I want to die a judge

Kwa
Kwa shilingi 2500 tu unaweza kuisoma hadithi hii mpaka mwisho sehemu ya 100.

lipia kupitia namba
0621567672 ( WhatsApp)
0745982347

zote jina FEBIANI BABUYA unaipata muda huo huo
 
Leo tunasoma viwili so naongeza kingine hapa saivi
 

Ahsante sana Kazi nzuri Bigup
 
Hello fam, najua mna arosto za kutosha tusameheane sana nilikuwa offline kwa siku mbili hatuja isoma kabisa hivyo kaa mkao wa kula sio muda inakuja naleta kurasa mbili kufidia juzi na jana. Lakini pia kwa ofa ya christimas unaweza kuisoma kwa 2000 tu yote mpaka mwisho kwa siku ya leo.

Mery christmas
 
59 inakuja now then tuelekee kwenye mialiko, enjoy

Wasalaam

Bux the storyteller
 
Dah...umetuachia maswali zaidi...inawezekanaje akawa gerezani kisha akawa ana Alex kwenye mtanage ama ni flashback kabla hajenda gerezani? Tusanue FEBIANI BABUYA hapo kesho kwenye kufungua mabox[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah...umetuachia maswali zaidi...inawezekanaje akawa gerezani kisha akawa ana Alex kwenye mtanage ama ni flashback kabla hajenda gerezani? Tusanue FEBIANI BABUYA hapo kesho kwenye kufungua mabox[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuwa mvumilivu mkuu utaelewa kila kitu na hilo tukio kumbuka Alexander anakumbuka akiwa mbele ya kioo akiwa na alama ya bisu usoni ndo anakumbuka kilicho mkuta, umakini unahitajika mkuu utaachwa
 
Tukutane baadae sehemu ya 63, ni kali mnooooooo kuna mkono wa kufa raia, ni hatari sanaaaaa, vuta kiti tupate kidogo chakula cha ubongo hiki. I'll be back.

Wasalaam

Bux the storyteller
 
Shukrani [mention]FEBIANI BABUYA [/mention] kazi nzuri…Ila umetusahau kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…