I want to die a judge

I want to die a judge

FEBIANI BABUYA

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2022
Posts
1,916
Reaction score
3,850
Hadithi: I Want to Die Judge (Nataka Kufa Hakimu)
Mtunzi: Febiani Babuya
Maimuliaji: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com


SEHEMU YA KWANZA.
Saa mbili za usiku ndani ya jiji la mwanza katika barabara kubwa ambayo pia ni nzuri kimwonekano ikiwa inaelekea ndani ya Capri point linaonekana gari moja zuri sana aina ya Land cruiser Prado likiwa kwenye spidi sana wakati huo kulikuwa na manyunyu manyunyu ya Mvua zilizofanya usiku kuwa mtulivu ndani ya jiji lenye utajiri wa mawe ya kutosha.

Ndani ya hili gari anaonekana mzee mmoja wa makamo ya kawaida akionekana kuwa na miaka isiyopungua 50 hivi ila kwa sababu ya ukwasi aliokuwa nao bado alionekana kama ni kijana na ana safari ndefu ya kuufikia uzee. Alikuwa anarejea nyumbani kwake baada ya kutoka kwenye mihangaiko yake ya kila siku ili kuhakikisha familia yake inakuwa na furaha muda wote. Alikuwa anatamani sana afike nyumbani haraka baada ya kununua zawadi nyingi za kutosha alijua watazifurahia hao wana familia wake ambao aliwapenda kuliko kitu chochote kile. Akiwa kwenye hiyo furaha kubwa ndani ya gari gari yake alihisi kama kuna kitu amekikanyaga baada ya gari hiyo aliyokuwa nayo kuyumba nusu ipoteze uelekeo ikamlazimu kuisimamisha ghafla tu huku akiwa anahema kwa nguvu hakutarajia hilo tukio.

Aligeuka kuangalia nyuma alikokuwa ametoka ni kweli alikuwa amemkanyaga paka ambaye alikuwa anakatiza kwenye barabara hiyo majira ya usiku, yule paka baada ya kugongwa hakuwa na maisha marefu hata kidogo alipoteza maisha pale pale, hiyo ilikuwa ni ishara mbaya sana majira hayo ya usiku, alikuwa mtu wa dini sana huyu mzee hivyo hiyo ishara alijua wazi ni ishara mbaya na huenda kuna mambo hayako Sawa, kama imani yake inavyo mruhusu alifanya maombi kwa dakika tatu baada ya hapo aliliondoa gari kwa mwendo wa taratibu kuelekea nyumbani kwake, ile hamu na furaha kubwa aliyokuwa nayo tangu mwanzo ilimpotea kabisa usoni pake, akawa anawaza kuhusu tukio ambalo halikuwa zuri kwa dakika kadhaa zilizoweza kupita nyuma.

Alifika nje ya nyumba yake alisimamisha gari kama dakika tano akiwa ameulalia usukani akiwaza, alionekana anawaza mbali sana, aliichukua simu yake akaandika meseji ambayo haikuwa na maneno mengi sana akaituma mahali kisha akaizima hiyo simu. Alipiga honi kwenye hilo geti la nyumba yake, dakika moja mbele geti lilifunguliwa na mlinzi wale ambaye walikuwa wanataniana sana lakini siku hii ilikuwa ni tofauti kidogo kwa huyu mlinzi alijaribu kumtania bosi wake alinyamaza baada ya kumuona mzee huyo hakuwa sawa.

Jina lake halisi alikuwa anaitwa Jonson Malisaba, alikuwa amebahatika kupata familia kubwa na nzuri yenye furaha muda wote, alikuwa na mke wake aliyefahamika kama Anastazia Lewin pamoja na watoto watatu mmoja ambaye ndiye mkubwa zaidi alikuwa anaitwa Cleopatra Jonson na wawili ambao walikuwa ni wadogo kwa Cleopatra walikuwa ni mapacha wawili wakiume alikuwa anaitwa Lenovatus Jonson na wakike alifahamika kama Octavian Jonson pia humo ndani walikuwa wakiishi na mfanya kazi wakike pamoja na wa kiume bila kumsahau mlinzi wa getini, hawakuwa na utofauti kati ya wafanyakazi na wana familia wote waliishi kwa usawa na furaha kiasi kwamba kwa mgeni ilikuwa ni ngumu sana kuweza kuwatambua kama wengine ni wafanyakazi tu wa ndani.

Kabla ya kurudi kwa mzee huyu familia ilikuwa ipo mezani wakati huo wakiwa wanaandaa chakula kwa sababu walijua baba mwenye nyumba muda wowote ule alikuwa anafika na ndiyo ilikuwa mida yake ya kurudi kila siku, hakuwa mtu wa kuchelewa kwa vile alikuwa anayajua vizuri majukumu yake kama baba bora wa familia.
"Octavian nenda ukamuamshe mwenzako maana naye kwa kulala lala huyo kisa anajua ndo wamwisho basi ndo anajidekesha wewe subiri nife atakoma mbona na itokee ndo aletewe mama wa kambo ataelewa" ni mama wa familia Anastazia Lewin mke wa Mr Jonson alikuwa akimtania binti yake mdogo Octavian ambaye alimtuma akamuamshe pacha wake wa kiume Lenovatus aliyekuwa amelala mpaka muda huo wanakaribia kupata chakula cha usiku huku akiwa anacheka.

"Mama kwa sababu yeye ni doto basi unaona kama mimi sio wa mwisho sitakiwi kudeka sawa tu" binti huyu mdogo aliye barikiwa kuwa na uzuri wa mama yake alimjibu mama yake meno yake yote yakiwa nje kwa kicheko kwa sababu alipenda sana kumtania sana pacha wake huyo huku mara kadhaa akiwa anamwambia kwamba hata afanyaje yeye ni dada yake kwani alimzidi dakika thelathini za kuzaliwa. Mapacha hawa walikuwa na miaka 14 kwa muda huo na dada yao Cleopatra alikuwa ana miaka 20.

"Heee heee nitokee hapa nawewe unamuonea wivu mwenzako sasa wewe nayeye si ni mtu mmoja" mama huyu aliongea tena na familia nzima ilikuwa kwenye kicheko kikubwa wakiwa na furaha sana.

"Hahahahahaaa mama na hao watoto wako mtanivunja mbavu zangu mie mwisho wa siku nishindwe kupata watoto mimi" dada mtu Cleopatra alimtania mama yake ambaye aliishia kutabasamu humu akiwa anapakua chakula kwenye hiyo meza.

"Anakuja lastborn wako huyo" Octavian baada ya kutoka chumbani alimtania tena mama yake huku akienda kukaa kwenye sehemu yake, mama yao alitabasamu sana alikuwa mtu mwenye furaha kubwa kubahatika kupata familia bora iliyojaaliwa amani na furaha ya kutosha.

Mr Jonson baada ya kuingiza gari ndani ya geti la nyumba yake alienda sehemu alipokuwa anatumia kupaki magari yake akalipaki vyema hilo ambalo alikuwa amelitumia hii siku, aligeuka ili aelekee ndani akawaite waje wamsaidie kushusha mizigo ndani ya hilo gari ila wakati anageuka alishangaa kuona bado geti liko wazi haikuwa kawaida kwani ilitakiwa akiingia tu humo ndani geti lifungwe ilikuwa ni usiku tayari na hilo geti halikutakiwa kuwa wazi.

Alitaka kuita jina la mlinzi wake huyo wa getini lakini alisita kidogo baada ya kuona mwili wa mtu umelala chini alihisi huenda mlinzi wake huyo amepatwa na tatizo hivyo anapaswa kumsaidia, alisogea hatua mbili akiwa anaelekea sehemu ulipokuwa huo mwili ila alisimama baada ya kuhisi kuna mtu hiyo sehemu ni kweli mbele yake walikuwa wamesimama wanaume wawili waliokuwa wamevaa suti safi na hawakuonekana kabisa kuhofia manyunyu ya Mvua mida hiyo ya jioni.

"Kwanini umeamua kutukimbia na kuja kuishi huku bila taarifa yoyote" ni swali la mmoja ya wale wanaume wawili waliokuwa na suti safi nyeusi na kofia kubwa vichwani.

"Mnataka nini mpaka mnifuate na huku? nilishaamua kutoka kwenye maisha yenu ndio maana sijawahi kuwatafuta tena ni miaka miwili sasa imepita hivyo sitarajii kunifuatilia tena ondokeni hapa" Mr Jonson alionekana kuwajua kwa undani hao watu walio onekana kumtafuta kwa muda mrefu sana.

"Leo umekuwa jasiri wa kutufukuza watu kama sisi kweli? mbona unajisahau sana namna hii mkuu, umemdanganya mpaka mke wako hakuwahi kuujua uhalisia wako kwamba wewe ni nani na tulikusaidia kulilinda hilo saivi unaanza kujibu jeuri.

Bosi ametuagiza vitu vitatu kwako cha kwanza ni kuchukua mzigo wetu tukuache hai, chapili uende wewe mwenyewe ukamkabidhi huo mzigo na umpe sababu za msingi kwanini umekuwa msaliti mkubwa sana namna hii kwa mtu ambaye uliaminiwa na kupewa nafasi kubwa mno, lakini cha tatu kama vyote hivyo viwili vikishindikana basi tuue familia yako yote" yalikuwa ni maelezo yaliyo jitosheleza vyema hayakuhitaji maswali mengi sana ili yaeleweke.

"Siendi mahali na hakuna kitu ambacho mtakifanya kwangu siwezi kurudi kwenye maisha yale ya utumwa mimi" Mr Jonson alitamka kijasiri wakati huo aliichomoa bastola yake kwa nguvu ila kabla hajafanya chochote alipigwa yeye risasi ya bega iliyo mtoa kilio kikubwa kilicho washtua mpaka ndani, familia karibia nzima ilitoka nje kasoro Lenovatus ambaye ndo alikuwa anaamka, ni baada ya kusikia kelele za Mr Jonson walihisi huenda anahitaji msaada wa ghafla hivyo wote walikuwa wametoka nje ila waliogopa baada ya kuona mzee huyo amewekewa bastola ya kichwa akiwa anaamriwa kuwakabidhi hazina yao kama walivyokuwa wanadai wao.

Watu hao walionekana kufurahia baada ya kuona familia ya mzee huyo yote ipo nje, mmoja wa wale wanaume aliwasogelea na kuwamiminia risasi wote bila hata kuuliza, Mr Jonson alinyanyuka akihitaji kwenda kumzuia mtu huyo alipigwa risasi mbili za miguu akawa hana hata uwezo wa kutembea tena, alitoa machozi kwa kushindwa kabisa kuisaidia familia yake ambayo alikuwa anaona kabisa inakufa Kwa sababu ya uzembe wake, hakuwa na cha kufanya mzee huyu hakupata hata nafasi ya kuwaaga wana familia hao ambao kwenye kuangaza kwake hakumuona mtoto wake wa mwisho ambaye alikuwa ni pacha wa Cleopatra kidogo alipata matumaini na aliomba MUNGU amlinde huko aliko hata amtumie malaika wake amlinde mtoto huyo asiweze kuonekana hiyo sehemu.

"Umeshindwa kuilinda familia yako kwa sababu ya ujinga wako mwenyewe ungetupatia tunacho kihitaji haya yasingetokea kabisa, sasa tunaua familia nzima hakuna shahidi atakaye baki wa kuendelea kuificha hiyo hazina ambayo haupo tayari kuitoa haya yanaishia hapa hapa mkuu naomba unisamehe sana japo umekuwa mkuu wangu kwa muda mrefu kidogo leo sina namna ya kufanya" mwanaume huyo aliyekuwa amesimama karibu yake alikuwa anampa wosia wa mwisho mwisho Mr Jonson.

"Ipo siku haya yote yataisha najua yupo mtu atayafanya haya tu na mtaisha wote" hakuongeza neno lingine alipigwa risasi nyingi sana za kichwa, milio mingi ya risasi nyingi nje ya nyumba hiyo ndiyo iliyokuwa imemshtua Lenovatus na kumaliza usingizi wake wote, alifika sebuleni lastborn huyu wa familia kwani ilikuwa lazima akadeke kwa mama yake kwanza ndo aendelee na mengine ila hakumkuta mtu yeyote sebuleni hapo chakula kikiwa kimeandaliwa tayari, alichukua zake paja la nyama ya kuku akaendelea kulitafuna taratibu ndipo alipokumbuka alisikia sauti kubwa nje na mlango ulikuwa upo wazi kabisa, alielekea kwenye huo mlango ili ajue nini kinaendelea huko nje ambako kulikuwa kuna mwanga wa kutosha wa umeme.

Baada ya kufika hapo mlangoni nyama ilimdondoka mkononi baada ya kuona damu imetapakaa alimuona mama yake amelala chini akiwa na damu nyingi sana inamtoka kichwani pembeni ya mama yake alikuwa amelala pacha wake ambaye walipendana kuliko kitu chochote kile kwenye huu ulimwengu, Lenovatus alikuwa bado ni mdogo ila uchungu ulio mpata ulikuwa ni mkubwa sana alikuwa anaelewa vyema kwa sababu alikuwa anaona kwenye movie nyingi namna watu wanavyokufa alitambua hao wote hapo chini walikuwa hawapo tena duniani, aliyainua macho yake mbele kidogo ambapo aliona kuna mwanaume mwenye suti yake nzuri sana akiwa anakata shingo ya baba yake kisu.

"Baba" aliita kwa nguvu mtoto huyu akitaka kukimbilia kule nje ili akamzuie mtu huyo kufanya hicho kitu kwa baba yake mzazi, sauti yake iliwashtua wale wanaume ambapo yule mmoja alikuwa amekamilisha kukikata hicho kichwa na alikuwa amekishika mkononi. Kabla huyo mtoto hajatoka kwenye huo mlango ikiwa ndo anaanza kukimbia kuelekea nje mlango ulipigwa na teke la ghafla ulijifunga pembeni mwa huyo mtoto alitokea mwanaume mmoja aliye onekana kuwa wa makamo kidogo akiwa na barakoa iliyo uziba uso wake kwa usahihi alimziba Lenovatus mdomo aliyekuwa anapiga makelele kwa mambo aliyo yaona hapo nje kwa familia yake, baada ya kuona mtoto huyu anahangaika ajinasue kwenye mikono yake ili atoke kwenda huko nje alipitisha kidole chake kwenye mshipa wa shingoni Lenovatus akatulia kimya.

Wanaume hao walikuwa wanakuja kwa tahadhali sana baada ya kugundua walikuwa hawajaimaliza familia nzima, mmoja aliupiga mlango kwa teke wakati huo wanafika kwenye huo mlango yule mtu aliyemziba Lenovatus mdomo alijirusha juu ya kabati kubwa la vyombo hapo sebuleni akatulia kimya akiwa amempakata mtoto huyo. Hao watu waliingia humo ndani na kukagua kila chumba lakini hawakuona chochote kile.

"Kwa nilivyo muona bado ni bwana mdogo sana hata kama ameona kilicho tokea hawezi kukumbuka atakapokuwa mkubwa, tukienda kwa bosi tutamwambia wote wamekufa kwani hata hatujui alikuwa na watoto wangapi kwa maisha ya siri aliyokuwa anaishi na familia yake" baada ya kuonekana kukubaliana na hilo walitoka humo ndani wakaondoka na kichwa cha Mr Jonson. Yule mtu aliyekuwa amemsaidia Lenovatus kutoka kwa hao watu baada ya kuhakikisha watu hao wameondoka alishuka kule juu ya kabati akaangaza huku na huku kisha akaelekea mlango wa nyuma wa nyumba na alionekana kuijua vyema sana hiyo nyumba akatokomea zake gizani akiwa amembeba kijana mdogo sana Lenovatus.

Mr Jonson Malisaba ni nani?, Siri gani ambayo aliificha familia yake?, Huyu aliye msaidia Lenovatus ni nani hasa mpaka afike muda kama huu?, kuna nini kinaendelea kati ya hawa watu waliompa Mr Jonson machaguo matatu ya kuchagua? Na hicho kitu kilikuwa na umuhimu gani mkubwa mpaka wafikie hatua kama wakikikosa waue familia nzima ili kusiwe na Shahidi yeyote??......

Ndio kwanza tunaianza hadithi mpya ndani ya sehemu ya kwanza kabisa , utakuwa nami mpaka mwisho wa kisa hiki kinacho mhusu bwana mdogo Jamal utajua kwa undani Jamal yeye ni nani hasa na alipitia nini kweye maisha yake kikubwa usibanduke ungana namimi mpaka mwisho kabisa wa hadithi hii.

Bux the story teller.
FB_IMG_1657830697960.jpg
 
Nina usingizi..... ila nitaisoma baadae InshaAllah.
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672

SEHEMU YA KWANZA................
Saa mbili za usiku ndani ya jiji la mwanza katika barabara kubwa ambayo pia ni nzuri kimwonekano ikiwa inaelekea ndani ya Capri point linaonekana gari moja zuri sana aina ya Land cruiser Prado likiwa kwenye spidi sana wakati huo kulikuwa na manyunyu manyunyu ya Mvua zilizofanya usiku kuwa mtulivu ndani ya jiji lenye utajiri wa mawe ya kutosha. Ndani ya hili gari anaonekana mzee mmoja wa makamo ya kawaida akionekana kuwa na miaka isiyopungua 50 hivi ila kwa sababu ya ukwasi aliokuwa nao bado alionekana kama ni kijana na ana safari ndefu ya kuufikia uzee. Alikuwa anarejea nyumbani kwake baada ya kutoka kwenye mihangaiko yake ya kila siku ili kuhakikisha familia yake inakuwa na furaha muda wote. Alikuwa anatamani sana afike nyumbani haraka baada ya kununua zawadi nyingi za kutosha alijua watazifurahia hao wana familia wake ambao aliwapenda kuliko kitu chochote kile. Akiwa kwenye hiyo furaha kubwa ndani ya gari gari yake alihisi kama kuna kitu amekikanyaga baada ya gari hiyo aliyokuwa nayo kuyumba nusu ipoteze uelekeo ikamlazimu kuisimamisha ghafla tu huku akiwa anahema kwa nguvu hakutarajia hilo tukio.

Aligeuka kuangalia nyuma alikokuwa ametoka ni kweli alikuwa amemkanyaga paka ambaye alikuwa anakatiza kwenye barabara hiyo majira ya usiku, yule paka baada ya kugongwa hakuwa na maisha marefu hata kidogo alipoteza maisha pale pale, hiyo ilikuwa ni ishara mbaya sana majira hayo ya usiku, alikuwa mtu wa dini sana huyu mzee hivyo hiyo ishara alijua wazi ni ishara mbaya na huenda kuna mambo hayako Sawa, kama imani yake inavyo mruhusu alifanya maombi kwa dakika tatu baada ya hapo aliliondoa gari kwa mwendo wa taratibu kuelekea nyumbani kwake, ile hamu na furaha kubwa aliyokuwa nayo tangu mwanzo ilimpotea kabisa usoni pake, akawa anawaza kuhusu tukio ambalo halikuwa zuri kwa dakika kadhaa zilizoweza kupita nyuma. Alifika nje ya nyumba yake alisimamisha gari kama dakika tano akiwa ameulalia usukani akiwaza, alionekana anawaza mbali sana, aliichukua simu yake akaandika meseji ambayo haikuwa na maneno mengi sana akaituma mahali kisha akaizima hiyo simu. Alipiga honi kwenye hilo geti la nyumba yake, dakika moja mbele geti lilifunguliwa na mlinzi wale ambaye walikuwa wanataniana sana lakini siku hii ilikuwa ni tofauti kidogo kwa huyu mlinzi alijaribu kumtania bosi wake alinyamaza baada ya kumuona mzee huyo hakuwa sawa.
Jina lake halisi alikuwa anaitwa Jonson Malisaba, alikuwa amebahatika kupata familia kubwa na nzuri yenye furaha muda wote, alikuwa na mke wake aliyefahamika kama Anastazia Lewin pamoja na watoto watatu mmoja ambaye ndiye mkubwa zaidi alikuwa anaitwa Cleopatra Jonson na wawili ambao walikuwa ni wadogo kwa Cleopatra walikuwa ni mapacha wawili wakiume alikuwa anaitwa Lenovatus Jonson na wakike alifahamika kama Octavian Jonson pia humo ndani walikuwa wakiishi na mfanya kazi wakike pamoja na wa kiume bila kumsahau mlinzi wa getini, hawakuwa na utofauti kati ya wafanyakazi na wana familia wote waliishi kwa usawa na furaha kiasi kwamba kwa mgeni ilikuwa ni ngumu sana kuweza kuwatambua kama wengine ni wafanyakazi tu wa ndani.
Kabla ya kurudi kwa mzee huyu familia ilikuwa ipo mezani wakati huo wakiwa wanaandaa chakula kwa sababu walijua baba mwenye nyumba muda wowote ule alikuwa anafika na ndiyo ilikuwa mida yake ya kurudi kila siku, hakuwa mtu wa kuchelewa kwa vile alikuwa anayajua vizuri majukumu yake kama baba bora wa familia.
"Octavian nenda ukamuamshe mwenzako maana naye kwa kulala lala huyo kisa anajua ndo wamwisho basi ndo anajidekesha wewe subiri nife atakoma mbona na itokee ndo aletewe mama wa kambo ataelewa" ni mama wa familia Anastazia Lewin mke wa Mr Jonson alikuwa akimtania binti yake mdogo Octavian ambaye alimtuma akamuamshe pacha wake wa kiume Lenovatus aliyekuwa amelala mpaka muda huo wanakaribia kupata chakula cha usiku huku akiwa anacheka.
"Mama kwa sababu yeye ni doto basi unaona kama mimi sio wa mwisho sitakiwi kudeka sawa tu" binti huyu mdogo aliye barikiwa kuwa na uzuri wa mama yake alimjibu mama yake meno yake yote yakiwa nje kwa kicheko kwa sababu alipenda sana kumtania sana pacha wake huyo huku mara kadhaa akiwa anamwambia kwamba hata afanyaje yeye ni dada yake kwani alimzidi dakika thelathini za kuzaliwa. Mapacha hawa walikuwa na miaka 14 kwa muda huo na dada yao Cleopatra alikuwa ana miaka 20.
"Heee heee nitokee hapa nawewe unamuonea wivu mwenzako sasa wewe nayeye si ni mtu mmoja" mama huyu aliongea tena na familia nzima ilikuwa kwenye kicheko kikubwa wakiwa na furaha sana.
"Hahahahahaaa mama na hao watoto wako mtanivunja mbavu zangu mie mwisho wa siku nishindwe kupata watoto mimi" dada mtu Cleopatra alimtania mama yake ambaye aliishia kutabasamu humu akiwa anapakua chakula kwenye hiyo meza.
"Anakuja lastborn wako huyo" Octavian baada ya kutoka chumbani alimtania tena mama yake huku akienda kukaa kwenye sehemu yake, mama yao alitabasamu sana alikuwa mtu mwenye furaha kubwa kubahatika kupata familia bora iliyojaaliwa amani na furaha ya kutosha.

Mr Jonson baada ya kuingiza gari ndani ya geti la nyumba yake alienda sehemu alipokuwa anatumia kupaki magari yake akalipaki vyema hilo ambalo alikuwa amelitumia hii siku, aligeuka ili aelekee ndani akawaite waje wamsaidie kushusha mizigo ndani ya hilo gari ila wakati anageuka alishangaa kuona bado geti liko wazi haikuwa kawaida kwani ilitakiwa akiingia tu humo ndani geti lifungwe ilikuwa ni usiku tayari na hilo geti halikutakiwa kuwa wazi. Alitaka kuita jina la mlinzi wake huyo wa getini lakini alisita kidogo baada ya kuona mwili wa mtu umelala chini alihisi huenda mlinzi wake huyo amepatwa na tatizo hivyo anapaswa kumsaidia, alisogea hatua mbili akiwa anaelekea sehemu ulipokuwa huo mwili ila alisimama baada ya kuhisi kuna mtu hiyo sehemu ni kweli mbele yake walikuwa wamesimama wanaume wawili waliokuwa wamevaa suti safi na hawakuonekana kabisa kuhofia manyunyu ya Mvua mida hiyo ya jioni.
"Kwanini umeamua kutukimbia na kuja kuishi huku bila taarifa yoyote" ni swali la mmoja ya wale wanaume wawili waliokuwa na suti safi nyeusi na kofia kubwa vichwani.
"Mnataka nini mpaka mnifuate na huku? nilishaamua kutoka kwenye maisha yenu ndio maana sijawahi kuwatafuta tena ni miaka miwili sasa imepita hivyo sitarajii kunifuatilia tena ondokeni hapa" Mr Jonson alionekana kuwajua kwa undani hao watu walio onekana kumtafuta kwa muda mrefu sana.
"Leo umekuwa jasiri wa kutufukuza watu kama sisi kweli? mbona unajisahau sana namna hii mkuu, umemdanganya mpaka mke wako hakuwahi kuujua uhalisia wako kwamba wewe ni nani na tulikusaidia kulilinda hilo saivi unaanza kujibu jeuri. Bosi ametuagiza vitu vitatu kwako cha kwanza ni kuchukua mzigo wetu tukuache hai, chapili uende wewe mwenyewe ukamkabidhi huo mzigo na umpe sababu za msingi kwanini umekuwa msaliti mkubwa sana namna hii kwa mtu ambaye uliaminiwa na kupewa nafasi kubwa mno, lakini cha tatu kama vyote hivyo viwili vikishindikana basi tuue familia yako yote" yalikuwa ni maelezo yaliyo jitosheleza vyema hayakuhitaji maswali mengi sana ili yaeleweke.
"Siendi mahali na hakuna kitu ambacho mtakifanya kwangu siwezi kurudi kwenye maisha yale ya utumwa mimi" Mr Jonson alitamka kijasiri wakati huo aliichomoa bastola yake kwa nguvu ila kabla hajafanya chochote alipigwa yeye risasi ya bega iliyo mtoa kilio kikubwa kilicho washtua mpaka ndani, familia karibia nzima ilitoka nje kasoro Lenovatus ambaye ndo alikuwa anaamka, ni baada ya kusikia kelele za Mr Jonson walihisi huenda anahitaji msaada wa ghafla hivyo wote walikuwa wametoka nje ila waliogopa baada ya kuona mzee huyo amewekewa bastola ya kichwa akiwa anaamriwa kuwakabidhi hazina yao kama walivyokuwa wanadai wao. Watu hao walionekana kufurahia baada ya kuona familia ya mzee huyo yote ipo nje, mmoja wa wale wanaume aliwasogelea na kuwamiminia risasi wote bila hata kuuliza, Mr Jonson alinyanyuka akihitaji kwenda kumzuia mtu huyo alipigwa risasi mbili za miguu akawa hana hata uwezo wa kutembea tena, alitoa machozi kwa kushindwa kabisa kuisaidia familia yake ambayo alikuwa anaona kabisa inakufa Kwa sababu ya uzembe wake, hakuwa na cha kufanya mzee huyu hakupata hata nafasi ya kuwaaga wana familia hao ambao kwenye kuangaza kwake hakumuona mtoto wake wa mwisho ambaye alikuwa ni pacha wa Cleopatra kidogo alipata matumaini na aliomba MUNGU amlinde huko aliko hata amtumie malaika wake amlinde mtoto huyo asiweze kuonekana hiyo sehemu.
"Umeshindwa kuilinda familia yako kwa sababu ya ujinga wako mwenyewe ungetupatia tunacho kihitaji haya yasingetokea kabisa, sasa tunaua familia nzima hakuna shahidi atakaye baki wa kuendelea kuificha hiyo hazina ambayo haupo tayari kuitoa haya yanaishia hapa hapa mkuu naomba unisamehe sana japo umekuwa mkuu wangu kwa muda mrefu kidogo leo sina namna ya kufanya" mwanaume huyo aliyekuwa amesimama karibu yake alikuwa anampa wosia wa mwisho mwisho Mr Jonson.
"Ipo siku haya yote yataisha najua yupo mtu atayafanya haya tu na mtaisha wote" hakuongeza neno lingine alipigwa risasi nyingi sana za kichwa, milio mingi ya risasi nyingi nje ya nyumba hiyo ndiyo iliyokuwa imemshtua Lenovatus na kumaliza usingizi wake wote, alifika sebuleni lastborn huyu wa familia kwani ilikuwa lazima akadeke kwa mama yake kwanza ndo aendelee na mengine ila hakumkuta mtu yeyote sebuleni hapo chakula kikiwa kimeandaliwa tayari, alichukua zake paja la nyama ya kuku akaendelea kulitafuna taratibu ndipo alipokumbuka alisikia sauti kubwa nje na mlango ulikuwa upo wazi kabisa, alielekea kwenye huo mlango ili ajue nini kinaendelea huko nje ambako kulikuwa kuna mwanga wa kutosha wa umeme. Baada ya kufika hapo mlangoni nyama ilimdondoka mkononi baada ya kuona damu imetapakaa alimuona mama yake amelala chini akiwa na damu nyingi sana inamtoka kichwani pembeni ya mama yake alikuwa amelala pacha wake ambaye walipendana kuliko kitu chochote kile kwenye huu ulimwengu, Lenovatus alikuwa bado ni mdogo ila uchungu ulio mpata ulikuwa ni mkubwa sana alikuwa anaelewa vyema kwa sababu alikuwa anaona kwenye movie nyingi namna watu wanavyokufa alitambua hao wote hapo chini walikuwa hawapo tena duniani, aliyainua macho yake mbele kidogo ambapo aliona kuna mwanaume mwenye suti yake nzuri sana akiwa anakata shingo ya baba yake kisu.
"Baba" aliita kwa nguvu mtoto huyu akitaka kukimbilia kule nje ili akamzuie mtu huyo kufanya hicho kitu kwa baba yake mzazi, sauti yake iliwashtua wale wanaume ambapo yule mmoja alikuwa amekamilisha kukikata hicho kichwa na alikuwa amekishika mkononi. Kabla huyo mtoto hajatoka kwenye huo mlango ikiwa ndo anaanza kukimbia kuelekea nje mlango ulipigwa na teke la ghafla ulijifunga pembeni mwa huyo mtoto alitokea mwanaume mmoja aliye onekana kuwa wa makamo kidogo akiwa na barakoa iliyo uziba uso wake kwa usahihi alimziba Lenovatus mdomo aliyekuwa anapiga makelele kwa mambo aliyo yaona hapo nje kwa familia yake, baada ya kuona mtoto huyu anahangaika ajinasue kwenye mikono yake ili atoke kwenda huko nje alipitisha kidole chake kwenye mshipa wa shingoni Lenovatus akatulia kimya. Wanaume hao walikuwa wanakuja kwa tahadhali sana baada ya kugundua walikuwa hawajaimaliza familia nzima,mmoja aliupiga mlango kwa teke wakati huo wanafika kwenye huo mlango yule mtu aliyemziba Lenovatus mdomo alijirusha juu ya kabati kubwa la vyombo hapo sebuleni akatulia kimya akiwa amempakata mtoto huyo. Hao watu waliingia humo ndani na kukagua kila chumba lakini hawakuona chochote kile.
"Kwa nilivyo muona bado ni bwana mdogo sana hata kama ameona kilicho tokea hawezi kukumbuka atakapokuwa mkubwa, tukienda kwa bosi tutamwambia wote wamekufa kwani hata hatujui alikuwa na watoto wangapi kwa maisha ya siri aliyokuwa anaishi na familia yake" baada ya kuonekana kukubaliana na hilo walitoka humo ndani wakaondoka na kichwa cha Mr Jonson. Yule mtu aliyekuwa amemsaidia Lenovatus kutoka kwa hao watu baada ya kuhakikisha watu hao wameondoka alishuka kule juu ya kabati akaangaza huku na huku kisha akaelekea mlango wa nyuma wa nyumba na alionekana kuijua vyema sana hiyo nyumba akatokomea zake gizani akiwa amembeba kijana mdogo sana Lenovatus.

Mr Jonson Malisaba ni nani?, Siri gani ambayo aliificha familia yake?, Huyu aliye msaidia Lenovatus ni nani hasa mpaka afike muda kama huu?, kuna nini kinaendelea kati ya hawa watu waliompa Mr Jonson machaguo matatu ya kuchagua? Na hicho kitu kilikuwa na umuhimu gani mkubwa mpaka wafikie hatua kama wakikikosa waue familia nzima ili kusiwe na Shahidi yeyote??......

Ndio kwanza tunaianza hadithi mpya ndani ya sehemu ya kwanza kabisa , utakuwa nami mpaka mwisho wa kisa hiki kinacho mhusu bwana mdogo Jamal utajua kwa undani Jamal yeye ni nani hasa na alipitia nini kweye maisha yake kikubwa usibanduke ungana namimi mpaka mwisho kabisa wa hadithi hii.

Bux the story teller.View attachment 2310192
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA PILI
TULIPO ISHIA ............
"Kwa nilivyo muona bado ni bwana mdogo sana hata kama ameona kilicho tokea hawezi kukumbuka atakapokuwa mkubwa, tukienda kwa bosi tutamwambia wote wamekufa kwani hata hatujui alikuwa na watoto wangapi kwa maisha ya siri aliyokuwa anaishi na familia yake" baada ya kuonekana kukubaliana na hilo walitoka humo ndani wakaondoka na kichwa cha Mr Jonson. Yule mtu aliyekuwa amemsaidia Lenovatus kutoka kwa hao watu baada ya kuhakikisha watu hao wameondoka alishuka kule juu ya kabati akaangaza huku na huku kisha akaelekea mlango wa nyuma wa nyumba na alionekana kuijua vyema sana hiyo nyumba akatokomea zake gizani akiwa amembeba kijana mdogo sana Lenovatus.
SONGA NAYO......................
Ilikuwa imepita miaka mitano tangu familia ya Mr Jonson Malisaba iweze kuuawa na watu wawili wasio julikana na mtoto mmoja ambaye ni Lenovatus Jonson kuweza kuokolewa na mtu asiye julikana na kutokomea nae gizani usiku wa siku ile. Ndani ya ardhi ya matajiri wa chakula nchini ni katika jiji la Mbeya pembezoni kabisa mwa nchi katika wilaya ya Kyela inayo patikana kusini magharibi mwa nyanda za juu kusini mwa Tanzania. Ni wilaya ambayo utafanya makosa makubwa sana bila kusifia ukarimu mkubwa wa watu wake Wanyakyusa, ni watu wakarimu sana walio bahatika kuwa na utajiri mkubwa wa chakula kikitawaliwa na kilimo cha mpunga na kokoa ambazo zinawaingizia kipato kikubwa sana kwa watu wa hii wilaya.
Mida ya saa tano za usiku walionekana watu wawili wakiwa na mtumbwi wao wakionekana kabisa ni wavuvi wazoefu ndani ya hilo eneo, waliamua kurudi mapema sana baada ya kuona hali ya hewa imebadilika ghafla sana mvua zimeanza kunyesha, kuendelea kuwepo ndani ya ziwa hili kubwa lijulikanalo kama ziwa nyasa ingekuwa ni hatari kwao. Walifanikiwa kufika nje ya maji hayo wakiwa wamelowa miili yao yote, ni mzee mmoja wa mwenye takribani umri wa miaka 48 akiwa na kijana aliye onekana kuwa na umri wa miaka 21 hivi kwa mwonakeno wake. Walikuwa ni wavuvi wazoefu wa hili eneo la Matema Beach Kyela ndani ya hili ziwa licha ya kurudi mapema walifanikiwa kupata kitoweo cha siku ya kesho siku yao haikuwa mbaya sana. Walikuwa wakiishi pembezoni kabisa mwa safu za mlima Livingstone. Baada ya kukusanya mizigo yao walianza kuondoka taratibu kuelekea kwenye kijumba chao kidogo cha nyasi ambacho kilitengenezwa kwa miti na udongo pembeni ya jiwe moja chini kabisa ya safu za mlima huo, kabla ya kufika nyumbani kwao hapo waliifuata njia ya mlimani mvua ikiendelea kunyesha kwa nguvu hata hawakuijali kabisa.

Kuna mahali walifika walikimbia kwa spidi sana mpaka karibia na kileleni mwa mlima walikunja njia ya kushoto mita kumi kutoka hapo kuna sehemu katikati ya mawe mawili kulikuwa na sehemu nzuri yenye uwanja mdogo ulio onekana kuwa ni uwanja ulio tengenezwa kwa ajili ya mazoezi japokuwa haikueleweka mjenzi wa huo uwanja wa mazoezi ni nani sehemu kama hii tena ikionekana kuwa ni kwa usiri mkubwa. Hakuna aliyekuwa ameongea neno lolote tangu watoke ziwani kwa sababu kila mtu aliujua wajibu wake kwa usahihi, kila mtu alirusha kikapu chake cha samaki juu ya mti kwa kasi ya kutisha zilipita dakika kumi kukiwa kuna ngumi kali za mauaji zinapigwa miongoni mwa hao watu wawili ambao walikuwa hawaongei chochote kile. Kijana wa miaka takribani 21 alionekana kuwa hatari baada ya kuanza kumuelemea mzee mzima wa takribani miaka 48 na kuendelea, aliacha baada ya kuona ngumi ilikuwa inaenda kumpiga huyo mzee kwenye maeneo ya kichwani alibaki amesimama tu ghafla bila taarifa yoyote.

"Huo ujinga ndio utakao kufanya uje kufa kipumbavu sana nilisha kuambia ukiwa kwenye uwanja wa vita haitakiwi ujiulize mara mbili kumvamia adui ukimpa nafasi ya kizembe namna hii anakuua ilitakiwa hiyo ngumi uifikishe kwanza ndipo mengine yangefuata" alifoka kwa jazba huyu mzee akiwa anamwangalia kijana wake aliyekuwa mbele yake.

