Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
''Usimfundishe Yesu kusali,
Usimfundishe Mtume kuswali''
Lakini,seriously,hili ni jambo ambalo nimesema,na limeleta outrage,na kusababisha concatenation of events I cannot control. Kwa hiyo,I widthdraw my statement. Kwa sababu Budha alisema mtu anaposema jambo,ni lazima aweze kutabiri atajibiwa vipi.
Au Sun Tzu alisema,Jenerali mbaya anapigana vita halafu anakagua kutazama kama ameshinda. Lakini Jerali mzuri anashinda kwanza halafu ndio anaenda kupigana.
Jambo muhimu kama unataka kufanya jambo lolote,fikiri kwa muda mrefu,and then,whatever you do is right.
Mtu kama hajaangalia sura yako anaweza akaona unatania mwanaume. Sasa fanya hivi; chukua kitu kinachofanana na bomu hivi hlf pita pale nje ya Ubalozi wa Embassy (upo pale karibu na Zantel HQ) huku inasema taa kiu biiiir! You will be to Hell in no time
Wewe,you are absolutely correct. 50 pills. Lakini sitaki tena kujiua. Ilikuwa tu numepata message from my subconcious mind kuhusu quinine,a garbled message,not clear,about quinine,kwamba quinine matter ni one percent visible and 99 per cent invisible,and I was trying to determine what it meant. I decided it was an attempt to explain dark energy to me,kwamba if I find it difficult to understand dark matter,how it is that what we see is only a fraction of what is out there,then I should think of quinine,and consider why it has such a horrible taste,maybe it is because there is something behind it.
Nilikuwa nafikria kuhusu quinine,how that it has been phased out nowadays,I am told labda ni kwa ajili ya rushwa ndio imeondolewa katika soko.
Naambiwa hapa Tanzania mtu akitaka kuleta dawa mpya,it is very simple,kwa ajili ya utawala bora. He has to divide his money between three people;Mkemia Mkuu,nadhani,halafu,Blandina Nyoni,and the third person person I have forgotten,halafu drug yake inaruhusiwa kuingia katika market.
Kwa hiyo nilikuwa nafikiria haya mambo,and if I also thought about suicide,ilikuwa tu ni ramifications za kufikiria quinine and health.
Mimi sina sababu ya kujiua. Mimi naandikiana barua ana Price William. Kasi yangu imepungua sasa hivi,kwa sababu I cannot afford the postage.
''Usimfundishe Yesu kusali,
Usimfundishe Mtume kuswali''
Lakini,seriously,hili ni jambo ambalo nimesema,na limeleta outrage,na kusababisha concatenation of events I cannot control. Kwa hiyo,I widthdraw my statement. Kwa sababu Budha alisema mtu anaposema jambo,ni lazima aweze kutabiri atajibiwa vipi.
Au Sun Tzu alisema,Jenerali mbaya anapigana vita halafu anakagua kutazama kama ameshinda. Lakini Jerali mzuri anashinda kwanza halafu ndio anaenda kupigana.
Jambo muhimu kama unataka kufanya jambo lolote,fikiri kwa muda mrefu,and then,whatever you do is right.
Hii post imeniumiza sababu kuna mtu karibu yetu alikua anaongea hivi hivi kimzaha na tumempoteza.... Sometimes I wish tungechukulia serious, labda angekuwepo. Ganesh Comments za humu ndani zisikukatishe tamaa.... Yawezekana most wamechukullia mzaha sababu ni serious cases alafu umei-post Chit Chat. Lakini this is not a Chit Chating matter (atleast IMO).
Yawezekana umepost kwa kutania.... Ila naamini kabisa mtu mpaka ukapost kitu kama hiki ina maana somewhere at the back of the Brain ni kitu wafikiria..... Nimefurahi thou kua umei-post hapa JF (thou utapata kila aina ya Response ambazo ni negative and postive); for walau inatoa picha your dark thoughts...
Maisha ni magumu kwa woote usije fikiria ni wewe tu..... Na maisha Ganesh in not only about kuyafanikisha yaende vizuri. Ni beyond that, kuna families, friends, wakaribu wako na mengine mengi. Mafanikio yenyewe hayaji mara moja na wala hupewi na JK let alone kiongozi yeyote. Walofanikiwa wengi ni kwa kujiwezesha.... Na wala usitegemee kua kuja kwa Raisi mwingine maisha yatakua rahisi.... Asikudanganye mtu, yaweza kua hata worse. Hivo ukitegemea raise ndo akuboreshee maisha - mawazo ya kujiua yaweza chukua hatamu.
