Sasa mavumbini c ndo kufa au ww Umeelewa nnWeee acha kutudanganya. Umewahi kufika Mbinguni au Jehanamu ukajua kama kumekaba?
Hakuna cha Mbinguni wala Jehanamu. BWANA MUNGU alisema hivi;
" Kwa maana u mavumbi wewe na MAVUMBINI utarudi"
Kama kungekuwa na Safari ya Mbinguni au Jehanamu BWANA MUNGU asingesema tutarudi "MAVUMBINI".
Mwanadamu aliumbwa kutoka "mavumbini" na mavumbini atarudi. Mimi binafsi naelewa sana andiko hilo. Liko wazi sana. Tena BWANA MUNGU siyo muongo na kamwe hasemagi uongo.
Tukisema tukifa tunaenda Mbinguni au Jehanamu ni kama tunasema BWANA MUNGU ni muongo.
Asanteπmadam umemaliza kila kitu ashukuriwe aliyeleta uzao wako kwani naamini ameleta maarifa chanya duniani,ubarikiwe!
Naweka Namba kumbu katega chambo alafu kuna pumbujero zitamchangia JF wajinga hawaishiHata huko utakapokwenda baada ya kufa pia nako pagumu, yn kote duniani, mbinguni na jehanamu pamekaba
Anataka Hela ndio maana kaweka Namba ya Muamala kwani picha huioni?Uja sema una sumbuliwa na nini kuna watu wana pitia magumu japo pesa wanazo
Kwahiyo Dr. Mpaka ukaenda kutazama walio-like na ku-react hiyo mada hapo... Kwenye list ulipomuona mnyonge wako ephen_ huyohuyo ukaruka nae?! πKuna mijitu ni mashetani.
Kwenye andiko lenye hisia za uchungu na maumivu makali, ephen_ yeye ka-react anacheka kabisa.
Punguani Waheed.
Mfumo Dume upi na mfumo umeingiaje kwenye matatizo ya mleta Mada inamaana na Wanawake wenye matatizo ya kuziba kwa mirija ya uzazi tatizo ni mfumo jike?Tatizo kubwa ni sisi wanaume kuendelea kuishi na mitazamo ya mfumo dume kwenye ulimwengu huu wa leo.
Wanaume wengi wa miaka 40+ wanateseka sana sababu ya huu ujinga.
Tukubali mabadiliko ya kimfumo wakuu.
Hiyo inaitwa Ngoma nagwa πHata huko utakapokwenda baada ya kufa pia nako pagumu, yn kote duniani, mbinguni na jehanamu pamekaba
Acha urongo ww. Suicide hlf uende heaven! Nani kasema?Sucide is 'a short cut' to go to heaven, though heven is abstract to us.
Huyo Dr Restart hanitaki ila anapenda kunionea sana!Kwahiyo Dr. Mpaka ukaenda kutazama wali-like na ku-react hiyo mada hapo... Kwenye list ulipomuona mnyonge wako ephen_ huyohuyo ukaruka nae?! π
Dahh! Dr. We mbea! Au unamtaka?! π
Na kuna mapunguani yanamchangia Hela Muda huu kwa kumrushia miamala ndio kumuonea huruma walipwe na Mungu leo Jumapili acha waliwe mpaka akili ziwakae sawaChai
Yaan ana simu janja na ana bando huyo mbwa, anamkufuru maanani... Dawa yake tumlambe viboko tuNdugu kuna watu wapo kwenye wakati mgumu kiasi cha kutoelezeka lakini wanaendelea kupambana na kutumaini wakati mmoja watavuka.
Wako wewe hata umepata nafasi ya kuchapisha andiko hili kwenye mtandao huu unafikia kusema hayo!
Jitafakari upya.
Muache ajiueEndelea kumtumainia Mwenyezi Mungu mambo yako yatakaa sawa mda si mrefu, usije ukathubutu kujiua hiyo ni dhambi ambayo haina nafasi ya kumwomba msamaha Mungu