I think its my time to rest, I am nothing in this world

I think its my time to rest, I am nothing in this world

Kuna nyakati kama huwezi ku act kama mtu mzima bora ukae kimya mkuu🙏

Ukiona mtu anaongelea kujiua ni very serious issue na mara nyingi wasipopata msaada wanaishia kujiua kweli mkuu.
Utajisikiaje ukijua huyu mtu uliyemdhihaki kajiua kwel kaacha wanae?
Tambua JF watu wengi ni wapweke hawana wa kuongeq nao na mimi na wewe ndio ndugu zao.
Ongea jambo limponye kama ni chai atajua mwenyewe🙏🙏
Watu wa hivyo wanakera sana,Kuna member anaitwa mpauko back then alisema kama huyu jamaa,watu wakaanza kejeli na utani,Jamaa akajiua,watu Bado hatujifunzi tu kua positive??kwani Kila Post Hadi useme kitu?? Wengine wanaleta chitchat na kujuana kwenye masuala sensitive kama haya..
 
Mfumo Dume upi na mfumo umeingiaje kwenye matatizo ya mleta Mada inamaana na Wanawake wenye matatizo ya kuziba kwa mirija ya uzazi tatizo ni mfumo jike?
Kukata tamaa ya kuishi ni matokeo ya kushindwa kuishi kwenye mfumo uliopo.

Sasa huyu ukiangalia alichoandika kwa zaidi ya 60% ni mtu mwenye familia, jiulize anakuwaje mpweke na ana familia.

Mabadiliko ni muhimu sana kwa sisi wanaume wa kiafrika vinginevyo tutaendelea kushuhudia mfululizo wa matatizo ya kiakili, presha na sukari na vifo vya ghafla miongoni mwetu.

Dunia ya leo bado kuna kundi kubwa la wanaume wanaamini ukirudi nyumbani unatakiwa uwe umeshiba, huo kama sio ubinafsi ni nini?, na hao wengi vipato vikiyumba huwa wanapata shida sana sababu matatizo wamejiletea.wenyewe kwa kuamini mifumo iliyopitwa na muda.
 
Yaan ana simu janja na ana bando huyo mbwa, anamkufuru maanani... Dawa yake tumlambe viboko tu
Hivi mmeona kuwa na simu janja na bando ndo Maisha?
Je kama ana mardhi yasiyopona na anaishi Kwa maumivu mchana na usiku na bado anatakiwa akatafute kwajili ya familia yake?
Vipi ikiwa ana matatizo ya kiroho magumu yanamtesa na kumkosesha amani ya kuishi
Mtu ukiambiwa una Kanda stage ya mwisho umebakiza miezi michache ya kuishi,hata hiyo tv ya inch 55 na Kila starehe utaiona ni kitu Cha maana na kujivunia?
Kama kichwa chako kinawaza kuwa na simu ndo mafanikio,una safari ndefu ya kukua kifikra
 
Jamaa sijui anatuonaje yaan hapo anaandika huku kashiba makande kavimbiwa na Namba kawawekea wajinga wajinga watumie miamala alafu yeye Hana hata mpango wa kufa
Sasa tuchangamke tumlie njama, tujue location yake tumvute sehemu very suitable and conducive tumchukue tumpeleke chimbo tukamcharaze weeeeee mpaka akome.

Najitolea gari, Land cruiser la halmashauri, lina plate number STM

Andaa pagale mtaalamu... Hii ni oparesheni "Komesha Mazuzu"
 
Watu wa hivyo wanakera sana,Kuna member anaitwa mpauko back then alisema kama huyu jamaa,watu wakaanza kejeli na utani,Jamaa akajiua,watu Bado hatujifunzi tu kua positive??kwani Kila Post Hadi useme kitu?? Wengine wanaleta chitchat na kujuana kwenye masuala sensitive kama haya..
Mkuu,sasa baada ya huyo mpauko kujiua ni nani alipata hasara zaidi yake?
Hujui kua kujiua au kutishia kujiua ni kosa la jinai?

Kwanini asieleze tu shida yake bila kuingiza issue za kujiua?
 
Back
Top Bottom