"Bora nife siwezi kumpiga baba yangu mzazi ngumi ya hatari hii ambayo inaweza kumletea matatizo kichwani siwezi utanisamehe kwa hilo" huyu kijana ambaye bado hakufahamika jina lake alikuwa nani aliongea akionyesha anamaanisha alichokuwa anakisema, mzee alitabasamu sana kuona thamani anayopewa na huyo kijana ilikuwa ni kubwa kuliko hata alivyokuwa akifikiria.

"Kitanda hakizai haramu, na kondoo hawezi kuzaa chui hata siku moja nakupenda mwanangu najivunia sana kuwa baba yako kwenye hii dunia" mzee aliongea akicheka kwa nguvu na kwenda kumkumbatia huyo kijana kwa furaha kubwa meno yote yakiwa nje kama mzazi ilimpa amani ya moyo kuona kijana wake anamthamini kiasi hicho.

"Lakini baba kuna kitu mimi huwa sikielewi kwanini tunafanya sana mazoezi kiasi hiki na unanihimiza kila siku ikiwa ni mwaka wa nne sasa nafanya haya mazoezi ya hatari ambayo yanaweza kuchukua hata uhai wangu? Ni kipi kinakufanya mtu mwenye nguvu kama wewe uliamua kuja kuishi huku wakati ulinambia mama alikufa mimi nikiwa bado mdogo sana maeneo ya Dar es salaam huko japo sikujui ila nadhani kwa nguvu na uwezo wako ungekuwa mtu tajiri sana huko mjini kuna nini kinaendelea na hatima ya kunifundisha mazoezi makali sana namna hii kwa miaka hii minne ni ipi?" Kijana alikaa nalo moyoni kwa takribani miaka minne lakini leo aliamua amuulize baba yake swali ambalo lilionekana kumshtua sana mzee huyu hakulitegemea kwa muda kama huo ilikuwa ni ghafla sana, miaka minne ndio muda ambao huyo kijana alikuwa anaukumbuka kwa usahihi kuwepo kwenye hilo eneo mengine hakuonekana kuyakumbuka vizuri hivyo alihitaji jibu la sababu ha msingi ya mzee hatari mwenye nguvu kama baba yake kuja kuishi maisha ya kubangaiza huku wakiishia kuwa wavuvi na kilimo kidogo cha mpunga kilicho wapa chakula cha kujikimu wao wenyewe wawili tu wakati kwa uwezo wa huyo mzee alikuwa na uwezo wa kwenda sehemu yoyote ile akatengeneza pesa nyingi sana. Huyu mzee alitulia kwa umakini kama dakika mbili akiwaza amjibu nini mwanae ili asije akaharibu maada hapo kwani alimpenda sana huyo mtoto hakuwa na ndugu yeyote zaidi ya huyo mtoto, ndiye aliyekuwa rafiki yake mkubwa kila muda walikuwa wote wakipambana na maisha ya mji wa watu wastaarabu huo pamoja lakini hakuwahi kuruhusu yeye wala mtoto wake kuwa na rafiki wa aina yoyote ile ndani ya hilo eneo na hakutaka mtu yeyote awajue kivyovyote vile kwa sababu za msingi alizokuwa nazo yeye mwenyewe.

"Mwanangu haya maisha kuna muda furaha ni kitu cha msingi sana kuliko hata pesa wala maisha mazuri ambayo wewe unayataja hayo, pesa ni nzuri sana unavyo simuliwa na pale unapokuwa nayo ukiwa mwenye furaha ila pesa ni kitu cha hatari sana ukitumia njia za hovyo kuipata, haya sio maisha yako mwanangu na pengine haustahili kuishi sehemu kama hii, unisamehe tu baba yako ipo siku utajijua kiundani zaidi wewe ni nani hasa kuna sababu za msingi sana mpaka wewe ukaitwa Jamal" kwa mara ya kwanza alilitaja jina la mtoto wake aliye fahamika kama Jamal wakati anamjibu kwa utulivu mkubwa sana swali lake wakati huo mvua ziliendelea kuongezeka lakini hawakuzijali pamoja na radi zilizokuwa zinapiga.

"Baba mbona sijakuelewa umesema nikijijua? kwahiyo sijijui au unamaanisha mimi ni nani?" Jamal alishangazwa kidogo na maelezo ya baba yake alihisi huenda ameelewa tofauti na mzee huyo alivyokuwa amemuelekeza.

"Muda ni dakitari mzuri sana kwenye maisha mwanangu, muda huwa unaamua ni nani ni mtu sahihi kwenye maisha ya mwanadamu, muda huwa unatibu matatizo mbali mbali yanayo wafanya watu wanalia kila siku lakini pia muda huwa unakuja kutengenisha uhalisia na kitu kilichopo ndani ya giza(akaguna). Hakikisha unakitunza hiki kidani kama ambavyo huwa unayalinda macho yako pale yanapokuwa yanavamiwa na kitu chochote kama jiwe na vingine, hiki kidani usije ukathubutu kumpa mtu yeyote yule hata kama siku ikitokea mimi sipo, hiki kidani kina majibu sahihi ambayo yataamuliwa na muda, zingatia sana haya maneno hiki kidani hapaswi kukigusa mwanadamu mwingine yeyote kwa sasa zaidi ya wewe pekeyako hata ungekuwa umeoa mkeo na watoto wasingeruhusiwa kukigusa hicho kimeshikilia maisha ya watu wa nchi hii" maneno mazito ya mzee huyu akiwa anamwambia mwanae huyo Jamal huku akiyatoa kwa uchungu mkubwa sana akiwa anamvalisha kijana wake kidani ambacho hakuwahi kukiona hata siku moja ikionekana wazi anayaongea kwa maumivu makali na ndani ya moyo wake alionekana wazi kuwa na siri moja nzito sana ambayo ilikuwa ni siri ya kifua chake hakuhitaji mtu yeyote aijue zaidi ya yeye pekeyake.
Aliogopa Sana Jamal kukabidhiwa kitu ambacho kilisemekana kimeshikilia maisha ya wananchi karibia wote wa nchi hii ilimuogopesha mno alibaki anajiuliza maswali mengi bila kuyapatia majibu yake kwamba yeye ni nani hasa mpaka aweze kupewa kitu chenye thamani namna hiyo ila hakuyatilia maanani maneno ya baba yake kwani hicho kidani chenyewe kilikuwa cha kawaida tu tena cha zamani halikuwa na mvuto wowote kusema kwamba kitaweza kumfanya mtu avutiwe nacho, alitaka kuuliza kitu ila kichwa chake kilianza kumuuma ghafla na hii ilikuwa ni hali ya kawaida kwa takribani miaka minne sasa kila akiwa na mawazo au akionekana anataka kukumbuka baadhi ya mambo kichwa huwa kinaanza kumuua kama dakika mbili hivi ndipo anakuwa sawa.

"Acha kukiumiza kichwa chako mwanangu nakwambia kila siku muda utafika kichwa chako kitakuwa sawa, jiandae kesho asububi sana tunaondoka hii sehemu tunarudi Dar es salaam" maneno ya baba yake yalimpa maswali mengi ila yalimfurahisha mno, alikuw na hamu sana ya kufika ndani ya hili jiji ambalo alikuwa akisimuliwa na baba yake kwamba maisha yake ndiko yaliko anzia huku alihitaji kufika ili aone kama huenda wana ndugu wengine huku alichoka kukaa mwenyewe na baba yake pekee, alichukua kikapu chake cha samaki akiwa na kidani chake shingoni akaanza kumfuata baba yake nyuma kwa furaha kubwa baada ya kuambiwa asubuhi walikuwa wanawahi Dar es salaam kwa wazaramo japokuwa hakuelewa nauli wanatolea wapi kwa maisha waliyokuwa wanaishi yalikuwa ya kawaida sana hakuwa na imani kama baba yake atakuwa na nauli ila aliweza kumuamini baba yake hakuwahi kumdangaya.

Walifika kwenye kijumba chao hicho cha nyasi ambacho ndani kilikuwa na kitanda pamoja na vyombo vichache vya kupikia vilivyo onekana kutumika kwa muda mrefu kidogo, baba yake alipika ugali wakala kisha wakaenda kulala, kabla ya kufanya hivyo alishangaa kumuona baba yake ananyanyua upande mmoja wa kitanda hicho akakitoa kisu chake na kuchimba chini kidogo alitoa pesa mabunda matano yaliyo jaa pesa nyingi zikiwa ni pesa za kitanzania, dola za kimarekani pamoja na simu ndogo.

"Baba hizi pesa umezitoa wapi na umezihifadhi kwa muda gani pesa zote hizo?" Alikuwa na mshangao Jamal pesa zilikuwa mabunda matano yaliyo jaa vyema zilifungwa kwenye rubber band zikionekana hazikuguswa kabisa tangu siku wanazitoa Bank.

"Hahahaha hizi ni pesa zetu mwanangu usijali nimechoka saivi acha nipumzike tutaongea kesho tukiwa njiani"maelezo ya baba yake yakimtia wasi wasi sana hakuwahi kumuona mzee huyo akifanya kazi yoyote ile ya kumpatia ujira wowote zaidi ya uvuvi wa samaki wa chakula na kilimo cha mpunga kinacho wapatia chakula cha kujikimu alianza kuhisi huenda kuna mambo mengi sana hayajui kuhusu baba yake, alikigusa kidani chake kwa umakini akakiangalia kisha akalala.

Saa kumi kamili alfajiri ndio muda ambao Jamal aliamshwa na baba yake akiwa kwenye usingizi mzito.
"Hutaki kwenda Dar es salaam!" Baba yake alikuwa akimuuliza mtoto wake kwa tabasamu huku akimrushia mtoto wake suti moja ya bei kali sana, kwa mwanga mdogo wa kibatari kilichokuwa humo ndani kilimfanya Jamal azione nguo hizo kwa umakini, tangu aanze kujitambua hakuwahi kuvaa nguo za bei hata siku moja, alikuwa na maswali mengi juu ya huyu mzee wake lakini akaamua kukaa kimya akisubiri muda mwafaka wa kumuuliza ufike, hawakuhitaji mtu yeyote ajue kama walikuwa wanaondoka walizima kibatari chao na kubeba kila kilichokuwa cha mhimu wakakifunga kibanda chao hicho kwa nje.

"Huenda miaka niliyo kaa hapa ikawa ndiyo miaka yangu bora zaidi kuwahi kuiishi kwenye uhai wangu" Baba yake Jamal alitamka haya maneno akiwa amesimama anatazama vilele vya safu za mlima Livingstone, Jamal aliishia kutabasamu tu kisha wakaondoka hiyo sehemu wakianza harakati za kuweza kusafiri mpaka ndani ya jiji la Dar es salaam.

Jamal ni nani, huyu baba yake ni nani? Huko Dar es salaam wanaenda kutafuta nini?

Sehemu ya pili ya hadithi hii inafika mwisho huenda sehemu inayofuata ikatupatia majibu zaidi.

Bux the story teller.
FB_IMG_1657830697960.jpg
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA PILI
TULIPO ISHIA ............
"Kwa nilivyo muona bado ni bwana mdogo sana hata kama ameona kilicho tokea hawezi kukumbuka atakapokuwa mkubwa, tukienda kwa bosi tutamwambia wote wamekufa kwani hata hatujui alikuwa na watoto wangapi kwa maisha ya siri aliyokuwa anaishi na familia yake" baada ya kuonekana kukubaliana na hilo walitoka humo ndani wakaondoka na kichwa cha Mr Jonson. Yule mtu aliyekuwa amemsaidia Lenovatus kutoka kwa hao watu baada ya kuhakikisha watu hao wameondoka alishuka kule juu ya kabati akaangaza huku na huku kisha akaelekea mlango wa nyuma wa nyumba na alionekana kuijua vyema sana hiyo nyumba akatokomea zake gizani akiwa amembeba kijana mdogo sana Lenovatus.
SONGA NAYO......................
Ilikuwa imepita miaka mitano tangu familia ya Mr Jonson Malisaba iweze kuuawa na watu wawili wasio julikana na mtoto mmoja ambaye ni Lenovatus Jonson kuweza kuokolewa na mtu asiye julikana na kutokomea nae gizani usiku wa siku ile. Ndani ya ardhi ya matajiri wa chakula nchini ni katika jiji la Mbeya pembezoni kabisa mwa nchi katika wilaya ya Kyela inayo patikana kusini magharibi mwa nyanda za juu kusini mwa Tanzania. Ni wilaya ambayo utafanya makosa makubwa sana bila kusifia ukarimu mkubwa wa watu wake Wanyakyusa, ni watu wakarimu sana walio bahatika kuwa na utajiri mkubwa wa chakula kikitawaliwa na kilimo cha mpunga na kokoa ambazo zinawaingizia kipato kikubwa sana kwa watu wa hii wilaya.
Mida ya saa tano za usiku walionekana watu wawili wakiwa na mtumbwi wao wakionekana kabisa ni wavuvi wazoefu ndani ya hilo eneo, waliamua kurudi mapema sana baada ya kuona hali ya hewa imebadilika ghafla sana mvua zimeanza kunyesha, kuendelea kuwepo ndani ya ziwa hili kubwa lijulikanalo kama ziwa nyasa ingekuwa ni hatari kwao. Walifanikiwa kufika nje ya maji hayo wakiwa wamelowa miili yao yote, ni mzee mmoja wa mwenye takribani umri wa miaka 48 akiwa na kijana aliye onekana kuwa na umri wa miaka 21 hivi kwa mwonakeno wake. Walikuwa ni wavuvi wazoefu wa hili eneo la Matema Beach Kyela ndani ya hili ziwa licha ya kurudi mapema walifanikiwa kupata kitoweo cha siku ya kesho siku yao haikuwa mbaya sana. Walikuwa wakiishi pembezoni kabisa mwa safu za mlima Livingstone. Baada ya kukusanya mizigo yao walianza kuondoka taratibu kuelekea kwenye kijumba chao kidogo cha nyasi ambacho kilitengenezwa kwa miti na udongo pembeni ya jiwe moja chini kabisa ya safu za mlima huo, kabla ya kufika nyumbani kwao hapo waliifuata njia ya mlimani mvua ikiendelea kunyesha kwa nguvu hata hawakuijali kabisa.

Kuna mahali walifika walikimbia kwa spidi sana mpaka karibia na kileleni mwa mlima walikunja njia ya kushoto mita kumi kutoka hapo kuna sehemu katikati ya mawe mawili kulikuwa na sehemu nzuri yenye uwanja mdogo ulio onekana kuwa ni uwanja ulio tengenezwa kwa ajili ya mazoezi japokuwa haikueleweka mjenzi wa huo uwanja wa mazoezi ni nani sehemu kama hii tena ikionekana kuwa ni kwa usiri mkubwa. Hakuna aliyekuwa ameongea neno lolote tangu watoke ziwani kwa sababu kila mtu aliujua wajibu wake kwa usahihi, kila mtu alirusha kikapu chake cha samaki juu ya mti kwa kasi ya kutisha zilipita dakika kumi kukiwa kuna ngumi kali za mauaji zinapigwa miongoni mwa hao watu wawili ambao walikuwa hawaongei chochote kile. Kijana wa miaka takribani 21 alionekana kuwa hatari baada ya kuanza kumuelemea mzee mzima wa takribani miaka 48 na kuendelea, aliacha baada ya kuona ngumi ilikuwa inaenda kumpiga huyo mzee kwenye maeneo ya kichwani alibaki amesimama tu ghafla bila taarifa yoyote.

"Huo ujinga ndio utakao kufanya uje kufa kipumbavu sana nilisha kuambia ukiwa kwenye uwanja wa vita haitakiwi ujiulize mara mbili kumvamia adui ukimpa nafasi ya kizembe namna hii anakuua ilitakiwa hiyo ngumi uifikishe kwanza ndipo mengine yangefuata" alifoka kwa jazba huyu mzee akiwa anamwangalia kijana wake aliyekuwa mbele yake.

"Bora nife siwezi kumpiga baba yangu mzazi ngumi ya hatari hii ambayo inaweza kumletea matatizo kichwani siwezi utanisamehe kwa hilo" huyu kijana ambaye bado hakufahamika jina lake alikuwa nani aliongea akionyesha anamaanisha alichokuwa anakisema, mzee alitabasamu sana kuona thamani anayopewa na huyo kijana ilikuwa ni kubwa kuliko hata alivyokuwa akifikiria.

"Kitanda hakizai haramu, na kondoo hawezi kuzaa chui hata siku moja nakupenda mwanangu najivunia sana kuwa baba yako kwenye hii dunia" mzee aliongea akicheka kwa nguvu na kwenda kumkumbatia huyo kijana kwa furaha kubwa meno yote yakiwa nje kama mzazi ilimpa amani ya moyo kuona kijana wake anamthamini kiasi hicho.

"Lakini baba kuna kitu mimi huwa sikielewi kwanini tunafanya sana mazoezi kiasi hiki na unanihimiza kila siku ikiwa ni mwaka wa nne sasa nafanya haya mazoezi ya hatari ambayo yanaweza kuchukua hata uhai wangu? Ni kipi kinakufanya mtu mwenye nguvu kama wewe uliamua kuja kuishi huku wakati ulinambia mama alikufa mimi nikiwa bado mdogo sana maeneo ya Dar es salaam huko japo sikujui ila nadhani kwa nguvu na uwezo wako ungekuwa mtu tajiri sana huko mjini kuna nini kinaendelea na hatima ya kunifundisha mazoezi makali sana namna hii kwa miaka hii minne ni ipi?" Kijana alikaa nalo moyoni kwa takribani miaka minne lakini leo aliamua amuulize baba yake swali ambalo lilionekana kumshtua sana mzee huyu hakulitegemea kwa muda kama huo ilikuwa ni ghafla sana, miaka minne ndio muda ambao huyo kijana alikuwa anaukumbuka kwa usahihi kuwepo kwenye hilo eneo mengine hakuonekana kuyakumbuka vizuri hivyo alihitaji jibu la sababu ha msingi ya mzee hatari mwenye nguvu kama baba yake kuja kuishi maisha ya kubangaiza huku wakiishia kuwa wavuvi na kilimo kidogo cha mpunga kilicho wapa chakula cha kujikimu wao wenyewe wawili tu wakati kwa uwezo wa huyo mzee alikuwa na uwezo wa kwenda sehemu yoyote ile akatengeneza pesa nyingi sana. Huyu mzee alitulia kwa umakini kama dakika mbili akiwaza amjibu nini mwanae ili asije akaharibu maada hapo kwani alimpenda sana huyo mtoto hakuwa na ndugu yeyote zaidi ya huyo mtoto, ndiye aliyekuwa rafiki yake mkubwa kila muda walikuwa wote wakipambana na maisha ya mji wa watu wastaarabu huo pamoja lakini hakuwahi kuruhusu yeye wala mtoto wake kuwa na rafiki wa aina yoyote ile ndani ya hilo eneo na hakutaka mtu yeyote awajue kivyovyote vile kwa sababu za msingi alizokuwa nazo yeye mwenyewe.

"Mwanangu haya maisha kuna muda furaha ni kitu cha msingi sana kuliko hata pesa wala maisha mazuri ambayo wewe unayataja hayo, pesa ni nzuri sana unavyo simuliwa na pale unapokuwa nayo ukiwa mwenye furaha ila pesa ni kitu cha hatari sana ukitumia njia za hovyo kuipata, haya sio maisha yako mwanangu na pengine haustahili kuishi sehemu kama hii, unisamehe tu baba yako ipo siku utajijua kiundani zaidi wewe ni nani hasa kuna sababu za msingi sana mpaka wewe ukaitwa Jamal" kwa mara ya kwanza alilitaja jina la mtoto wake aliye fahamika kama Jamal wakati anamjibu kwa utulivu mkubwa sana swali lake wakati huo mvua ziliendelea kuongezeka lakini hawakuzijali pamoja na radi zilizokuwa zinapiga.

"Baba mbona sijakuelewa umesema nikijijua? kwahiyo sijijui au unamaanisha mimi ni nani?" Jamal alishangazwa kidogo na maelezo ya baba yake alihisi huenda ameelewa tofauti na mzee huyo alivyokuwa amemuelekeza.

"Muda ni dakitari mzuri sana kwenye maisha mwanangu, muda huwa unaamua ni nani ni mtu sahihi kwenye maisha ya mwanadamu, muda huwa unatibu matatizo mbali mbali yanayo wafanya watu wanalia kila siku lakini pia muda huwa unakuja kutengenisha uhalisia na kitu kilichopo ndani ya giza(akaguna). Hakikisha unakitunza hiki kidani kama ambavyo huwa unayalinda macho yako pale yanapokuwa yanavamiwa na kitu chochote kama jiwe na vingine, hiki kidani usije ukathubutu kumpa mtu yeyote yule hata kama siku ikitokea mimi sipo, hiki kidani kina majibu sahihi ambayo yataamuliwa na muda, zingatia sana haya maneno hiki kidani hapaswi kukigusa mwanadamu mwingine yeyote kwa sasa zaidi ya wewe pekeyako hata ungekuwa umeoa mkeo na watoto wasingeruhusiwa kukigusa hicho kimeshikilia maisha ya watu wa nchi hii" maneno mazito ya mzee huyu akiwa anamwambia mwanae huyo Jamal huku akiyatoa kwa uchungu mkubwa sana akiwa anamvalisha kijana wake kidani ambacho hakuwahi kukiona hata siku moja ikionekana wazi anayaongea kwa maumivu makali na ndani ya moyo wake alionekana wazi kuwa na siri moja nzito sana ambayo ilikuwa ni siri ya kifua chake hakuhitaji mtu yeyote aijue zaidi ya yeye pekeyake.
Aliogopa Sana Jamal kukabidhiwa kitu ambacho kilisemekana kimeshikilia maisha ya wananchi karibia wote wa nchi hii ilimuogopesha mno alibaki anajiuliza maswali mengi bila kuyapatia majibu yake kwamba yeye ni nani hasa mpaka aweze kupewa kitu chenye thamani namna hiyo ila hakuyatilia maanani maneno ya baba yake kwani hicho kidani chenyewe kilikuwa cha kawaida tu tena cha zamani halikuwa na mvuto wowote kusema kwamba kitaweza kumfanya mtu avutiwe nacho, alitaka kuuliza kitu ila kichwa chake kilianza kumuuma ghafla na hii ilikuwa ni hali ya kawaida kwa takribani miaka minne sasa kila akiwa na mawazo au akionekana anataka kukumbuka baadhi ya mambo kichwa huwa kinaanza kumuua kama dakika mbili hivi ndipo anakuwa sawa.

"Acha kukiumiza kichwa chako mwanangu nakwambia kila siku muda utafika kichwa chako kitakuwa sawa, jiandae kesho asububi sana tunaondoka hii sehemu tunarudi Dar es salaam" maneno ya baba yake yalimpa maswali mengi ila yalimfurahisha mno, alikuw na hamu sana ya kufika ndani ya hili jiji ambalo alikuwa akisimuliwa na baba yake kwamba maisha yake ndiko yaliko anzia huku alihitaji kufika ili aone kama huenda wana ndugu wengine huku alichoka kukaa mwenyewe na baba yake pekee, alichukua kikapu chake cha samaki akiwa na kidani chake shingoni akaanza kumfuata baba yake nyuma kwa furaha kubwa baada ya kuambiwa asubuhi walikuwa wanawahi Dar es salaam kwa wazaramo japokuwa hakuelewa nauli wanatolea wapi kwa maisha waliyokuwa wanaishi yalikuwa ya kawaida sana hakuwa na imani kama baba yake atakuwa na nauli ila aliweza kumuamini baba yake hakuwahi kumdangaya.

Walifika kwenye kijumba chao hicho cha nyasi ambacho ndani kilikuwa na kitanda pamoja na vyombo vichache vya kupikia vilivyo onekana kutumika kwa muda mrefu kidogo, baba yake alipika ugali wakala kisha wakaenda kulala, kabla ya kufanya hivyo alishangaa kumuona baba yake ananyanyua upande mmoja wa kitanda hicho akakitoa kisu chake na kuchimba chini kidogo alitoa pesa mabunda matano yaliyo jaa pesa nyingi zikiwa ni pesa za kitanzania, dola za kimarekani pamoja na simu ndogo.

"Baba hizi pesa umezitoa wapi na umezihifadhi kwa muda gani pesa zote hizo?" Alikuwa na mshangao Jamal pesa zilikuwa mabunda matano yaliyo jaa vyema zilifungwa kwenye rubber band zikionekana hazikuguswa kabisa tangu siku wanazitoa Bank.

"Hahahaha hizi ni pesa zetu mwanangu usijali nimechoka saivi acha nipumzike tutaongea kesho tukiwa njiani"maelezo ya baba yake yakimtia wasi wasi sana hakuwahi kumuona mzee huyo akifanya kazi yoyote ile ya kumpatia ujira wowote zaidi ya uvuvi wa samaki wa chakula na kilimo cha mpunga kinacho wapatia chakula cha kujikimu alianza kuhisi huenda kuna mambo mengi sana hayajui kuhusu baba yake, alikigusa kidani chake kwa umakini akakiangalia kisha akalala.

Saa kumi kamili alfajiri ndio muda ambao Jamal aliamshwa na baba yake akiwa kwenye usingizi mzito.
"Hutaki kwenda Dar es salaam!" Baba yake alikuwa akimuuliza mtoto wake kwa tabasamu huku akimrushia mtoto wake suti moja ya bei kali sana, kwa mwanga mdogo wa kibatari kilichokuwa humo ndani kilimfanya Jamal azione nguo hizo kwa umakini, tangu aanze kujitambua hakuwahi kuvaa nguo za bei hata siku moja, alikuwa na maswali mengi juu ya huyu mzee wake lakini akaamua kukaa kimya akisubiri muda mwafaka wa kumuuliza ufike, hawakuhitaji mtu yeyote ajue kama walikuwa wanaondoka walizima kibatari chao na kubeba kila kilichokuwa cha mhimu wakakifunga kibanda chao hicho kwa nje.

"Huenda miaka niliyo kaa hapa ikawa ndiyo miaka yangu bora zaidi kuwahi kuiishi kwenye uhai wangu" Baba yake Jamal alitamka haya maneno akiwa amesimama anatazama vilele vya safu za mlima Livingstone, Jamal aliishia kutabasamu tu kisha wakaondoka hiyo sehemu wakianza harakati za kuweza kusafiri mpaka ndani ya jiji la Dar es salaam.

Jamal ni nani, huyu baba yake ni nani? Huko Dar es salaam wanaenda kutafuta nini?

Sehemu ya pili ya hadithi hii inafika mwisho huenda sehemu inayofuata ikatupatia majibu zaidi.

Bux the story teller.View attachment 2310925
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA TATU
TULIPO ISHIA SEHEMU YA PILI............

"Huenda miaka niliyo kaa hapa ikawa ndiyo miaka yangu bora zaidi kuwahi kuiishi kwenye uhai wangu" Baba yake Jamal alitamka haya maneno akiwa amesimama anatazama vilele vya safu za mlima Livingstone, Jamal aliishia kutabasamu tu kisha wakaondoka hiyo sehemu wakianza harakati za kuweza kusafiri mpaka ndani ya jiji la Dar es salaam.

ENDELEA NAYO.............
Zaidi ya kilomita 910 ambayo ni msaa 15 kutoka ndani ya wilaya ya Kyela mpaka kufika ndani ya jiji la Dar es salaam, saa mbili za usiku ndio muda ambao watu hawa wawili walikuwa wanaingia ndani ya jiji hili kubwa. Ilikuwa ni mara ya kwanza kabisa kwa kijana Jamal kufika ndani ya mji ambao alikuwa akizisikia sifa zake kutoka kwa baba yake kwa uzuri pamoja na kuwa na mambo mengi sana ya hovyo ikiwa ni pamoja na magenge ya wahuni wengi kupitiliza. Walikuwa ndani ya bajaji Jamal hakuwa na muda wa kuongea na mtu zaidi ya kushangaa shangaa mataa yalivyokuwa yamelipendezesha jiji hili kubwa, alijihisi furaha kubwa mno kwa sababu alikuwa amechoka sana kuishi maisha ya milimani akiishia kuvua tu samaki pamoja na kulima mpunga kila siku yeye na mvua mvua nayeye. Mzee wake alimwangalia kijana wake aliyekuwa bize muda wote kuchungulia nje na kufurahia namna watu walivyokuwa wanapishana kwa wingi usiku huo kila mtu akiwa yupo bize na mambo yake.

Buguruni sheli ndipo safari yao ilipoweza kuishia, walishuka ndani ya hiyo bajaji na mzee wake akalipa nauli wakaaanza kuondoka, Baba yake alionekana kuwa mwenyeji sana wa haya maeneo walizunguka nyuma ya hiyo mitaa Jamal alishangaa sana kuona wanawake wengi sana waliokuwa wanavutia mno machoni pake alikiri wazi kuna watu wanapendelewa sana na MUNGU kwenye maisha yake hakubahatika kuwaona warembo wa aina hiyo alitabasamu na kujihisi amani sana kwenye moyo wake ila cha ajabu wanawake hao wote walikuwa wamevaa vinguo vifupi kupitiliza kiasi kwamba hawawezi hata kuinama kuokota kitu chini miili yao ingekuwa mitupu kabisa na maungo yao yote yangekuwa nje kama wangefanya hivyo, hakuwa mwenyeji wala hakuwa na uelewa juu ya biashara ya wanawake kuiuza miili yao kwa vijana wenye tamaa za kimwili kwa kipato kidogo na hicho ndicho kilicho wafanya wanawake hao wawe na uwezo wa kuendelea kuishi kwenye jiji hili ambalo mwenye pesa ndiye mwenye kauli ya mwisho. Alisikitika sana kwa hilo hakuwahi kabisa kujuana na mwanamke kwenye maisha yake yote wala kupenda mtu , aliahidi lazima ataitafuta mitaa hiyo aje apate mke mzuri wa kumuoa bila hata kuwajua kiundani uhalisia wa hao wanawake. Ilikuwa ni tofauti kwa baba yake hakuwa hata na muda wa kugeuka kuwaangalia hao wanawake alikuwa ameyakaza macho yake mbele akionekana kuyazoea hayo mazingira.

Safari yao ilienda kuishia kwenye nyumba moja ya wageni kwenye mitaa hiyo ya uswahilini, walilipia chumba wakatoka kidogo kwenda kupata kitu chochote kwani tangu watoke Kyela walikuwa hawajagusa kitu chochote kile kwenye vinywa vyao na hilo halikuwa tatizo kabisa kwao walikuwa wameshazoea. Walipata chakula na hatimae waliweza kurudi ndani ya chumba chao na kuiweka mizigo yao vizuri kabisa wakalala. Mida ya usiku wa manane baba yake Jamal aliamka kimya kimya na kwa usiri mkubwa sana akionekana wazi hakuhitaji kabisa mtoto wake alitambue hilo, alivaa koti kubwa jeusi na buti kubwa akaufunga mlango kwa nje baada ya hapo akapotelea kwenye vichochoro vya hiyo mitaa akiwa hana wasi wasi kabisa. Saa nane kamili usiku kwenye kambi kubwa zaidi ya jeshi la nchi LUGALO ipatikanayo ndani ya Mwenge jijini Dar es salaam kwenye jengo kubwa la mkuu wa majeshi ambapo alikuwa anaishi, nje ya geti alionekana mtu mmoja mwenye koti kubwa jeusi akiwa amesimama hapo, aligonga geti hilo akiwa hana hata tone la wasi wasi kabisa, ndani ya hilo geti kulikuwa na walinzi wawili ambao wote walikuwa ni wanajeshi walishangazwa na ugeni wa usiku wa manane huo haikuwa kawaida mtu kufika na kugonga kirahisi kiasi hicho nyumbani kabisa kwa mkuu wa majeshi, walikaa kimya hata hivyo geti liliendelea kugongwa kwa nguvu sana. Walichomoa silaha zao na mmoja akafungua akiwa na jaziba kubwa alikutana na mtu aliyekuwa amempa mgongo ameangalia upande mwingine kabisa.
"Kijana vipi hauijui vizuri kazi yako au nagongaje geti zaidi ya mara tano na upo umekaa tu humo ndani na mwenzako, unavyo jiona unahisi unafaa kumlinda mkuu wa majeshi kweli wewe kwa uzembe ulio nao huo" huyu mtu alimuuliza mlinzi aliye baki anamshangaa kwa sababu mwenye makosa ni huyu aliyekuwa amegonga na sio mlinzi.
"Nani wewe mpaka uniuliza maswali yote hayo" aliuliza mlinzi kwa sauti yake kavu akiwa anaangaza huku na huko kama labda walikuwa wapo wengi hapo nje lakini hakuona mtu mwingine yeyote yule.
"Sio kazi yako kunijua mpelekee taatifa bosi wako mwambie nahitaji kuonana naye saivi" alikuwa anamgeukia huyo mlinzi akiwa hana hata presha.
"Hahahaha utakuwa kichaa wewe sio bure ebu toka hapa nisije nikakupiga bure nikaonekana nawanyanyasa raia kwa kumpiga mtu kichaa kama wewe, unajua ni kwa nani hapa mpaka uulize kirahisi namna hiyo kukutana na huyo mtu? Pumbavu sana" mlinzi hasira zilikuwa zimemuisha baada ya kugundua kwamba mtu aliyepo hapo huenda ni kichaa ndio maana amegonga geti hilo usiku akaamua kufunga geti hilo ila kabla ya kufanya hicho kitu hilo geti lilidakwa kwa mkono ulio shiba alijitahidi kulivuta hakufanikiwa kulifunga aliichomoa bastola yake ili ampige nayo huyo mwanaume ambae ni wazi alionekana sio mtu mwema, ngumi tatu za mbavu zilimfanya asiweze hata kutoa sauti mlinzi huyo, mwenzake alikuwa kwenye tahaturi wakati anasogea ili amshambulie huyo mgeni alihisi kitu cha baridi kimegusa sehemu ya kichwa chake, alikuwa amewekewa bastola kichwani kumaanisha kwamba kama angefanya chochote ilikuwa inapita na ubongo wake.
"unataka nini?" aliuliza mlinzi huku mwenzake akiwa chini anagala gala baada ya kuona wamezidiwa.
"Nahitaji kuongea na bosi wenu muda huu" sauti ya kiume iliyo jaa utulivu ilijibu.
"Hiki unacho kifanya ni hatari sana kwa sababu hapa huwezi kwenda popote pale na hizi vurugu ulizo zianzisha ni hatari sana muda wowote kuanzia sasa unakamatwa huyo mtu kumfikia alipo ni kazi ngumu na sio kirahisi kama unavyo fikiria wewe" baada ya kumaliza maelezo yake yule mwanaume alichomoa magazine kwenye silaha aliyokuwa amemuweka nayo chini ya ulinzi akaitupa ile bastola, ilimshangaza mlinzi kuona huyo mtu anajiamini nini hasa mpaka afanye yote hayo.
"Sijaja hapa kwa ugomvi ndio maana hata geti nimegonga kistaarabu tu ningeamua kupita kwa njia zangu nisingepitia mlangoni, ni jambo la mhimu sana nahitaji kuongea naye nakuomba mpigie simu niongee naye mwenyewe saivi" kidogo maneno yake ya busara yalimshawishi yule mwanajeshi akaitoa simu yake na kupiga namba ya dharura, iliita kwa dakika moja ikapokelewa aliambiwa asuburi kwa sekunde thelathini baada ya hapo simu ilionekana kuita baada ya mwanajeshi huyo kupokea alishangaa anaambiwa ampeleke huyo mtu sehemu yenye bustani nzuri sana kisha yeye arudi getini, kilicho mshangaza hakuulizwa kwamba ni nani alikuwa amefika hapo lakini aliruhusiwa basi akafanya hivyo na kurudi zake getini kuendelea kudumisha ulinzi na kumpatia mwenzake huduma ya kwanza.

