I think its my time to rest, I am nothing in this world

I think its my time to rest, I am nothing in this world

Unataka kujitoa uhai, kwani uhai ulijipa wewe mwenyewe?

Mkuu hukujiumba, hukujizaa sasa kwanini ujiuwe??

Naelewa ni rahisi sana kumshauri mtu avumilie magumu anayopitia, lakini kiuhalisia yule anayepitia magumu ndiye anajua "ugumu" anaopitia.

Sijui ni magumu yepi yanayokukabili, lakini, nina imani bado unaweza kuyakabili, ipo njia ya kuyakabili. Sisemi kuna njia rahisi, hapana, lakini njia ipo.

Jaribu kuwashirikisha watu tatizo lako, wapo watakao puuza, wapo watakao kudharau, wapo watakao kudhihaki, wapo watakao kucheka, lakini pia wapo wachache sana watakao kuonea huruma bila kukusaidia na wapo wachache kabisa watakao kusaidia kwa namna moja ama nyingine.

Kuomba msaada napo kunahitaji ujasiri na uvumilivu.

Kuficha shida zako na kukaa kimya napo kunahitaji uvumilivu. Mbaya zaidi ukichagua kukaa kimya unaweza kuathiri afya yako ya akili.

Binadamu tumeumbwa kusaidiana, tumeumbwa kuishi social life. Chagua kuwashirikisha watu wanaokuzunguka madhira unayopitia hata kama kuna fedheha.

Ukishindwa kabisa, niambie, nitakushauri namna ya kufa bila kupitia maumivu 😂😂😂😂 .... Sorry, I'm just kidding.
 
Halafu hao watoto unawaachia nani?? Kama wewe mzazi huna huruma na watoto wako, unategemea dunia itawaonea huruma?? Au ulimaanisha washikaji??

Anza kuwaua watoto kwanza, kisha ufuate mwenyewe.Usiache wakateseka bure.

Unasumbuliwa na :

woga

hali ya kuwa na hofu ya kufikwa na jambo la kutisha au la taabu; hali ya kutoweza kustahimili vitisho


Ambayo hupelekea :

hofu

shindwa kukabili jambo linalohitaji vikumbo; kuwa na woga

Mwisho unatakiwa uwe:

jasiri

piga moyo konde; kuwa hodari; kuwa shujaa


Huyo anaweza waua kweli, usidharau akili ya vijana siku hizi. Ujinga ni mwingi.
 
Mkuu hizo sio akili zako.
Depression ndo inakuletea hayo mawazo,inakudanganya uone kila kitu ni kibaya ila sio kweli mana una vitoto vyako vizuri.Hao ni sbb tosha ya wewe kutamani kuendekea kuishi.

Sasa wewe baba yao jembe lao,mwalimu wao,kipenzi chao,mlinzi wao na tena shujaa wao ukifa nani atakava hizo nafasi?

Nikwambie kitu!Haijalishi leo unapitia nini wewe na wanao ambao ndio faraja yako,trust me hivyo vijamaa kuna siku vita graduate,,vitaoa,vitanunua gari zao za kwanza,vitagombana na kuapizana undugu ufe na vitapata changamoto kama unqzopitia wewe leo sasa je hutamani kuwepo hayo yote yatakapowatokea?Nani atasimama nao kama sio wewe?

Mkuu mimi ni mwanamke ila ije jua ije mvua hqjiui mtu hapa sasa iweje wewe wa kiume ujiue?

Kama shida wote tunazo ila tunapambana hivyo hivyo.
Wewe sio dhaifu kiasi hicho mkuu usijiue.🙏🙏🙏🙏😍😍😍
 
Mkuu hizo sio akili zako.
Depression ndo inakuletea hayo mawazo,inakudanganya uone kila kitu ni kibaya ila sio kweli mana una vitoto vyako vizuri.Hao ni sbb tosha ya wewe kutamani kuendekea kuishi.

Sasa wewe baba yao jembe lao,mwalimu wao,kipenzi chao,mlinzi wao na tena shujaa wao ukifa nani atakava hizo nafasi?

Nikwambie kitu!Haijalishi leo unapitia wewe na wanao ambao ndio faraja yako mna maisha ya shida kiasi gani ila zrust me hivyo vijamaa kuna siku vita graduate,,vitaoa,vitanunua gari zao za kwanza,vitagombana na kuapizana undugu ufe,vitapata changamoto kama unqzopitia.
je hutamani kuwepo katika hayo yote?Nani asimame nao kama sio wewe?

Mkuu mimi ni mwanamke ila ije jua ije mvua hqjiui mtu hapa sasa iweje wewe wa kiume ujiue?

Kama shida wote tunazo ila tunapambana hivyo hivyo.
Wewe sio dhaifu kiasi hicho mkuu usijiue.🙏🙏🙏🙏😍😍😍
madam umemaliza kila kitu ashukuriwe aliyeleta uzao wako kwani naamini ameleta maarifa chanya duniani,ubarikiwe!
 
Kuna nyakati kama huwezi ku act kama mtu mzima bora ukae kimya mkuu🙏

Ukiona mtu anaongelea kujiua ni very serious issue na mara nyingi wasipopata msaada wanaishia kujiua kweli mkuu.
Utajisikiaje ukijua huyu mtu uliyemdhihaki kajiua kwel kaacha wanae?
Tambua JF watu wengi ni wapweke hawana wa kuongeq nao na mimi na wewe ndio ndugu zao.
Ongea jambo limponye kama ni chai atajua mwenyewe🙏🙏
 
Kiufupi inaonekana jamaa anakabiliwa na tatizo la kiuchumi yaani fedha na inavyoonekana anakosa hadi hela ya kulisha watoto wake ambao ndio faraja yake kwa hiyo kwa kutoa namba kwanza anahitaji kazi ambayo itampatia fedha ...inaonekana yupo kwenye deep depression kwa hy kama una kazi au chochote kitu okoa uhai
Asante
 
Hata huko utakapokwenda baada ya kufa pia nako pagumu, yn kote duniani, mbinguni na jehanamu pamekaba
Weee acha kutudanganya. Umewahi kufika Mbinguni au Jehanamu ukajua kama kumekaba?

Hakuna cha Mbinguni wala Jehanamu. BWANA MUNGU alisema hivi;
" Kwa maana u mavumbi wewe na MAVUMBINI utarudi"

Kama kungekuwa na Safari ya Mbinguni au Jehanamu BWANA MUNGU asingesema tutarudi "MAVUMBINI".

Mwanadamu aliumbwa kutoka "mavumbini" na mavumbini atarudi. Mimi binafsi naelewa sana andiko hilo. Liko wazi sana. Tena BWANA MUNGU siyo muongo na kamwe hasemagi uongo.

Tukisema tukifa tunaenda Mbinguni au Jehanamu ni kama tunasema BWANA MUNGU ni muongo.
 
Jaribu kuonana na viongozi wa kiroho,ila wale waliosimama kwenye imani achana na wajasiriadini. Matatizo yapo kijana,kama wewe umeanza kupambana na matatizo wakati wa umri huo wengine tumeanza kupambana na matatizo kuanzia miaka 15 huko na tukakomaa hivyohivyo,yaani unapambana na matatizo ya kiuchumi,ya kielimu na ya kiroho.
Unawekewa vikwazo usisome shule,na wanaapa ukijifanya unasoma shule basi jiandae kuwa maskini. Wewe matatizo ya ukubwani yanakuzingua unakata tamaa!
 
Back
Top Bottom