I think its my time to rest, I am nothing in this world

I think its my time to rest, I am nothing in this world

Mkuu,
Pole sana kwa unayopitia, maisha yana ups na downs nyingi na changamoto ni sehemu ya maisha.

Labda useme nini hasa unapitia ili upate msaada hata wa kimawazo, watoto bado wadogo wanakuhitaji kuliko unavyodhani.
Muache afe unamuonea huruma kaweka Namba ya Muamala tuma million sasa hivi ili asife
 
Kuondoka duniani sio suruhisho, sana sana unawaachia watu maumivu walio hai (ndugu, jamaa, rafiki na familia).

Ni kweli kwamba maisha ni magumu na pia huwa tunapitia magumu kiasi kutaka ushauri. Lakini mwisho wa siku formula ni moja ni kujiwekea viwango vyako vya furaha na maisha pasipojilinganisha na mtu. Wakati mwingine maisha huwa sio magumu bali tunajilinganisha na wengine na kujiona kama tumefeli kumbe tupo "on track" ila waliokuzunguuka wapo hatua kadhaa mbele yetu kwa factor mbalimbali ikiwemo kuanza maisha kabla yetu. Pengine tungekuwa tumezunguukwa na watu wa level yetu au kutojilinganisha na wengine tungejikuta hatuna stress za maisha.

Vivyo hivyo hata kwenye issue ya furaha, amani ya moyo inaletwa na wewe, unaweza ukawa huna furaha na watu wakupiga nao story huna bado una nafasi ya kuwa na watu wapya ambao unaweza ukajichanganya nao, mfano Kwa sie wapenda mpira, unaweza ukawa unaenda kwenye vibanda umiza na ukitaka upate interaction ya haraka unapiga uzi wa timu yako lazima atajitokeza mtu tu kuanzisha maongezi based na timu yako unayoishabikia yaani iwe jokes au hata kupiga story mbili tatu kama timu yako imeshinda (sio lazima mpira namaanisha check hobby yako hata kama kucheza drafts au karata kwenye vijiwe jirani na maeneo unayopendelea)
 
Muache ajiue na kishajiua anaandike tena JF kwamba wana JF nimeshajiua
We mbwa unaniua mimi kwa kucheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Na kuna mapunguani yanamchangia Hela Muda huu kwa kumrushia miamala ndio kumuonea huruma walipwe na Mungu leo Jumapili acha waliwe mpaka akili ziwakae sawa

Kuna nyakati kama huwezi ku act kama mtu mzima bora ukae kimya mkuu🙏

Ukiona mtu anaongelea kujiua ni very serious issue na mara nyingi wasipopata msaada wanaishia kujiua kweli mkuu.
Utajisikiaje ukijua huyu mtu uliyemdhihaki kajiua kwel kaacha wanae?
Tambua JF watu wengi ni wapweke hawana wa kuongeq nao na mimi na wewe ndio ndugu zao.
Ongea jambo limponye kama ni chai atajua mwenyewe🙏🙏
Hii ni chai unazani kujiua ni kitu rahisi kama kunya tuliza futa hilo
 
We mbwa unaniua mimi kwa kucheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Muacheni ajiue nyie Jamaa mboni mnamkwamisha malengo yake ya kujiua km hamtaki ajiue kila mmoja atume million
 
Mkuu hizo sio akili zako.
Depression ndo inakuletea hayo mawazo,inakudanganya uone kila kitu ni kibaya ila sio kweli mana una vitoto vyako vizuri.Hao ni sbb tosha ya wewe kutamani kuendekea kuishi.

Sasa wewe baba yao jembe lao,mwalimu wao,kipenzi chao,mlinzi wao na tena shujaa wao ukifa nani atakava hizo nafasi?

Nikwambie kitu!Haijalishi leo unapitia nini wewe na wanao ambao ndio faraja yako,trust me hivyo vijamaa kuna siku vita graduate,,vitaoa,vitanunua gari zao za kwanza,vitagombana na kuapizana undugu ufe na vitapata changamoto kama unqzopitia wewe leo sasa je hutamani kuwepo hayo yote yatakapowatokea?Nani atasimama nao kama sio wewe?

Mkuu mimi ni mwanamke ila ije jua ije mvua hqjiui mtu hapa sasa iweje wewe wa kiume ujiue?

Kama shida wote tunazo ila tunapambana hivyo hivyo.
Wewe sio dhaifu kiasi hicho mkuu usijiue.🙏🙏🙏🙏😍😍😍
Hata mwanamke kamshinda ujasiri huyo boya mleta uzi 😂
 
Kiufupi inaonekana jamaa anakabiliwa na tatizo la kiuchumi yaani fedha na inavyoonekana anakosa hadi hela ya kulisha watoto wake ambao ndio faraja yake kwa hiyo kwa kutoa namba kwanza anahitaji kazi ambayo itampatia fedha ...inaonekana yupo kwenye deep depression kwa hy kama una kazi au chochote kitu okoa uhai
Asante
Vigogo wapo tele humu, kutwa kupigana vijembe vya uchaguzi, mara CCM, mara Mbowe, Mara Chadema, Mara Lissu, Mara January, Mara Nape, Mara Makonda... Uchawa uchawa tu... Huku wamesunda mabilioni ya wizi na wamejificha nyuma ya anonymous ID's isipokuwa mheshimiwa Dr. Mwigulu Nchemba Dorothy Gwajima na Pascal Mayalla labda hao ndo wanajulikana... Sasa hao wawasaidie hawa hata tupesa twa kufungulia magenge ipunguze hizi case za Kujiua hovyo!
 
Back
Top Bottom