"Kaka" ni sauti ya mshangao ilitoka kwa mkuu wa majeshi akionekana kumuita mtu aliyekuwa amefika kuongea nae majira hayo ya usiku. Alionekana kumjua vizuri mno huyo mwanaume kuliko binadamu yeyote yule.
"Uache huo ujinga wa kuruhusu kila mtu akija majira ya usiku kukuona kirahisi sana namna hii kama baadhi ya watu wakija kulijua hili kwamba kuonekana kwako ni rahisi hivi basi itakuwa ni hatari sana" mwanaume aliyekuwa amefika hapo alijibu kwa sauti yake nzito akiwa anageuka upande alipikuwa amesimama mkuu wa majeshi kwani muda wote alikuwa ameangalia upande wa swimming pool zuri lililokuwa likionekana vyema kwa taa Safi zilizo kuwa zimezungushiwa hapo.
" Sikuwa nina imani kama ni wewe ila hisia zilinituma hivyo kwani hakuna binadamu mwingine anayeweza kuja kugonga nyumbani kwangu usiku kirahisi hivi, namshukuru MUNGU umerudi niliogopa sana nikajua umekufa" mkuu wa majeshi aliongea kwa sauti ya masononeko akimkumbatia huyo mtu aliyekuwa akimuita kaka.
"Siwezi kufa kirahisi sana namna hii mdogo wangu bado nina kazi ngumu sana ya kukulinda" alitabasamu wakiwa wanatafuta sehemu ya kwenda kukaa wakipigwa na upepo majira hayo ya usiku. Mwanaume huyu alitoa sura yake ya bandia ambayo alikuwa ameiweka usoni mwake kwa miaka mingi sana, sura yake na ya mkuu wa majeshi ilikuwa ni moja, hawa walikuwa ni mapacha wa tumbo moja na walizaliwa siku moja ila walipishana masaa kadhaa tu na mkuu wa majeshi ndiye aliyekuwa wa mwisho kuzaliwa ndio maana alikuwa akimuita huyo mwanaume mbele yake kaka.
"Daud Hauston au Mmarekani mweusi jina lako la zamani sana ulikuwa ukipenda kujiita tukiwa wadogo, ni miaka zaidi ya mitano imepita sasa sijakutia machoni kwa yale niliyo yasikiaga mwanza niliogopaga kwamba huenda utakuwa umekutwa na jambo baya ulikuwa wapi kaka?" Walionekana kuwa ni watu waliopendana sana mapacha hawa mkuu wa majeshi alikuwa haamini kabisa kama mwenzake huyo alikuwa yupo hai mpaka leo.
"Nina mengi sana ya kuzungumza nawewe lakini muda nilio nao ni mchache sana kukaa hapa saivi, nimekuja hapa kwako kuna bwana mdogo ambaye ndiye pekee aliyepona kwenye ile familia nahitaji awe chini yako akachukue mafunzo ya ukomando nje ya nchi kwa sababu kuna kazi nzito sana ambayo anatakiwa kuifanya ipo mbele yake sina imani sana na uwezo wake na huko kuna mambo mengi ambayo nataka akajifunze ili akirudi nimrejeshee kumbukumbu zake ajitambue yeye ni nani na kazi itaanzia hapo kwa sasa anaweza akaishi kwa mawazo sana inatakiwa abaki vile vile" Kwa maelezo yake alikuwa ni baba yake Jamal huyu akidai mtoto aliye naye ndiye pekee aliyefanikiwa kupona kwenye familia moja huko mwanza akiwa anafahamika kama Daud Hauston au Mmarekani mweusi kama alivyo onekana kupenda kujiita tangu akiwa mdogo.

"Mhhhhhhh kumbe kuna mtoto mwingine alipona katika lile tukio?" Mkuu wa majeshi aliongea kwa mshituko akiwa bado haamini.
"Unamaanisha nini kusema mtoto mwingine alipona kwenye lile tukio wakati alipona mmoja pekee" Daud Hauston waweza kumuita baba Jamal aliuliza kwa mshangao.
"Siku ile hawakufa wote kuna mtoto wa kike tulifanikiwa kumuokoa akiwa yupo kwenye hali mbaya ila mpaka saivi yupo mzima wa afya kabisa ila tatizo moja tu alishapoteza kumbu kumbu zote alipata mshtuko mkali sana hivyo hapa duniani ananijua mimi pekee kama baba yake na hamwamini mtu yeyote mwingine zaidi yangu" mkuu wa majeshi aliongea maneno yaliyo mfanya huyo mwanaume atoe macho kwa mshangao mkubwa alijua ni utani
"Bwana mdogo tangu lini ukaanza masihara tukiwa kwenye mambo yenye usiriasi mkubwa sana namna hii?" Kauli yake wala haikujibiwa kwa maneno zaidi mkuu wa majeshi aliingiza mkono wake kwenye mfuko wa koti lake akaitoa picha na kumpatia mwanaume huyo. Kwenye hiyo picha kulikuwa na sura nzuri sana ya mtoto wa kike aliyekuwa akifanana kila kitu na Jamal sema utofauti wao ni kwamba huyu binti alilelewa kwenye maisha mazuri na Jamal alikulia kwenye maisha ya taabu hivyo yeye alikuwa amekomaa japo sura yake ilikuwa yenye mvuto bado. Alikuwa ni pacha wake wa kuzaliwa kabisa ajulikanaye kama Octavian Jonson.
"Hili jambo kuna nani mwingine analijua?" Kaka mtu aliangaza akiwa anaangalia huku na huku kuona kama kuna mtu anasikiliza hayo mazungumzo yao hakuona yeyote hiyo sehemu.
"Ni mimi pekee kaka haya siyo mambo ya kuufahamisha uma litakuwa ni tatizo lingine hili"
"Hakikisha hii inabaki siri yetu mimi na wewe na huyo mtoto mhifadhi sehemu salama sana mdogo wake kesho inabidi uje umchukue majira ya saa mbili za jioni buguruni sheli kwa nyuma atakuwa pale, hakikisha anachukuliwa baada ya hapo utanirudishia huyo bwana mdogo baada ya miaka mitatu na hili jambo lisiende mahala popote pale" mwanaume huyo baada ya kumaliza maneno yake akiondoka hapo kwa kasi kubwa kiasi kwamba alimuacha mdogo wake ambaye ni mkuu wa majeshi kwenye tafakuri kubwa akiwa ana maswali mengi sana kuhitaji kujua alikuwa wapi miaka yote hiyo.
Kulikuwa kumekucha vyema yeye na Jamal walikuwa wapo kwenye mgahawa wakipata supu baada ya kutoka hapo walienda kukaa kwenye daraja lipatikanalo Mandela road, barabara ya kuelekea mbagala.
"Leo jioni inawezekana ikawa siku yako ya mwisho kuniona, kuna mahali unaenda hakikisha unaenda kufanya unacho ambiwa hata kiwe nini chukulia kwamba hicho kitu nakwambia mimi, utarudi baada ya miaka mitatu na kama utafanikiwa kurudi salama nitakuwa na mazungumzo marefu nawewe na nitayajibu maswali yako yote" Jamal alikuwa anayasikiliza maneno kutoka kwa baba yake ambayo yalizungumzwa kama utani ila ndo alikuwa amemaliza hivyo na huwa harudii mara mbili.
"Baba!!" Aliita kwa mshangao Jamal ila alikatishwa njiani.
"Zingatia sana kuhusu hicho kidani kilinde kuliko hata unavyo weza ukanilinda mimi, haya nyanyuka twende nikalale nimechoka mimi sitaki maswali saivi" Jamal hakuwa na namna zaidi ya kunyanyuka na kuanza kuelekea kwenye chumba walicho lipia kwenye nyumba ya wageni, tangu wapo Kyela mpaka leo alikuwa na maswali mengi sana ambayo yote yalikuwa yanakatishwa njiani bila kupewa majibu basi alisubiri muda uamue zaidi.
Majira ya jioni saa mbili kasoro za usiku ndio muda ambao baba yake Jamal alikuwa anaamka kutoka usingizini wakati huo bwana mdogo alikuwa ametoka kuzunguka zunguka maeneo ya karibu kuijua mitaa kidogo.
"Shika pesa hiyo kaniletee maji haraka kichwa kinaniuma sana" sauti ya baba yake ilimshtua kwenye mawazo akiwa amejiegesha kitandani akiwaza mambo mengi sana. Alikuwa anampenda sana baba yake alivyo sikia anaumwa alitoka haraka humo ndani wakati huo ilikuwa ni majira ya saa mbili. Hatua kumi na tano kutoka kwenye hiyo nyumba ya wageni akitafuta duka la karibu na hayo maeneo mbele yake walikuwa wamesimama wanaume wanne, alitaka kubadili njia wakati anaangalia njia nyingine alimuona baba yake akimpungia mkono wa kwaheri akiwa hata haangalii nyuma alipokuwa mwanae aliishia vichochoroni ambako Jamal hakuelewa mzee wake anaelekea wapi, Jamal alicheka kwa hilo tukio lakini moyoni mwake aliumia sana kwa sababu hakujua sababu za msingi za baba yake kufanya yote hayo. Hakuhitaji hicho kitu kifanyike kijana huyu alikuwa ameivishwa sana alichukua kitambaa kidogo akaufunga mkono wake wa kulia alitabasamu kidogo, akianza kukimbia kuelekea upande walipokuwa wamesimama wanaume hao wanne.

Sehemu ya tatu sina la ziada naishia hapa mpaka wakati mwingine tena.

Bux the story teller.
JamiiForums1607841180.jpg
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA TATU
TULIPO ISHIA SEHEMU YA PILI............

"Huenda miaka niliyo kaa hapa ikawa ndiyo miaka yangu bora zaidi kuwahi kuiishi kwenye uhai wangu" Baba yake Jamal alitamka haya maneno akiwa amesimama anatazama vilele vya safu za mlima Livingstone, Jamal aliishia kutabasamu tu kisha wakaondoka hiyo sehemu wakianza harakati za kuweza kusafiri mpaka ndani ya jiji la Dar es salaam.

ENDELEA NAYO.............
Zaidi ya kilomita 910 ambayo ni msaa 15 kutoka ndani ya wilaya ya Kyela mpaka kufika ndani ya jiji la Dar es salaam, saa mbili za usiku ndio muda ambao watu hawa wawili walikuwa wanaingia ndani ya jiji hili kubwa. Ilikuwa ni mara ya kwanza kabisa kwa kijana Jamal kufika ndani ya mji ambao alikuwa akizisikia sifa zake kutoka kwa baba yake kwa uzuri pamoja na kuwa na mambo mengi sana ya hovyo ikiwa ni pamoja na magenge ya wahuni wengi kupitiliza. Walikuwa ndani ya bajaji Jamal hakuwa na muda wa kuongea na mtu zaidi ya kushangaa shangaa mataa yalivyokuwa yamelipendezesha jiji hili kubwa, alijihisi furaha kubwa mno kwa sababu alikuwa amechoka sana kuishi maisha ya milimani akiishia kuvua tu samaki pamoja na kulima mpunga kila siku yeye na mvua mvua nayeye. Mzee wake alimwangalia kijana wake aliyekuwa bize muda wote kuchungulia nje na kufurahia namna watu walivyokuwa wanapishana kwa wingi usiku huo kila mtu akiwa yupo bize na mambo yake.

Buguruni sheli ndipo safari yao ilipoweza kuishia, walishuka ndani ya hiyo bajaji na mzee wake akalipa nauli wakaaanza kuondoka, Baba yake alionekana kuwa mwenyeji sana wa haya maeneo walizunguka nyuma ya hiyo mitaa Jamal alishangaa sana kuona wanawake wengi sana waliokuwa wanavutia mno machoni pake alikiri wazi kuna watu wanapendelewa sana na MUNGU kwenye maisha yake hakubahatika kuwaona warembo wa aina hiyo alitabasamu na kujihisi amani sana kwenye moyo wake ila cha ajabu wanawake hao wote walikuwa wamevaa vinguo vifupi kupitiliza kiasi kwamba hawawezi hata kuinama kuokota kitu chini miili yao ingekuwa mitupu kabisa na maungo yao yote yangekuwa nje kama wangefanya hivyo, hakuwa mwenyeji wala hakuwa na uelewa juu ya biashara ya wanawake kuiuza miili yao kwa vijana wenye tamaa za kimwili kwa kipato kidogo na hicho ndicho kilicho wafanya wanawake hao wawe na uwezo wa kuendelea kuishi kwenye jiji hili ambalo mwenye pesa ndiye mwenye kauli ya mwisho. Alisikitika sana kwa hilo hakuwahi kabisa kujuana na mwanamke kwenye maisha yake yote wala kupenda mtu , aliahidi lazima ataitafuta mitaa hiyo aje apate mke mzuri wa kumuoa bila hata kuwajua kiundani uhalisia wa hao wanawake. Ilikuwa ni tofauti kwa baba yake hakuwa hata na muda wa kugeuka kuwaangalia hao wanawake alikuwa ameyakaza macho yake mbele akionekana kuyazoea hayo mazingira.

Safari yao ilienda kuishia kwenye nyumba moja ya wageni kwenye mitaa hiyo ya uswahilini, walilipia chumba wakatoka kidogo kwenda kupata kitu chochote kwani tangu watoke Kyela walikuwa hawajagusa kitu chochote kile kwenye vinywa vyao na hilo halikuwa tatizo kabisa kwao walikuwa wameshazoea. Walipata chakula na hatimae waliweza kurudi ndani ya chumba chao na kuiweka mizigo yao vizuri kabisa wakalala. Mida ya usiku wa manane baba yake Jamal aliamka kimya kimya na kwa usiri mkubwa sana akionekana wazi hakuhitaji kabisa mtoto wake alitambue hilo, alivaa koti kubwa jeusi na buti kubwa akaufunga mlango kwa nje baada ya hapo akapotelea kwenye vichochoro vya hiyo mitaa akiwa hana wasi wasi kabisa. Saa nane kamili usiku kwenye kambi kubwa zaidi ya jeshi la nchi LUGALO ipatikanayo ndani ya Mwenge jijini Dar es salaam kwenye jengo kubwa la mkuu wa majeshi ambapo alikuwa anaishi, nje ya geti alionekana mtu mmoja mwenye koti kubwa jeusi akiwa amesimama hapo, aligonga geti hilo akiwa hana hata tone la wasi wasi kabisa, ndani ya hilo geti kulikuwa na walinzi wawili ambao wote walikuwa ni wanajeshi walishangazwa na ugeni wa usiku wa manane huo haikuwa kawaida mtu kufika na kugonga kirahisi kiasi hicho nyumbani kabisa kwa mkuu wa majeshi, walikaa kimya hata hivyo geti liliendelea kugongwa kwa nguvu sana. Walichomoa silaha zao na mmoja akafungua akiwa na jaziba kubwa alikutana na mtu aliyekuwa amempa mgongo ameangalia upande mwingine kabisa.
"Kijana vipi hauijui vizuri kazi yako au nagongaje geti zaidi ya mara tano na upo umekaa tu humo ndani na mwenzako, unavyo jiona unahisi unafaa kumlinda mkuu wa majeshi kweli wewe kwa uzembe ulio nao huo" huyu mtu alimuuliza mlinzi aliye baki anamshangaa kwa sababu mwenye makosa ni huyu aliyekuwa amegonga na sio mlinzi.
"Nani wewe mpaka uniuliza maswali yote hayo" aliuliza mlinzi kwa sauti yake kavu akiwa anaangaza huku na huko kama labda walikuwa wapo wengi hapo nje lakini hakuona mtu mwingine yeyote yule.
"Sio kazi yako kunijua mpelekee taatifa bosi wako mwambie nahitaji kuonana naye saivi" alikuwa anamgeukia huyo mlinzi akiwa hana hata presha.
"Hahahaha utakuwa kichaa wewe sio bure ebu toka hapa nisije nikakupiga bure nikaonekana nawanyanyasa raia kwa kumpiga mtu kichaa kama wewe, unajua ni kwa nani hapa mpaka uulize kirahisi namna hiyo kukutana na huyo mtu? Pumbavu sana" mlinzi hasira zilikuwa zimemuisha baada ya kugundua kwamba mtu aliyepo hapo huenda ni kichaa ndio maana amegonga geti hilo usiku akaamua kufunga geti hilo ila kabla ya kufanya hicho kitu hilo geti lilidakwa kwa mkono ulio shiba alijitahidi kulivuta hakufanikiwa kulifunga aliichomoa bastola yake ili ampige nayo huyo mwanaume ambae ni wazi alionekana sio mtu mwema, ngumi tatu za mbavu zilimfanya asiweze hata kutoa sauti mlinzi huyo, mwenzake alikuwa kwenye tahaturi wakati anasogea ili amshambulie huyo mgeni alihisi kitu cha baridi kimegusa sehemu ya kichwa chake, alikuwa amewekewa bastola kichwani kumaanisha kwamba kama angefanya chochote ilikuwa inapita na ubongo wake.
"unataka nini?" aliuliza mlinzi huku mwenzake akiwa chini anagala gala baada ya kuona wamezidiwa.
"Nahitaji kuongea na bosi wenu muda huu" sauti ya kiume iliyo jaa utulivu ilijibu.
"Hiki unacho kifanya ni hatari sana kwa sababu hapa huwezi kwenda popote pale na hizi vurugu ulizo zianzisha ni hatari sana muda wowote kuanzia sasa unakamatwa huyo mtu kumfikia alipo ni kazi ngumu na sio kirahisi kama unavyo fikiria wewe" baada ya kumaliza maelezo yake yule mwanaume alichomoa magazine kwenye silaha aliyokuwa amemuweka nayo chini ya ulinzi akaitupa ile bastola, ilimshangaza mlinzi kuona huyo mtu anajiamini nini hasa mpaka afanye yote hayo.
"Sijaja hapa kwa ugomvi ndio maana hata geti nimegonga kistaarabu tu ningeamua kupita kwa njia zangu nisingepitia mlangoni, ni jambo la mhimu sana nahitaji kuongea naye nakuomba mpigie simu niongee naye mwenyewe saivi" kidogo maneno yake ya busara yalimshawishi yule mwanajeshi akaitoa simu yake na kupiga namba ya dharura, iliita kwa dakika moja ikapokelewa aliambiwa asuburi kwa sekunde thelathini baada ya hapo simu ilionekana kuita baada ya mwanajeshi huyo kupokea alishangaa anaambiwa ampeleke huyo mtu sehemu yenye bustani nzuri sana kisha yeye arudi getini, kilicho mshangaza hakuulizwa kwamba ni nani alikuwa amefika hapo lakini aliruhusiwa basi akafanya hivyo na kurudi zake getini kuendelea kudumisha ulinzi na kumpatia mwenzake huduma ya kwanza.

"Kaka" ni sauti ya mshangao ilitoka kwa mkuu wa majeshi akionekana kumuita mtu aliyekuwa amefika kuongea nae majira hayo ya usiku. Alionekana kumjua vizuri mno huyo mwanaume kuliko binadamu yeyote yule.
"Uache huo ujinga wa kuruhusu kila mtu akija majira ya usiku kukuona kirahisi sana namna hii kama baadhi ya watu wakija kulijua hili kwamba kuonekana kwako ni rahisi hivi basi itakuwa ni hatari sana" mwanaume aliyekuwa amefika hapo alijibu kwa sauti yake nzito akiwa anageuka upande alipikuwa amesimama mkuu wa majeshi kwani muda wote alikuwa ameangalia upande wa swimming pool zuri lililokuwa likionekana vyema kwa taa Safi zilizo kuwa zimezungushiwa hapo.
" Sikuwa nina imani kama ni wewe ila hisia zilinituma hivyo kwani hakuna binadamu mwingine anayeweza kuja kugonga nyumbani kwangu usiku kirahisi hivi, namshukuru MUNGU umerudi niliogopa sana nikajua umekufa" mkuu wa majeshi aliongea kwa sauti ya masononeko akimkumbatia huyo mtu aliyekuwa akimuita kaka.
"Siwezi kufa kirahisi sana namna hii mdogo wangu bado nina kazi ngumu sana ya kukulinda" alitabasamu wakiwa wanatafuta sehemu ya kwenda kukaa wakipigwa na upepo majira hayo ya usiku. Mwanaume huyu alitoa sura yake ya bandia ambayo alikuwa ameiweka usoni mwake kwa miaka mingi sana, sura yake na ya mkuu wa majeshi ilikuwa ni moja, hawa walikuwa ni mapacha wa tumbo moja na walizaliwa siku moja ila walipishana masaa kadhaa tu na mkuu wa majeshi ndiye aliyekuwa wa mwisho kuzaliwa ndio maana alikuwa akimuita huyo mwanaume mbele yake kaka.
"Daud Hauston au Mmarekani mweusi jina lako la zamani sana ulikuwa ukipenda kujiita tukiwa wadogo, ni miaka zaidi ya mitano imepita sasa sijakutia machoni kwa yale niliyo yasikiaga mwanza niliogopaga kwamba huenda utakuwa umekutwa na jambo baya ulikuwa wapi kaka?" Walionekana kuwa ni watu waliopendana sana mapacha hawa mkuu wa majeshi alikuwa haamini kabisa kama mwenzake huyo alikuwa yupo hai mpaka leo.
"Nina mengi sana ya kuzungumza nawewe lakini muda nilio nao ni mchache sana kukaa hapa saivi, nimekuja hapa kwako kuna bwana mdogo ambaye ndiye pekee aliyepona kwenye ile familia nahitaji awe chini yako akachukue mafunzo ya ukomando nje ya nchi kwa sababu kuna kazi nzito sana ambayo anatakiwa kuifanya ipo mbele yake sina imani sana na uwezo wake na huko kuna mambo mengi ambayo nataka akajifunze ili akirudi nimrejeshee kumbukumbu zake ajitambue yeye ni nani na kazi itaanzia hapo kwa sasa anaweza akaishi kwa mawazo sana inatakiwa abaki vile vile" Kwa maelezo yake alikuwa ni baba yake Jamal huyu akidai mtoto aliye naye ndiye pekee aliyefanikiwa kupona kwenye familia moja huko mwanza akiwa anafahamika kama Daud Hauston au Mmarekani mweusi kama alivyo onekana kupenda kujiita tangu akiwa mdogo.

"Mhhhhhhh kumbe kuna mtoto mwingine alipona katika lile tukio?" Mkuu wa majeshi aliongea kwa mshituko akiwa bado haamini.
"Unamaanisha nini kusema mtoto mwingine alipona kwenye lile tukio wakati alipona mmoja pekee" Daud Hauston waweza kumuita baba Jamal aliuliza kwa mshangao.
"Siku ile hawakufa wote kuna mtoto wa kike tulifanikiwa kumuokoa akiwa yupo kwenye hali mbaya ila mpaka saivi yupo mzima wa afya kabisa ila tatizo moja tu alishapoteza kumbu kumbu zote alipata mshtuko mkali sana hivyo hapa duniani ananijua mimi pekee kama baba yake na hamwamini mtu yeyote mwingine zaidi yangu" mkuu wa majeshi aliongea maneno yaliyo mfanya huyo mwanaume atoe macho kwa mshangao mkubwa alijua ni utani
"Bwana mdogo tangu lini ukaanza masihara tukiwa kwenye mambo yenye usiriasi mkubwa sana namna hii?" Kauli yake wala haikujibiwa kwa maneno zaidi mkuu wa majeshi aliingiza mkono wake kwenye mfuko wa koti lake akaitoa picha na kumpatia mwanaume huyo. Kwenye hiyo picha kulikuwa na sura nzuri sana ya mtoto wa kike aliyekuwa akifanana kila kitu na Jamal sema utofauti wao ni kwamba huyu binti alilelewa kwenye maisha mazuri na Jamal alikulia kwenye maisha ya taabu hivyo yeye alikuwa amekomaa japo sura yake ilikuwa yenye mvuto bado. Alikuwa ni pacha wake wa kuzaliwa kabisa ajulikanaye kama Octavian Jonson.
"Hili jambo kuna nani mwingine analijua?" Kaka mtu aliangaza akiwa anaangalia huku na huku kuona kama kuna mtu anasikiliza hayo mazungumzo yao hakuona yeyote hiyo sehemu.
"Ni mimi pekee kaka haya siyo mambo ya kuufahamisha uma litakuwa ni tatizo lingine hili"
"Hakikisha hii inabaki siri yetu mimi na wewe na huyo mtoto mhifadhi sehemu salama sana mdogo wake kesho inabidi uje umchukue majira ya saa mbili za jioni buguruni sheli kwa nyuma atakuwa pale, hakikisha anachukuliwa baada ya hapo utanirudishia huyo bwana mdogo baada ya miaka mitatu na hili jambo lisiende mahala popote pale" mwanaume huyo baada ya kumaliza maneno yake akiondoka hapo kwa kasi kubwa kiasi kwamba alimuacha mdogo wake ambaye ni mkuu wa majeshi kwenye tafakuri kubwa akiwa ana maswali mengi sana kuhitaji kujua alikuwa wapi miaka yote hiyo.
Kulikuwa kumekucha vyema yeye na Jamal walikuwa wapo kwenye mgahawa wakipata supu baada ya kutoka hapo walienda kukaa kwenye daraja lipatikanalo Mandela road, barabara ya kuelekea mbagala.
"Leo jioni inawezekana ikawa siku yako ya mwisho kuniona, kuna mahali unaenda hakikisha unaenda kufanya unacho ambiwa hata kiwe nini chukulia kwamba hicho kitu nakwambia mimi, utarudi baada ya miaka mitatu na kama utafanikiwa kurudi salama nitakuwa na mazungumzo marefu nawewe na nitayajibu maswali yako yote" Jamal alikuwa anayasikiliza maneno kutoka kwa baba yake ambayo yalizungumzwa kama utani ila ndo alikuwa amemaliza hivyo na huwa harudii mara mbili.
"Baba!!" Aliita kwa mshangao Jamal ila alikatishwa njiani.
"Zingatia sana kuhusu hicho kidani kilinde kuliko hata unavyo weza ukanilinda mimi, haya nyanyuka twende nikalale nimechoka mimi sitaki maswali saivi" Jamal hakuwa na namna zaidi ya kunyanyuka na kuanza kuelekea kwenye chumba walicho lipia kwenye nyumba ya wageni, tangu wapo Kyela mpaka leo alikuwa na maswali mengi sana ambayo yote yalikuwa yanakatishwa njiani bila kupewa majibu basi alisubiri muda uamue zaidi.
Majira ya jioni saa mbili kasoro za usiku ndio muda ambao baba yake Jamal alikuwa anaamka kutoka usingizini wakati huo bwana mdogo alikuwa ametoka kuzunguka zunguka maeneo ya karibu kuijua mitaa kidogo.
"Shika pesa hiyo kaniletee maji haraka kichwa kinaniuma sana" sauti ya baba yake ilimshtua kwenye mawazo akiwa amejiegesha kitandani akiwaza mambo mengi sana. Alikuwa anampenda sana baba yake alivyo sikia anaumwa alitoka haraka humo ndani wakati huo ilikuwa ni majira ya saa mbili. Hatua kumi na tano kutoka kwenye hiyo nyumba ya wageni akitafuta duka la karibu na hayo maeneo mbele yake walikuwa wamesimama wanaume wanne, alitaka kubadili njia wakati anaangalia njia nyingine alimuona baba yake akimpungia mkono wa kwaheri akiwa hata haangalii nyuma alipokuwa mwanae aliishia vichochoroni ambako Jamal hakuelewa mzee wake anaelekea wapi, Jamal alicheka kwa hilo tukio lakini moyoni mwake aliumia sana kwa sababu hakujua sababu za msingi za baba yake kufanya yote hayo. Hakuhitaji hicho kitu kifanyike kijana huyu alikuwa ameivishwa sana alichukua kitambaa kidogo akaufunga mkono wake wa kulia alitabasamu kidogo, akianza kukimbia kuelekea upande walipokuwa wamesimama wanaume hao wanne.

Sehemu ya tatu sina la ziada naishia hapa mpaka wakati mwingine tena.

Bux the story teller.View attachment 2327671
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA NNE

TULIPO ISHIA SEHEMU YA TATU............
Alikuwa anampenda sana baba yake alivyo sikia anaumwa alitoka haraka humo ndani wakati huo ilikuwa ni majira ya saa mbili. Hatua kumi na tano kutoka kwenye hiyo nyumba ya wageni akitafuta duka la karibu na hayo maeneo mbele yake walikuwa wamesimama wanaume wanne, alitaka kubadili njia wakati anaangalia njia nyingine alimuona baba yake akimpungia mkono wa kwaheri akiwa hata haangalii nyuma alipokuwa mwanae aliishia vichochoroni ambako Jamal hakuelewa mzee wake anaelekea wapi, Jamal alicheka kwa hilo tukio lakini moyoni mwake aliumia sana kwa sababu hakujua sababu za msingi za baba yake kufanya yote hayo. Hakuhitaji hicho kitu kifanyike kijana huyu alikuwa ameivishwa sana alichukua kitambaa kidogo akaufunga mkono wake wa kulia alitabasamu kidogo, akianza kukimbia kuelekea upande walipokuwa wamesimama wanaume hao wanne.

ENDELEA NAYO............................
Jamal hakuhitaji maswali mengi kwa hao watu akijua wazi wapo hapo kwa ajili ya kumchukua na hakuwa tayari kuweza kuruhusu hiyo hali iweze kutokea hakutaka kuishi mbali na baba yake ni kitu alicho jiwekea ahadi tangu siku ya Kwanza kuweza kujitambua akiwa ndani ya Kyela. Baada ya kuwafikia wale wananaume wanne aliwapita juu kwa sarakasi moja maridadi sana akatua nyuma yao mmoja alipokea teke la mgongo lililo mzoa mpaka kwenye ukuta wa nyumba moja iliyokuwa jirani na hapo, ni kama bahati hiyo nyumba ilikuwa imejengwa kwa tofali za simenti vinginevyo ingeweza kubomoka hata hivyo huyo mwanaume alijinyanyua na kujifuta vumbi lililokuwa limeshika kwenye nguo zake baada ya yeye kudondoka pale chini.

"Bwana mdogo ebu acha hiki unachotaka kukifanya ni hatari mno kwa mtoto mdogo kama wewe ebu ongozana nasisi upande kwenye gari tuweze kuondoka hili eneo kwa amani tu bila kuumizana, wewe ni kama mdogo wangu usinilazimishe kufanya kitu kibaya kwenye mwili wako huo" umbo la Jamal nadhani lilimdanganya sana kiongozi wa hawa wanaume, hakuwa mdogo sana mwili wake ulikuwa umepasuka na kuvimba kwa mazoezi magumu ya mlimani hata hivyo umbo lake alionekana bado ni mdogo sana alikuwa na miaka 21 tu pekee.

"Sawa kama ni rahisi sana namna hiyo niko hapa njoo unichukue" Jamal hakuwa mtu wa kuongea ongea sana hasa kwa mtu ambaye hakumjua kabisa kwenye maisha yake, kauli yake ilimfanya yule mwanaume aliyedondokea ukutani kuja kwa hasira akitaka kulipiza, mkono wake ulikamatwa kwa nguvu alipigwa na buti maeneo ya sehemu za siri mpaka wenzake walianza kumcheka namna alivyotia huruma kwa kupigwa na mtoto mdogo namna hiyo. Walijikusanya wote wanne ili wamkamate kiurahisi ila ilikuwa ni tofauti sana na walivyokuwa wakimdhania alicho kuwa anakifaya hapo wote kiliwashangaza, alionekana kuwa sio wa kawaida hata kidogo miaka minne aliyoweza kuishi ndani ya safu za mlima Livingstone na baba yake alikuwa ameivishwa vya kutosha mifupa yake ikiwa mikavu bila maji ilikomaa sana.

Hiyo sehemu ilichafuka kwa mapigano makali ya hao watu wanne dhidi ya kijana mdogo mmoja tu, hakuna mwananchi yeyote wa Buguruni aliyetamani kukatiza kwenye hayo maeneo licha ya maeneo hayo kusifika kuwa na wahuni wengi wa kutosha, wote walikuwa wamejifungia ndani wengine waliokuwa karibu zaidi wakiifunga vyema milango ya nyumba zao wasije kuyakatisha maisha yao ambayo yanasemekana kuwa mafupi mno kwa mwanadamu wa kawaida. Dakika kumi za vita vikali ziliisha baada ya Jamal kuchomwa sindano ya usingizi shingoni iliyo mlevya na kulala usingizi mzito. Walifanikiwa kumpata lakini wanaume hao walikuwa wapo hoi kwa kipigo wakichokuwa wamepewa na kijana Jamal hakikuwa cha kawaida hata kidogo. Walimbeba haraka haraka na kumpakiza kwenye gari lao lililokuwa lipo karibu na hapo huku wakichechemea, waliondoka hayo maeneo na kupotelea kusiko julikana.

Wakati matukio yote hayo yanafanyika Daud Hauston baba yake na Jamal alikuwa amesimama juu ya daraja lililopo katikati ya bara bara kubwa ifahamikayo kama Mandela Road, alikuwa juu kabisa majira hayo ya saa mbili akiwa anashuhudia kila kilichokuwa kinaendelea, alivyo hakikisha wamefanikiwa kumkamata Jamal japokuwa waliteseka sana aliondoka hilo eneo kwa kuruka kutoka juu ya daraja hilo dogo ambalo watu wengi huwa wanalitumia kupumzika usiku hasa kupata upepo kupunguza adha ya joto ambalo linapatikana kwenye hili jiji, watu walimshangaa mzee huyo kwani juu mpaka chini palikuwa ni mbali sana halafu ni kati kati ya barabara muda wote magari yalikuwa yanapita ilikuwa ni hatari kufanya hicho kitu hivyo hawakuelewa kwanini asitumie njia za kawaida tu kushuka, hakuwajali kabisa aliingia vichochoroni na kupotelea mahali pasipo julikana kabisa.

"Niache naondoka mimi, mwanaume gani huwezi kumsikiliza mkeo kila siku unaiamini halmashauri ya kichwa chako tu kwa sababu unajua nakupenda sana ndo unapata kiburi eeh, ndio Kwanza nina mtoto mmoja tu basi unataka nife nikiwa bado mdogo hivi hapana baba Precious mimi siwezi naenda kwetu maisha gani haya" ni ndani ya mitaa hiyo hiyo ya Buguruni mtu na mkewe walikuwa kwenye ugomvi mzito sana ulio onekana kusababishwa na mume mtu kuwa na kichwa kigumu sana kwenye kuchanganua mambo.

"Mke wangu nilikwambia mapema hili nitalifanyia kazi mapema tu nadhani wiki ijayo nitakuwa nimeshalimaliza mama Precious wangu nakupenda siwezi kuishi mwenyewe bila wewe mke wangu nadhani hilo unalijua vizuri kwahiyo usifanye hivyo" ni maneno ya mume mtu ambaye ni baba Precious akimbembeleza mkewe ambaye alikuwa ana miaka minne tu tangu amuoe alimpenda sana huyo mwanamke aliye mheshimisha baada ya kuimbwa sana mtaani kwamba hawezi kuzaa. Alikuwa ameyashikilia mabegi ya mkewe ili asiweze kufanya haya maamuzi mtoto akiwa zake kwenye kochi akicheza na mdoli wake asielewe kinacho endelea kwa wazazi wake.

"Kila siku matukio hayaishi hii mitaa mimi naogopa kuendelea kuishi huku nakwambia kila siku tuhame hutaki, ona watu wanapigania kwenye ukuta wa nyumba kabisa mpaka ndani nasikia vipi kama wangebomoa au wangeingia ndani si ningekufa mimi na mwanangu?" Mama Precious aliendelea kulalamika huku akimpiga piga mumewe, mapigano ya akina Jamal yalifanyika nyuma ya nyumba yake na hata yule mwanaume aliyepigwa na Jamal alidondokea kwenye huo ukuta hiyo ilimpelekea mwanamke huyu kuwa ma wasi wasi kubwa sana ya kuendelea kuishi ndani ya maeneo hayo akihofia uhai wake na mwanae, mumewe alimkumbatia kwa kumbembeleza akimpiga piga mgongoni basi yaliisha akamsamehe mmewe ambaye aliahidi kuhama baada ya wiki moja mbele.

Ile sindano aliyouwa amechomwa Jamal alikuja kuamka kesho yake majira ya saa sita za mchana akiwa kwenye chumba kikubwa na kizuri tofauti na maisha aliyokuwa ameyazoea yeye, alitaka kuuliza yuko wapi ila aliona atakuwa mjinga kwani humo ndani alikuwa yupo peke yake, alijivuta kwa uchovu mpaka lilipokuwa dirisha kubwa la kisasa lililuwa wazi pakiwa pametandazwa pazia kubwa lililo mfanya asiweze kuona nje, alilitoa pazia hilo alicho kiona nje kilimfanya arudi nyuma kama hatua mbili kwa uoga, nje walikuwa wanaonekana watu walio vaa kombati za jeshi wakiwa na silaha nzito wakizunguka zunguka karibu na hiyo nyumba kwa umakini sana, mara ya Kwanza alihisi atakuwa jela lakini aliwaza hata Kama hajawahi kwenda jela kwa jinsi ambavyo huwa anasimuliwa jela haiwezi kuwa nzuri namna hiyo, hata hivyo hilo wazo alilipinga kwa sababu kubwa mbili aende jela kwa kosa lipi alilolifanya? Pia alijua baba yake angekuwa amekuja kumtembelea hapo.

Ilimlazimu kurudi tena kitandani ili atulize akili kukumbuka yupo ni wapi, baada ya dakika moja usingizi ulikata kichwani akakumbuka matukio ya jana yake akagundua alikuwa ameshikwa na watu ambao walionekana kabisa kuwa na taarifa kutoka kwa baba yake, basi aliamua kusubiri kuona nini kinaenda kutokea humo ndani. Baada ya dakika kumi na tano kupita mlango wa hicho chumba aliingia mwanaume mmoja akiwa pekeyake bila presha yoyote mikono yake kaiweka nyuma, sura ilikuwa ni ngeni kabisa hakuwahi kumuona mtu kama huyo kwenye maisha yake yote, ila hakuwa anajua kama mtu mwenye sura kama hiyo alikuwa ni baba yake na alikuwa anaishi naye karibia kila siku tatizo la huyo mzee alikuwa anaishi na sura bandia ambayo haikuw yakwake lakini hicho kitu Jamal hakuwahi kukijua wala kukihisi hata siku moja.

"Utakuwa una maswali mengi sana kuhusu wewe kuwepo hapa, kwanini baba yako ameruhusu hili liweze kukutokea wewe hapo, unatakiwa ujue tu kwamba haya yanatokea kwa sababu anakuandalia maisha yako halisi ya baadae na namna ya kuweza kuukabili huu ulimwengu kwa siku chache zijazo mbeleni. Sitakuwa na jibu la swali lako lolote mimi nitafanya yale ambayo napaswa kuyafanya kwako basi, ila ujue tu kwamba hapa mbele yako aliye simama ni mkuu wa majeshi ya nchi ya Tanzania" maelezo ya mwanzo yote yalimzalishia maswali mengi sana ndani ya kichwa chake Jamal ila hili la mwisho lilimtisha kiasi kwamba akaanza kutetemeka alielewa mkuu wa jeshi ni mtu mkubwa ndani ya nchi hivyo alikuwa na wasi wasi mkubwa kusikia hayo maneno hakuelewa yeye na mkuu wa majeshi wanahusiana vipi mpaka aweze kuletwa mbele ya huyo mwanaume. Jamal hakupewa nafasi ya kuongea tangu huyo mwanaume aweze kuingia humo ndani sasa ndo alipata wasaa wa kuufungua mdomo wake.