Najua hunijui sikujui.... But atleast we have one thing in common... Na hilo ni kwamba we are both members at JF, Na as your fellow member if you will allow me, let me be your ear.. nitakusikiliza na useme tatizo lako nini.... Ukiwa tayari if you don't mind naomba ni PM. If by any case waona ni usumbufu.... Usijali... wala usisumbuke... Naomba tu niseme I wish you all the BEST.
Pamoja Saaana
AshaDii.
Dah i wish everyone could think beyond keyboards kama ulivyofanya wewe.....ushauri wako utampa faraja na matumaini mapya. big up sana AshaDii
Vinci...I am humbled... Ila naomba niharakishe kukuuliza umemsoma Ganesh lakini?
AD...hivi umemuelewa huyu mheshimiwa kweli???!!! maana jinsi anavyoendelea kupost, ndo ananichanganya kabisa?!!!! Ilinibidi niangalie hivi ni jukwaa gani vile, thought inaweza ikawa chit-chat!
Uwe na jioni njema my dear!
Hii ilikua Jukwaa la Chit Chat.... Nafikiri ndio maana member wengi wa mwanzo walipost kimzaha saana. Naona mods wakahamishia hapa; Huyu Ganesh is disturbed no doubt (Sorry Ganesh that is with all due respect) na ahitaji Psychological doctor ambae ni professional na aelewa indepth minds of such kama Ganesh. There is no way of reasoning.... Hata hivo sijakata tamaa namsoma nakumvutia pumzi... maybe I will reach somewhere.... Not saying I a proffessional; basi tu nipo interested....
Nakutakia jioni njema na wewe pia Dearest.... Hopefully mood iko pouwa! Naomba utume na maombi (for hapa kweli yahitajika! )
Hii ilikua Jukwaa la Chit Chat.... Nafikiri ndio maana member wengi wa mwanzo walipost kimzaha saana. Naona mods wakahamishia hapa; Huyu Ganesh is disturbed no doubt (Sorry Ganesh that is with all due respect) na ahitaji Psychological doctor ambae ni professional na aelewa indepth minds of such kama Ganesh. There is no way of reasoning.... Hata hivo sijakata tamaa namsoma nakumvutia pumzi... maybe I will reach somewhere.... Not saying I a proffessional; basi tu nipo interested....
Nakutakia jioni njema na wewe pia Dearest.... Hopefully mood iko pouwa! Naomba utume na maombi (for hapa kweli yahitajika! )
hahahahaha... ingetokea orgy kwani Mama Maria anashindwa kuu manage huo mji au hakai hapo? Huo mji labda ungefungwa kama hakuna mtu bali unageuzwa dangulo. Manake sasa tunagharimia miji miwili (serikali that is) hapo Msasani na Butima, ambako nako kuna li familia kuuubwa, including kina Madaraka na kina Magige, ma professionals waliojichokea na maisha wakaamua kurudi kuishi kijijini kwa baba.... Halafu hapa Msasani kuna ukarabati wa nyumba ambao unaendelea for 12 months sasa,Wizara ya Utumishi inafanya ukarabati. They are taking too long,jambo ambalo linaashiria ufisadi labda unafanyika. For one year,the whole of 2011,I was out of the house kupisha ukarabati. Sasa nimerudi baada ya muda kidogo,naabiwa nihame tena ili waanze awamu ya pili ya ukarabati. Ni blasphemy mtu kutaka kufanya ufisadi hapa nyumbai kwa Mwalimu Nyerere. inanihangaisha akili,hapa ni pahali patakatifu. Lakini siyo kwamba it can make me mad.
Halafu tunaishi hapa,which should be a holy place,kuna so much corruption;watu wengine hapa hawajui tofauti kati ya maji na konyagi;watu wengine wanataka kufanya ngono kama bata. Nimeogopa kwenda kwenye mkesha wa 50 years Independence celebrations ,kwa sababu ningeondoka tu nyumbani,labda ingetokea orgy.....