GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Huko mwishoni nimetania tu ila achukue tu hayo maneno yangu ya mwanzo.🤣🤣🤣🤣, mtumishi unyongwe Tena...MUNGU usimwekee condition unaweza nyongwa kimasikhara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko mwishoni nimetania tu ila achukue tu hayo maneno yangu ya mwanzo.🤣🤣🤣🤣, mtumishi unyongwe Tena...MUNGU usimwekee condition unaweza nyongwa kimasikhara
😜😜😜😜Kuna nyakati kama huwezi ku act kama mtu mzima bora ukae kimya mkuu🙏
Ukiona mtu anaongelea kujiua ni very serious issue na mara nyingi wasipopata msaada wanaishia kujiua kweli mkuu.
Utajisikiaje ukijua huyu mtu uliyemdhihaki kajiua kwel kaacha wanae?
Tambua JF watu wengi ni wapweke hawana wa kuongeq nao na mimi na wewe ndio ndugu zao.
Ongea jambo limponye kama ni chai atajua mwenyewe🙏🙏
Unaweza ukawasiliana na mm pmWadau wote wa jamii forum naandika uzi huu nikiwa na wazo moja tu la kupotea ktk dunia hii yenu
Napitia magumu mno nimekosa msaada hata wa mtu kuongea naye nikamwelezea matatizo yangu nimekuwa mpweke zaidi tu wanangu ambao hata hawajielewa ndio walikuwa faraja yangu ila ilipofikia nimezidiwa.
Wana JF endeleeni kutoa ishauri ndani ya hili jukwaa kiukweli backgroubd watu tunateseka sana.
Mungu awabariki sana
I see. Pole sana Covax. Uliibiwaje?Nilivo ibiwa 70m nili dhani maisha yangu ndo mwisho kumbe, ndo naanza maisha upya.......kila chagamoto moja kufungua fursa mpya muhimu ni afya na uhuru
Afadhali.....Unaweza ukawasiliana na mm pm
Ujinga ni kuamini ukifa utaenda Mbinguni au Jehanamu.Unaandika ujinga tuu
EeeehHauko pekee yako mkuu.Mimi mwenyewe nataka nikajipumzishe
Kuna wakati mtu utamani hata kujiondoa uhai kwa shida hizi za dunia ila ukikaa chini ukafikiria ata ukijitoa uhai familia yako bado itakua na mzigo wa kukopa pesa kuendesha msiba wako hivyo utaiachia shida pia, unaamka usingizi unajikung'uta vumbi unaendelea kupambana💪 never give up! mwanaume hafi kinyongeWadau wote wa jamii forum naandika uzi huu nikiwa na wazo moja tu la kupotea ktk dunia hii yenu
Napitia magumu mno nimekosa msaada hata wa mtu kuongea naye nikamwelezea matatizo yangu nimekuwa mpweke zaidi tu wanangu ambao hata hawajielewa ndio walikuwa faraja yangu ila ilipofikia nimezidiwa.
Wana JF endeleeni kutoa ishauri ndani ya hili jukwaa kiukweli backgroubd watu tunateseka sana.
Mungu awabariki sana
Nendeni pamoja basiHauko pekee yako mkuu.Mimi mwenyewe nataka nikajipumzishe
Pole sana sana. Binafsi nilinunua eneo kwenye main road kwa 55m. Baada ya miezi sita hivi, Serikali ikaja na plan ya kuweka mzani wa kisasa. Uthamini ukafanyika, kimahesabu naweza pata 14m hivi. Hakika ni loss kubwa ila maisha lazima yasonge. Tutumie changamoto hizo kama kichocheo cha kutufanya kuendelea kupambanaNilitapeliwa niliuziwa aridhi hewa.
Mhuuu jamani , bikra 70 atawaweza kweli au ndo atakufa tenaFikiria kwanza kabla ya kutoweka duniani utaenda peponi kupumzika kweli ( na kula mabikra 70 ) au motoni (kulia na stress) af fanya maamuzi sahihi.
Jipe moyo, yana mwisho
Huo ndo wanaume, hiyo pesa nilikua nimeisotea nje ya nchi na washa viombo na kubeba ma box kama wa bongo wanavo tukejeli kwa miaka 7, jamaa angu kaniuguza asbhi mapema, ila nili kubali matokeo ya uchaguzi ni kasonga mbele leo niko hapa a live and kicking, Allah is great.Pole sana sana. Binafsi nilinunua eneo kwenye main road kwa 55m. Baada ya miezi sita hivi, Serikali ikaja na plan ya kuweka mzani wa kisasa. Uthamini ukafanyika, kimahesabu naweza pata 14m hivi. Hakika ni loss kubwa ila maisha lazima yasonge. Tutumie changamoto hizo kama kichocheo cha kutufanya kuendelea kupambana