"Shikamoo mkuu" ilimlazimu kusalimia kwa ukakamavu baada ya kugundua yupo mbele ya mkubwa wa wanajeshi na makomando wote wa nchi, mkuu wa majeshi alitabasamu baada ya kugundua kwamba huyo kijana alikuwa mstaarabu sana kwa aina ya uongeaji wake ulivyokuwa.

"Unajijua kwa jina moja tu kama Jamal ila wewe unaitwa Jamal Hauston, hizo hapo ni passports zako na kadi ya benki namba ya siri ni 0101, ishike vizuri hiyo namba ya siri ina uhusiano mkubwa sana na maisha yako ya nyuma, kwenye hiyo account kuna bilioni kumi za kitanzania zitumie utakavyo kwa muda utakao upo mbali ila usisahau kuufunga mdomo wako kwa kila kitu unacho kijua kwenye maisha yako na usimwamini mtu yeyote yule popote pale utakapokuwa pia usije ukamueleza mtu kuhusu uwepo wa baba yako kama ikitokea hata viongozi wakubwa wanakuuliza waambie mimi sina wazazi ni yatima walishakufa miaka mingi sana huko nyuma hapa nipo kwa sababu ya kuiwakilisha bendera ya nchi yangu ya Tanzania". Maneno yalikuwa mazito sana kwa Jamal hakuelewa anawezaje kusema yeye ni yatima wakati baba yake ni mzima wa afya aliona anaenda kumkosea sana baba yake ila huenda hawa watu walikuwa na maana kubwa sana ambayo yeye hakuwa anaijua kabisa kwa sababu hakuonekana kujua kitu chochote kile, alilazimika kuuliza wakati huo mkuu wa majeshi alikuwa ameshaanza kuondoka akiwa amemuacha njiapanda sana.

"Samahani kwani natakiwa kwenda wapi?" Jamal alihisi kama wanamchanganya kichwa chake walikuwa wanamwambia vitu nusu nusu alikuwa haelewi.

"Ooooohps nilisahau, kwa sasa unaelekea Cuba, kule unaenda kama komando wa nchi ya Tanzania ambaye unaenda kuchukua mafunzo ya hali ya juu zaidi ya makomando wakubwa duniani, haukutakiwa kwenda huko kwa sababu haupo kwenye orodha ya wanajeshi wala hujawahi kuhudumu ndani ya jeshi la nchi, nimefanya hivi kwa heshima ya baba yako tu ambaye ni rafiki yangu wa muda mrefu. Kwa sasa wewe unaenda kuwa komando halisia kabisa wa nchi yako na hilo unatakiwa kuliweka kichwani unaenda kuilinda nchi yako kwa maisha yako yote haijalishi umeenda kwa bahati mbaya au kwa kupanga ukishaingia huko ni moja kwa moja unalazimika kuitumikia nchi yako. Popote unapokuwa zikumbuke rangi nne za bendera ya nchi yako Blue ikimaanisha maziwa, mito, bahari,na vyanzo vyote vya maji, Nyeusi ikiwa inawakilisha kwamba sisi ni Waafrika, Kijani inasimama kwa niaba ya uoto wa asili uliopo nchini na ya mwisho ni Njano hii inawakilisha utajiri wa madini tulio nao nchini mwetu. Haujui sheria za jeshi vizuri ila baba yako amekufanya umekuwa mwanaume imara hivyo tumia uzoefu na kufuata kanuni zote za mafunzo uwapo huko hautapata tatizo lolote ila kama kuna kitu utakuwa unakihitaji utaelekezwa sehemu ya kwenda ukiwa kule namimi nitakuwa napata taarifa,jiandae baada ya masaa mawili wanakuja kukuchukua na kukupeleka huko" mkuu wa majeshi baada ya kumalza maelezo yake alitoka humo ndani na kuufunga mlango, Jamal alikaa chini kabisa kwenye sakafu aliishiwa nguvu zote hakuwa anajua lolote kuhusu hicho kitu leo ghafla hivi anaambiwa anaenda kwenye mafunzo ya kikomando kuja kuilinda nchi yake pendwa ya Tanzania, aliona kama baba yake hajamfanyia wema kwa hilo alitakiwa amuulize Kwanza kama alikuwa yupo tayari kuifanya hiyo kazi, alifikiria sana ni kipi kilikuwa kinaendelea kwenye maisha yake ambacho yeye binafsi hakuwa na uelewa nacho?, Alianza kuhisi kwamba huenda yalikuwa yapo mambo mazito mno nyuma ya pazia ambayo alikuwa anatakiwa aweze kuyajua, kuna picha zilianza kujirudia rudia kwenye kichwa chake kumbu kumbu zilikuwa zinakuja na kupotea kichwa kilianza kumuua sana, alipiga makelele mazito humo ndani akiwa hapo sakafu, baada ya dakika tano alitulia na kulala hapo hapo chini ya sakafu.

Ukurasa wa 4 natia nanga, endelea kufuatilia kisa hiki chenye utulivu kabisa wa kukupatia madini ya ubongo.

Bux the story teller.

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA NNE

TULIPO ISHIA SEHEMU YA TATU............
Alikuwa anampenda sana baba yake alivyo sikia anaumwa alitoka haraka humo ndani wakati huo ilikuwa ni majira ya saa mbili. Hatua kumi na tano kutoka kwenye hiyo nyumba ya wageni akitafuta duka la karibu na hayo maeneo mbele yake walikuwa wamesimama wanaume wanne, alitaka kubadili njia wakati anaangalia njia nyingine alimuona baba yake akimpungia mkono wa kwaheri akiwa hata haangalii nyuma alipokuwa mwanae aliishia vichochoroni ambako Jamal hakuelewa mzee wake anaelekea wapi, Jamal alicheka kwa hilo tukio lakini moyoni mwake aliumia sana kwa sababu hakujua sababu za msingi za baba yake kufanya yote hayo. Hakuhitaji hicho kitu kifanyike kijana huyu alikuwa ameivishwa sana alichukua kitambaa kidogo akaufunga mkono wake wa kulia alitabasamu kidogo, akianza kukimbia kuelekea upande walipokuwa wamesimama wanaume hao wanne.

ENDELEA NAYO............................
Jamal hakuhitaji maswali mengi kwa hao watu akijua wazi wapo hapo kwa ajili ya kumchukua na hakuwa tayari kuweza kuruhusu hiyo hali iweze kutokea hakutaka kuishi mbali na baba yake ni kitu alicho jiwekea ahadi tangu siku ya Kwanza kuweza kujitambua akiwa ndani ya Kyela. Baada ya kuwafikia wale wananaume wanne aliwapita juu kwa sarakasi moja maridadi sana akatua nyuma yao mmoja alipokea teke la mgongo lililo mzoa mpaka kwenye ukuta wa nyumba moja iliyokuwa jirani na hapo, ni kama bahati hiyo nyumba ilikuwa imejengwa kwa tofali za simenti vinginevyo ingeweza kubomoka hata hivyo huyo mwanaume alijinyanyua na kujifuta vumbi lililokuwa limeshika kwenye nguo zake baada ya yeye kudondoka pale chini.

"Bwana mdogo ebu acha hiki unachotaka kukifanya ni hatari mno kwa mtoto mdogo kama wewe ebu ongozana nasisi upande kwenye gari tuweze kuondoka hili eneo kwa amani tu bila kuumizana, wewe ni kama mdogo wangu usinilazimishe kufanya kitu kibaya kwenye mwili wako huo" umbo la Jamal nadhani lilimdanganya sana kiongozi wa hawa wanaume, hakuwa mdogo sana mwili wake ulikuwa umepasuka na kuvimba kwa mazoezi magumu ya mlimani hata hivyo umbo lake alionekana bado ni mdogo sana alikuwa na miaka 21 tu pekee.

"Sawa kama ni rahisi sana namna hiyo niko hapa njoo unichukue" Jamal hakuwa mtu wa kuongea ongea sana hasa kwa mtu ambaye hakumjua kabisa kwenye maisha yake, kauli yake ilimfanya yule mwanaume aliyedondokea ukutani kuja kwa hasira akitaka kulipiza, mkono wake ulikamatwa kwa nguvu alipigwa na buti maeneo ya sehemu za siri mpaka wenzake walianza kumcheka namna alivyotia huruma kwa kupigwa na mtoto mdogo namna hiyo. Walijikusanya wote wanne ili wamkamate kiurahisi ila ilikuwa ni tofauti sana na walivyokuwa wakimdhania alicho kuwa anakifaya hapo wote kiliwashangaza, alionekana kuwa sio wa kawaida hata kidogo miaka minne aliyoweza kuishi ndani ya safu za mlima Livingstone na baba yake alikuwa ameivishwa vya kutosha mifupa yake ikiwa mikavu bila maji ilikomaa sana.

Hiyo sehemu ilichafuka kwa mapigano makali ya hao watu wanne dhidi ya kijana mdogo mmoja tu, hakuna mwananchi yeyote wa Buguruni aliyetamani kukatiza kwenye hayo maeneo licha ya maeneo hayo kusifika kuwa na wahuni wengi wa kutosha, wote walikuwa wamejifungia ndani wengine waliokuwa karibu zaidi wakiifunga vyema milango ya nyumba zao wasije kuyakatisha maisha yao ambayo yanasemekana kuwa mafupi mno kwa mwanadamu wa kawaida. Dakika kumi za vita vikali ziliisha baada ya Jamal kuchomwa sindano ya usingizi shingoni iliyo mlevya na kulala usingizi mzito. Walifanikiwa kumpata lakini wanaume hao walikuwa wapo hoi kwa kipigo wakichokuwa wamepewa na kijana Jamal hakikuwa cha kawaida hata kidogo. Walimbeba haraka haraka na kumpakiza kwenye gari lao lililokuwa lipo karibu na hapo huku wakichechemea, waliondoka hayo maeneo na kupotelea kusiko julikana.

Wakati matukio yote hayo yanafanyika Daud Hauston baba yake na Jamal alikuwa amesimama juu ya daraja lililopo katikati ya bara bara kubwa ifahamikayo kama Mandela Road, alikuwa juu kabisa majira hayo ya saa mbili akiwa anashuhudia kila kilichokuwa kinaendelea, alivyo hakikisha wamefanikiwa kumkamata Jamal japokuwa waliteseka sana aliondoka hilo eneo kwa kuruka kutoka juu ya daraja hilo dogo ambalo watu wengi huwa wanalitumia kupumzika usiku hasa kupata upepo kupunguza adha ya joto ambalo linapatikana kwenye hili jiji, watu walimshangaa mzee huyo kwani juu mpaka chini palikuwa ni mbali sana halafu ni kati kati ya barabara muda wote magari yalikuwa yanapita ilikuwa ni hatari kufanya hicho kitu hivyo hawakuelewa kwanini asitumie njia za kawaida tu kushuka, hakuwajali kabisa aliingia vichochoroni na kupotelea mahali pasipo julikana kabisa.

"Niache naondoka mimi, mwanaume gani huwezi kumsikiliza mkeo kila siku unaiamini halmashauri ya kichwa chako tu kwa sababu unajua nakupenda sana ndo unapata kiburi eeh, ndio Kwanza nina mtoto mmoja tu basi unataka nife nikiwa bado mdogo hivi hapana baba Precious mimi siwezi naenda kwetu maisha gani haya" ni ndani ya mitaa hiyo hiyo ya Buguruni mtu na mkewe walikuwa kwenye ugomvi mzito sana ulio onekana kusababishwa na mume mtu kuwa na kichwa kigumu sana kwenye kuchanganua mambo.

"Mke wangu nilikwambia mapema hili nitalifanyia kazi mapema tu nadhani wiki ijayo nitakuwa nimeshalimaliza mama Precious wangu nakupenda siwezi kuishi mwenyewe bila wewe mke wangu nadhani hilo unalijua vizuri kwahiyo usifanye hivyo" ni maneno ya mume mtu ambaye ni baba Precious akimbembeleza mkewe ambaye alikuwa ana miaka minne tu tangu amuoe alimpenda sana huyo mwanamke aliye mheshimisha baada ya kuimbwa sana mtaani kwamba hawezi kuzaa. Alikuwa ameyashikilia mabegi ya mkewe ili asiweze kufanya haya maamuzi mtoto akiwa zake kwenye kochi akicheza na mdoli wake asielewe kinacho endelea kwa wazazi wake.

"Kila siku matukio hayaishi hii mitaa mimi naogopa kuendelea kuishi huku nakwambia kila siku tuhame hutaki, ona watu wanapigania kwenye ukuta wa nyumba kabisa mpaka ndani nasikia vipi kama wangebomoa au wangeingia ndani si ningekufa mimi na mwanangu?" Mama Precious aliendelea kulalamika huku akimpiga piga mumewe, mapigano ya akina Jamal yalifanyika nyuma ya nyumba yake na hata yule mwanaume aliyepigwa na Jamal alidondokea kwenye huo ukuta hiyo ilimpelekea mwanamke huyu kuwa ma wasi wasi kubwa sana ya kuendelea kuishi ndani ya maeneo hayo akihofia uhai wake na mwanae, mumewe alimkumbatia kwa kumbembeleza akimpiga piga mgongoni basi yaliisha akamsamehe mmewe ambaye aliahidi kuhama baada ya wiki moja mbele.

Ile sindano aliyouwa amechomwa Jamal alikuja kuamka kesho yake majira ya saa sita za mchana akiwa kwenye chumba kikubwa na kizuri tofauti na maisha aliyokuwa ameyazoea yeye, alitaka kuuliza yuko wapi ila aliona atakuwa mjinga kwani humo ndani alikuwa yupo peke yake, alijivuta kwa uchovu mpaka lilipokuwa dirisha kubwa la kisasa lililuwa wazi pakiwa pametandazwa pazia kubwa lililo mfanya asiweze kuona nje, alilitoa pazia hilo alicho kiona nje kilimfanya arudi nyuma kama hatua mbili kwa uoga, nje walikuwa wanaonekana watu walio vaa kombati za jeshi wakiwa na silaha nzito wakizunguka zunguka karibu na hiyo nyumba kwa umakini sana, mara ya Kwanza alihisi atakuwa jela lakini aliwaza hata Kama hajawahi kwenda jela kwa jinsi ambavyo huwa anasimuliwa jela haiwezi kuwa nzuri namna hiyo, hata hivyo hilo wazo alilipinga kwa sababu kubwa mbili aende jela kwa kosa lipi alilolifanya? Pia alijua baba yake angekuwa amekuja kumtembelea hapo.

Ilimlazimu kurudi tena kitandani ili atulize akili kukumbuka yupo ni wapi, baada ya dakika moja usingizi ulikata kichwani akakumbuka matukio ya jana yake akagundua alikuwa ameshikwa na watu ambao walionekana kabisa kuwa na taarifa kutoka kwa baba yake, basi aliamua kusubiri kuona nini kinaenda kutokea humo ndani. Baada ya dakika kumi na tano kupita mlango wa hicho chumba aliingia mwanaume mmoja akiwa pekeyake bila presha yoyote mikono yake kaiweka nyuma, sura ilikuwa ni ngeni kabisa hakuwahi kumuona mtu kama huyo kwenye maisha yake yote, ila hakuwa anajua kama mtu mwenye sura kama hiyo alikuwa ni baba yake na alikuwa anaishi naye karibia kila siku tatizo la huyo mzee alikuwa anaishi na sura bandia ambayo haikuw yakwake lakini hicho kitu Jamal hakuwahi kukijua wala kukihisi hata siku moja.

"Utakuwa una maswali mengi sana kuhusu wewe kuwepo hapa, kwanini baba yako ameruhusu hili liweze kukutokea wewe hapo, unatakiwa ujue tu kwamba haya yanatokea kwa sababu anakuandalia maisha yako halisi ya baadae na namna ya kuweza kuukabili huu ulimwengu kwa siku chache zijazo mbeleni. Sitakuwa na jibu la swali lako lolote mimi nitafanya yale ambayo napaswa kuyafanya kwako basi, ila ujue tu kwamba hapa mbele yako aliye simama ni mkuu wa majeshi ya nchi ya Tanzania" maelezo ya mwanzo yote yalimzalishia maswali mengi sana ndani ya kichwa chake Jamal ila hili la mwisho lilimtisha kiasi kwamba akaanza kutetemeka alielewa mkuu wa jeshi ni mtu mkubwa ndani ya nchi hivyo alikuwa na wasi wasi mkubwa kusikia hayo maneno hakuelewa yeye na mkuu wa majeshi wanahusiana vipi mpaka aweze kuletwa mbele ya huyo mwanaume. Jamal hakupewa nafasi ya kuongea tangu huyo mwanaume aweze kuingia humo ndani sasa ndo alipata wasaa wa kuufungua mdomo wake.

"Shikamoo mkuu" ilimlazimu kusalimia kwa ukakamavu baada ya kugundua yupo mbele ya mkubwa wa wanajeshi na makomando wote wa nchi, mkuu wa majeshi alitabasamu baada ya kugundua kwamba huyo kijana alikuwa mstaarabu sana kwa aina ya uongeaji wake ulivyokuwa.

"Unajijua kwa jina moja tu kama Jamal ila wewe unaitwa Jamal Hauston, hizo hapo ni passports zako na kadi ya benki namba ya siri ni 0101, ishike vizuri hiyo namba ya siri ina uhusiano mkubwa sana na maisha yako ya nyuma, kwenye hiyo account kuna bilioni kumi za kitanzania zitumie utakavyo kwa muda utakao upo mbali ila usisahau kuufunga mdomo wako kwa kila kitu unacho kijua kwenye maisha yako na usimwamini mtu yeyote yule popote pale utakapokuwa pia usije ukamueleza mtu kuhusu uwepo wa baba yako kama ikitokea hata viongozi wakubwa wanakuuliza waambie mimi sina wazazi ni yatima walishakufa miaka mingi sana huko nyuma hapa nipo kwa sababu ya kuiwakilisha bendera ya nchi yangu ya Tanzania". Maneno yalikuwa mazito sana kwa Jamal hakuelewa anawezaje kusema yeye ni yatima wakati baba yake ni mzima wa afya aliona anaenda kumkosea sana baba yake ila huenda hawa watu walikuwa na maana kubwa sana ambayo yeye hakuwa anaijua kabisa kwa sababu hakuonekana kujua kitu chochote kile, alilazimika kuuliza wakati huo mkuu wa majeshi alikuwa ameshaanza kuondoka akiwa amemuacha njiapanda sana.

"Samahani kwani natakiwa kwenda wapi?" Jamal alihisi kama wanamchanganya kichwa chake walikuwa wanamwambia vitu nusu nusu alikuwa haelewi.

"Ooooohps nilisahau, kwa sasa unaelekea Cuba, kule unaenda kama komando wa nchi ya Tanzania ambaye unaenda kuchukua mafunzo ya hali ya juu zaidi ya makomando wakubwa duniani, haukutakiwa kwenda huko kwa sababu haupo kwenye orodha ya wanajeshi wala hujawahi kuhudumu ndani ya jeshi la nchi, nimefanya hivi kwa heshima ya baba yako tu ambaye ni rafiki yangu wa muda mrefu. Kwa sasa wewe unaenda kuwa komando halisia kabisa wa nchi yako na hilo unatakiwa kuliweka kichwani unaenda kuilinda nchi yako kwa maisha yako yote haijalishi umeenda kwa bahati mbaya au kwa kupanga ukishaingia huko ni moja kwa moja unalazimika kuitumikia nchi yako. Popote unapokuwa zikumbuke rangi nne za bendera ya nchi yako Blue ikimaanisha maziwa, mito, bahari,na vyanzo vyote vya maji, Nyeusi ikiwa inawakilisha kwamba sisi ni Waafrika, Kijani inasimama kwa niaba ya uoto wa asili uliopo nchini na ya mwisho ni Njano hii inawakilisha utajiri wa madini tulio nao nchini mwetu. Haujui sheria za jeshi vizuri ila baba yako amekufanya umekuwa mwanaume imara hivyo tumia uzoefu na kufuata kanuni zote za mafunzo uwapo huko hautapata tatizo lolote ila kama kuna kitu utakuwa unakihitaji utaelekezwa sehemu ya kwenda ukiwa kule namimi nitakuwa napata taarifa,jiandae baada ya masaa mawili wanakuja kukuchukua na kukupeleka huko" mkuu wa majeshi baada ya kumalza maelezo yake alitoka humo ndani na kuufunga mlango, Jamal alikaa chini kabisa kwenye sakafu aliishiwa nguvu zote hakuwa anajua lolote kuhusu hicho kitu leo ghafla hivi anaambiwa anaenda kwenye mafunzo ya kikomando kuja kuilinda nchi yake pendwa ya Tanzania, aliona kama baba yake hajamfanyia wema kwa hilo alitakiwa amuulize Kwanza kama alikuwa yupo tayari kuifanya hiyo kazi, alifikiria sana ni kipi kilikuwa kinaendelea kwenye maisha yake ambacho yeye binafsi hakuwa na uelewa nacho?, Alianza kuhisi kwamba huenda yalikuwa yapo mambo mazito mno nyuma ya pazia ambayo alikuwa anatakiwa aweze kuyajua, kuna picha zilianza kujirudia rudia kwenye kichwa chake kumbu kumbu zilikuwa zinakuja na kupotea kichwa kilianza kumuua sana, alipiga makelele mazito humo ndani akiwa hapo sakafu, baada ya dakika tano alitulia na kulala hapo hapo chini ya sakafu.

Ukurasa wa 4 natia nanga, endelea kufuatilia kisa hiki chenye utulivu kabisa wa kukupatia madini ya ubongo.

Bux the story teller.

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Hadithi hii ipo tayari yote mpaka mwisho kabisa ina vipande 100, ni hadithi yenye Stori ñzuri sana ya akili, mpangilio mzuri wa visa na matukio na mapigano ndo mahali pale inshort ni like una watch movie......kwa shilingi 6000 tu unaisoma mpaka mwisho kabisa.

Namba za malipo

0621567672
0745982347
Jina FEBIANI BABUYA, Ukilipia tu nicheki unapatiwa muda huo huo.

Lakini pia WhatsApp nina group ambalo wanasoma kila siku ukihitaji kujiunga kwa mwezi ni shilingi 3000. Namba za malipo ni hizo hizo.

Bila kusahau ULIMWENGU WA WATU WABAYA ipo mpaka mwisho kabisa kama nayo ukiihitaji.

Karibuni sana kwenye hadithi za Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: ADK
Hadithi hii ipo tayari yote mpaka mwisho kabisa ina vipande 100, ni hadithi yenye Stori ñzuri sana ya akili, mpangilio mzuri wa visa na matukio na mapigano ndo mahali pale inshort ni like una watch movie......kwa shilingi 6000 tu unaisoma mpaka mwisho kabisa.

Namba za malipo

0621567672
0745982347
Jina FEBIANI BABUYA, Ukilipia tu nicheki unapatiwa muda huo huo.

Lakini pia WhatsApp nina group ambalo wanasoma kila siku ukihitaji kujiunga kwa mwezi ni shilingi 3000. Namba za malipo ni hizo hizo.

Bila kusahau ULIMWENGU WA WATU WABAYA ipo mpaka mwisho kabisa kama nayo ukiihitaji.

Karibuni sana kwenye hadithi za Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA TANO

TULIPO ISHIA SEHEMU YA NNE............
Alianza kuhisi kwamba huenda yalikuwa yapo mambo mazito mno nyuma ya pazia ambayo alikuwa anatakiwa aweze kuyajua, kuna picha zilianza kujirudia rudia kwenye kichwa chake kumbu kumbu zilikuwa zinakuja na kupotea kichwa kilianza kumuua sana, alipiga makelele mazito humo ndani akiwa hapo sakafu, baada ya dakika tano alitulia na kulala hapo hapo chini ya sakafu.

ENDELEA................................
Zilipita dakika 15 Jamal akiwa amelala chini ya sakafu alikurupuka baada ya kusikia milio ya viatu ya watu walio onekana wazi walikuwa wanakuja ndani ya hicho chumba ambacho yeye aliluwepo. Ni kweli baada ya kusimama tu waliingia wanaume waliokuwa wamevalia suti nyeusi na viatu vyeusi, walikuwa wapo wawili tu.
"Jiandae tuondoke" sauti nzito yenye bezi ya yule mmoja ilimshtua kwenye mshangao aliokuwa nao akiwaangalia hao watu waliokuwa wageni kwake, alikuwa anasita sana ila aliamua kufuata maneno ya baba yake ambaye alimwambia hao watu ni sawa na anavyo muona baba yake awasikilize kwa umakini mkubwa ndio watakao msaidia kwa sasa. Alitaka kutoka humo ndani kwa sababu hakuwa na cha kujiandaa alizuiwa na mkono wa mwanaume mmoja akamrushia suti mpya, Jamal hakuwa mtu wa hizo nguo hata ufungaji wa tai tu kwake ulikuwa mtihani basi alivaa suruari shati na koti lake pamoja na viatu tai akaitupia pembeni. Hakuelewa kilicho endelea alishtuka dakika 10 baadae wakiwa wanaelekea sehemu ambayo hakuijua kwani juzi tu tena usiku ndo alikuwa amekanyaga kwenye ardhi ya Mzizima kwa mara ya kwanza. Muda wa kutoka mle ndani alipigwa na ngumi nzito ya shingo iliyo mzimisha kwa sababu hakutakiwa kujua ni wapi alikuwa ikiwa ni njia za kumlinda mkuu wa majeshi ya nchi ya Tanzania, wakati huo walikuwa wamepita Tazara wakiutafuta uwanja mkubwa nchini wa Mwalimu Nyerere ( JNIA).

Walifika salama wakaonyesha vitambulisho walipigiwa saluti muda wote Jamal alikuwa anashangaa mambo yalikuwa yanaenda kwa kasi mno kiasi kwamba yalikuwa yanaizidi akili yake uelewa, baada ya kuangalia juu kabisa ya uwanja huo ndipo alipo yaona maandishi makubwa kabisa JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT, akakumbuka maelekezo ya mkuu wa majeshi alimwambia inatakiwa asafiri kwenda Cuba basi akili yake ilimwambia safari ilikuwa imeshaanza. Walipita salama na kwenda kwenye ndege moja kwa moja aliingia kama mtu maalumu hivyo hakukaguliwa wala kukaa kusubiri, alienda moja kwa moja mpaka ndani ya ndege alibahatika kupata siti ya dirishani. Tofauti na mawazo yake yalivyokuwa alidhani wale wanaume wawili anaenda nao ila baada ya kuhakikisha amepata siti na amekaa na wakati huo abiria wengine walikuwa wameshaanza kuingia wanaume hao walianza kuondoka ambapo mmoja aligeuka na kumpa maelekezo ya mwisho.

"Ukifika mwisho wa safari yako nenda mapokezi kuna mtu utamuona ameshika bango lenye jina lako la Jamal Hauston mfuate huyo ndiye mwenyeji wako, uwe na safari njema" hakuwa na muda wa kuruhusu maswali mengi sana aliondoka bila kuruhusu Jamal kuuliza chochote, kijana mdogo alikuwa anaiacha ardhi ya nchi yake kwa mara ya kwanza kwenda nchi za watu huko mbali na alikuwa ameridhia kuwa tayari kwa chochote kitakacho tokea baada ya kuhisi huenda kutakuwa na sababu ya msingi mpaka hayo yote yanatokea kwake aliamua kumsubiri daktari mzuri ambaye ni muda kama baba yake mzazi alivyokuwa amezoea kumwambia anapokuwa na uharaka wa kutaka kulijua jambo fulani linapokuwa linamtatiza kwenye maisha yake.

JOSE MARTI INTERNATIONAL AIRPORT
Hii ndiyo airport kubwa zaidi na bora zaidi ndani ya nchi ya Cuba, ni airport ambayo huwa inahudumia wateja zaidi ya milioni nne kwa mwaka mzima, inapatikana kwenye mji mdogo wa Boyeros ni kilomita 15 tu kusini magharibi mwa Havana ambao ndio mji mkuu wa Cuba. Masaa 23 na dakika zake 30 yalikuwa yamepita ndio muda ambao ndege aliyokuwa amepanda Jamal ilikuwa inatua ndani ya nchi ya Cuba, nchi ambayo inasifika sana kwa ufuaji wa makomando wakubwa duniani na mbinu nyingi sana za kivita japokuwa ni nchi ndogo sana kieneo. Jamal aliweza kushuka na abiria wenzake wote, alikuwa haelewi ila aliwafuata hao watu wote waliokuwa wanatoka hapo hatimae alifika eneo la mapokezi, hakumwangalia Kwanza mwenyeji wake bali alikuwa akishangaa namna kulivyokuwa kumechangamka sana alitabasamu baada ya kukumbuka maisha aliyokuwa anayaishi mbeya Kyela.

"Nusu ya furaha ya maisha ya mwanadamu yamekuwa ni pesa sasa, ukiwa na pesa unaweza kwenda popote pale duniani, unaweza ukanunua vitu karibia vyote ukiweka pembeni pumzi ya kuivuta ili uishi, asante MUNGU namimi leo nimetoa mikosi kufika nchi za watu huku" alitabasamu baada ya kuyaongea haya maneno huku akijinyoosha kwa furaha, aliinama chini ili achukue kibegi chake kidogo kwani hakubeba vitu vingi zaidi ya nguo chache tu na passports zake za kusafiria na nguo chache. Kabla ya kuibeba hiyo begi yake ndogo alitokea mwanamke mmoja mrembo sana mbele yake alimpamia Jamal kimakusudi kabisa ila kwa vile Jamal alikuwa ameinama alidhani ni bahati mbaya, alikuwa imara licha ya kupamiwa wala hakutikisika zaidi yule mdada alibaki kumshangaa kijana huyo aliye onekana kuwa kuku wa kienyeji kwenye jiji hilo (mshamba). Jamal wakati anakaanza kumuomba msamaha huyo dada alisonya na kuachia tusi zito kwa kiingereza lakini lilieleweka kichwani mwa Jamal mrembo huyo aliondoka kwa hasira Jamal akiwa anamshangaa tu, baada ya sekunde thelathini aligeuka ili aweze kumuangalia tena huyo mwanamke lakini hakuweza kumuoona ni baada ya kushtuka sehemu waliyo gusana ilikuwa na maumivu kiasi ikionekana wazi huyo alikuwa ni mtu wa mazoezi haswa, alishtuka hakuamini mwanamke mrembo namna hiyo awe amekomaa hivyo hata hivyo alipotezea baada ya kuona mbele hatua kadhaa kuna mtu ameshika bango lenye jina lake akamfuata.

"Karibu Havana Mr Jamal" ilikuwa ni sauti ta mwanaume aliyekuja kumpokea ndani ya airport na alionekana kuwa mwongeaji kupitiliza.
"Asante"

"Vipi unaenda moja kwa moja au nikuzungushe Kwanza uweze kuijua mitaa yetu kidogo kwenye jiji letu zuri hili la burudani"
"Nipeleke moja kwa moja ninapotakiwa kufika muda huu" hakutaka mambo mengi Jamal alihitaji kufika kwa hao wenyeji wake, moja kwa moja alijua lazima atakuwa anaenda ni kambini tu.

Ndani ya sehemu yenye upepo mzuri wa bahari kwa wale wenzetu ambao MUNGU amesha wanyooshea baraka za kuwa na mifuko mirefu ya kujikunia (pesa), Masaki jijini Dar es salaam kwenye ofisi moja kubwa sana na ndipo yalipokuwa makao makuu ya kampuni kubwa ya usindikaji nyama nchini iliyojulikana kama M96 OWNER'Z ndani ya ofisi ya bosi wa hiyo kampuni alikuwa anamalizia hesabu zake kwenye komputa yake mpakato akiwa anaonekana alikuwa yuko bize sana kupiga mahesabu yake kwa usahihi wakati huo milango yote ya chumba chake ilikuwa imefungwa, madirisha yote yalifungwa kilichokuwa kinafanya kazi ni kamera tu pekee ambazo zilimuwezesha kiongozi huyo kuweza kuona kila kitu kilichokuwa kinaendelea ndani ya hiyo kampuni yenye jengo lake likiwa na ghorofa takribani thelathini, baada ya kuona kila kitu chake kipo sawa aliizima hiyo komputa yake akachukua simu na kupiga mahali.

"Dakika tano natoka hapa andaa gari halafu kila mtu aondoke hiyo sehemu sitaki kumkuta mtu yeyote naendesha mwenyewe" alionekana kutoa maelekezo sahihi kwa mfanyakazi wake huku akiwa anaiangalia saa yake, alikuwa na haraka kana kwamba kuna sehemu ya mhimu sana alikuwa anawahi na alitoka humo ndani kwa kukimbia mbio kulifuata gari hiyo ilipo. Ilikuwa ni majira ya saa 11 za jioni kuelekea saa 12, alipanda ndani ya hiyo gari yake la kifahari na kuitoa ndani ya uzio mkubwa wa hiyo kampuni yao kwa spidi kali sana na kupotelea kusiko julikana.

Ndani ya soko la Buguruni, ni soko dogo ambapo panauziwa bidhaa za majumbani hususani vyakula kama matunda na vingine vingi Kama wabongo (watanzania)tunavyo wajua kwa kuchangamkia fursa maeneo ambayo wanaona kuna biashara zinaendelea. Ndani ya eneo hili kulikuwa na omba omba mmoja aliyekuwa maarufu sana kwa muda mrefu ndani ya soko la Buguruni zaidi ya miaka mitano sasa yupo ndani ya hii sehemu alikuwa amesha zoeleka mno na kila mtu alikuwa akimchukulia kama mtu asiyekuwa na makazi maalumu wala hakubahatika kuwa na ndugu yeyote wa kumpa huduma nzuri ya kueleweka ambayo ingempa uangalau wa maisha kwa sababu muda wote alikuwa mchafu sana akiwa anazurura na vindala vyake vilivyo choka mno. Kwa majina aliyofahamika kwenye hilo eneo lilikuwa ni jina moja tu la Jumbe. Hakuna mtu hata mmoja aliyewahi kujua asili ya huyu omba omba mchafu wala kujua uhalisia wake kabla ya kuwa kichaa kwamba ni nini kilimkuta mpaka akawa kwenye hiyo hali ya maisha magumu sana akitegemea kuomba ili aweze kuweka kitu kinywani pake.
Zaidi zaidi watu wengi hususani wenyeji wa pale walikuwa wanajua kwamba huyu omba omba kila siku tatu za wiki ndani ya siku saba huwa anapandwa na kichaa ambacho huwa kinamfanya kupiga makelele hovyo hovyo kwa nusu saa kila kikimpanda, kwa baadhi ya binadamu walio jaaliwa roho za upekee na hofu ya ukuu wa MUNGU ndani yao hawakuacha kumsaidia kwa chochote omba omba huyu ili kidogo nayeye aweze kuinjoi uwepo wa watu hapa duniani. Siku tatu za wiki ambazo kichaa chake kilikuwa kinampanda lililuwa linaonekana gari moja jeupe la bei ghali sana na huwa inaonekana wanamletea dawa na kuondoka haraka hayo maeneo, kama ujuavyo watanzania wengi hawakuhisi chochote zaidi ya mambo ya kishirikina kwamba huenda mtu mwenye hilo ghari amemfanyia mwenzake hivyo ili achume utajiri kwa njia zisizo za halali, hayo mawazo yalikuwa yanakuja kutokana na watu wengi kuwa na asili ya uvivu wa ufanyaji kazi wakisubiri kuwakosoa walio fanikiwa Kwa kuwahusisha na hayo mambo ya nguvu za giza ili wao wasionekane ni wavivu mbele ya jamii.

Huyu omba omba mchafu na kichaa alikuwa na kitu kimoja cha kushangaza sana ndani ya mwili wake, ni miaka mitano sasa imeisha hakuwahi kuosha nywele zake hata mara moja ambazo kila siku zilikuwa zinajisokota rasta na kuwa ndefu zikizidi kuwa chafu mno lakini hakuonekana kuzijali kabisa alichokuwa anawaza yeye ni kupata namna tu ya kuweza kula ndani ya hiyo mitaa.
"Shika hiyo ndugu yangu usije ukafa bure kwa MUNGU tukaonekana hatukuwajali wanadamu wenzetu" alikuwa ni mpiga debe mmoja mzoefu wa hayo maeneo akiwa anamrushia huyo omba omba kipande cha mhindi wakati huo alikuwa amekaa karibu na bara bara ya kwenda Temeke, yule omba omba aliudaka ule mhindi na kumpa alama ya ushindi yule mpiga debe kisa akakiweka kile kipande cha mhindi kwenye mfuko wake, aligeuka akamuangalia tena yule mpiga debe kisha akatabasamu na kuondoka hapo akiwa kayakaza macho yake mbele tu wala hakugeuka kuangalia nyuma, kwa miaka mingi aliyokuwa amekaa hapo aliweza kuwaelewa vyema wanadamu namna wanavyo wadhalilisha wanadamu wenzao wenye kipato cha chini, walikuwa wakisimangwa na kutukanwa japo hakuwa na muda nao ila moyoni alikiri pesa ni sabuni ya roho huwa inamfanya kila mtu anukie na kuwa na mvuto wa pekee sana kwenye macho yake anapokuwa anatazamwa na watu wengi.

