I think its my time to rest, I am nothing in this world

I think its my time to rest, I am nothing in this world

Watu wa hivyo wanakera sana,Kuna member anaitwa mpauko back then alisema kama huyu jamaa,watu wakaanza kejeli na utani,Jamaa akajiua,watu Bado hatujifunzi tu kua positive??kwani Kila Post Hadi useme kitu?? Wengine wanaleta chitchat na kujuana kwenye masuala sensitive kama haya..
Inasikitisha.
Ila ndo hivyo tuko wa kila rangi humu
 
Mkuu,sasa baada ya huyo mpauko kujiua ni nani alipata hasara zaidi yake?
Hujui kua kujiua au kutishia kujiua ni kosa la jinai?

Kwanini asieleze tu shida yake bila kuingiza issue za kujiua?
Hakuna aliepata hasara,point yangu kua why wachangiaji wana entertain au ku influence mtu kuwa katika hali mbaya zaidi,kwani ukiamua kua positive au kunyamaza unapungukiwa Nini??
 
Hivi mmeona kuwa na simu janja na bando ndo Maisha?
Je kama ana mardhi yasiyopona na anaishi Kwa maumivu mchana na usiku na bado anatakiwa akatafute kwajili ya familia yake?
Vipi ikiwa ana matatizo ya kiroho magumu yanamtesa na kumkosesha amani ya kuishi
Mtu ukiambiwa una Kanda stage ya mwisho umebakiza miezi michache ya kuishi,hata hiyo tv ya inch 55 na Kila starehe utaiona ni kitu Cha maana na kujivunia?
Kama kichwa chako kinawaza kuwa na simu ndo mafanikio,una safari ndefu ya kukua kifikra
Mleta mada hajaeleza kinachomsibu,sasa wewe haya maelezo ya kubet umeyatoa wapi? kama wewe umewaza hivyo basi na wewe ukubali kuheshimu mawazo ya wengine walivyo waza wao.
 
Kukata tamaa ya kuishi ni matokeo ya kushindwa kuishi kwenye mfumo uliopo.

Sasa huyu ukiangalia alichoandika kwa zaidi ya 60% ni mtu mwenye familia, jiulize anakuwaje mpweke na ana familia.

Mabadiliko ni muhimu sana kwa sisi wanaume wa kuafrika vinginevyo tutaendelea kushuhudia mfululizo wa matatizo ya kiakili, presha na sukari na vifo vya ghafla miongoni mwetu.

Dunia ya leo bado kuna kundi kubwa la wanaume wanaamini ukirudi nyumbani unatakiwa uwe umeshiba, huo kama sio ubinafsi ni nini?, na hao wengi vipato vikiyumba huwa wanapata shida sana sababu matatizo wamejiletea.wenyewe kwa kuamini mifumo iliyopitwa na muda.
Hili lina uhusiano gani na mada mkuu?
 
Mleta mada hajaeleza kinachomsibu,sasa wewe haya maelezo ya kubet umeyatoa wapi? kama wewe umewaza hivyo basi na wewe ukubali kuheshimu mawazo ya wengine walivyo waza wao.
Hajaelezea,muanze kumuita mwnzenu mbwa?bila kujua kinachmsibu
Na nimetoa somo Kwa huyo mtoto hapo anaeona simu ndo Kila kitu.
What if ana tatizo kubwa kwamba simu si kitu kwakee?
Umenielewa?
 
Kujiua sio shortcut,inawezekana umefika karibu kabisa na suluhisho lkn unataka kukata tamaa,ukijiua tambua kuwa una cha kujibu mbinguni kwanini umeondoa uhai ambao Mungu huuchukua only wakati wake utakapofika....
 
Hivi mmeona kuwa na simu janja na bando ndo Maisha?
Je kama ana mardhi yasiyopona na anaishi Kwa maumivu mchana na usiku na bado anatakiwa akatafute kwajili ya familia yake?
Vipi ikiwa ana matatizo ya kiroho magumu yanamtesa na kumkosesha amani ya kuishi
Mtu ukiambiwa una Kanda stage ya mwisho umebakiza miezi michache ya kuishi,hata hiyo tv ya inch 55 na Kila starehe utaiona ni kitu Cha maana na kujivunia?
Kama kichwa chako kinawaza kuwa na simu ndo mafanikio,una safari ndefu ya kukua kifikra
Tena sana! Saiv ndo naamka... Niko hapa sitting room kwa shemeji. Keko magurumbasi... Nna miaka 38

Una kingine mrembo?!😘
 
Back
Top Bottom