BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Kwa hiyo una mashaka na kifo kuwa ni pyramid scheme 😂Hivi watu wana uhakika kifo ndio muda wa mapumziko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo una mashaka na kifo kuwa ni pyramid scheme 😂Hivi watu wana uhakika kifo ndio muda wa mapumziko?
Za kwako au za mtu mwingine?Nilivo ibiwa 70m nili dhani maisha yangu ndo mwisho kumbe, ndo naanza maisha upya.......kila chagamoto moja kufungua fursa mpya muhimu ni afya na uhuru
Mimi mtoto au sio? 😊Hajaelezea,muanze kumuita mwnzenu mbwa?bila kujua kinachmsibu
Na nimetoa somo Kwa huyo mtoto hapo anaeona simu ndo Kila kitu.
What if ana tatizo kubwa kwamba simu si kitu kwakee?
Umenielewa?
🌹🌹🤗📌Acha usiwe mwoga, usiogope Dunia, piga moyo konde, amka uanze mwendo, usiendelee kulala
😂😂Mwaisa unajua mbaka English afu unataka ufe kizembe fungua tuition
Zilikua za baba angu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Za kwako au za mtu mwingine?
Pole sana kwa yote, ila nakuomba kama ukipata muda amka Saa 8 Kamili au Saa 9 Kamili Usiku tumia dakika 15 tu Kuzungumza na Mwenyezi Mungu kwa njia ya Kimaombi. Anza kwanza Kutubu makosa na wale uliowakosea kisha samehe wale ambao umewaweka Moyoni mwako halafu mwambie Mwenyezi Mungu akupe mwanzo mpya na akutendee Miujiza. Hakikisha pia kama ni Mkristo au Muislamu unaenda mno Ibadani kuungana na Wamuni wenzako Siku za Jumapili au Ijumaa. Nakuomba tu Milango yako ikifunguliwa na Maisha yako Kubadilika nakuomba sana narudia tena kwa msisitizo nakuomba sana tenga Hela kidogo ya Kusaidia Watu wenye Mahitaji hasa anza na Watoto Wadogo, Yatima, Wajane au Wazee ( Vikongwe ) na ukiweza hakikisha unapoona Wendawazimu ambao Watu wanakwepa hasa wakiwa mabarabarani mnunulie Chakula na Maji ya Kunywa.Wadau wote wa jamii forum naandika uzi huu nikiwa na wazo moja tu la kupotea ktk dunia hii yenu
Napitia magumu mno nimekosa msaada hata wa mtu kuongea naye nikamwelezea matatizo yangu nimekuwa mpweke zaidi tu wanangu ambao hata hawajielewa ndio walikuwa faraja yangu ila ilipofikia nimezidiwa.
Wana JF endeleeni kutoa ishauri ndani ya hili jukwaa kiukweli backgroubd watu tunateseka sana.
Mungu awabariki sana
Mawazo ya Nini Sasa ndio kazi ya pesa hiyoDah haya maisha kila mtu na changamoto zake, kweli nimeamini unaweza kujihisi una matatizo sana kumbe wapo wengine yao hata kuyasema tu ni mtihani, mfano may mi juzi nimetoka safari nna ka 80000 kangu nikapita bar kujipynguzia ugumu wa maisha kesho yake naamka nna elfu 7 basi nimeshinda na mawazo kweli kweli na kujilaumu sana ila nikajipa moyo nijifunze kutokana na nilipokosea.
🤣🤣🤣🤣, mtumishi unyongwe Tena...MUNGU usimwekee condition unaweza nyongwa kimasikharaPole sana kwa yote, ila nakuomba kama ukipata muda amka Saa 8 Kamili au Saa 9 Kamili Usiku tumia dakika 15 tu Kuzungumza na Mwenyezi Mungu kwa njia ya Kimaombi. Anza kwanza Kutubu makosa na wale uliowakosea kisha samehe wale ambao umewaweka Moyoni mwako halafu mwambie Mwenyezi Mungu akupe mwanzo mpya na akutendee Miujiza. Hakikisha pia kama ni Mkristo au Muislamu unaenda mno Ibadani kuungana na Wamuni wenzako Siku za Jumapili au Ijumaa. Nakuomba tu Milango yako ikifunguliwa na Maisha yako Kubadilika nakuomba sana narudia tena kwa msisitizo nakuomba sana tenga Hela kidogo ya Kusaidia Watu wenye Mahitaji hasa anza na Watoto Wadogo, Yatima, Wajane au Wazee ( Vikongwe ) na ukiweza hakikisha unapoona Wendawazimu ambao Watu wanakwepa hasa wakiwa mabarabarani mnunulie Chakula na Maji ya Kunywa.
Nakuomba ukifanya haya kwa Imani na Moyo halafu usipofunguliwa na kuona mwanzo wako mpya niite Uninyonge.
Asubuhi hii nimekutana na Mzee ni mgeni yupo kwa ndugu yake kujiuguza nipo natoka ibadani nakutana nae njiani tunasalimiana namwambia Mzee ndio upo kunyosha Miguu Jibu alilonipa limenibariki na kuitakasa asubuhi yangu ananiambia mjukuu wangu nimefika hali hii ya uzee na nipo sehemu ambayo sina hata pa kwenda sina hata MTU wa kwenda kuzungumza nae nilichobakiza ni kuzunguka zunguka tu na kunyoosha Miguu tukacheka km utani Ila ndani kwa ndani Ile hali Mzee inamuuma lakini hakunitamkia kwamba nmechoka kuishi na hii hali naona Bora nijue just imagine Mzee miaka inazidi hata 80+ pamoja na hali ya ugonjwa alionao pamoja na kwamba hana hata mtu wa kuzungumza nae muda mwingi hua yeye peke yake TU akichoka kukaa nje basi ataingia ndani Ila hajafikiria kujiua lakini eti kijana mdogo km huyu hata 30 haujafika unafikiria kujiuaUsikate tamaa bro mi mwenyewe na matatizo ila naogopa kusema maana nilishawahi kujidai tajiri Jf
Muache afe unamuonea huruma kaweka Namba tuma muamala hapo mjazie million akaamkie bar walevi wote shikamooHakuna aliepata hasara,point yangu kua why wachangiaji wana entertain au ku influence mtu kuwa katika hali mbaya zaidi,kwani ukiamua kua positive au kunyamaza unapungukiwa Nini??
Unaandika ujinga tuuUnapokufa maana yake unarudi kule ulipotwaliwa au ulipokuwa kabla ya kufanywa kiumbe hai.
Kabla ya BWANA MUNGU kukufanya wewe kuwa kiumbe hai ulikuwa mavumbini. Haukuwa Mbinguni wala Jehanamu.
U mavumbi wewe na MAVUMBINI utarudi.
WrongUkifa utazaliwa tena na kuwa mbwa au paka au kuku au swala, tabu bado ipo pale pale...
Wrong
sasa Matatizo yenyewe hujayasema ukute ni kawaida sana.Wadau wote wa jamii forum naandika uzi huu nikiwa na wazo moja tu la kupotea ktk dunia hii yenu
Napitia magumu mno nimekosa msaada hata wa mtu kuongea naye nikamwelezea matatizo yangu nimekuwa mpweke zaidi tu wanangu ambao hata hawajielewa ndio walikuwa faraja yangu ila ilipofikia nimezidiwa.
Wana JF endeleeni kutoa ishauri ndani ya hili jukwaa kiukweli backgroubd watu tunateseka sana.
Mungu awabariki sana