Safari yake ilienda kuishia kwenye uchochoro mmoja aliangalia huku na huku hakuona mtu alipanda juu ya ukuta kwa sarakasi moja ya juu kama mashine inavyokuwa inaenda haraka aligeuka tena kutazama nyuma aliwaona watu kwa mbali wakiendelea na shughuli zao alitabasamu tena na kurukia upande wa pili ambako kulikuwa na majumba mengi yenye viwanda vidogo vidogo ndani yake ambapo mengine yalikuwa hayatumiki, kwa mbele kulikuwa na bara bara ndogo ya lami mbele kidogo kulikuwa na gari la kifahari mno lilionekana kumsubiri hapo, hakuwa na muda wa kupoteza alijitazama juu mpaka chini akajicheka sana kisha akaingia zake kwenye gari, gari lilitolewa kwa nguvu bila kujali kama kungekuwa na mtu mbele au nyuma ingekuwa ni hatari ila kilicho angaliwa hapo kwanza ni umuhimu wa huyu omba omba kichaa mchafu sana ndani ya Buguruni kuweza kuwa salama pamoja na kuonekana kuna mahali ambako ni mhimu sana alitakiwa kuwahi kufika.

Huyu Omba omba ni nani hasa kwenye mji wa watu wapenda pesa huu!?......sehemu ya tano sina la ziada tena MUNGU akipenda tukutane wakati ujao.

Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA TANO

TULIPO ISHIA SEHEMU YA NNE............
Alianza kuhisi kwamba huenda yalikuwa yapo mambo mazito mno nyuma ya pazia ambayo alikuwa anatakiwa aweze kuyajua, kuna picha zilianza kujirudia rudia kwenye kichwa chake kumbu kumbu zilikuwa zinakuja na kupotea kichwa kilianza kumuua sana, alipiga makelele mazito humo ndani akiwa hapo sakafu, baada ya dakika tano alitulia na kulala hapo hapo chini ya sakafu.

ENDELEA................................
Zilipita dakika 15 Jamal akiwa amelala chini ya sakafu alikurupuka baada ya kusikia milio ya viatu ya watu walio onekana wazi walikuwa wanakuja ndani ya hicho chumba ambacho yeye aliluwepo. Ni kweli baada ya kusimama tu waliingia wanaume waliokuwa wamevalia suti nyeusi na viatu vyeusi, walikuwa wapo wawili tu.
"Jiandae tuondoke" sauti nzito yenye bezi ya yule mmoja ilimshtua kwenye mshangao aliokuwa nao akiwaangalia hao watu waliokuwa wageni kwake, alikuwa anasita sana ila aliamua kufuata maneno ya baba yake ambaye alimwambia hao watu ni sawa na anavyo muona baba yake awasikilize kwa umakini mkubwa ndio watakao msaidia kwa sasa. Alitaka kutoka humo ndani kwa sababu hakuwa na cha kujiandaa alizuiwa na mkono wa mwanaume mmoja akamrushia suti mpya, Jamal hakuwa mtu wa hizo nguo hata ufungaji wa tai tu kwake ulikuwa mtihani basi alivaa suruari shati na koti lake pamoja na viatu tai akaitupia pembeni. Hakuelewa kilicho endelea alishtuka dakika 10 baadae wakiwa wanaelekea sehemu ambayo hakuijua kwani juzi tu tena usiku ndo alikuwa amekanyaga kwenye ardhi ya Mzizima kwa mara ya kwanza. Muda wa kutoka mle ndani alipigwa na ngumi nzito ya shingo iliyo mzimisha kwa sababu hakutakiwa kujua ni wapi alikuwa ikiwa ni njia za kumlinda mkuu wa majeshi ya nchi ya Tanzania, wakati huo walikuwa wamepita Tazara wakiutafuta uwanja mkubwa nchini wa Mwalimu Nyerere ( JNIA).

Walifika salama wakaonyesha vitambulisho walipigiwa saluti muda wote Jamal alikuwa anashangaa mambo yalikuwa yanaenda kwa kasi mno kiasi kwamba yalikuwa yanaizidi akili yake uelewa, baada ya kuangalia juu kabisa ya uwanja huo ndipo alipo yaona maandishi makubwa kabisa JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT, akakumbuka maelekezo ya mkuu wa majeshi alimwambia inatakiwa asafiri kwenda Cuba basi akili yake ilimwambia safari ilikuwa imeshaanza. Walipita salama na kwenda kwenye ndege moja kwa moja aliingia kama mtu maalumu hivyo hakukaguliwa wala kukaa kusubiri, alienda moja kwa moja mpaka ndani ya ndege alibahatika kupata siti ya dirishani. Tofauti na mawazo yake yalivyokuwa alidhani wale wanaume wawili anaenda nao ila baada ya kuhakikisha amepata siti na amekaa na wakati huo abiria wengine walikuwa wameshaanza kuingia wanaume hao walianza kuondoka ambapo mmoja aligeuka na kumpa maelekezo ya mwisho.

"Ukifika mwisho wa safari yako nenda mapokezi kuna mtu utamuona ameshika bango lenye jina lako la Jamal Hauston mfuate huyo ndiye mwenyeji wako, uwe na safari njema" hakuwa na muda wa kuruhusu maswali mengi sana aliondoka bila kuruhusu Jamal kuuliza chochote, kijana mdogo alikuwa anaiacha ardhi ya nchi yake kwa mara ya kwanza kwenda nchi za watu huko mbali na alikuwa ameridhia kuwa tayari kwa chochote kitakacho tokea baada ya kuhisi huenda kutakuwa na sababu ya msingi mpaka hayo yote yanatokea kwake aliamua kumsubiri daktari mzuri ambaye ni muda kama baba yake mzazi alivyokuwa amezoea kumwambia anapokuwa na uharaka wa kutaka kulijua jambo fulani linapokuwa linamtatiza kwenye maisha yake.

JOSE MARTI INTERNATIONAL AIRPORT
Hii ndiyo airport kubwa zaidi na bora zaidi ndani ya nchi ya Cuba, ni airport ambayo huwa inahudumia wateja zaidi ya milioni nne kwa mwaka mzima, inapatikana kwenye mji mdogo wa Boyeros ni kilomita 15 tu kusini magharibi mwa Havana ambao ndio mji mkuu wa Cuba. Masaa 23 na dakika zake 30 yalikuwa yamepita ndio muda ambao ndege aliyokuwa amepanda Jamal ilikuwa inatua ndani ya nchi ya Cuba, nchi ambayo inasifika sana kwa ufuaji wa makomando wakubwa duniani na mbinu nyingi sana za kivita japokuwa ni nchi ndogo sana kieneo. Jamal aliweza kushuka na abiria wenzake wote, alikuwa haelewi ila aliwafuata hao watu wote waliokuwa wanatoka hapo hatimae alifika eneo la mapokezi, hakumwangalia Kwanza mwenyeji wake bali alikuwa akishangaa namna kulivyokuwa kumechangamka sana alitabasamu baada ya kukumbuka maisha aliyokuwa anayaishi mbeya Kyela.

"Nusu ya furaha ya maisha ya mwanadamu yamekuwa ni pesa sasa, ukiwa na pesa unaweza kwenda popote pale duniani, unaweza ukanunua vitu karibia vyote ukiweka pembeni pumzi ya kuivuta ili uishi, asante MUNGU namimi leo nimetoa mikosi kufika nchi za watu huku" alitabasamu baada ya kuyaongea haya maneno huku akijinyoosha kwa furaha, aliinama chini ili achukue kibegi chake kidogo kwani hakubeba vitu vingi zaidi ya nguo chache tu na passports zake za kusafiria na nguo chache. Kabla ya kuibeba hiyo begi yake ndogo alitokea mwanamke mmoja mrembo sana mbele yake alimpamia Jamal kimakusudi kabisa ila kwa vile Jamal alikuwa ameinama alidhani ni bahati mbaya, alikuwa imara licha ya kupamiwa wala hakutikisika zaidi yule mdada alibaki kumshangaa kijana huyo aliye onekana kuwa kuku wa kienyeji kwenye jiji hilo (mshamba). Jamal wakati anakaanza kumuomba msamaha huyo dada alisonya na kuachia tusi zito kwa kiingereza lakini lilieleweka kichwani mwa Jamal mrembo huyo aliondoka kwa hasira Jamal akiwa anamshangaa tu, baada ya sekunde thelathini aligeuka ili aweze kumuangalia tena huyo mwanamke lakini hakuweza kumuoona ni baada ya kushtuka sehemu waliyo gusana ilikuwa na maumivu kiasi ikionekana wazi huyo alikuwa ni mtu wa mazoezi haswa, alishtuka hakuamini mwanamke mrembo namna hiyo awe amekomaa hivyo hata hivyo alipotezea baada ya kuona mbele hatua kadhaa kuna mtu ameshika bango lenye jina lake akamfuata.

"Karibu Havana Mr Jamal" ilikuwa ni sauti ta mwanaume aliyekuja kumpokea ndani ya airport na alionekana kuwa mwongeaji kupitiliza.
"Asante"

"Vipi unaenda moja kwa moja au nikuzungushe Kwanza uweze kuijua mitaa yetu kidogo kwenye jiji letu zuri hili la burudani"
"Nipeleke moja kwa moja ninapotakiwa kufika muda huu" hakutaka mambo mengi Jamal alihitaji kufika kwa hao wenyeji wake, moja kwa moja alijua lazima atakuwa anaenda ni kambini tu.

Ndani ya sehemu yenye upepo mzuri wa bahari kwa wale wenzetu ambao MUNGU amesha wanyooshea baraka za kuwa na mifuko mirefu ya kujikunia (pesa), Masaki jijini Dar es salaam kwenye ofisi moja kubwa sana na ndipo yalipokuwa makao makuu ya kampuni kubwa ya usindikaji nyama nchini iliyojulikana kama M96 OWNER'Z ndani ya ofisi ya bosi wa hiyo kampuni alikuwa anamalizia hesabu zake kwenye komputa yake mpakato akiwa anaonekana alikuwa yuko bize sana kupiga mahesabu yake kwa usahihi wakati huo milango yote ya chumba chake ilikuwa imefungwa, madirisha yote yalifungwa kilichokuwa kinafanya kazi ni kamera tu pekee ambazo zilimuwezesha kiongozi huyo kuweza kuona kila kitu kilichokuwa kinaendelea ndani ya hiyo kampuni yenye jengo lake likiwa na ghorofa takribani thelathini, baada ya kuona kila kitu chake kipo sawa aliizima hiyo komputa yake akachukua simu na kupiga mahali.

"Dakika tano natoka hapa andaa gari halafu kila mtu aondoke hiyo sehemu sitaki kumkuta mtu yeyote naendesha mwenyewe" alionekana kutoa maelekezo sahihi kwa mfanyakazi wake huku akiwa anaiangalia saa yake, alikuwa na haraka kana kwamba kuna sehemu ya mhimu sana alikuwa anawahi na alitoka humo ndani kwa kukimbia mbio kulifuata gari hiyo ilipo. Ilikuwa ni majira ya saa 11 za jioni kuelekea saa 12, alipanda ndani ya hiyo gari yake la kifahari na kuitoa ndani ya uzio mkubwa wa hiyo kampuni yao kwa spidi kali sana na kupotelea kusiko julikana.

Ndani ya soko la Buguruni, ni soko dogo ambapo panauziwa bidhaa za majumbani hususani vyakula kama matunda na vingine vingi Kama wabongo (watanzania)tunavyo wajua kwa kuchangamkia fursa maeneo ambayo wanaona kuna biashara zinaendelea. Ndani ya eneo hili kulikuwa na omba omba mmoja aliyekuwa maarufu sana kwa muda mrefu ndani ya soko la Buguruni zaidi ya miaka mitano sasa yupo ndani ya hii sehemu alikuwa amesha zoeleka mno na kila mtu alikuwa akimchukulia kama mtu asiyekuwa na makazi maalumu wala hakubahatika kuwa na ndugu yeyote wa kumpa huduma nzuri ya kueleweka ambayo ingempa uangalau wa maisha kwa sababu muda wote alikuwa mchafu sana akiwa anazurura na vindala vyake vilivyo choka mno. Kwa majina aliyofahamika kwenye hilo eneo lilikuwa ni jina moja tu la Jumbe. Hakuna mtu hata mmoja aliyewahi kujua asili ya huyu omba omba mchafu wala kujua uhalisia wake kabla ya kuwa kichaa kwamba ni nini kilimkuta mpaka akawa kwenye hiyo hali ya maisha magumu sana akitegemea kuomba ili aweze kuweka kitu kinywani pake.
Zaidi zaidi watu wengi hususani wenyeji wa pale walikuwa wanajua kwamba huyu omba omba kila siku tatu za wiki ndani ya siku saba huwa anapandwa na kichaa ambacho huwa kinamfanya kupiga makelele hovyo hovyo kwa nusu saa kila kikimpanda, kwa baadhi ya binadamu walio jaaliwa roho za upekee na hofu ya ukuu wa MUNGU ndani yao hawakuacha kumsaidia kwa chochote omba omba huyu ili kidogo nayeye aweze kuinjoi uwepo wa watu hapa duniani. Siku tatu za wiki ambazo kichaa chake kilikuwa kinampanda lililuwa linaonekana gari moja jeupe la bei ghali sana na huwa inaonekana wanamletea dawa na kuondoka haraka hayo maeneo, kama ujuavyo watanzania wengi hawakuhisi chochote zaidi ya mambo ya kishirikina kwamba huenda mtu mwenye hilo ghari amemfanyia mwenzake hivyo ili achume utajiri kwa njia zisizo za halali, hayo mawazo yalikuwa yanakuja kutokana na watu wengi kuwa na asili ya uvivu wa ufanyaji kazi wakisubiri kuwakosoa walio fanikiwa Kwa kuwahusisha na hayo mambo ya nguvu za giza ili wao wasionekane ni wavivu mbele ya jamii.

Huyu omba omba mchafu na kichaa alikuwa na kitu kimoja cha kushangaza sana ndani ya mwili wake, ni miaka mitano sasa imeisha hakuwahi kuosha nywele zake hata mara moja ambazo kila siku zilikuwa zinajisokota rasta na kuwa ndefu zikizidi kuwa chafu mno lakini hakuonekana kuzijali kabisa alichokuwa anawaza yeye ni kupata namna tu ya kuweza kula ndani ya hiyo mitaa.
"Shika hiyo ndugu yangu usije ukafa bure kwa MUNGU tukaonekana hatukuwajali wanadamu wenzetu" alikuwa ni mpiga debe mmoja mzoefu wa hayo maeneo akiwa anamrushia huyo omba omba kipande cha mhindi wakati huo alikuwa amekaa karibu na bara bara ya kwenda Temeke, yule omba omba aliudaka ule mhindi na kumpa alama ya ushindi yule mpiga debe kisa akakiweka kile kipande cha mhindi kwenye mfuko wake, aligeuka akamuangalia tena yule mpiga debe kisha akatabasamu na kuondoka hapo akiwa kayakaza macho yake mbele tu wala hakugeuka kuangalia nyuma, kwa miaka mingi aliyokuwa amekaa hapo aliweza kuwaelewa vyema wanadamu namna wanavyo wadhalilisha wanadamu wenzao wenye kipato cha chini, walikuwa wakisimangwa na kutukanwa japo hakuwa na muda nao ila moyoni alikiri pesa ni sabuni ya roho huwa inamfanya kila mtu anukie na kuwa na mvuto wa pekee sana kwenye macho yake anapokuwa anatazamwa na watu wengi.

Safari yake ilienda kuishia kwenye uchochoro mmoja aliangalia huku na huku hakuona mtu alipanda juu ya ukuta kwa sarakasi moja ya juu kama mashine inavyokuwa inaenda haraka aligeuka tena kutazama nyuma aliwaona watu kwa mbali wakiendelea na shughuli zao alitabasamu tena na kurukia upande wa pili ambako kulikuwa na majumba mengi yenye viwanda vidogo vidogo ndani yake ambapo mengine yalikuwa hayatumiki, kwa mbele kulikuwa na bara bara ndogo ya lami mbele kidogo kulikuwa na gari la kifahari mno lilionekana kumsubiri hapo, hakuwa na muda wa kupoteza alijitazama juu mpaka chini akajicheka sana kisha akaingia zake kwenye gari, gari lilitolewa kwa nguvu bila kujali kama kungekuwa na mtu mbele au nyuma ingekuwa ni hatari ila kilicho angaliwa hapo kwanza ni umuhimu wa huyu omba omba kichaa mchafu sana ndani ya Buguruni kuweza kuwa salama pamoja na kuonekana kuna mahali ambako ni mhimu sana alitakiwa kuwahi kufika.

Huyu Omba omba ni nani hasa kwenye mji wa watu wapenda pesa huu!?......sehemu ya tano sina la ziada tena MUNGU akipenda tukutane wakati ujao.

Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA SITA

TULIPO ISHIA SEHEMU YA TANO............
kwa mbele kulikuwa na bara bara ndogo ya lami mbele kidogo kulikuwa na gari la kifahari mno lilionekana kumsubiri hapo, hakuwa na muda wa kupoteza alijitazama juu mpaka chini akajicheka sana kisha akaingia zake kwenye gari, gari lilitolewa kwa nguvu bila kujali kama kungekuwa na mtu mbele au nyuma ingekuwa ni hatari ila kilicho angaliwa hapo kwanza ni umuhimu wa huyu omba omba kichaa mchafu sana ndani ya Buguruni kuweza kuwa salama pamoja na kuonekana kuna mahali ambako ni mhimu sana alitakiwa kuwahi kufika.

ENDELEA........................
Kichaa huyo baada ya kupanda kwenye hiyo gari alisalimiwa kwa heshima sana na mtu aliyekuwa amekuja kumchukua hapo Buguruni.
"Bosi nadhani ungetumia njia nyingine hiyo mbona kama inakudhalilisha sana hivi unajisikiaje watu wa kawaida sana namna ile wanakusimanga na kukucheka kila siku, kuna muda nimepita pale nikatamani nimpige mtu risasi yani mpuuzi kama yule alikuwa anakuzomea namna ile imeniuma sana" dereva wake alionekana ni mtu aliyekuwa ametoka naye mbali sana kwenye maisha yao kwa jinsi alivyokuwa anaongea kwa uchungu mkubwa.

"Travace hivi umewahi kujutia kwenye maisha yako kuwahi kukutana namimi?" Omba omba maarufu sana huyo wa Buguruni alimuuliza dereva wake huku akilitoa wigi kubwa lililokuwa kichwani mwake ambalo wengi walijua ni kichwa chake ndivyo kilivyo, baada ya hapo aliivua na sura yake ya bandia usoni ambayo amekuwa akiishi nayo kwa zaidi ya miaka mitano sasa wakati anaenda hapo Buguruni, alikuwa ni kijana mwenye sura ya mvuto sana miaka yake ikiwa ni takribani 32, jina lake kamili alikuwa anaitwa Ashrafu Hamad lakini hapa Buguruni walimjua Kama mzee Jumbe omba omba tena mzee ambaye wengi walidhani huenda ana miaka sio chini ya 55, ni ngumu kuamini lakini wakati huo alikuwa akijiweka sawa huku akiwa anaangalia nje kuitazama mitaa hiyo akiendelea kusikitika sana kwa hali aliyokuwa nayo hapo mtaani.

"Moja ya vitu huwa najivunia kuwahi kukutana navyo kwenye maisha yangu ni wewe hapo, nakumbuka zamani nilivyokuwa natukanwa na watu pale Karume nikitafuta tenda za udalali wa kuchuuza nguo kila mtu alikuwa ananikataa, wanawake walikuwa wananidharau sana kwa sababu sikuwa na chochote cha kuwapa. Maisha ya umasikini niliyo zaliwa nayo yalinifanya niwe mwanadamu mfu ambaye nilikuwa hai basi tu ila nilitamani hata kujiua mwenyewe, baba yangu alikufa kwa sababu ya kuikosa dawa ya shilingi elfu mbili tu na mama yangu nilimpoteza mikononi mwangu kwa kukosa shilingi elfu moja ya nauli ya piki piki ili nimuwahishe hospitalini, nilijaribu sana kuomba msaada na pale ndipo nilipokuja kuujua uhalisia wa wanadamu ulivyo, hakuna aliye nipa hata muda wa kunisikiliza zaidi ya kunitukana na kunidhalilisha kwa dharau kubwa sana, ile siku nilikuja kuelewa thamani ya pesa na muda huwa naviheshimu sana hivi vitu viwili.
Siku ile naikumbuka vizuri sana kwenye maisha yangu nilivyokusaidia kumkamata yule kijana aliyekuibia simu yako maeneo ya Karume wakati umekuja kununua begi kwa kipigo nilicho mshushia yule kijana uliona nakufaa kabisa ndipo ulipokuja kuyabadilisha maisha yangu yote kwa sasa wananisalimia kwa heshima huku wanawake wakipigana vikumbo mwangu hahahaha, ndio sababu ulipo mimi nipo na siwezi kuruhusu mjinga yeyote yule akuguse, najivunia sana kukufahamu bosi" maelezo ya mtu huyu yalimfanya atabasamu huku akisimamisha gari na kuingia kwenye gari nyingine akimuaga dereva wake kwamba wangekutana muda mwingine .
Gari nyingine iliyokuwa imemfuata haa ndiyo aliyokuwa anaiendesha kiogozi mkubwa ndani ofisi kubwa za kampuni ya usindikaji nyama ndani ya MASAKI kampuni ijulikanalo Kama M96 OWNER'Z company. Wakati anatoka ofisini mle alikuwa anawahi sana kumbe alikuwa anakuja kumchukua ni huyu kijana hapa.

"Mh hii kazi naona kabisa inaenda kunishinda, mimi ni komando mkubwa sana sijawahi kukutana na kazi ngumu sana namna hi, binadamu gani miaka mitano nimeshindwa kupata chochote kitu cha kuwahusu? Nadhani nyuma ya haya Kuna mkono wa mtu ambaye anatuzunguka na anajua kila kitu tunacho kipanga kuhusu huu mpango unao endelea haiwezekani lazima ningekuwa najua chochote mpaka sasa" Ashrafu alionekana wazi alikuwa anakwazika sana kwa kilichokuwa kinatokea kwenye maisha yake kwa huo muda. Alikuwa anajifanya ni omba omba lakini alikuwa akiishi na siri nzito sana kifuani kwake, alikuwa mtu mkubwa sana na hatari sana kwenye kampuni yake ya M96 OWNER'Z licha ya udogo aliokuwa nao ila aliogopwa kuliko kitu chochote kile alikuwa ni hatari sana huyu kijana. Huyu meneja mkuu aliyekuwa anasimamia kampuni nzima ya M96 OWNER'Z alikuwa amewekwa tu kama kivuli ila Ashrafu ndiye aliyekuwa anasimamia kila kitu na hampuni hiyo haikuwepo kwa sababu ya kusindika nyama kama wengi walivyokuwa wanaitambua.

"Bosi naona sasa tukae mezani upya kuweza kulijadili hili huenda kweli Kuna mkono wa mtu unahusika kwenye hili" huyo kiongozi wa M96 OWNER'Z Kama wengi walivyokuwa mtambua alikuwa akielezea kwa stara kubwa sana mbele ya kiongozi wao mkuu ambaye hata wafanyakazi hawakumjua kabisa.

"Swali ninalo jiuliza hapa ni moja, ni nani aliwatuma wale watu wakamuue yule mzee wakati lengo lilikuwa ni kukipata kile kifaa ambacho ndio kila kitu kwenye mhimimili wa biashara zote!, Kumuua inamaanisha tumekikosa au huyo aliyefanya haya atakuwa nacho mwenyewe au anajua kilipo na kingine nje ya ile Kuna dhahabu ambayo ni ya mabilioni ya fedha, haiwezekani auawe kirahisi sana namna ile halafu kukawa kimya tu lazima Kuna mchezo umechezwa na ndio ninao hitaji kuujua, yule mzee alipotea kwa miaka miwili tukiwa tunamtafuta kwamba yuko wapi ila siku tunapata taarifa alipo ndiyo siku ambayo aliweza kuuawa kabla sisi hatujamfikia inamaanisha Kuna mtu mwingine ambaye alikuwa analifuatilia hili kwa umakini sana sasa huyo ndiye ninaye takiwa kumjua" alijiegesha kwenye kiti cha gari mwanaume wa kazi huyu akiwaza ataanzia wapi maana miaka yote mitano alikuwa Kama amechangia sadaka tu hakufanikiwa kwa lolote lile.

"Sasa miaka yote mitano ulikuwa unahangaikia nini mkuu haya maeneo kama ulikuwa unayajua haya yote?" Yule meneja aliuliza akiwa anamshangaa kiongozi wake maelezo aliyokuwa anayatoa alionekana kujua mambo mengi mno hivyo alimshangaa Kama anayajua vizuri kwanini asiende moja kwa moja kwenye lengo la msingi aachane na kuigiza maisha.

"Ingekuwa ni rahisi sana namna hiyo basi ni lazima ningekuwa nimeshakifanya hicho kitu, kuja kukaa hapa kwa miaka mitano nilikuwa nafanya uchunguzi wa siri sana. Baada ya yule mzee kuuliwa na familia yake mimi mwenyewe nilifika pale kwake nikakuta watu wote wamekufa, nilibahatika kuona CCTV camera ya nje ya geti tu basi ya ndani nadhani wahusika wa tukio waliondoka nayo. Kwenye video ya kwenye hiyo kamera nilibahatika kuona namba ya gari waliyokuja nayo hivyo ikanilazimu kutumia hiyo namba ya gari na kuingia kwenye mtandao ili niwapate. Nilikuja kugundua gari hiyo kwa huo muda ilikuwa Dar es salaam japo nilishangaa sana imewezekana vipi tukio lifanyike kwa nusu saa nyuma halafu gari hilo lililokuwa kwenye tukio lionekane Dar es salaam nikaja kugundua hao watu walikuwa na helikopita yenye uwezo mkubwa sana na huenda ilikuwa ni ya jeshi ndizo ambazo zina spidi sana. Baada ya kufika Dar ilionekana maeneo ya Tabata kwenye night Club moja inaitwa KITAMBAA CHEUPE, niliwahi yale maeneo ila kwa bahati mbaya nilipishana nayo njiani wakiwa wanageuza ikanilazimu namimi nigeuze tena ndipo ilipokuja kuishia Buguruni.
Walikuwa ni wanaume wawili tu pekee walikuwa wakingia kwenye uchochoro mmoja pale niliwawahi kwa mbele, walionekana kushtuka sana baada ya kuniona japo hawakuwa wakinijua mimi ni nani.
"Nipeni hicho mlicho kichukua" niliwaambia nikiwa kawaida tu

"Haahahaha hivi wewe mtoto una akili kweli yaani umetoka ulikotoka unapiga makelele tukupe tulicho chukua hicho nini kwanza, wewe ni nani?, Kama ni mlevi tu wa mtaani ebu ondoka hapa haraka mno na ukatoe ushuhuda makanisani na misikitini kwamba tumekuacha hai" aliongea kwa majigambo mmoja wao nadhani umbo langu dogo lilimdanganya kiasi kukubwa sana, alishtuka wakati huo alikuwa hana meno kadhaa, ngumi mbili nilizo rusha zilitoka na meno mazima manne ya pembeni alipiga makelele sana hata hivyo sikumjali kabisa yule, mwenzake wakati anakuja nilikuwa namhesabia tu nilijiviringisha juu nikamdanganya nampiga wakati namkaribia nilikuwa nimechomoa bastola nililenga nimpe risasi za kichwa lakini nilimkosa ikatua kwenye bega, navyotua chini kilifanyika kitu cha ajabu ambacho huenda kwenye maisha yangu yote sikuwahi kuwaza Kama kinawezekana kufanyika, sekunde mbili tu yule mwanaume niliye mpiga risasi hakuwepo ile sehemu mpaka Leo huwa najiuliza alipoteaje poteaje huwa sina jibu la kujipatia Mimi mwenyewe, basi nikawa sina namna zaidi ya kwenda kumalizana na yule mmoja aliyekuwa amebaki.
"Kwa yule mzee mmechukua nini" niliuliza nikiwa naangaza huku na huku yule jamaa kwa shida alinijibu kitu ambacho hata sikumuuliza.

"Kwenye ile nyumba amepona mtoto mmoja wa kiume na Kuna mtu amepotea naye, hii sehemu ina watu wengi sana hata kukimbia sidhani kama utaweza, hapa ndipo ambapo huwa tunakutana, kule tumechuk........." Kabla hata hajamalizia sentensi yake nilishangaa damu imetapakaa hapo chini, yule jamaa alikuwa amepigwa risasi na mtu ambaye hata sikujua amekaa wapi, kwa ile nafasi alikuwa na uwezo mzuri sana wa kuweza kuniua ila sijui nini sababu za msingi mpaka akaniacha hai, niliondoka pale nikiwa mnyonge sana na ndipo nilipo amuaga kuweka kambi pale ili niweze kugundua chochote lakini hakuna kitu nimeambulia mpaka sasa hawa watu wana weledi mkubwa sana hata huyu mtoto ambaye walisema amepotea mpaka sasa hakuna taarifa yake yoyote ile tumetafuta kila sehemu lakini wapi hajawahi kupatikana, hiyo ndiyo sababu ya msingi nimehangaika miaka yote mitano hiyo kuna vitu vingi sana nahitaji kuvijua na kumjua huyu mwingine ambaye yupo nyuma yetu ukiachana na sisi wenyewe naogopa inaweza ikatokea vita ya sisi kwa sisi ikawa shida kidogo" hadithi yake kichaa huyu ajulikanaye kama Jumbe omba omba wa Buguruni ilimfanya sasa kijana wake amuelewe vizuri, huyu alikuwa ni kijana ambaye yeye mwenyewe ndiye aliyekuwa amemuweka hapo, alikuwa ni wa kawaida kwa muonekano ila alikuwa ni mtu hatari sana.

"Daaah hiyo ni hatari sana Kama unaweza kushindana na mtu ambaye anazijua hatua zako zote unazopiga halafu wewe humjui huyo akiamua kukupoteza ni suala la dakika tu na yeye kufanya maamuzi"

"Ebu kwa sasa wewe ishia hapa unaweza ukaondoka nahitaji kukutana na baba" maelekezo ya Ashrafu yalimshtua sana huyu mwanaume hakuwahi kusikia Kama Ashrafu ana baba leo lilikuwa ni neno jipya kwake.

"Bosi hivi umesema baba au nimesikia vibaya" Ashrafu alitabasamu baada ya kusikia hilo swali alimpiga kijana wake huyo kibao kikali mno nusu gali ipoteze uelekeo.

"Kukupa nafasi ya kuuliza maswali ushaniona mimi mwenzako sio" wakati huo alikuwa akiikoki bastola yake vizuri, kijana wake huyo aliinamisha kichwa chini kama ishara ya kuomba msamaha na kuwa tayari kupokea adhabu yoyote kutoka kwa bosi wake ambaye alimjua vizuri sana.

"Mwanamke wako ni mjamzito sasa usinifanye nikamfanya bingi mdogo namna ile kubaki mjane chunga sana mdomo wako siku nyingine na uwatoe walinzi wote hapo Buguruni sokoni" Ashrafu aliubamiza mlango wa gari kwa nguvu na hasira baada ya meneja wa M96 OWNE'Z Kisha akatoka na gari hilo eneo kwa spidi ungedhani labda anawahi ndege inayotegemea kumuacha airport.
6 inafika meisho

Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA SITA

TULIPO ISHIA SEHEMU YA TANO............
kwa mbele kulikuwa na bara bara ndogo ya lami mbele kidogo kulikuwa na gari la kifahari mno lilionekana kumsubiri hapo, hakuwa na muda wa kupoteza alijitazama juu mpaka chini akajicheka sana kisha akaingia zake kwenye gari, gari lilitolewa kwa nguvu bila kujali kama kungekuwa na mtu mbele au nyuma ingekuwa ni hatari ila kilicho angaliwa hapo kwanza ni umuhimu wa huyu omba omba kichaa mchafu sana ndani ya Buguruni kuweza kuwa salama pamoja na kuonekana kuna mahali ambako ni mhimu sana alitakiwa kuwahi kufika.

ENDELEA........................
Kichaa huyo baada ya kupanda kwenye hiyo gari alisalimiwa kwa heshima sana na mtu aliyekuwa amekuja kumchukua hapo Buguruni.
"Bosi nadhani ungetumia njia nyingine hiyo mbona kama inakudhalilisha sana hivi unajisikiaje watu wa kawaida sana namna ile wanakusimanga na kukucheka kila siku, kuna muda nimepita pale nikatamani nimpige mtu risasi yani mpuuzi kama yule alikuwa anakuzomea namna ile imeniuma sana" dereva wake alionekana ni mtu aliyekuwa ametoka naye mbali sana kwenye maisha yao kwa jinsi alivyokuwa anaongea kwa uchungu mkubwa.

"Travace hivi umewahi kujutia kwenye maisha yako kuwahi kukutana namimi?" Omba omba maarufu sana huyo wa Buguruni alimuuliza dereva wake huku akilitoa wigi kubwa lililokuwa kichwani mwake ambalo wengi walijua ni kichwa chake ndivyo kilivyo, baada ya hapo aliivua na sura yake ya bandia usoni ambayo amekuwa akiishi nayo kwa zaidi ya miaka mitano sasa wakati anaenda hapo Buguruni, alikuwa ni kijana mwenye sura ya mvuto sana miaka yake ikiwa ni takribani 32, jina lake kamili alikuwa anaitwa Ashrafu Hamad lakini hapa Buguruni walimjua Kama mzee Jumbe omba omba tena mzee ambaye wengi walidhani huenda ana miaka sio chini ya 55, ni ngumu kuamini lakini wakati huo alikuwa akijiweka sawa huku akiwa anaangalia nje kuitazama mitaa hiyo akiendelea kusikitika sana kwa hali aliyokuwa nayo hapo mtaani.

"Moja ya vitu huwa najivunia kuwahi kukutana navyo kwenye maisha yangu ni wewe hapo, nakumbuka zamani nilivyokuwa natukanwa na watu pale Karume nikitafuta tenda za udalali wa kuchuuza nguo kila mtu alikuwa ananikataa, wanawake walikuwa wananidharau sana kwa sababu sikuwa na chochote cha kuwapa. Maisha ya umasikini niliyo zaliwa nayo yalinifanya niwe mwanadamu mfu ambaye nilikuwa hai basi tu ila nilitamani hata kujiua mwenyewe, baba yangu alikufa kwa sababu ya kuikosa dawa ya shilingi elfu mbili tu na mama yangu nilimpoteza mikononi mwangu kwa kukosa shilingi elfu moja ya nauli ya piki piki ili nimuwahishe hospitalini, nilijaribu sana kuomba msaada na pale ndipo nilipokuja kuujua uhalisia wa wanadamu ulivyo, hakuna aliye nipa hata muda wa kunisikiliza zaidi ya kunitukana na kunidhalilisha kwa dharau kubwa sana, ile siku nilikuja kuelewa thamani ya pesa na muda huwa naviheshimu sana hivi vitu viwili.
Siku ile naikumbuka vizuri sana kwenye maisha yangu nilivyokusaidia kumkamata yule kijana aliyekuibia simu yako maeneo ya Karume wakati umekuja kununua begi kwa kipigo nilicho mshushia yule kijana uliona nakufaa kabisa ndipo ulipokuja kuyabadilisha maisha yangu yote kwa sasa wananisalimia kwa heshima huku wanawake wakipigana vikumbo mwangu hahahaha, ndio sababu ulipo mimi nipo na siwezi kuruhusu mjinga yeyote yule akuguse, najivunia sana kukufahamu bosi" maelezo ya mtu huyu yalimfanya atabasamu huku akisimamisha gari na kuingia kwenye gari nyingine akimuaga dereva wake kwamba wangekutana muda mwingine .
Gari nyingine iliyokuwa imemfuata haa ndiyo aliyokuwa anaiendesha kiogozi mkubwa ndani ofisi kubwa za kampuni ya usindikaji nyama ndani ya MASAKI kampuni ijulikanalo Kama M96 OWNER'Z company. Wakati anatoka ofisini mle alikuwa anawahi sana kumbe alikuwa anakuja kumchukua ni huyu kijana hapa.

"Mh hii kazi naona kabisa inaenda kunishinda, mimi ni komando mkubwa sana sijawahi kukutana na kazi ngumu sana namna hi, binadamu gani miaka mitano nimeshindwa kupata chochote kitu cha kuwahusu? Nadhani nyuma ya haya Kuna mkono wa mtu ambaye anatuzunguka na anajua kila kitu tunacho kipanga kuhusu huu mpango unao endelea haiwezekani lazima ningekuwa najua chochote mpaka sasa" Ashrafu alionekana wazi alikuwa anakwazika sana kwa kilichokuwa kinatokea kwenye maisha yake kwa huo muda. Alikuwa anajifanya ni omba omba lakini alikuwa akiishi na siri nzito sana kifuani kwake, alikuwa mtu mkubwa sana na hatari sana kwenye kampuni yake ya M96 OWNER'Z licha ya udogo aliokuwa nao ila aliogopwa kuliko kitu chochote kile alikuwa ni hatari sana huyu kijana. Huyu meneja mkuu aliyekuwa anasimamia kampuni nzima ya M96 OWNER'Z alikuwa amewekwa tu kama kivuli ila Ashrafu ndiye aliyekuwa anasimamia kila kitu na hampuni hiyo haikuwepo kwa sababu ya kusindika nyama kama wengi walivyokuwa wanaitambua.

