemavyo,tafadhali husijiue maana utawaachie shuruba nzito. Pambana
 
Natamani sana tujifunze, kama huwezi kumuonea huruma Mtu, kumsikiliza, kumtazama, kumsaidia basi ANGALAU JIZUIE KUMTAMKIA NENO BAYA! Tunaishi kwenye Dunia iliyojaa Msongo wa Mawazo, Chuki, Ubinafsi, Tamaa, Magonjwa na Kila Fikra Isiyofaa. Njia nzuri ya kuikabili ni KUPENDANA NA KUSIKILIZANA. Huwezi kujua utakayemfaa Leo kwa Neno la Faraja atakuwa nani mbeleni.
 
Mkuu huu muda naomba tembelea hospital kubwa ambayo iko karibu na eneo unaloishi.!!
Waombe wakuonyeshe wodi za wagonjwa mahututi na wodi za wagonjwa waliovunjika ukimaliza tembelea kituo cha watoto yatima.!!

Halafu rudi hapa tujadili matatizo yako.
 
Wadau wote wa jamii forum naandika uzi huu nikiwa na wazo moja tu la kupotea ktk dunia hii yenu

Napitia magumu mno nimekosa msaada hata wa mtu kuongea naye nikamwelezea matatizo yangu nimekuwa mpweke zaidi tu wanangu ambao hata hawajielewa ndio walikuwa faraja yangu ila ilipofikia nimezidiwa.

Wana JF endeleeni kutoa ishauri ndani ya hili jukwaa kiukweli backgroubd watu tunateseka sana.

Mungu awabariki sana
I will greet this day with love in my heart
For this is the greatest secret of success in all ventures.
Muscle can split a shield, but the unseen powe of love can open the heart of men, and until i master this art, i will remain no more than a peddler in the market place
I will keep remembering this secret and it will change my life

I will greet this day with love in my life
And how will i do this?
I will look on all things with love and i will be born again
I will love the sun for it worms my borns, yet i will love the rain for it cleanses my spirit
I will love the light for it shows me the way, yet i will love darkness for it shows me the stars
I will welcome happiness for it enlarges my heart, yet i will endure sadness for it opens my soul
I will accept reward for it is my due, yet i will welcome obstacles for they are my challenge




Oh Creator of all things help me for this day i go out again into the world, naked and alone; and without your helping hand i will wander far from the path which leads to success and happiness

You have taught the lion and the eagle how to hunt and prosper with teeth and claw. Teach me how to hunt with words and prosper with love so that i can be a lion among men and an eagle in the market place

Help me to remain humbe through obstacles and failures, yet hide not from me the prize that will come with victory

Discipline me in the habit of trying and trying and trying again, yet show me how to make use of the law of average. Favor me with alertness to recognise opportunities, yet endow me with patience to concetrate my strengths.
Expose me to hate that it not be a stranger, yet fill my cup with love to turn strangers into friends

But all these things be only if thy will. Iam small and lonely grape clutching into the vineyard, yet you have made me different from all others. Verily, there must be a special place for me.

Help me, guide me, show me the way. Let me become all you planned for me when my seed was planted and selected by you to sprout in the vineyard of the world. Help this humble man. Amen.


I will greet this day with love in my heart. And how will i react to the action of others? With love
Just as love is my weapon to open the hearts of men, love is also my shield to repulse the arrows of hate and spears of anger.
Adversity and discouragement will beat against my shield and become as a softest of rain. My shield will protect me in my hustles and sustain me when i am alone.
It will uplift me in moments if despair and calm me in times of exaltation. It will become stronger and more protective with use until one day i will cast it aside and walk unencumbered among all manners of men.

I will greet this day with love in my heart; but most importantly i will love myself
I will inspect all things which enter my body, my mind, my soul, and my heart
Never will i overindulge the request of my flesh. Rather i will cherish my body with cleanliness and moderation
Never will i allow my mind to be attracted with evil and despair. Rather i will uplift it with knowledge and wisdom of ages
Never will i allow my soul to become complacent and satisfied. Rather i will feed it with prayer and meditation
Never will i allow my heart to become small and bitter. Rather i will share it and it will grow and warm the earth.

Cultivate LOVE my friend. Love is your refuge. Your shelter. Read and re read the above and practice it and with time you will see the difference. Miracle is not abstract, but the process of heart
 
Wadau wote wa jamii forum naandika uzi huu nikiwa na wazo moja tu la kupotea ktk dunia hii yenu

Napitia magumu mno nimekosa msaada hata wa mtu kuongea naye nikamwelezea matatizo yangu nimekuwa mpweke zaidi tu wanangu ambao hata hawajielewa ndio walikuwa faraja yangu ila ilipofikia nimezidiwa.

Wana JF endeleeni kutoa ishauri ndani ya hili jukwaa kiukweli backgroubd watu tunateseka sana.

Mungu awabariki sana
Tafuta sana msaada wa kiroho. Binafsi nilikuwa nadharau sana huu ushauri wa kutafuta msaada wa kiroho. Niliwahi kuwa katika hali hiyo na nilitoka huko kupitia msaada wa kiroho. Usikate tamaa kabisa bado una nafasi
 
Ndugu kuna watu wapo kwenye wakati mgumu kiasi cha kutoelezeka lakini wanaendelea kupambana na kutumaini wakati mmoja watavuka.

Wako wewe hata umepata nafasi ya kuchapisha andiko hili kwenye mtandao huu unafikia kusema hayo!
Jitafakari upya.
Na ametumia smartphone
 
Dunia haito simama ukigoma kutembea nayo mstari wa mwana FA
 
Pole sana mkuu, tambua giza likizidi sana ndiyo kunakaribia kukucha, vumilia kidogo tu utaiona nuru, hamna kukata tamaa mpaka kieleweke, wote tunateseka ni basi tu unajipa moyo unasonga mbele. Pole sana basi vumilia tu kwa sababu ya watoto wako, wewe ndiye faraja yao. Waone walivyo wazuri kweli uondoke uwaacha na nani?
 
Back
Top Bottom