"Bosi naona sasa tukae mezani upya kuweza kulijadili hili huenda kweli Kuna mkono wa mtu unahusika kwenye hili" huyo kiongozi wa M96 OWNER'Z Kama wengi walivyokuwa mtambua alikuwa akielezea kwa stara kubwa sana mbele ya kiongozi wao mkuu ambaye hata wafanyakazi hawakumjua kabisa.

"Swali ninalo jiuliza hapa ni moja, ni nani aliwatuma wale watu wakamuue yule mzee wakati lengo lilikuwa ni kukipata kile kifaa ambacho ndio kila kitu kwenye mhimimili wa biashara zote!, Kumuua inamaanisha tumekikosa au huyo aliyefanya haya atakuwa nacho mwenyewe au anajua kilipo na kingine nje ya ile Kuna dhahabu ambayo ni ya mabilioni ya fedha, haiwezekani auawe kirahisi sana namna ile halafu kukawa kimya tu lazima Kuna mchezo umechezwa na ndio ninao hitaji kuujua, yule mzee alipotea kwa miaka miwili tukiwa tunamtafuta kwamba yuko wapi ila siku tunapata taarifa alipo ndiyo siku ambayo aliweza kuuawa kabla sisi hatujamfikia inamaanisha Kuna mtu mwingine ambaye alikuwa analifuatilia hili kwa umakini sana sasa huyo ndiye ninaye takiwa kumjua" alijiegesha kwenye kiti cha gari mwanaume wa kazi huyu akiwaza ataanzia wapi maana miaka yote mitano alikuwa Kama amechangia sadaka tu hakufanikiwa kwa lolote lile.

"Sasa miaka yote mitano ulikuwa unahangaikia nini mkuu haya maeneo kama ulikuwa unayajua haya yote?" Yule meneja aliuliza akiwa anamshangaa kiongozi wake maelezo aliyokuwa anayatoa alionekana kujua mambo mengi mno hivyo alimshangaa Kama anayajua vizuri kwanini asiende moja kwa moja kwenye lengo la msingi aachane na kuigiza maisha.

"Ingekuwa ni rahisi sana namna hiyo basi ni lazima ningekuwa nimeshakifanya hicho kitu, kuja kukaa hapa kwa miaka mitano nilikuwa nafanya uchunguzi wa siri sana. Baada ya yule mzee kuuliwa na familia yake mimi mwenyewe nilifika pale kwake nikakuta watu wote wamekufa, nilibahatika kuona CCTV camera ya nje ya geti tu basi ya ndani nadhani wahusika wa tukio waliondoka nayo. Kwenye video ya kwenye hiyo kamera nilibahatika kuona namba ya gari waliyokuja nayo hivyo ikanilazimu kutumia hiyo namba ya gari na kuingia kwenye mtandao ili niwapate. Nilikuja kugundua gari hiyo kwa huo muda ilikuwa Dar es salaam japo nilishangaa sana imewezekana vipi tukio lifanyike kwa nusu saa nyuma halafu gari hilo lililokuwa kwenye tukio lionekane Dar es salaam nikaja kugundua hao watu walikuwa na helikopita yenye uwezo mkubwa sana na huenda ilikuwa ni ya jeshi ndizo ambazo zina spidi sana. Baada ya kufika Dar ilionekana maeneo ya Tabata kwenye night Club moja inaitwa KITAMBAA CHEUPE, niliwahi yale maeneo ila kwa bahati mbaya nilipishana nayo njiani wakiwa wanageuza ikanilazimu namimi nigeuze tena ndipo ilipokuja kuishia Buguruni.
Walikuwa ni wanaume wawili tu pekee walikuwa wakingia kwenye uchochoro mmoja pale niliwawahi kwa mbele, walionekana kushtuka sana baada ya kuniona japo hawakuwa wakinijua mimi ni nani.
"Nipeni hicho mlicho kichukua" niliwaambia nikiwa kawaida tu

"Haahahaha hivi wewe mtoto una akili kweli yaani umetoka ulikotoka unapiga makelele tukupe tulicho chukua hicho nini kwanza, wewe ni nani?, Kama ni mlevi tu wa mtaani ebu ondoka hapa haraka mno na ukatoe ushuhuda makanisani na misikitini kwamba tumekuacha hai" aliongea kwa majigambo mmoja wao nadhani umbo langu dogo lilimdanganya kiasi kukubwa sana, alishtuka wakati huo alikuwa hana meno kadhaa, ngumi mbili nilizo rusha zilitoka na meno mazima manne ya pembeni alipiga makelele sana hata hivyo sikumjali kabisa yule, mwenzake wakati anakuja nilikuwa namhesabia tu nilijiviringisha juu nikamdanganya nampiga wakati namkaribia nilikuwa nimechomoa bastola nililenga nimpe risasi za kichwa lakini nilimkosa ikatua kwenye bega, navyotua chini kilifanyika kitu cha ajabu ambacho huenda kwenye maisha yangu yote sikuwahi kuwaza Kama kinawezekana kufanyika, sekunde mbili tu yule mwanaume niliye mpiga risasi hakuwepo ile sehemu mpaka Leo huwa najiuliza alipoteaje poteaje huwa sina jibu la kujipatia Mimi mwenyewe, basi nikawa sina namna zaidi ya kwenda kumalizana na yule mmoja aliyekuwa amebaki.
"Kwa yule mzee mmechukua nini" niliuliza nikiwa naangaza huku na huku yule jamaa kwa shida alinijibu kitu ambacho hata sikumuuliza.

"Kwenye ile nyumba amepona mtoto mmoja wa kiume na Kuna mtu amepotea naye, hii sehemu ina watu wengi sana hata kukimbia sidhani kama utaweza, hapa ndipo ambapo huwa tunakutana, kule tumechuk........." Kabla hata hajamalizia sentensi yake nilishangaa damu imetapakaa hapo chini, yule jamaa alikuwa amepigwa risasi na mtu ambaye hata sikujua amekaa wapi, kwa ile nafasi alikuwa na uwezo mzuri sana wa kuweza kuniua ila sijui nini sababu za msingi mpaka akaniacha hai, niliondoka pale nikiwa mnyonge sana na ndipo nilipo amuaga kuweka kambi pale ili niweze kugundua chochote lakini hakuna kitu nimeambulia mpaka sasa hawa watu wana weledi mkubwa sana hata huyu mtoto ambaye walisema amepotea mpaka sasa hakuna taarifa yake yoyote ile tumetafuta kila sehemu lakini wapi hajawahi kupatikana, hiyo ndiyo sababu ya msingi nimehangaika miaka yote mitano hiyo kuna vitu vingi sana nahitaji kuvijua na kumjua huyu mwingine ambaye yupo nyuma yetu ukiachana na sisi wenyewe naogopa inaweza ikatokea vita ya sisi kwa sisi ikawa shida kidogo" hadithi yake kichaa huyu ajulikanaye kama Jumbe omba omba wa Buguruni ilimfanya sasa kijana wake amuelewe vizuri, huyu alikuwa ni kijana ambaye yeye mwenyewe ndiye aliyekuwa amemuweka hapo, alikuwa ni wa kawaida kwa muonekano ila alikuwa ni mtu hatari sana.

"Daaah hiyo ni hatari sana Kama unaweza kushindana na mtu ambaye anazijua hatua zako zote unazopiga halafu wewe humjui huyo akiamua kukupoteza ni suala la dakika tu na yeye kufanya maamuzi"

"Ebu kwa sasa wewe ishia hapa unaweza ukaondoka nahitaji kukutana na baba" maelekezo ya Ashrafu yalimshtua sana huyu mwanaume hakuwahi kusikia Kama Ashrafu ana baba leo lilikuwa ni neno jipya kwake.

"Bosi hivi umesema baba au nimesikia vibaya" Ashrafu alitabasamu baada ya kusikia hilo swali alimpiga kijana wake huyo kibao kikali mno nusu gali ipoteze uelekeo.

"Kukupa nafasi ya kuuliza maswali ushaniona mimi mwenzako sio" wakati huo alikuwa akiikoki bastola yake vizuri, kijana wake huyo aliinamisha kichwa chini kama ishara ya kuomba msamaha na kuwa tayari kupokea adhabu yoyote kutoka kwa bosi wake ambaye alimjua vizuri sana.

"Mwanamke wako ni mjamzito sasa usinifanye nikamfanya bingi mdogo namna ile kubaki mjane chunga sana mdomo wako siku nyingine na uwatoe walinzi wote hapo Buguruni sokoni" Ashrafu aliubamiza mlango wa gari kwa nguvu na hasira baada ya meneja wa M96 OWNE'Z Kisha akatoka na gari hilo eneo kwa spidi ungedhani labda anawahi ndege inayotegemea kumuacha airport.
6 inafika meisho

Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA SABA

TULIPO ISHIA SEHEMU YA SITA............
"Mwanamke wako ni mjamzito sasa usinifanye nikamfanya bingi mdogo namna ile kubaki mjane chunga sana mdomo wako siku nyingine na uwatoe walinzi wote hapo Buguruni sokoni" Ashrafu aliubamiza mlango wa gari kwa nguvu na hasira baada ya meneja wa M96 OWNE'Z Kisha akatoka na gari hilo eneo kwa spidi ungedhani labda anawahi ndege inayotegemea kumuacha airport.

ENDELEA.......................
Ndani ya msitu wa Havana ambao upo nje kidogo ya Havana ndani ya wilaya ya Miramar waweza kuuita Almendares park, ni msitu maarufu sana wenye historia kubwa sana ndani ya nchi ya Cuba ukijulikana sana kwa usanifu wa majengo ya kale pamoja na kuzungukwa na fukwe nzuri za bahati, huko ndiko sehemu kulikokuwa na kambi ndogo ya kikomando ambako ndiko alikuwa amepelekwa Jamal, alikuwa amekaa mwezi mmoja akiwa anapitia mafunzo makali sana yaliyo mfanya kukosa hata muda mrefu wa kupumzika baada ya miaka ambayo alitakiwa kukaa kule kupunguzwa na kuwa miaka miwili kwahiyo ilimlazimu kupata muda mchache kupita kiasi wa kupumzika. Hakuwa na rafiki yeyote kwa sababu hakuwa mtu wa kuongea sana hivyo muda ambao alikuwa anapata wa kupumzika alikuwa anapenda sana kukaa mwenyewe akiyawaza maisha yake kwa usahihi sana. Jioni moja akiwa amekaa sehemu karibu na miti mikubwa ndani ya huo msitu kiza kikianza kuichukua nafasi yake vizuri kutoka kwenye nuru nzuri ya jua lililokuwa likiwaka kuanzia asubuhi alikuwa ametuliza akili yake akipata upepo mzuri wa fukwe zilizokuwa zinaupendezesha huo msitu wa Havana.
Alihisi kama Kuna mtu nyuma yake aligeuka haraka mno lakini hakuona chochote, kilitangulia kisu chenye ncha kali mno kuelekea sehemu alipokuwa amekaa, alikuwa amekulia kwenye maisha ya milima hivyo hapo msituni palikuwa kama yupo kyela tu ndani ya mlima Livingstone, hakuwa na papara sana alisimama na kugeuka, aliyerusha hicho kisu alionekana kutoamini alivyokuwa anakiona mbele yake, kisu chake kilikuwa kinaogopwa sana popote alipokuwa anaenda lakini kwa huyo kijana ilikuwa ni tofauti kilidakwa kwa vidole viwili tu pekee halafu kijana akatabasamu kwa sura yake iliyokuwa ina mvuto sana lakini alikuwa amekomaa mno.

"Mbona tunaviziana ndugu yangu nimekukosea nini mpaka univamie na kutaka kuniua kijana mdogo sana kama mimi" kijana Jamal aliuliza swali kwa mtu aliyekuwa mbele yake alivaa nguo nyeusi na kitambaa cheusi usoni lakini ni wazi alionekana kuwa mwanamke.

"Nahitaji hicho kifaa chako cha shingoni" yule mwanamke alijibu kwa utulivu akiwa hana hata wasi wasi ila kwa Jamal ilimshtua hakuelewa huyo mwanamke ni nani kwa maana alionekana kumjua vyema na alijiuliza amewezaje kuingia kwenye kambi ya kikomando kiwepesi namna hiyo bila kuonekana ikiwa Kuna ulinzi mkali sana hayo maeneo.

"Huwa sipigi wanawake, kila ninapo muona mwanamke huwa inanijia sura ya mama yangu kwa mbali hivyo nakuwa na huruma sana na sitamani ije itokee nikamuumiza vibaya mwanamke kwa mkono wangu nitajisikia vibaya sana kwahiyo ondoka hapa sasa hivi nahitaji kutuliza akili kwa huu muda nina mambo mengi sana ya kuiwaza" Jamal alimuelekeza huyo mwanamke akimrushia kisu chake na kugeuka akakaa pale alipokuwa amekaa mwanzo akiiangalia miti mikubwa mbele yake iliyo onekana kuwa ya zamani sana kwenye hiyo sehemu. Upepo ulivuma kwenye masikio ya Jamal alijirusha kwa spidi ya upepo akadunda kwenye mti mkubwa aliokuwa anautazama kwa mbele , alikuwa amelikwepa teke zito ambalo kama lingempata hakuwa na imani kama angeweza kuamka na kuendelea kutembea kwa miguu yake miwili, baada ya kudunda kwenye huo mti wakati anageuka kisu kilikuwa kinakuja kwa nguvu aliongeza sarakasi ya juu akaenda kutua nyuma ya huyo mwanamke kisu kikaenda kukita kwenye huo mti, Jamal alichotwa mtam wakati anakaribia kudondoka chini lilikuwa kinakuja teke usoni alilipangua vyema na kushikilia chini kwa mkono mmoja kisha akajirusha na kusimama vizuri kama mwanzo ila hakuelewa huyo mtu ni nani mpaka amuandame sana kiasi hicho. Huyo mwanamke hakuwa na masihara alikuwa anakuja kwa kurusha ngumi za hatari akiwa amedhamiria kweli kukichukua kidani shingoni mwa Jamal na Jamal aliambiwa na baba yake akilinde hicho kidani kuliko hata anavyo yalinda macho yake, alikuwa anayalinda mno maneno ya baba yake, mwanaume aliona huyu mwanamke atamzoea bibie wakati anaikaribia shingo ya kijana huyu ni kwa haraka alidakwa mkono wake ulizungushwa kwa nguvu alisukumwa kwa nguvu nusura ajigongeshe kichwa kwenye mti ila Jamal aliwahi na kumdaka huku akikitoa kitambaa chake usoni bila mwanamke huyo kupenda, aliona aibu kubwa sana kufanyiwa hicho kitendo huyo mrembo.

"Ni wewe tena na huku unafanya nini?" Jamal aliuliza kwa mshangao sana kwa sababu sio mara ya kwanza alikuwa anamuona huyo mwanamke mbele ya macho yake, Leo ilikuwa ni mara ya pili kumtia machoni, mara ya kwanza anakumbuka walikutana ndani ya airport kubwa ya Jose Marti International airport huyu ndiye aliyekuwa amempamia siku ile na kumsonya kwa dharau wakati anamuangalia vizuri alipotea kwenye mazingira ya kutatanisha sana pale Airport.

"Unaitwa Jamal Hauston wewe sindio eeh" hakujibu alicho uliza Jamal bali naye alimuuliza swali lake.
"Umenijuaje jina langu" mwanaume alihamaki na ilikuwa ajabu sana leo wanakutana siku ya pili tu tena juu juu tu eti leo anamjua mpaka jina lake.
"Passport yako unayo?" Jamal aliulizwa swali lingine
"Ipo kwenye begi" alijibu kwa kujiamini sana lakini alishtuka kwa alicho kiona passports zake zililuwa zipo kwenye mikono ya huyo mwanamke.
" Na hizi ni za nani?" Aliulizwa swali ambalo lilimfanya ajicheke na kujiona yeye ni mzembe mkubwa sana alielewa kwamba siku ile wakati wabapamiana ndio muda ambao huyo mwanamke aliweza kumuibia hivyo vitu alikaa kimya tu maana hakuwa na cha kujitetea.
"Mtu unayekuja sehemu kama hii hautakiwi kuwa mrahisi sana namna hii ndio maana nimekuja hapa kwa kujiamini nikijua wewe ni mwepesi sana mawazo yangu yangenipeleka pabaya sana kama usingekuwa na huruma huenda ungeniua uko imara kiasi kikubwa sijawahi kuvuliwa kitambaa changu usoni nadhani usiku wa leo wewe utakuwa mwanaume mwenye bahati sana kwenye maisha yako" aliyekuwa anayazungumza hayo maneno alikuwa ni mwanamke mzuri sana licha ya kuonekana alikuwa ni hatari sana linapokuja suala la kuiweka pembeni sura yake nzuri na kuuvaa uhalisia wake, Jamal alikuwa amemkodolea macho bila kukwepesha, hakuelewa hata kilichokuwa kimezungumzwa hapo zaidi ya kuitafakari na kuipa tafsiri nzuri za mapambo bora yanayo upendezesha ulimwengu, alikiri wazi huyo mwanamke alikuwa moja ya hayo mapambo, alijishtukia mwenyewe akakurupuka kuuliza.

"Wewe ni nani na kwangu umefuata nini?" Aliuliza swali kwa kujikaza tu ila kiuhalisia hakutamani huyo mwanamke aweze kuondoka hapo.
"Niahidi kwanza leo usiku tutakuwa wote ndipo nikueleze ukweli kwamba mimi ni nani" huyu mwanamke ambaye alikuwa mbele yake alitamka huku lipsi za mdomo wake zikilowanishwa na mate kiasi aliyokuwa anayatoa wakati anaongea na kumfanya kuwa na midomo ya kumvutia kila mwanaume hasa wale wagonjwa wa mabusu mengi.

"Niwe nawewe usiku kucha na kambini wakijua mimi sipo unadhani nitakuwa na kipi cha kumwambia Captain nadhani utakuwa mwenyeji hapa unamjua vizuri sana yule mzee alivyo mkali ataniua" Jamal alijibu kwamba hataki ila moyoni alikuwa tayari kwa lolote lile kwa aina ya mwanamke aliyekuwa mbele yake.

"Hahahaahahahaha komando mzima unakuwa muoga hivyo, kesho ni wikiend ni siku ya mapumziko hivyo kila mtu huwa anapewa ruhusa ya kwenda popote pale anapo pahitaji mwenyewe, huwa hawasemi tu ila wikienda huwa inaanza jioni ya siku ya nyuma yake yaani kama Leo ndo inaanza mpaka jumapili jioni ndo Sheria zinaanza kufuatwa tena kama kawaida" Jamal alijiona ni mshamba kupitiliza kila kitu alionekana kuwa mgeni nacho kitu kilicho mpelekea kuonekana mshamba pointi zake tatu za mhimu alikuwa anazipoteza mbele ya mwanamke mrembo kama huyo.
"Sawa tutakuwa wote niambie sasa" alijikaza saivi akiwa hataki hata kumuangalia huyo mwanamke usoni alikuwa amesha jidhalilisha mwenyewe kuonekana ana kichwa kigumu mno kitu ambacho hakikuwa chakweli ila lilikuwa wenge tu la kukaa mbele ya mwanamke mrembo kama huyo na hakuyazoea kabisaa hayo maisha ya kuwa karibu na wanawake.
."Naitwa Catherine Yudel, ni komando na pia ni jasusi kutoka ndani ya idara ya kijasusi ya nchi ya Cuba CUBAN INTELLIGENCE DEPARTMENT (CID), huyo mkuu wa hii kambi ya kikomando ndiye baba yangu mzazi. Huwa nina kazi kubwa ya kuwapeleleza watu wengi wageni ambao huwa wanaingia kwenye nchi hii ili kujua kama wanaingia kwa lengo lipi ndani ya nchi hii ikiwemo nyie makomando ambao mnakuja kwa mafunzo hapa Cuba, kwa nyie mnaokuja kwenye mafunzo huwa nawachunguza ili kuweza kujua kama kuna mamluki wanawafuatilia nyuma au Kuna watu wa siri mmekuja nao hususani kwa mtu kama wewe ambaye jina lako halikuwepo kwenye list ya watu waliotakiwa kuja hapa Cuba kupewa mafunzo, jina lako lilikuwa limekuja kwa kibali maalumu hivyo kulikuwa na walakini kwamba kwanini uje kwa kibali maalumu ilikuwa ni lazima uchunguzwe ukizingatia wenzako huwa hawaletwi kwenye hii kambi ambayo ndo kubwa kuliko zote huwa wanapelekwa kambi zingine za kawaida" maelezo ya Catherine yalimfanya Jamal aelewe kwa usahihi kwamba hakukutana na huyo mwanamke kwa bahati mbaya ilikuwa imepangwa hata kabla ya yeye kuja hapo.
"Sasa kwanini umeniamini kirahisi hivyo na kunipa siri nzito sana namna hiyo mtu ambaye bado hujanijua upande wangu wa pili upoje?" Swali la Victor lilimfanya Catherine binti huyu wa kapteni mkuu wa kambi hiyo kubwa ya kikomando atabasamu
"Wewe upo tofauti sana na wengine ambao wamewahi kuja hapa, ni mpole, una heshima kwa wanawake hicho ndo kimenivutia zaidi kwako halafu sio mtu wa kujichanganya unapenda sana kuwa mwenyewe kwahiyo nataka niwe nawewe upande wako ili usiwe mpweke ukiwa hapa kwa maana mimi mwenyewe sinaga rafiki niko pekeangu kwenye maisha yangu yote. Kwa maisha ninayo yaishi japokuwa ni mzuri sana lakini naogopa hata kupenda kwa sababu naweza nikaishia kuwaua vijana wa watu bure kwani nina wivu sana japo sijawahi kuwa kwenye mahusiano halafu ukizingatia vijana wa siku hizi wana mate mengi sana kila mwanamke wanaye muona wanamtaka hiyo ndiyo sababu nimeamua kujiweka mbali ili nisije nikasababisha matatizo kwenye familia za watu, na lingine kazi yangu hainiruhusu kuolewa hakuna mwanaume atakaye weza kunielewa kwa hili ila leo nataka nikukabidhi mwili wangu kwa mara ya kwanza kabisa kwenye maisha yangu kwani wewe pekee ndiye uliyefanikiwa kunitoa kile kitambaa usoni ambacho hakuna mtu aliyewahi kufanya hivyo nikiwa kwenye haya mavazi". Jamal alikuwa amepigwa na butwaa mdomo wote ulikuwa wazi kiasi kwamba kama angetokea nzi yeyote angeingia humo bila wasiwais wowote, maneno alivyokuwa akiyasikia hakuyaamini Kabisa alijihisi yeye ndo mwanaume mwenye bahati zaidi kuwahi kuishi kwenye huu ulimwengu, bibie alikuwa ameufikisha mdomo wake kwenye mdomo wa Jamal ambaye bado alikuwa kwenye mshangao, alikuwa mshamba mno kwenye hii sekta kwa sababu hakuwahi kujihusisha wala kuishi kwenye maisha ya mitandao ambayo yangemfanya kujifunza hivyo vitu hata hivyo haikuzuia kutimiza adhma ya mioyo yao, kwa mara ya kwanza wote waliivunja amri maarufu kuliko zote ambayo ni amri ya sita, nyasi za msitu huo pamoja na miti ndizo zilikuwa mashahidi wazuri wa hilo tukio bora sana la hawa makomando wawili waliokutana kwenye safari ya maisha yao.

Saa tano za usiku kwa saa za Tanzania maeneo ya Mburahati alionekana maskini mmoja akiwa anatandia box lake pembezoni mwa godauni moja kubwa lililokuwa linatumika kuhifadhia mazao mbali mbali, alionekana wazi hakuwa na sehemu ya kujihifashi na ndiyo sababu kubwa mpaka akawa ameweka makazi yake kwenye hicho kivalanda kidogo na kujibana hapo. Kwa makadirio alikuwa na miaka kama 58 hivi umri ulikuwa umesogea kiasi ila alikuwa na afya njema na alinawiri sana licha ya kuwa fundi viatu kwenye hiyo mitaa ila watu walikuwa wanashangazwa sana na maisha yake alikuwa anakula vizuri japokuwa hakuwa na sehemu ya kukaa hata hivi hawakuwa na majibu walidhani huenda ni pesa anazopata kwenye kushona viatu ndizo zinamfanya asijinyime sana kuujenga mwili wake. Baada ya dakika tano tangu ajilaze hapo ulionekana msafara mkubwa wa magari ya kifahari manne yaliyopaki kwa mbali kidogo na sehemu alipokuwa amelala huyo fundi viatu pakiwa na kiza totoro, magari hayo yalizimwa taa zote kisha humo ndani akashuka mwanaume mrefu mwenye mwili mkubwa akiwa na suti yake safi nyeusi, aliitengeneza vyema kola ya shati lake pamoja na tai kisha akaanza kuelekea sehemu aliyokuwa yupo yule fundi viatu, licha ya kusikia ujio wa magari na watu hayo maeneo wala hakushtuka kabisa aliendelea kuutafuta usingizi wake bila wasi wasi.
Huyu mtu ni nani na ni nani aliyetembelewa mitaa ya uswazi huku?
Sehemu ya 7 sina la ziada tukutane wakati mwingine.

Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA SABA

TULIPO ISHIA SEHEMU YA SITA............
"Mwanamke wako ni mjamzito sasa usinifanye nikamfanya bingi mdogo namna ile kubaki mjane chunga sana mdomo wako siku nyingine na uwatoe walinzi wote hapo Buguruni sokoni" Ashrafu aliubamiza mlango wa gari kwa nguvu na hasira baada ya meneja wa M96 OWNE'Z Kisha akatoka na gari hilo eneo kwa spidi ungedhani labda anawahi ndege inayotegemea kumuacha airport.

ENDELEA.......................
Ndani ya msitu wa Havana ambao upo nje kidogo ya Havana ndani ya wilaya ya Miramar waweza kuuita Almendares park, ni msitu maarufu sana wenye historia kubwa sana ndani ya nchi ya Cuba ukijulikana sana kwa usanifu wa majengo ya kale pamoja na kuzungukwa na fukwe nzuri za bahati, huko ndiko sehemu kulikokuwa na kambi ndogo ya kikomando ambako ndiko alikuwa amepelekwa Jamal, alikuwa amekaa mwezi mmoja akiwa anapitia mafunzo makali sana yaliyo mfanya kukosa hata muda mrefu wa kupumzika baada ya miaka ambayo alitakiwa kukaa kule kupunguzwa na kuwa miaka miwili kwahiyo ilimlazimu kupata muda mchache kupita kiasi wa kupumzika. Hakuwa na rafiki yeyote kwa sababu hakuwa mtu wa kuongea sana hivyo muda ambao alikuwa anapata wa kupumzika alikuwa anapenda sana kukaa mwenyewe akiyawaza maisha yake kwa usahihi sana. Jioni moja akiwa amekaa sehemu karibu na miti mikubwa ndani ya huo msitu kiza kikianza kuichukua nafasi yake vizuri kutoka kwenye nuru nzuri ya jua lililokuwa likiwaka kuanzia asubuhi alikuwa ametuliza akili yake akipata upepo mzuri wa fukwe zilizokuwa zinaupendezesha huo msitu wa Havana.
Alihisi kama Kuna mtu nyuma yake aligeuka haraka mno lakini hakuona chochote, kilitangulia kisu chenye ncha kali mno kuelekea sehemu alipokuwa amekaa, alikuwa amekulia kwenye maisha ya milima hivyo hapo msituni palikuwa kama yupo kyela tu ndani ya mlima Livingstone, hakuwa na papara sana alisimama na kugeuka, aliyerusha hicho kisu alionekana kutoamini alivyokuwa anakiona mbele yake, kisu chake kilikuwa kinaogopwa sana popote alipokuwa anaenda lakini kwa huyo kijana ilikuwa ni tofauti kilidakwa kwa vidole viwili tu pekee halafu kijana akatabasamu kwa sura yake iliyokuwa ina mvuto sana lakini alikuwa amekomaa mno.

"Mbona tunaviziana ndugu yangu nimekukosea nini mpaka univamie na kutaka kuniua kijana mdogo sana kama mimi" kijana Jamal aliuliza swali kwa mtu aliyekuwa mbele yake alivaa nguo nyeusi na kitambaa cheusi usoni lakini ni wazi alionekana kuwa mwanamke.

"Nahitaji hicho kifaa chako cha shingoni" yule mwanamke alijibu kwa utulivu akiwa hana hata wasi wasi ila kwa Jamal ilimshtua hakuelewa huyo mwanamke ni nani kwa maana alionekana kumjua vyema na alijiuliza amewezaje kuingia kwenye kambi ya kikomando kiwepesi namna hiyo bila kuonekana ikiwa Kuna ulinzi mkali sana hayo maeneo.

"Huwa sipigi wanawake, kila ninapo muona mwanamke huwa inanijia sura ya mama yangu kwa mbali hivyo nakuwa na huruma sana na sitamani ije itokee nikamuumiza vibaya mwanamke kwa mkono wangu nitajisikia vibaya sana kwahiyo ondoka hapa sasa hivi nahitaji kutuliza akili kwa huu muda nina mambo mengi sana ya kuiwaza" Jamal alimuelekeza huyo mwanamke akimrushia kisu chake na kugeuka akakaa pale alipokuwa amekaa mwanzo akiiangalia miti mikubwa mbele yake iliyo onekana kuwa ya zamani sana kwenye hiyo sehemu. Upepo ulivuma kwenye masikio ya Jamal alijirusha kwa spidi ya upepo akadunda kwenye mti mkubwa aliokuwa anautazama kwa mbele , alikuwa amelikwepa teke zito ambalo kama lingempata hakuwa na imani kama angeweza kuamka na kuendelea kutembea kwa miguu yake miwili, baada ya kudunda kwenye huo mti wakati anageuka kisu kilikuwa kinakuja kwa nguvu aliongeza sarakasi ya juu akaenda kutua nyuma ya huyo mwanamke kisu kikaenda kukita kwenye huo mti, Jamal alichotwa mtam wakati anakaribia kudondoka chini lilikuwa kinakuja teke usoni alilipangua vyema na kushikilia chini kwa mkono mmoja kisha akajirusha na kusimama vizuri kama mwanzo ila hakuelewa huyo mtu ni nani mpaka amuandame sana kiasi hicho. Huyo mwanamke hakuwa na masihara alikuwa anakuja kwa kurusha ngumi za hatari akiwa amedhamiria kweli kukichukua kidani shingoni mwa Jamal na Jamal aliambiwa na baba yake akilinde hicho kidani kuliko hata anavyo yalinda macho yake, alikuwa anayalinda mno maneno ya baba yake, mwanaume aliona huyu mwanamke atamzoea bibie wakati anaikaribia shingo ya kijana huyu ni kwa haraka alidakwa mkono wake ulizungushwa kwa nguvu alisukumwa kwa nguvu nusura ajigongeshe kichwa kwenye mti ila Jamal aliwahi na kumdaka huku akikitoa kitambaa chake usoni bila mwanamke huyo kupenda, aliona aibu kubwa sana kufanyiwa hicho kitendo huyo mrembo.

"Ni wewe tena na huku unafanya nini?" Jamal aliuliza kwa mshangao sana kwa sababu sio mara ya kwanza alikuwa anamuona huyo mwanamke mbele ya macho yake, Leo ilikuwa ni mara ya pili kumtia machoni, mara ya kwanza anakumbuka walikutana ndani ya airport kubwa ya Jose Marti International airport huyu ndiye aliyekuwa amempamia siku ile na kumsonya kwa dharau wakati anamuangalia vizuri alipotea kwenye mazingira ya kutatanisha sana pale Airport.

"Unaitwa Jamal Hauston wewe sindio eeh" hakujibu alicho uliza Jamal bali naye alimuuliza swali lake.
"Umenijuaje jina langu" mwanaume alihamaki na ilikuwa ajabu sana leo wanakutana siku ya pili tu tena juu juu tu eti leo anamjua mpaka jina lake.
"Passport yako unayo?" Jamal aliulizwa swali lingine
"Ipo kwenye begi" alijibu kwa kujiamini sana lakini alishtuka kwa alicho kiona passports zake zililuwa zipo kwenye mikono ya huyo mwanamke.
" Na hizi ni za nani?" Aliulizwa swali ambalo lilimfanya ajicheke na kujiona yeye ni mzembe mkubwa sana alielewa kwamba siku ile wakati wabapamiana ndio muda ambao huyo mwanamke aliweza kumuibia hivyo vitu alikaa kimya tu maana hakuwa na cha kujitetea.
"Mtu unayekuja sehemu kama hii hautakiwi kuwa mrahisi sana namna hii ndio maana nimekuja hapa kwa kujiamini nikijua wewe ni mwepesi sana mawazo yangu yangenipeleka pabaya sana kama usingekuwa na huruma huenda ungeniua uko imara kiasi kikubwa sijawahi kuvuliwa kitambaa changu usoni nadhani usiku wa leo wewe utakuwa mwanaume mwenye bahati sana kwenye maisha yako" aliyekuwa anayazungumza hayo maneno alikuwa ni mwanamke mzuri sana licha ya kuonekana alikuwa ni hatari sana linapokuja suala la kuiweka pembeni sura yake nzuri na kuuvaa uhalisia wake, Jamal alikuwa amemkodolea macho bila kukwepesha, hakuelewa hata kilichokuwa kimezungumzwa hapo zaidi ya kuitafakari na kuipa tafsiri nzuri za mapambo bora yanayo upendezesha ulimwengu, alikiri wazi huyo mwanamke alikuwa moja ya hayo mapambo, alijishtukia mwenyewe akakurupuka kuuliza.

"Wewe ni nani na kwangu umefuata nini?" Aliuliza swali kwa kujikaza tu ila kiuhalisia hakutamani huyo mwanamke aweze kuondoka hapo.
"Niahidi kwanza leo usiku tutakuwa wote ndipo nikueleze ukweli kwamba mimi ni nani" huyu mwanamke ambaye alikuwa mbele yake alitamka huku lipsi za mdomo wake zikilowanishwa na mate kiasi aliyokuwa anayatoa wakati anaongea na kumfanya kuwa na midomo ya kumvutia kila mwanaume hasa wale wagonjwa wa mabusu mengi.

"Niwe nawewe usiku kucha na kambini wakijua mimi sipo unadhani nitakuwa na kipi cha kumwambia Captain nadhani utakuwa mwenyeji hapa unamjua vizuri sana yule mzee alivyo mkali ataniua" Jamal alijibu kwamba hataki ila moyoni alikuwa tayari kwa lolote lile kwa aina ya mwanamke aliyekuwa mbele yake.

"Hahahaahahahaha komando mzima unakuwa muoga hivyo, kesho ni wikiend ni siku ya mapumziko hivyo kila mtu huwa anapewa ruhusa ya kwenda popote pale anapo pahitaji mwenyewe, huwa hawasemi tu ila wikienda huwa inaanza jioni ya siku ya nyuma yake yaani kama Leo ndo inaanza mpaka jumapili jioni ndo Sheria zinaanza kufuatwa tena kama kawaida" Jamal alijiona ni mshamba kupitiliza kila kitu alionekana kuwa mgeni nacho kitu kilicho mpelekea kuonekana mshamba pointi zake tatu za mhimu alikuwa anazipoteza mbele ya mwanamke mrembo kama huyo.
"Sawa tutakuwa wote niambie sasa" alijikaza saivi akiwa hataki hata kumuangalia huyo mwanamke usoni alikuwa amesha jidhalilisha mwenyewe kuonekana ana kichwa kigumu mno kitu ambacho hakikuwa chakweli ila lilikuwa wenge tu la kukaa mbele ya mwanamke mrembo kama huyo na hakuyazoea kabisaa hayo maisha ya kuwa karibu na wanawake.
."Naitwa Catherine Yudel, ni komando na pia ni jasusi kutoka ndani ya idara ya kijasusi ya nchi ya Cuba CUBAN INTELLIGENCE DEPARTMENT (CID), huyo mkuu wa hii kambi ya kikomando ndiye baba yangu mzazi. Huwa nina kazi kubwa ya kuwapeleleza watu wengi wageni ambao huwa wanaingia kwenye nchi hii ili kujua kama wanaingia kwa lengo lipi ndani ya nchi hii ikiwemo nyie makomando ambao mnakuja kwa mafunzo hapa Cuba, kwa nyie mnaokuja kwenye mafunzo huwa nawachunguza ili kuweza kujua kama kuna mamluki wanawafuatilia nyuma au Kuna watu wa siri mmekuja nao hususani kwa mtu kama wewe ambaye jina lako halikuwepo kwenye list ya watu waliotakiwa kuja hapa Cuba kupewa mafunzo, jina lako lilikuwa limekuja kwa kibali maalumu hivyo kulikuwa na walakini kwamba kwanini uje kwa kibali maalumu ilikuwa ni lazima uchunguzwe ukizingatia wenzako huwa hawaletwi kwenye hii kambi ambayo ndo kubwa kuliko zote huwa wanapelekwa kambi zingine za kawaida" maelezo ya Catherine yalimfanya Jamal aelewe kwa usahihi kwamba hakukutana na huyo mwanamke kwa bahati mbaya ilikuwa imepangwa hata kabla ya yeye kuja hapo.
"Sasa kwanini umeniamini kirahisi hivyo na kunipa siri nzito sana namna hiyo mtu ambaye bado hujanijua upande wangu wa pili upoje?" Swali la Victor lilimfanya Catherine binti huyu wa kapteni mkuu wa kambi hiyo kubwa ya kikomando atabasamu
"Wewe upo tofauti sana na wengine ambao wamewahi kuja hapa, ni mpole, una heshima kwa wanawake hicho ndo kimenivutia zaidi kwako halafu sio mtu wa kujichanganya unapenda sana kuwa mwenyewe kwahiyo nataka niwe nawewe upande wako ili usiwe mpweke ukiwa hapa kwa maana mimi mwenyewe sinaga rafiki niko pekeangu kwenye maisha yangu yote. Kwa maisha ninayo yaishi japokuwa ni mzuri sana lakini naogopa hata kupenda kwa sababu naweza nikaishia kuwaua vijana wa watu bure kwani nina wivu sana japo sijawahi kuwa kwenye mahusiano halafu ukizingatia vijana wa siku hizi wana mate mengi sana kila mwanamke wanaye muona wanamtaka hiyo ndiyo sababu nimeamua kujiweka mbali ili nisije nikasababisha matatizo kwenye familia za watu, na lingine kazi yangu hainiruhusu kuolewa hakuna mwanaume atakaye weza kunielewa kwa hili ila leo nataka nikukabidhi mwili wangu kwa mara ya kwanza kabisa kwenye maisha yangu kwani wewe pekee ndiye uliyefanikiwa kunitoa kile kitambaa usoni ambacho hakuna mtu aliyewahi kufanya hivyo nikiwa kwenye haya mavazi". Jamal alikuwa amepigwa na butwaa mdomo wote ulikuwa wazi kiasi kwamba kama angetokea nzi yeyote angeingia humo bila wasiwais wowote, maneno alivyokuwa akiyasikia hakuyaamini Kabisa alijihisi yeye ndo mwanaume mwenye bahati zaidi kuwahi kuishi kwenye huu ulimwengu, bibie alikuwa ameufikisha mdomo wake kwenye mdomo wa Jamal ambaye bado alikuwa kwenye mshangao, alikuwa mshamba mno kwenye hii sekta kwa sababu hakuwahi kujihusisha wala kuishi kwenye maisha ya mitandao ambayo yangemfanya kujifunza hivyo vitu hata hivyo haikuzuia kutimiza adhma ya mioyo yao, kwa mara ya kwanza wote waliivunja amri maarufu kuliko zote ambayo ni amri ya sita, nyasi za msitu huo pamoja na miti ndizo zilikuwa mashahidi wazuri wa hilo tukio bora sana la hawa makomando wawili waliokutana kwenye safari ya maisha yao.

Saa tano za usiku kwa saa za Tanzania maeneo ya Mburahati alionekana maskini mmoja akiwa anatandia box lake pembezoni mwa godauni moja kubwa lililokuwa linatumika kuhifadhia mazao mbali mbali, alionekana wazi hakuwa na sehemu ya kujihifashi na ndiyo sababu kubwa mpaka akawa ameweka makazi yake kwenye hicho kivalanda kidogo na kujibana hapo. Kwa makadirio alikuwa na miaka kama 58 hivi umri ulikuwa umesogea kiasi ila alikuwa na afya njema na alinawiri sana licha ya kuwa fundi viatu kwenye hiyo mitaa ila watu walikuwa wanashangazwa sana na maisha yake alikuwa anakula vizuri japokuwa hakuwa na sehemu ya kukaa hata hivi hawakuwa na majibu walidhani huenda ni pesa anazopata kwenye kushona viatu ndizo zinamfanya asijinyime sana kuujenga mwili wake. Baada ya dakika tano tangu ajilaze hapo ulionekana msafara mkubwa wa magari ya kifahari manne yaliyopaki kwa mbali kidogo na sehemu alipokuwa amelala huyo fundi viatu pakiwa na kiza totoro, magari hayo yalizimwa taa zote kisha humo ndani akashuka mwanaume mrefu mwenye mwili mkubwa akiwa na suti yake safi nyeusi, aliitengeneza vyema kola ya shati lake pamoja na tai kisha akaanza kuelekea sehemu aliyokuwa yupo yule fundi viatu, licha ya kusikia ujio wa magari na watu hayo maeneo wala hakushtuka kabisa aliendelea kuutafuta usingizi wake bila wasi wasi.
Huyu mtu ni nani na ni nani aliyetembelewa mitaa ya uswazi huku?
Sehemu ya 7 sina la ziada tukutane wakati mwingine.

Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA NANE

TULIPO ISHIA SEHEMU YA SABA............
Baada ya dakika tano tangu ajilaze hapo ulionekana msafara mkubwa wa magari ya kifahari manne yaliyopaki kwa mbali kidogo na sehemu alipokuwa amelala huyo fundi viatu pakiwa na kiza totoro, magari hayo yalizimwa taa zote kisha humo ndani akashuka mwanaume mrefu mwenye mwili mkubwa akiwa na suti yake safi nyeusi, aliitengeneza vyema kola ya shati lake pamoja na tai kisha akaanza kuelekea sehemu aliyokuwa yupo yule fundi viatu, licha ya kusikia ujio wa magari na watu hayo maeneo wala hakushtuka kabisa aliendelea kuutafuta usingizi wake bila wasi wasi.

ENDELEA.........................
Baada ya kuitengeneza vyema suti yake alipiga hatua huku akiwaelekeza walinzi wake waweze kubaki hapo hapo walipokuwa alionekana kuwa na maongezi ya mhimu sana na huyo mtu aliyekuwa anaenda kukutana naye, kiatu chake kisafi mno kilikuwa kinapita kwenye vumbi bila hata kujali kama kingeweza kuchafuka sana lengo lake lilikuwa ni mhimu zaidi kuliko kujali gharama ya vitu vyake hivyo vya gharama sana kwenye mwili wake.

"Ebu uondoke hapa haraka sana leo nimechoka mno sitaki kukutana na mtu yeyote yule nikiwa na uhitaji wa kuongea nawewe nitakuita" mtu aliyekuwa amelala kwenye hayo mabox hapo aliunguruma kwa sauti nzito sana iliyo mfanya huyo mwenye suti kuweza kunyong'onyea kiasi.

"Bosi ni mhimu sana kuliongelea hili kwa sasa kwani mambo yanazidi kuwa magumu sana na ni muda mrefu umepita hakuna tulicho kifanya zaidi ya kupoteza pesa nyingi sana ambazo zingeenda kutumika kufanya mambo mengine ya mhimu kwetu nahitaji msaada wako" mwanaume huyo aliongea akiwa amechuchumaa na alikuwa anaongea kwa sauti ndogo sana akiwa anaonyesha wazi hakuhitaji hayo maongezi yao yaweze kusikika na mtu mwingine yeyote yule.

"Umekuwa mtu mzembe mno, sielewi hao watu wote ulio nao unawafanyia nini, uliomba muda nikakupatia miaka yote mitatu hukunipa jibu lolote la kufurahisha zaidi ya kunipa ahadi zisizoweza kutimia, saivi nimeingia kazini mwenyewe hapa unakuja kunipigia makelele unataka kuongea namimi unaongea nini hapa, Kuna muda nawaza hata nikupoteze kwenye uso wa dunia hii, paaaaaaaaa" mzee huyu aliyekuwa amelala aliongea akionekana wazi hakupendezwa kabisa na kazi aliyokuwa anaifanya huyu mtu aliyekuwa mbele yake ilikuwa ya hovyo mno kupita maelezo hivyo baada ya kumaliza kuongea nae alimkata kibao kimoja cha nguvu mno kilicho kuwa kimelichana shavu lake hata hivyo hakupiga hata makelele aliishia kugugumia kwa maumivu makali sana chini chini.

"Najua nimefanya uzembe huu lakini Kuna sababu za msingi inaonekana wazi kuna mkono wa mtu mwingine ambao umehusika kwenye hili jambo kwa sababu yule mzee kabla ya kufikiwa Kuna mtu mwingine aliwahi na Kumuua ikiwa bado hatujakipata ambacho tulikuwa tumestahili kukichukua kwake, miaka yote nimejitahidi sana kwa kila namna lakini hakuna kilicho patikana hivyo nimekuja hapa ili unipe mwongozo kiongozi nini kifanyike ili kumpata mtu ambaye aliondoka na huyo mtoto mmoja asiye julikana na kupotea nae?" Mwanaume huyu aliuliza huku akikaa chini kabisa ya vumbi wala hakujali suti yake nzuri kuchafuka alionekana kumheshimu sana kiongozi wake.

"Hahahaahahahaha ni aibu kubwa sana mtu ambaye upo karibu zaidi na raisi wa nchi yako Leo unaniomba mimi ushauri nini cha kufanya, unaijua nchi yako vizuri kila mpaka wake, unawajua vizuri raia wa nchi yako sasa usitake kunithibitishia kwamba wewe ni kijana wa hovyo sana mbele yangu hahahahhahah unanichosha nimechoka ebu ondoka hapa nisije nikakuua bure" alitamka akirudi tena kwenye box lake na kuegesha mbavu zake. Aliyekuwa anaongea naye hapo mbele yake alikuwa ni makamu mkuu wa raisi wa nchi ya Tanzania Mr Hakram Hamad, huyu alikuwa ni kiongozi mkubwa sana ndani ya serikali ya nchi ya Tanzania cha ajabu leo alikuwa anaendeshwa kama mtoto mdogo haikujulikana huyu mtu ni nani haswa mpaka amuogope sana namna hii.

"Naomba nafasi ya mwisho mkuu sitakuangusha tena nahitaji unipatie watu wako wanisaidie katika hili najua hakuna kitu kinaweza kikashindikana mbele yako mimi hicho kitu unacho kihitaji nitakuletea kwa mikono yangu mwenyew......." Sentensi yake ilionekana kuwa ndefu sana ulisikika mlio wa risasi na makamu huyo wa raisi alishika mguu wake akigugumia kwa maumivu makali mno risasi mbili zilikuwa zimepenya kwenye paja lake.

"Umefanya makosa mawili ya kipuuzi ndio maana umezipata hizo risasi mbili mguuni mwako, kosa la kwanza nadhani unaelewa vizuri ni kosa kubwa sana kuongea namimi nikiwa sina shida ya kuongea nawewe na ukanikatisha usingizi wangu, kosa la pili umeshindwa kuifanya kazi kwa miaka mitatu na ulijifanya uko bize sana hukuhitaji hata kuniona mimi ukajifanya mjanja sana nilikuwa nakuangalia tu upuuzi unao ufanya umesubiri leo yamekufika shingoni ndio unanitafuta sasa unatakiwa uelewe kwamba siku nyingine hautakiwi kuja kuniona kipumbavu hivyo bila kunipa taarifa au mimi mwenyewe kukuita hautarudi na mguu wako mmoja siku nyingine ukiweza kulirudia hilo kosa lako tena la kusahau majukumu yako" sauti nzito ilimtoka huyo mzee akiwa anasimama sasa ili aongee na makamu wa raisi kwa sababu alikuwa tayari amempatia adhabu yake na mkononi alikuwa ameishika bastola moja kubwa ambayo huwa inamilikiwa na watu maalumu tena wenye vyeo vikubwa sana kwenye ngazi za jeshi au nchi.

"Sitarudia tena mkuu kama ikitokea hili nitajiua mimi mwenyewe" makamu wa raisi alikuwa anatoa maneno kwa uchungu mkubwa sana kwa maumivu makali ya risasi yaliyokuwa yanazidi kuutafuna mguu wake mmoja kwenye paja.

"Huyo mtu aliyeweza kuondoka na yule mtoto alikuwa anaitwa Timotheo Jordan, huyo aliwahi kuwa komando mkubwa sana ndani ya idara ya siri ya kijasusi ya usalama wa taifa. Ndiye aliyekuwa mlinzi mkuu wa ile familia kwa miaka mingi sana hata Jonson alipotoweka na kupotea kwenda kujificha Mwanza huyu ndiye aliyekuwa anahakikisha ulinzi wa familia yake, mmenichelewesha sana kazi kwa uzembe wenu ningekuwa nimeshampata muda mrefu sana. Alipotelea ndani ndani huko Kyela mkoani Mbeya lakini bahati mbaya sana ameonekana tena ndani ya jini la Dar es salaam ambako inasadikika amerudi na huyo bwana mdogo akiwa saivi ni kijana anaye jielewa. Cha kwanza kabisa namhitaji Timotheo lazima ndiye atakuwa na kitu ninacho kihitaji hata kama kuna mtu mwingine aliingilia huu mchezo hakuna mwingine ambaye angeweza kukipata hiki kitu ambacho hata mke wa Jonson hakuwahi kujua zaidi yake na Timotheo ambaye ndiye mtu aliyekuwa anamuamini sana. Kesho mida ya jioni ndio muda ambao naenda kumuweka mikononi mwangu rasmi na atasema tu hicho kitu kiko wapi hahahaahahahaha kwahiyo naomba utoke hapa saivi nitakufuata mwenyewe Kuna kazi nataka uifanye nikishampata huyo mtu hapo kesho" mzee huyu baada ya kumaliza kuongea hakusubiri makamu wa Raisi aweze kumjibu aliyaokota mabox yake na kuanza kuondoka akairusha bastola yake juu sana hewani haikufika chini kuna mwanaume alipita kama upepo na kuidaka bastola hiyo kisha akapotelea gizani kama upepo akiwa haeleweki ni nani ila mzee huyu alitabasamu tu hakuwa hata na tone la wasiwasi. Alikuwa analindwa vibaya mno hata sisimizi tu asingeweza kumgusa, ukimuangalia ulikuwa unaweza ukadhani anashinda pekeyake mtaani lakini alikuwa na walinzi ambao walikuwa sio watu wa kawaida na mmoja wao ndiyo huyo aliyekuwa amepita na kuidaka bastola hapo kwa kasi ambayo lazima ungehisi ni mzimu mtu na wala sio mwanadamu wa kawaida ambaye angeweza kufanya hilo tukio. Aliondoka Hilo eneo akiwa na mabox yake kwa sababu hapo palikuwa tayari pamechafuka damu alizokuwa amempiga makamu wa raisi asingeweza tena kukaa aliondoaka akicheka sana huku akipotelea zake vichochoroni kwenye giza la kutosha.

Makamu wa raisi alijikongoja kusogea kwenye gari hali yake ilikuwa mbaya sana walinzi wake walimpokea na kumuingiza ndani ya gari, haikuwa na haja ya kupelekwa hospitali zilitumika dakika 5 tu watu wake hao kumtoa risasi na kumuweka dawa kali ambayo ilikuwa inakilazimisha kidonda kukauka kwa lazima, kama sio mbao nzito ambayo aliiweka mdomoni basi sauti yake ingeweza kufika mbali sana usiku huo kwa makelele aliyokuwa anayapiga wakati anatolewa hizo risasi na kuwekewa dawa hiyo ya kukaushia hicho kidonda mguuni pengine hata angeweza kujing'ata ulimu kwa aina ya maumivu aliyokuwa nayo lakini hakuwa na namna ya kufanya. Akiwa hapo alikumbuka kidogo masaa mawili yaliyoweza kupita alipokutana na mtoto wake wa kumzaa mwenyewe ambaye wengi walijua ndiye mmiliki wa M96 OWNER'Z kijana Ashrafu Hamad, ugumu wa kazi hiyo ilionekana wazi mbele ya macho yake baada ya mwanae kumwambia hao watu walionekana kuyatenda mambo yao kwa weledi mkubwa sana bila kufanya kosa hata moja kwa kila wanacho kifanya ndio maana haikuwa raisi kuwapata kwahiyo walikuwa na kazi kubwa mbili mbele yao, yakwanza ilikuwa ni kumjua mtu gani aliyeweza kumuua Mr Jonson kabla wao hawajamfikia na lengo kubwa la huyo mtu lilikuwa nini hasa mpaka afanye hivyo kwa sababu hicho walichokuwa wanakitaka alionekana mtu huyo hakuwa na shida nacho kabisa. Lakini jambo la pili lilikuwa ni kumpata huyo mtu aliyeweza kutoroka na mtoto Lenovatus siku ile familia inateketezwa, kwa maelezo ya kiongozi wake mtu huyo alidaiwa kuwa ni komando mkubwa tu aliyewahi kuwa jasusi ndani ya idara ya kijasusi ya usalama wa taifa la Tanzania TANZANIA INTELLIGENCE SECURITY SERVICE (TISS). Alijua wazi bosi wake amemwambia hiyo kazi ataifanya mwenyewe ila lilikuwa ni fumbo kubwa sana kumaanisha hiyo kazi yeye ndiye aliyekuwa anatakiwa kuifanya mpaka siku ya kesho awe amempata huyo mtu haraka sana iwezekanavyo, alitabasamu baada ya kulikumbuka jina la mtoto wake kichwani kwa mara nyingine tena alimwamini sana kijana huyo aliichukua simu yake na kumuandikia meseji fupi tu kisha akaituma na kuizima simu yake, msafara wake uliondoka kwa spidi wakiwa hawajawasha taa hata moja vumbi lilitimuliwa hiyo sehemu kuonyesha ishara ya ushindi kwa makamu wa raisi walipotelea njia ya manzese usiku huo.

Pembezoni kabisa mwa mitaa ya Riverside Ubungo barabara ya kuelekea Makoka kwenye chumba kimoja cha kupanga ndani kulikuwa na makelele mno ya watu wawili walio onekana wazi walikuwa wanakitendea haki kitanda kwa zaidi ya asilimia miamoja hali iliyo wafanya wapangaji wenzao kupata tabu sana kwani kijana huyo mmiliki wa hicho chumba alikuwa mtu wa kubadilisha sana wanawake kila kuitwapo leo hapo mtaani akiwa hana kazi yoyoye hapo mjini alitegemea kuifanya kazi nzito kitandani hususani kwa wanawake wenye kipato na walikuwa wakimuachia kitu chochote kilicho mfanya kulipa kodi pamoja na kujinunulia mavazi na chakula, mwili wake wa mazoezi na jinsi nguo zake zilivyokuwa zinampendeza iliwafanya wadada wengi sana hapo mtaani mpaka wake za watu kuweza kumshobokea mno bila kuwasahau wake za watu naye hakuwa mtu wa kulaza damu aliwapa haki yao, hakuwa mtu wa kuchagua sura, rangi, umri wala kabila alicho jali ni kuwapatia wote haki zao kama walivyokuwa wakihitaji huduma kutoka kwake.

"Mhhhhhhhh, oooooh yes babe comon, waooooooooo, oooh yeaaaaaah dig it harder baby I'm all yours.......oohoppshsssssss Rashid nakupenda mume wangu naomba unioeee oooooooohps comon" zilikuwa ni sauti kali za kusisimua za mtoto mmoja wa kike mzuri sana kutoka chuo kikuu cha UDSM aliyekuwa amejichanganya kwa kijana wa mtaa Rashid, alikuwa akijiachia sana bila kujua sauti yake ilikuwa inawaumiza sana watu ambao walikuwa wapo karibu na hicho chumba.

"Ngo ngo ngo ngoo" ni sauti ya mlango ulio onekana kugongwa kwa nguvu sana kwenye chumba hicho cha Rashid, hakuwa na hiana alijitoa kwenye kiuno cha mtoto wa kingoni na kwenda kuufungua huo mlango alishangaa aliyekuwa hapo alikuwa ni mpangaji mwenzake wa kike aitwaye Amina alikuwa akimringia sana Rashid kwa muda mrefu leo alikuwa yupo mlangoni kwa mwanaume huyo akiwa amefura kwa hasira kali.

"Mwanaume gani hujielewi wewe kila siku kubadilisha wanawake unatutia laana humu ndani na hiyo mikelele yenu tunashindwa kulala msyuuuuuuuu" Amina alisonya kwa hasira akionekana kutopendezwa na hiyo hali hapo, alikuwa anavunga tu ila alikuwa anamtamani sana huyo kijana kwa muda mrefu pamoja na kuringa kwake kote, mwanaume alielewa kilichokuwa kinamtatiza huyo mwanamke alimbeba kwa nguvu na kwenda naye kwenye chumba chake mwenyewe huyo mwanamke, hakuwa hata na muda wa kumuandaa alianzisha mpira kwa Kasi akiwa hata hakumbuki kama chumbani kwake ameacha mwanamke mwingine tena.

Ukimuona Rashid unahisi jina gani linamfaa au unamkumbuka nani[emoji16][emoji28]?, Sehemu ya 8 inafika mwisho tukutane tena wakati ujao.

Bux the story teller[emoji2768]

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA NANE

TULIPO ISHIA SEHEMU YA SABA............
Baada ya dakika tano tangu ajilaze hapo ulionekana msafara mkubwa wa magari ya kifahari manne yaliyopaki kwa mbali kidogo na sehemu alipokuwa amelala huyo fundi viatu pakiwa na kiza totoro, magari hayo yalizimwa taa zote kisha humo ndani akashuka mwanaume mrefu mwenye mwili mkubwa akiwa na suti yake safi nyeusi, aliitengeneza vyema kola ya shati lake pamoja na tai kisha akaanza kuelekea sehemu aliyokuwa yupo yule fundi viatu, licha ya kusikia ujio wa magari na watu hayo maeneo wala hakushtuka kabisa aliendelea kuutafuta usingizi wake bila wasi wasi.

ENDELEA.........................
Baada ya kuitengeneza vyema suti yake alipiga hatua huku akiwaelekeza walinzi wake waweze kubaki hapo hapo walipokuwa alionekana kuwa na maongezi ya mhimu sana na huyo mtu aliyekuwa anaenda kukutana naye, kiatu chake kisafi mno kilikuwa kinapita kwenye vumbi bila hata kujali kama kingeweza kuchafuka sana lengo lake lilikuwa ni mhimu zaidi kuliko kujali gharama ya vitu vyake hivyo vya gharama sana kwenye mwili wake.

"Ebu uondoke hapa haraka sana leo nimechoka mno sitaki kukutana na mtu yeyote yule nikiwa na uhitaji wa kuongea nawewe nitakuita" mtu aliyekuwa amelala kwenye hayo mabox hapo aliunguruma kwa sauti nzito sana iliyo mfanya huyo mwenye suti kuweza kunyong'onyea kiasi.

"Bosi ni mhimu sana kuliongelea hili kwa sasa kwani mambo yanazidi kuwa magumu sana na ni muda mrefu umepita hakuna tulicho kifanya zaidi ya kupoteza pesa nyingi sana ambazo zingeenda kutumika kufanya mambo mengine ya mhimu kwetu nahitaji msaada wako" mwanaume huyo aliongea akiwa amechuchumaa na alikuwa anaongea kwa sauti ndogo sana akiwa anaonyesha wazi hakuhitaji hayo maongezi yao yaweze kusikika na mtu mwingine yeyote yule.

"Umekuwa mtu mzembe mno, sielewi hao watu wote ulio nao unawafanyia nini, uliomba muda nikakupatia miaka yote mitatu hukunipa jibu lolote la kufurahisha zaidi ya kunipa ahadi zisizoweza kutimia, saivi nimeingia kazini mwenyewe hapa unakuja kunipigia makelele unataka kuongea namimi unaongea nini hapa, Kuna muda nawaza hata nikupoteze kwenye uso wa dunia hii, paaaaaaaaa" mzee huyu aliyekuwa amelala aliongea akionekana wazi hakupendezwa kabisa na kazi aliyokuwa anaifanya huyu mtu aliyekuwa mbele yake ilikuwa ya hovyo mno kupita maelezo hivyo baada ya kumaliza kuongea nae alimkata kibao kimoja cha nguvu mno kilicho kuwa kimelichana shavu lake hata hivyo hakupiga hata makelele aliishia kugugumia kwa maumivu makali sana chini chini.

"Najua nimefanya uzembe huu lakini Kuna sababu za msingi inaonekana wazi kuna mkono wa mtu mwingine ambao umehusika kwenye hili jambo kwa sababu yule mzee kabla ya kufikiwa Kuna mtu mwingine aliwahi na Kumuua ikiwa bado hatujakipata ambacho tulikuwa tumestahili kukichukua kwake, miaka yote nimejitahidi sana kwa kila namna lakini hakuna kilicho patikana hivyo nimekuja hapa ili unipe mwongozo kiongozi nini kifanyike ili kumpata mtu ambaye aliondoka na huyo mtoto mmoja asiye julikana na kupotea nae?" Mwanaume huyu aliuliza huku akikaa chini kabisa ya vumbi wala hakujali suti yake nzuri kuchafuka alionekana kumheshimu sana kiongozi wake.

"Hahahaahahahaha ni aibu kubwa sana mtu ambaye upo karibu zaidi na raisi wa nchi yako Leo unaniomba mimi ushauri nini cha kufanya, unaijua nchi yako vizuri kila mpaka wake, unawajua vizuri raia wa nchi yako sasa usitake kunithibitishia kwamba wewe ni kijana wa hovyo sana mbele yangu hahahahhahah unanichosha nimechoka ebu ondoka hapa nisije nikakuua bure" alitamka akirudi tena kwenye box lake na kuegesha mbavu zake. Aliyekuwa anaongea naye hapo mbele yake alikuwa ni makamu mkuu wa raisi wa nchi ya Tanzania Mr Hakram Hamad, huyu alikuwa ni kiongozi mkubwa sana ndani ya serikali ya nchi ya Tanzania cha ajabu leo alikuwa anaendeshwa kama mtoto mdogo haikujulikana huyu mtu ni nani haswa mpaka amuogope sana namna hii.

"Naomba nafasi ya mwisho mkuu sitakuangusha tena nahitaji unipatie watu wako wanisaidie katika hili najua hakuna kitu kinaweza kikashindikana mbele yako mimi hicho kitu unacho kihitaji nitakuletea kwa mikono yangu mwenyew......." Sentensi yake ilionekana kuwa ndefu sana ulisikika mlio wa risasi na makamu huyo wa raisi alishika mguu wake akigugumia kwa maumivu makali mno risasi mbili zilikuwa zimepenya kwenye paja lake.

"Umefanya makosa mawili ya kipuuzi ndio maana umezipata hizo risasi mbili mguuni mwako, kosa la kwanza nadhani unaelewa vizuri ni kosa kubwa sana kuongea namimi nikiwa sina shida ya kuongea nawewe na ukanikatisha usingizi wangu, kosa la pili umeshindwa kuifanya kazi kwa miaka mitatu na ulijifanya uko bize sana hukuhitaji hata kuniona mimi ukajifanya mjanja sana nilikuwa nakuangalia tu upuuzi unao ufanya umesubiri leo yamekufika shingoni ndio unanitafuta sasa unatakiwa uelewe kwamba siku nyingine hautakiwi kuja kuniona kipumbavu hivyo bila kunipa taarifa au mimi mwenyewe kukuita hautarudi na mguu wako mmoja siku nyingine ukiweza kulirudia hilo kosa lako tena la kusahau majukumu yako" sauti nzito ilimtoka huyo mzee akiwa anasimama sasa ili aongee na makamu wa raisi kwa sababu alikuwa tayari amempatia adhabu yake na mkononi alikuwa ameishika bastola moja kubwa ambayo huwa inamilikiwa na watu maalumu tena wenye vyeo vikubwa sana kwenye ngazi za jeshi au nchi.

"Sitarudia tena mkuu kama ikitokea hili nitajiua mimi mwenyewe" makamu wa raisi alikuwa anatoa maneno kwa uchungu mkubwa sana kwa maumivu makali ya risasi yaliyokuwa yanazidi kuutafuna mguu wake mmoja kwenye paja.

"Huyo mtu aliyeweza kuondoka na yule mtoto alikuwa anaitwa Timotheo Jordan, huyo aliwahi kuwa komando mkubwa sana ndani ya idara ya siri ya kijasusi ya usalama wa taifa. Ndiye aliyekuwa mlinzi mkuu wa ile familia kwa miaka mingi sana hata Jonson alipotoweka na kupotea kwenda kujificha Mwanza huyu ndiye aliyekuwa anahakikisha ulinzi wa familia yake, mmenichelewesha sana kazi kwa uzembe wenu ningekuwa nimeshampata muda mrefu sana. Alipotelea ndani ndani huko Kyela mkoani Mbeya lakini bahati mbaya sana ameonekana tena ndani ya jini la Dar es salaam ambako inasadikika amerudi na huyo bwana mdogo akiwa saivi ni kijana anaye jielewa. Cha kwanza kabisa namhitaji Timotheo lazima ndiye atakuwa na kitu ninacho kihitaji hata kama kuna mtu mwingine aliingilia huu mchezo hakuna mwingine ambaye angeweza kukipata hiki kitu ambacho hata mke wa Jonson hakuwahi kujua zaidi yake na Timotheo ambaye ndiye mtu aliyekuwa anamuamini sana. Kesho mida ya jioni ndio muda ambao naenda kumuweka mikononi mwangu rasmi na atasema tu hicho kitu kiko wapi hahahaahahahaha kwahiyo naomba utoke hapa saivi nitakufuata mwenyewe Kuna kazi nataka uifanye nikishampata huyo mtu hapo kesho" mzee huyu baada ya kumaliza kuongea hakusubiri makamu wa Raisi aweze kumjibu aliyaokota mabox yake na kuanza kuondoka akairusha bastola yake juu sana hewani haikufika chini kuna mwanaume alipita kama upepo na kuidaka bastola hiyo kisha akapotelea gizani kama upepo akiwa haeleweki ni nani ila mzee huyu alitabasamu tu hakuwa hata na tone la wasiwasi. Alikuwa analindwa vibaya mno hata sisimizi tu asingeweza kumgusa, ukimuangalia ulikuwa unaweza ukadhani anashinda pekeyake mtaani lakini alikuwa na walinzi ambao walikuwa sio watu wa kawaida na mmoja wao ndiyo huyo aliyekuwa amepita na kuidaka bastola hapo kwa kasi ambayo lazima ungehisi ni mzimu mtu na wala sio mwanadamu wa kawaida ambaye angeweza kufanya hilo tukio. Aliondoka Hilo eneo akiwa na mabox yake kwa sababu hapo palikuwa tayari pamechafuka damu alizokuwa amempiga makamu wa raisi asingeweza tena kukaa aliondoaka akicheka sana huku akipotelea zake vichochoroni kwenye giza la kutosha.

Makamu wa raisi alijikongoja kusogea kwenye gari hali yake ilikuwa mbaya sana walinzi wake walimpokea na kumuingiza ndani ya gari, haikuwa na haja ya kupelekwa hospitali zilitumika dakika 5 tu watu wake hao kumtoa risasi na kumuweka dawa kali ambayo ilikuwa inakilazimisha kidonda kukauka kwa lazima, kama sio mbao nzito ambayo aliiweka mdomoni basi sauti yake ingeweza kufika mbali sana usiku huo kwa makelele aliyokuwa anayapiga wakati anatolewa hizo risasi na kuwekewa dawa hiyo ya kukaushia hicho kidonda mguuni pengine hata angeweza kujing'ata ulimu kwa aina ya maumivu aliyokuwa nayo lakini hakuwa na namna ya kufanya. Akiwa hapo alikumbuka kidogo masaa mawili yaliyoweza kupita alipokutana na mtoto wake wa kumzaa mwenyewe ambaye wengi walijua ndiye mmiliki wa M96 OWNER'Z kijana Ashrafu Hamad, ugumu wa kazi hiyo ilionekana wazi mbele ya macho yake baada ya mwanae kumwambia hao watu walionekana kuyatenda mambo yao kwa weledi mkubwa sana bila kufanya kosa hata moja kwa kila wanacho kifanya ndio maana haikuwa raisi kuwapata kwahiyo walikuwa na kazi kubwa mbili mbele yao, yakwanza ilikuwa ni kumjua mtu gani aliyeweza kumuua Mr Jonson kabla wao hawajamfikia na lengo kubwa la huyo mtu lilikuwa nini hasa mpaka afanye hivyo kwa sababu hicho walichokuwa wanakitaka alionekana mtu huyo hakuwa na shida nacho kabisa. Lakini jambo la pili lilikuwa ni kumpata huyo mtu aliyeweza kutoroka na mtoto Lenovatus siku ile familia inateketezwa, kwa maelezo ya kiongozi wake mtu huyo alidaiwa kuwa ni komando mkubwa tu aliyewahi kuwa jasusi ndani ya idara ya kijasusi ya usalama wa taifa la Tanzania TANZANIA INTELLIGENCE SECURITY SERVICE (TISS). Alijua wazi bosi wake amemwambia hiyo kazi ataifanya mwenyewe ila lilikuwa ni fumbo kubwa sana kumaanisha hiyo kazi yeye ndiye aliyekuwa anatakiwa kuifanya mpaka siku ya kesho awe amempata huyo mtu haraka sana iwezekanavyo, alitabasamu baada ya kulikumbuka jina la mtoto wake kichwani kwa mara nyingine tena alimwamini sana kijana huyo aliichukua simu yake na kumuandikia meseji fupi tu kisha akaituma na kuizima simu yake, msafara wake uliondoka kwa spidi wakiwa hawajawasha taa hata moja vumbi lilitimuliwa hiyo sehemu kuonyesha ishara ya ushindi kwa makamu wa raisi walipotelea njia ya manzese usiku huo.

Pembezoni kabisa mwa mitaa ya Riverside Ubungo barabara ya kuelekea Makoka kwenye chumba kimoja cha kupanga ndani kulikuwa na makelele mno ya watu wawili walio onekana wazi walikuwa wanakitendea haki kitanda kwa zaidi ya asilimia miamoja hali iliyo wafanya wapangaji wenzao kupata tabu sana kwani kijana huyo mmiliki wa hicho chumba alikuwa mtu wa kubadilisha sana wanawake kila kuitwapo leo hapo mtaani akiwa hana kazi yoyoye hapo mjini alitegemea kuifanya kazi nzito kitandani hususani kwa wanawake wenye kipato na walikuwa wakimuachia kitu chochote kilicho mfanya kulipa kodi pamoja na kujinunulia mavazi na chakula, mwili wake wa mazoezi na jinsi nguo zake zilivyokuwa zinampendeza iliwafanya wadada wengi sana hapo mtaani mpaka wake za watu kuweza kumshobokea mno bila kuwasahau wake za watu naye hakuwa mtu wa kulaza damu aliwapa haki yao, hakuwa mtu wa kuchagua sura, rangi, umri wala kabila alicho jali ni kuwapatia wote haki zao kama walivyokuwa wakihitaji huduma kutoka kwake.

"Mhhhhhhhh, oooooh yes babe comon, waooooooooo, oooh yeaaaaaah dig it harder baby I'm all yours.......oohoppshsssssss Rashid nakupenda mume wangu naomba unioeee oooooooohps comon" zilikuwa ni sauti kali za kusisimua za mtoto mmoja wa kike mzuri sana kutoka chuo kikuu cha UDSM aliyekuwa amejichanganya kwa kijana wa mtaa Rashid, alikuwa akijiachia sana bila kujua sauti yake ilikuwa inawaumiza sana watu ambao walikuwa wapo karibu na hicho chumba.

"Ngo ngo ngo ngoo" ni sauti ya mlango ulio onekana kugongwa kwa nguvu sana kwenye chumba hicho cha Rashid, hakuwa na hiana alijitoa kwenye kiuno cha mtoto wa kingoni na kwenda kuufungua huo mlango alishangaa aliyekuwa hapo alikuwa ni mpangaji mwenzake wa kike aitwaye Amina alikuwa akimringia sana Rashid kwa muda mrefu leo alikuwa yupo mlangoni kwa mwanaume huyo akiwa amefura kwa hasira kali.

"Mwanaume gani hujielewi wewe kila siku kubadilisha wanawake unatutia laana humu ndani na hiyo mikelele yenu tunashindwa kulala msyuuuuuuuu" Amina alisonya kwa hasira akionekana kutopendezwa na hiyo hali hapo, alikuwa anavunga tu ila alikuwa anamtamani sana huyo kijana kwa muda mrefu pamoja na kuringa kwake kote, mwanaume alielewa kilichokuwa kinamtatiza huyo mwanamke alimbeba kwa nguvu na kwenda naye kwenye chumba chake mwenyewe huyo mwanamke, hakuwa hata na muda wa kumuandaa alianzisha mpira kwa Kasi akiwa hata hakumbuki kama chumbani kwake ameacha mwanamke mwingine tena.

Ukimuona Rashid unahisi jina gani linamfaa au unamkumbuka nani[emoji16][emoji28]?, Sehemu ya 8 inafika mwisho tukutane tena wakati ujao.

Bux the story teller[emoji2768]

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA TISA

TULIPO ISHIA SEHEMU YA NANE...........
"Mwanaume gani hujielewi wewe kila siku kubadilisha wanawake unatutia laana humu ndani na hiyo mikelele yenu tunashindwa kulala msyuuuuuuuu" Amina alisonya kwa hasira akionekana kutopendezwa na hiyo hali hapo, alikuwa anavunga tu ila alikuwa anamtamani sana huyo kijana kwa muda mrefu pamoja na kuringa kwake kote, mwanaume alielewa kilichokuwa kinamtatiza huyo mwanamke alimbeba kwa nguvu na kwenda naye kwenye chumba chake mwenyewe huyo mwanamke, hakuwa hata na muda wa kumuandaa alianzisha mpira kwa Kasi akiwa hata hakumbuki kama chumbani kwake ameacha mwanamke mwingine tena.

ENDELEA...............................

Amina alijuta kwamba ni kwanini alikuwa anamringia huyu mwanaume kwenye maisha yake, alitamani angekuwa ndiye mume wake awe analala naye na kuamka naye kila siku, Rashid alikuwa ni kijana shupavu linapokuja suala la kitandani hakuwahi kumuangusha mwanamke yeyote yule, alikuwa yupo tayari akosee hata kula au kuvaa sio linapokuja suala la kitanda. Kwa huo muda hata kichwani hakuwaza kama amemuacha mwanamke mwingine chumbani kwake alianza mbwembwe zake ambazo huwa zinawachanganya sana wanawake wengi anao kutana nao na ndicho ambacho huwa kinawafanya hao warembo wasiwe na uwezo kabisa wa kumuacha huyo kijana, mikono yake ilikuwa ina zaidi ya shahada mbili za elimu ya chuo kikuu kwenye sekta ya kucheza na mwili wa mwanamke hakuna sehemu ambayo mkono haukupita kwenye mwili wa binti huyo Amina, kuanzia kwenye nywele zake za kichwani, shingoni, kifuani kwake palipokuwa pametuna vyema mdomo wa kijana Rashid uliifanya vyema kazi ya kuweza kupata kimiminika kinachopatikana kwenye eneo hilo la thamani kifuani kwa mwanamke, hakuishia hapo tu pia alihakikisha kitovu cha Amina kinaachwa kikiwa chepesi, kiuno kilicho jaa shanga kilimfanya Amina apige makelele kwa nguvu kwa namna meno ya Rashid yalivyokuwa yanacheza na hizo shanga kwa ustadi wa hali ya juu mno.

Dakika zilikuwa zimepita tano tu pekee lakini tayari Amina alikuwa amefika safari yake ya kwenda kupumzika kwenye vilele vya Kibo na Mawenzi, mwanaume alijiweka sawa na kuitoa nguo ya ndani ya Amina ambayo mpaka wakati huo alikuwa bado hajaitoa kwenye huo mwili mzuri mno wa mrembo wa kizigua huyo aliye barikiwa urembo wa sura mpaka umbo lake, upande wa nyuma alikuwa na mzigo wa wastani ambao hakuna mwanaume ambaye asingegeuka kumtazama kila anapopita sehemu yoyote ile, mwanaume baada ya kulitoa vazi hilo ambalo ndilo huwa linailinda sehemu ya thamani zaidi ya mwanamke kwenye mwili wake hakuwa mvivu mdomo wake ulikuwa moja ya silaha zake alizokuwa akiziamini mno kwenye vita hiyo ya mapenzi anapokuwa kitandani, mikono ilizunguka nyuma ulipo mlima wa Amina uliokuwa umefungashwa vyema, wakati mikono inatalii hiyo sehemu mdomo wake ulikuwa unacheza na sehemu ghali zaidi kwa kila mwanamke na ndiyo huwa inafanya mpaka watu wanauana kwenye mapenzi, Amina alikuwa hawezi hata kulitaja wala kulikumbuka jina lake alitoa machozi ya furaha akiwa hata hajitambui, miguu yake haikuwa na nguvu kabisa alikuwa akitetemeka kama ana dege dege dakika tano zingine mwanaume aliianza rasmi kazi yake iliyo mpeleka kwenye hicho chumba wakati huo Amina alikuwa amefika safari yake zaidi ya mara tatu.

Mwanaume alikuwa hataki kuchelewa sana alijitahidi kuzivuta hisia zake ili amalize haraka atoke humo ndani alidhani atachelewa lakini alikutana na kiuno chepesi mno cha mtoto wa kitanga kiasi kwamba kama asingekuwa mzoefu kwenye hilo eneo mechi ilikuwa inaenda kuwa sare, ufundi wao wote wawili uliifanya safari hiyo kuwa fupi mno wote wakiinjoi na hawakujuta kukutana, dakika kumi zingine zilitosha wote kufika kwa pamoja kwenye safari bora zaidi ya mapenzi duniani hususani kwa mwanamke, “mwanamke hata usipokuwa na mali za kutosha ila ukiwa unakitendea haki kitanda na mwili wake kwa asilimia mia moja ni ngumu sana kuweza kukuacha kwenye maisha yake yote hata muwe mnashindia maharage kila siku” haya ni maneno ambayo Rashid aliwahi kuambiwa na rafiki yake ndio maana aliiheshimu sana hii sanaa ya mapenzi. Rashid alikuwa imara sana alitaka kuendelea na mechi yake kwani alipania kumuonyesha huyo mwanamke namna mwanaume anavyotakiwa kuheshimiwa linapokuja suala la mapenzi ila kwa mwenzake ilikuwa tofauti sana alikuwa yupo hoi hata uwezo wa kutembea alikuwa hana. Kabla hajafanya chochote saa yake aliyokuwa ameivaa mkononi iliwaka mwanga mkali mwekundu mara moja kisha saa hiyo ilimbana kwenye mkono wake kwa nguvu, alionekana kushtuka sana aliamka haraka na akasimama na kuvaa bukta yake na kuanza kuondoka humo ndani.

“Naomba uache kubadilisha wanawake Rashid nakuomba sana utulie namimi” ilikuwa sauti ya Amina, mwanaume alisimama akageuka na kutabasamu akionekana kukubali hicho kitu, aliingia chumbani kwake na kumkuta mwanamke wake huyo akiwa bado amelala hapo uchi wa mnyama alimpiga busu na kuvaa suruali yake haraka sana pamoja na laba yake, akachukua t-shirt yake akawa anaivaa huku akiwa ameanza kuelekea mlangoni, mwanamke huyo hakumuelewa kwamba anafanya nini kwani alitoka ghafla sana amerudi tu hajaongea chochote anataka kutoka tena bila kuongea chochote wala kutoa taarifa yoyote ile akiwa anaonekana kuwa na haraka kupita kiasi.

“Kheee wewe mwanaume mbona hueleweki wapi tena na usiku wote huu hata taarifa hakuna huu ni muda wa sisi kulala na kufurahia mapenzi vipi tena mbona wanikimbia” mtoto wa chuo alionyesha kukasirika kwa sababu alikuwa ameshapenda mambo ya bwana Rashid kitandani hakutamani eti itokee aondoke tena.

“Ikifika saa kumi na mbili asubuhi sijarudi basi funguo utaniwekea juu ya mlango” alitamka huku akiingiza mkono mfukoni mwake na kumrushia mwanamke huyo noti za elfu kumi kumi zaidi ya ishirini kisha hakusubiri kujibiwa alitoka humo ndani na kuishia vichochoroni mida hiyo ya saa sita za usiku. Alikimbia kwa spidi za ajabu sana kama vile amefumaniwa alienda kusimama eneo la Kibangu kwenye msitu mdogo ambao upo eneo la Jeshini baada ya kumuona mtu mbele yake aliyekuwa ameyaelekezea macho yake juu angani akiwa anahesabu nyota ambazo asingeweza kuzimalizia pamoja na kuufurahia uzuri wa anga la nchi ya amani Tanzania ila siri ya amani hiyo yeye alikuwa na siri nzito mno moyoni mwake japokuwa watu wa kawaida mtaani walikuwa wakihadithiana kwamba kila mtu alikuwa akifurahia matunda ya amani bila kujua mateso waliyokuwa wanayapitia baadhi ya watu chini chini.

“Mkuu?” kijana Rashid aliita kwa mshangao mkubwa baaada ya kumuona huyo mwanaume mbele yake.

“Mhhhhhhhhhh ulitakiwa upate hata marashi kidogo kumbe bado hujaachaga tu tabia za kuwapanda sana wanawake, unatakiwa upunguze kidogo utakuwa unautengenezea mwili udhaifu mkubwa sana kama ukiendelea na hiyo kazi yako, uwe unapata hata muda wa mazoezi kidogo kuhakikisha mwili hauwi na maji mengi ambayo yatakufanya uwe na mifupa dhaifu mno na unaweza ukauawa kizembe sana” sauti nzito iliunguruma na kumfanya Rashid kuona aibu kwa sababu aliambiwa ukweli mtupu alipenda na kuihusudu sana ngono kuliko kitu chochote kile kwenye maisha yake nah apo alikuwa anatoa harufu kwani wakati anatoka kwa Amina hakuweza hata kuoga.

“Enhe nini kinaendelea idarani huko saivi? maana ni muda mrefu sana” mwanaume huyo aligeuka baada ya kumuuliza Rashid hili swali, hakuwa mwingine bali ni baba yake Jamal, David Hauston, maelezo ya yule mzee mitaa ya Mburahati aliyekuwa akimwambia makamu wa raisi kwamba mwanaume huyo alikuwa ni komando mkubwa na wa siri sana ndani ya idara ya usalama wa taifa na alijulikana na watu wachache sana zilikuwa za kweli kabisa kwa asilimia miamoja na jina lake halisi alikuwa anaitwa Timotheo Jordan, ni jina lililokuwa la siri mno ni watu wachache tena wa karibu sana ndio waliokuwa wakilijua hili jina, huyu alikuwa ni Jasusi mkubwa mno ndani ya usalama wa taifa, na huyu kijana Rashid ambaye wengi walimjua kama marioo (kijana asiyekuwa na kazi na anapenda kulelewa) hapa mjini basi walikuwa wakijidanganya sana huyu alikuwa ni usalama wa taifa ndani ya nchi ya Tanzania na huyo aliyekuwa mbele yake ndiye aliyekuwa kiongozi wake, ndiye aliye muingiza huko na ndiye aliye mfundisha kila kitu kwenye maisha yake, kwake alikuwa ni zaidi ya baba kwani hakumjua mtu yeyote kwenye maisha yake zaidi ya huyu mtu ambaye ndiye aliye mtoa kwenye uraibu wa matumizi ya dawa za kulevya na kuweza kuyabadilisha maisha yake kwa kumuingiza ndani ya usalama wa taifa. Rashid hakuwa na shida ya pesa kama wengi walivyokuwa wakifikiri mtaani, alikuwa na pesa nyingi mno kwenye akaunti yake kiasi kwamba hata angesema aache kufanya kazi kwenye maisha yake yote asingeweza kuzimaliza ila alikuwa akiigiza maisha ikiwa ni majukumu ya kikazi yalimlazimu kuishi hivyo mtaani bila kujulikana na mtu yeyote yule.

“Ni miaka saba sasa imepita umepotea ghafla sana, na taarifa za juu kabisa zilikuwa zinadai kwamba wewe utakuwa umekufa ila hata hivi bosi aligoma kabisa kubadilisha mtu mwingine kwa sababu alisema kwamba kama umepotea kwenye mazingira ya kutatanisha kwa aina ya mtu kama wewe huwezi kufa kirahisi namna hiyo hivyo alisema ataamini labda mpaka aweze kuuona mwili wako na hili jambo ni watu wachache sana ambao walipata taarifa hii kwa sababu zilikuwa nyeti mno. Sasa mkuu ulipotelea wapi miaka yote hii bila hata kunipa taarifa yoyote wala kutoa taarifa kwa mkurugenzi? japo hata hivi sikuwahi kuivua hata mara moja hii saa uliyo nipa zamani sana nilikuwa nina imani ipo siku muujiza unaweza kutokea na ukarudi tena hatimaye leo ndoto yangu imetimia tena” Rashid alimkimbilia mtu huyo akimkumbatia kwa furaha alikuwa ni mzee kidogo ila kwake alikuwa ni kama baba yake mzazi ambaye ndiye alimtambua hapa ulimwenguni.

“Maisha ya mwanadamu yanaenda kasi sana kijana wangu siku hizi mambo yamebadilika mno, wanadamu wameamua kuyabadili maisha na kuyafanya kuwa magumu mno kwa baadhi ya watu ila wao waweze kuishi kwa furaha wakisahau kwamba nao ni wanadamu tu walizaliwa na ni lazima watakufa siku moja. Maisha ni mafupi sana ukiwa mtu mwenye furaha sana hapa duniani ila maisha ni marefu mno pale unapokuwa mtu wa kuishi kwa shida sana bila furaha kwenye maisha haya. Leo sijaja kuongea nawewe sana nilitaka ujue tu kwamba nimerudi japo hili hakuna anayetakiwa kulijua zaidi yako wewe hapo na muda huu usimwamini mtu yeyote yule hata awe nani, tutaonana siku nyingine kwa sababu nilishajua upo salama ila hakikisha unafanya mazoezi kwa nguvu siku za mbeleni kunaweza kukawa na kazi ngumu sana ya wewe kuifanya” mzee huyu hakukaa sana alikuwa anayamalizia hayo maneno huku akiwa anaondoka, alinyoosha tu mkono wa kwaheri kwa kijana wake na kushia zake kwenye msitu huo mdogo hapo Kibangu maeneo ya Jeshini.

Rashid alifurahi sana baada ya kugundua kwamba mzee huyo alikuwa bado yupo hai na ni mzima wa afya kabisa, aliibusu ile saa yake ambayo haikuwa saa bali kilikuwa kifaa cha mawasiliano popote pale alipo alikuwa anweza kuonekana na mzee huyo nayeye alikuwa akitumiwa location mahali alipokuwa akihitajika hivyo haikuwan na haja ya kupigiana simu ambazo zingewafanya kukamatwa kirahisi. Hizi mbinu huwa wanazitumia sana magaidi wakubwa ndiyo sababu huwa ni ngumu sana kuweza kuwakamata kwa sababu hawatumii sana simu wanapofanya mawasiliano yao ya siri, teknolojia imekua sana siku hizi simu inaweza ikakufanya ukakamatwa kwa dakika moja tu.

Rashid alikaa chini alisikitika sana kwa aina ya maisha waliyokuwa wakiyaishi yalikuwa yakusikitisha sana, ugumu wa maisha ya kwenye hizo kazi zao yalimpa mawazo sana wakati raia wa kawaida akiwa analala usingizi mnono na kuamka asubuhi kwenda kuilalamikia serikali vilingeni bila kuwa na sababu za msingi, ila watu hawa walikuwa hawapati muda wa kupumzika kwani hata usiku wa manane walikuwa wakiwajibika pale wanapo hitajika huku wakiwa wanajificha ficha sana maisha yao mbele za uso wa jamii, hata kuwa na familia kwao ilikuwa ni ngumu sana kwa sababu siku zao za kuishi zilikuwa zinahesabika muda wowote walikuwa wanayaweka rehani maisha yao na iliwalazimu kufa muda mwingine pale inapowalazimu ili kulinda siri za nchi au kuhakikisha usalama wa raia. Alinyanyuka na kuanza kuondoka hilo eneo ila baada ya dakika kumi akiwa anapiga hatua kadhaa kuelekea getoni kwake alisimama baada ya kuamriwa na sauti moja ngumu na kavu ya mtu aliyetokeza akiwa ameshika kisu mbele yake.

“Toa kila ulicho nacho na upotee hapa kabla sijakutoa utumbo huo” alionekana kuwa kibaka, sekunde kadhaa walitokea na wenzake kama wanne wakawa watano.

“Haahahhahhahahahahhahh yani kiumbe dhaifu kama wewe ndo unaniambia mimi hayo maneno ebu ondokeni tu saivi nimepumzika kufanya huu ukatili nina mpenzi wangu ananisubiri kitandani huko ebu niacheni nikamalizie starehe yangu” alimaliza kuongea akicheka na kuanza kuondoka alipishana na kisu kilicho enda kukita kwenye kuta ya nyumba ya kwenye hizo chochoro, alimgeukia yule aliyekuwa amerusha hicho kisu alimdaka mkono na kuuvunja kama kuni halafu akakidaka hicho kisu, kilizungushwa kwa ustadi mkubwa dakika mbili tu vibaka hao wote walikuwa wamelala chini wakilia kwa maumivu huku wakiwa wamechomwa chomwa na visu mikononi na miguuni walikuwa wakivuja damu kila sehemu. Marioo wa mtaani huyu alikitupa hicho kisu kwa hao vibaka na kuondoka zake akiwa anamuwahi mpenzi wake wa chuo cha UDSM wakamalizie dakika zao 90 ambazo alizikatisha njiani baada ya Amina kumgongea mlango.

Rashid tumpe mji wake hapa mjini………sehemu ya 9 sina la ziada tena tukutane wakati mwingine.

Bux the story teller.

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA TISA

TULIPO ISHIA SEHEMU YA NANE...........
"Mwanaume gani hujielewi wewe kila siku kubadilisha wanawake unatutia laana humu ndani na hiyo mikelele yenu tunashindwa kulala msyuuuuuuuu" Amina alisonya kwa hasira akionekana kutopendezwa na hiyo hali hapo, alikuwa anavunga tu ila alikuwa anamtamani sana huyo kijana kwa muda mrefu pamoja na kuringa kwake kote, mwanaume alielewa kilichokuwa kinamtatiza huyo mwanamke alimbeba kwa nguvu na kwenda naye kwenye chumba chake mwenyewe huyo mwanamke, hakuwa hata na muda wa kumuandaa alianzisha mpira kwa Kasi akiwa hata hakumbuki kama chumbani kwake ameacha mwanamke mwingine tena.

ENDELEA...............................

Amina alijuta kwamba ni kwanini alikuwa anamringia huyu mwanaume kwenye maisha yake, alitamani angekuwa ndiye mume wake awe analala naye na kuamka naye kila siku, Rashid alikuwa ni kijana shupavu linapokuja suala la kitandani hakuwahi kumuangusha mwanamke yeyote yule, alikuwa yupo tayari akosee hata kula au kuvaa sio linapokuja suala la kitanda. Kwa huo muda hata kichwani hakuwaza kama amemuacha mwanamke mwingine chumbani kwake alianza mbwembwe zake ambazo huwa zinawachanganya sana wanawake wengi anao kutana nao na ndicho ambacho huwa kinawafanya hao warembo wasiwe na uwezo kabisa wa kumuacha huyo kijana, mikono yake ilikuwa ina zaidi ya shahada mbili za elimu ya chuo kikuu kwenye sekta ya kucheza na mwili wa mwanamke hakuna sehemu ambayo mkono haukupita kwenye mwili wa binti huyo Amina, kuanzia kwenye nywele zake za kichwani, shingoni, kifuani kwake palipokuwa pametuna vyema mdomo wa kijana Rashid uliifanya vyema kazi ya kuweza kupata kimiminika kinachopatikana kwenye eneo hilo la thamani kifuani kwa mwanamke, hakuishia hapo tu pia alihakikisha kitovu cha Amina kinaachwa kikiwa chepesi, kiuno kilicho jaa shanga kilimfanya Amina apige makelele kwa nguvu kwa namna meno ya Rashid yalivyokuwa yanacheza na hizo shanga kwa ustadi wa hali ya juu mno.

Dakika zilikuwa zimepita tano tu pekee lakini tayari Amina alikuwa amefika safari yake ya kwenda kupumzika kwenye vilele vya Kibo na Mawenzi, mwanaume alijiweka sawa na kuitoa nguo ya ndani ya Amina ambayo mpaka wakati huo alikuwa bado hajaitoa kwenye huo mwili mzuri mno wa mrembo wa kizigua huyo aliye barikiwa urembo wa sura mpaka umbo lake, upande wa nyuma alikuwa na mzigo wa wastani ambao hakuna mwanaume ambaye asingegeuka kumtazama kila anapopita sehemu yoyote ile, mwanaume baada ya kulitoa vazi hilo ambalo ndilo huwa linailinda sehemu ya thamani zaidi ya mwanamke kwenye mwili wake hakuwa mvivu mdomo wake ulikuwa moja ya silaha zake alizokuwa akiziamini mno kwenye vita hiyo ya mapenzi anapokuwa kitandani, mikono ilizunguka nyuma ulipo mlima wa Amina uliokuwa umefungashwa vyema, wakati mikono inatalii hiyo sehemu mdomo wake ulikuwa unacheza na sehemu ghali zaidi kwa kila mwanamke na ndiyo huwa inafanya mpaka watu wanauana kwenye mapenzi, Amina alikuwa hawezi hata kulitaja wala kulikumbuka jina lake alitoa machozi ya furaha akiwa hata hajitambui, miguu yake haikuwa na nguvu kabisa alikuwa akitetemeka kama ana dege dege dakika tano zingine mwanaume aliianza rasmi kazi yake iliyo mpeleka kwenye hicho chumba wakati huo Amina alikuwa amefika safari yake zaidi ya mara tatu.

Mwanaume alikuwa hataki kuchelewa sana alijitahidi kuzivuta hisia zake ili amalize haraka atoke humo ndani alidhani atachelewa lakini alikutana na kiuno chepesi mno cha mtoto wa kitanga kiasi kwamba kama asingekuwa mzoefu kwenye hilo eneo mechi ilikuwa inaenda kuwa sare, ufundi wao wote wawili uliifanya safari hiyo kuwa fupi mno wote wakiinjoi na hawakujuta kukutana, dakika kumi zingine zilitosha wote kufika kwa pamoja kwenye safari bora zaidi ya mapenzi duniani hususani kwa mwanamke, “mwanamke hata usipokuwa na mali za kutosha ila ukiwa unakitendea haki kitanda na mwili wake kwa asilimia mia moja ni ngumu sana kuweza kukuacha kwenye maisha yake yote hata muwe mnashindia maharage kila siku” haya ni maneno ambayo Rashid aliwahi kuambiwa na rafiki yake ndio maana aliiheshimu sana hii sanaa ya mapenzi. Rashid alikuwa imara sana alitaka kuendelea na mechi yake kwani alipania kumuonyesha huyo mwanamke namna mwanaume anavyotakiwa kuheshimiwa linapokuja suala la mapenzi ila kwa mwenzake ilikuwa tofauti sana alikuwa yupo hoi hata uwezo wa kutembea alikuwa hana. Kabla hajafanya chochote saa yake aliyokuwa ameivaa mkononi iliwaka mwanga mkali mwekundu mara moja kisha saa hiyo ilimbana kwenye mkono wake kwa nguvu, alionekana kushtuka sana aliamka haraka na akasimama na kuvaa bukta yake na kuanza kuondoka humo ndani.

“Naomba uache kubadilisha wanawake Rashid nakuomba sana utulie namimi” ilikuwa sauti ya Amina, mwanaume alisimama akageuka na kutabasamu akionekana kukubali hicho kitu, aliingia chumbani kwake na kumkuta mwanamke wake huyo akiwa bado amelala hapo uchi wa mnyama alimpiga busu na kuvaa suruali yake haraka sana pamoja na laba yake, akachukua t-shirt yake akawa anaivaa huku akiwa ameanza kuelekea mlangoni, mwanamke huyo hakumuelewa kwamba anafanya nini kwani alitoka ghafla sana amerudi tu hajaongea chochote anataka kutoka tena bila kuongea chochote wala kutoa taarifa yoyote ile akiwa anaonekana kuwa na haraka kupita kiasi.

“Kheee wewe mwanaume mbona hueleweki wapi tena na usiku wote huu hata taarifa hakuna huu ni muda wa sisi kulala na kufurahia mapenzi vipi tena mbona wanikimbia” mtoto wa chuo alionyesha kukasirika kwa sababu alikuwa ameshapenda mambo ya bwana Rashid kitandani hakutamani eti itokee aondoke tena.

“Ikifika saa kumi na mbili asubuhi sijarudi basi funguo utaniwekea juu ya mlango” alitamka huku akiingiza mkono mfukoni mwake na kumrushia mwanamke huyo noti za elfu kumi kumi zaidi ya ishirini kisha hakusubiri kujibiwa alitoka humo ndani na kuishia vichochoroni mida hiyo ya saa sita za usiku. Alikimbia kwa spidi za ajabu sana kama vile amefumaniwa alienda kusimama eneo la Kibangu kwenye msitu mdogo ambao upo eneo la Jeshini baada ya kumuona mtu mbele yake aliyekuwa ameyaelekezea macho yake juu angani akiwa anahesabu nyota ambazo asingeweza kuzimalizia pamoja na kuufurahia uzuri wa anga la nchi ya amani Tanzania ila siri ya amani hiyo yeye alikuwa na siri nzito mno moyoni mwake japokuwa watu wa kawaida mtaani walikuwa wakihadithiana kwamba kila mtu alikuwa akifurahia matunda ya amani bila kujua mateso waliyokuwa wanayapitia baadhi ya watu chini chini.

“Mkuu?” kijana Rashid aliita kwa mshangao mkubwa baaada ya kumuona huyo mwanaume mbele yake.

“Mhhhhhhhhhh ulitakiwa upate hata marashi kidogo kumbe bado hujaachaga tu tabia za kuwapanda sana wanawake, unatakiwa upunguze kidogo utakuwa unautengenezea mwili udhaifu mkubwa sana kama ukiendelea na hiyo kazi yako, uwe unapata hata muda wa mazoezi kidogo kuhakikisha mwili hauwi na maji mengi ambayo yatakufanya uwe na mifupa dhaifu mno na unaweza ukauawa kizembe sana” sauti nzito iliunguruma na kumfanya Rashid kuona aibu kwa sababu aliambiwa ukweli mtupu alipenda na kuihusudu sana ngono kuliko kitu chochote kile kwenye maisha yake nah apo alikuwa anatoa harufu kwani wakati anatoka kwa Amina hakuweza hata kuoga.

“Enhe nini kinaendelea idarani huko saivi? maana ni muda mrefu sana” mwanaume huyo aligeuka baada ya kumuuliza Rashid hili swali, hakuwa mwingine bali ni baba yake Jamal, David Hauston, maelezo ya yule mzee mitaa ya Mburahati aliyekuwa akimwambia makamu wa raisi kwamba mwanaume huyo alikuwa ni komando mkubwa na wa siri sana ndani ya idara ya usalama wa taifa na alijulikana na watu wachache sana zilikuwa za kweli kabisa kwa asilimia miamoja na jina lake halisi alikuwa anaitwa Timotheo Jordan, ni jina lililokuwa la siri mno ni watu wachache tena wa karibu sana ndio waliokuwa wakilijua hili jina, huyu alikuwa ni Jasusi mkubwa mno ndani ya usalama wa taifa, na huyu kijana Rashid ambaye wengi walimjua kama marioo (kijana asiyekuwa na kazi na anapenda kulelewa) hapa mjini basi walikuwa wakijidanganya sana huyu alikuwa ni usalama wa taifa ndani ya nchi ya Tanzania na huyo aliyekuwa mbele yake ndiye aliyekuwa kiongozi wake, ndiye aliye muingiza huko na ndiye aliye mfundisha kila kitu kwenye maisha yake, kwake alikuwa ni zaidi ya baba kwani hakumjua mtu yeyote kwenye maisha yake zaidi ya huyu mtu ambaye ndiye aliye mtoa kwenye uraibu wa matumizi ya dawa za kulevya na kuweza kuyabadilisha maisha yake kwa kumuingiza ndani ya usalama wa taifa. Rashid hakuwa na shida ya pesa kama wengi walivyokuwa wakifikiri mtaani, alikuwa na pesa nyingi mno kwenye akaunti yake kiasi kwamba hata angesema aache kufanya kazi kwenye maisha yake yote asingeweza kuzimaliza ila alikuwa akiigiza maisha ikiwa ni majukumu ya kikazi yalimlazimu kuishi hivyo mtaani bila kujulikana na mtu yeyote yule.

“Ni miaka saba sasa imepita umepotea ghafla sana, na taarifa za juu kabisa zilikuwa zinadai kwamba wewe utakuwa umekufa ila hata hivi bosi aligoma kabisa kubadilisha mtu mwingine kwa sababu alisema kwamba kama umepotea kwenye mazingira ya kutatanisha kwa aina ya mtu kama wewe huwezi kufa kirahisi namna hiyo hivyo alisema ataamini labda mpaka aweze kuuona mwili wako na hili jambo ni watu wachache sana ambao walipata taarifa hii kwa sababu zilikuwa nyeti mno. Sasa mkuu ulipotelea wapi miaka yote hii bila hata kunipa taarifa yoyote wala kutoa taarifa kwa mkurugenzi? japo hata hivi sikuwahi kuivua hata mara moja hii saa uliyo nipa zamani sana nilikuwa nina imani ipo siku muujiza unaweza kutokea na ukarudi tena hatimaye leo ndoto yangu imetimia tena” Rashid alimkimbilia mtu huyo akimkumbatia kwa furaha alikuwa ni mzee kidogo ila kwake alikuwa ni kama baba yake mzazi ambaye ndiye alimtambua hapa ulimwenguni.

“Maisha ya mwanadamu yanaenda kasi sana kijana wangu siku hizi mambo yamebadilika mno, wanadamu wameamua kuyabadili maisha na kuyafanya kuwa magumu mno kwa baadhi ya watu ila wao waweze kuishi kwa furaha wakisahau kwamba nao ni wanadamu tu walizaliwa na ni lazima watakufa siku moja. Maisha ni mafupi sana ukiwa mtu mwenye furaha sana hapa duniani ila maisha ni marefu mno pale unapokuwa mtu wa kuishi kwa shida sana bila furaha kwenye maisha haya. Leo sijaja kuongea nawewe sana nilitaka ujue tu kwamba nimerudi japo hili hakuna anayetakiwa kulijua zaidi yako wewe hapo na muda huu usimwamini mtu yeyote yule hata awe nani, tutaonana siku nyingine kwa sababu nilishajua upo salama ila hakikisha unafanya mazoezi kwa nguvu siku za mbeleni kunaweza kukawa na kazi ngumu sana ya wewe kuifanya” mzee huyu hakukaa sana alikuwa anayamalizia hayo maneno huku akiwa anaondoka, alinyoosha tu mkono wa kwaheri kwa kijana wake na kushia zake kwenye msitu huo mdogo hapo Kibangu maeneo ya Jeshini.

Rashid alifurahi sana baada ya kugundua kwamba mzee huyo alikuwa bado yupo hai na ni mzima wa afya kabisa, aliibusu ile saa yake ambayo haikuwa saa bali kilikuwa kifaa cha mawasiliano popote pale alipo alikuwa anweza kuonekana na mzee huyo nayeye alikuwa akitumiwa location mahali alipokuwa akihitajika hivyo haikuwan na haja ya kupigiana simu ambazo zingewafanya kukamatwa kirahisi. Hizi mbinu huwa wanazitumia sana magaidi wakubwa ndiyo sababu huwa ni ngumu sana kuweza kuwakamata kwa sababu hawatumii sana simu wanapofanya mawasiliano yao ya siri, teknolojia imekua sana siku hizi simu inaweza ikakufanya ukakamatwa kwa dakika moja tu.

Rashid alikaa chini alisikitika sana kwa aina ya maisha waliyokuwa wakiyaishi yalikuwa yakusikitisha sana, ugumu wa maisha ya kwenye hizo kazi zao yalimpa mawazo sana wakati raia wa kawaida akiwa analala usingizi mnono na kuamka asubuhi kwenda kuilalamikia serikali vilingeni bila kuwa na sababu za msingi, ila watu hawa walikuwa hawapati muda wa kupumzika kwani hata usiku wa manane walikuwa wakiwajibika pale wanapo hitajika huku wakiwa wanajificha ficha sana maisha yao mbele za uso wa jamii, hata kuwa na familia kwao ilikuwa ni ngumu sana kwa sababu siku zao za kuishi zilikuwa zinahesabika muda wowote walikuwa wanayaweka rehani maisha yao na iliwalazimu kufa muda mwingine pale inapowalazimu ili kulinda siri za nchi au kuhakikisha usalama wa raia. Alinyanyuka na kuanza kuondoka hilo eneo ila baada ya dakika kumi akiwa anapiga hatua kadhaa kuelekea getoni kwake alisimama baada ya kuamriwa na sauti moja ngumu na kavu ya mtu aliyetokeza akiwa ameshika kisu mbele yake.

“Toa kila ulicho nacho na upotee hapa kabla sijakutoa utumbo huo” alionekana kuwa kibaka, sekunde kadhaa walitokea na wenzake kama wanne wakawa watano.

“Haahahhahhahahahahhahh yani kiumbe dhaifu kama wewe ndo unaniambia mimi hayo maneno ebu ondokeni tu saivi nimepumzika kufanya huu ukatili nina mpenzi wangu ananisubiri kitandani huko ebu niacheni nikamalizie starehe yangu” alimaliza kuongea akicheka na kuanza kuondoka alipishana na kisu kilicho enda kukita kwenye kuta ya nyumba ya kwenye hizo chochoro, alimgeukia yule aliyekuwa amerusha hicho kisu alimdaka mkono na kuuvunja kama kuni halafu akakidaka hicho kisu, kilizungushwa kwa ustadi mkubwa dakika mbili tu vibaka hao wote walikuwa wamelala chini wakilia kwa maumivu huku wakiwa wamechomwa chomwa na visu mikononi na miguuni walikuwa wakivuja damu kila sehemu. Marioo wa mtaani huyu alikitupa hicho kisu kwa hao vibaka na kuondoka zake akiwa anamuwahi mpenzi wake wa chuo cha UDSM wakamalizie dakika zao 90 ambazo alizikatisha njiani baada ya Amina kumgongea mlango.

Rashid tumpe mji wake hapa mjini………sehemu ya 9 sina la ziada tena tukutane wakati mwingine.

Bux the story teller.

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Leo ni jumapili kabisa tulivu, wakati unaisindikiza wikiendi yako basi njoo ujisomee hadithi bora sana za kijasusi.

1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA kwa shilingi 5000 tu kuanzia mwanzo ambayo in kurasa za moto 76[emoji119][emoji119] [emoji91]

2. I WANT TO DIE JUDGE kwa shilingi 6000 tu ambayo ina kurasa za moto 100 [emoji91][emoji119][emoji119][emoji119]
Kwa atakaye nunua anapewa na HATIMA YA UJINGA WAKE yenye kurasa 12 bure kabisa.

Pia kwa wale wanao hitaji kujiunga group la WhatsApp ni shilingi 3000 tu kwa Mwezi na kwa sasa hadithi mbili zipo mkononi

1. GEREZA LA HAZWA ndo inayo endelea kwa sasa na
2. MBAKAJI WA DADA YANGU.

Namba za malipo ni
0621567672 hii ndo inayo tumika WhatsApp
0745982347

Zote jina ni FEBIANI BABUYA

Karibu uburudike na hadithi za Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA TISA

TULIPO ISHIA SEHEMU YA NANE...........
"Mwanaume gani hujielewi wewe kila siku kubadilisha wanawake unatutia laana humu ndani na hiyo mikelele yenu tunashindwa kulala msyuuuuuuuu" Amina alisonya kwa hasira akionekana kutopendezwa na hiyo hali hapo, alikuwa anavunga tu ila alikuwa anamtamani sana huyo kijana kwa muda mrefu pamoja na kuringa kwake kote, mwanaume alielewa kilichokuwa kinamtatiza huyo mwanamke alimbeba kwa nguvu na kwenda naye kwenye chumba chake mwenyewe huyo mwanamke, hakuwa hata na muda wa kumuandaa alianzisha mpira kwa Kasi akiwa hata hakumbuki kama chumbani kwake ameacha mwanamke mwingine tena.

ENDELEA...............................

Amina alijuta kwamba ni kwanini alikuwa anamringia huyu mwanaume kwenye maisha yake, alitamani angekuwa ndiye mume wake awe analala naye na kuamka naye kila siku, Rashid alikuwa ni kijana shupavu linapokuja suala la kitandani hakuwahi kumuangusha mwanamke yeyote yule, alikuwa yupo tayari akosee hata kula au kuvaa sio linapokuja suala la kitanda. Kwa huo muda hata kichwani hakuwaza kama amemuacha mwanamke mwingine chumbani kwake alianza mbwembwe zake ambazo huwa zinawachanganya sana wanawake wengi anao kutana nao na ndicho ambacho huwa kinawafanya hao warembo wasiwe na uwezo kabisa wa kumuacha huyo kijana, mikono yake ilikuwa ina zaidi ya shahada mbili za elimu ya chuo kikuu kwenye sekta ya kucheza na mwili wa mwanamke hakuna sehemu ambayo mkono haukupita kwenye mwili wa binti huyo Amina, kuanzia kwenye nywele zake za kichwani, shingoni, kifuani kwake palipokuwa pametuna vyema mdomo wa kijana Rashid uliifanya vyema kazi ya kuweza kupata kimiminika kinachopatikana kwenye eneo hilo la thamani kifuani kwa mwanamke, hakuishia hapo tu pia alihakikisha kitovu cha Amina kinaachwa kikiwa chepesi, kiuno kilicho jaa shanga kilimfanya Amina apige makelele kwa nguvu kwa namna meno ya Rashid yalivyokuwa yanacheza na hizo shanga kwa ustadi wa hali ya juu mno.

Dakika zilikuwa zimepita tano tu pekee lakini tayari Amina alikuwa amefika safari yake ya kwenda kupumzika kwenye vilele vya Kibo na Mawenzi, mwanaume alijiweka sawa na kuitoa nguo ya ndani ya Amina ambayo mpaka wakati huo alikuwa bado hajaitoa kwenye huo mwili mzuri mno wa mrembo wa kizigua huyo aliye barikiwa urembo wa sura mpaka umbo lake, upande wa nyuma alikuwa na mzigo wa wastani ambao hakuna mwanaume ambaye asingegeuka kumtazama kila anapopita sehemu yoyote ile, mwanaume baada ya kulitoa vazi hilo ambalo ndilo huwa linailinda sehemu ya thamani zaidi ya mwanamke kwenye mwili wake hakuwa mvivu mdomo wake ulikuwa moja ya silaha zake alizokuwa akiziamini mno kwenye vita hiyo ya mapenzi anapokuwa kitandani, mikono ilizunguka nyuma ulipo mlima wa Amina uliokuwa umefungashwa vyema, wakati mikono inatalii hiyo sehemu mdomo wake ulikuwa unacheza na sehemu ghali zaidi kwa kila mwanamke na ndiyo huwa inafanya mpaka watu wanauana kwenye mapenzi, Amina alikuwa hawezi hata kulitaja wala kulikumbuka jina lake alitoa machozi ya furaha akiwa hata hajitambui, miguu yake haikuwa na nguvu kabisa alikuwa akitetemeka kama ana dege dege dakika tano zingine mwanaume aliianza rasmi kazi yake iliyo mpeleka kwenye hicho chumba wakati huo Amina alikuwa amefika safari yake zaidi ya mara tatu.

Mwanaume alikuwa hataki kuchelewa sana alijitahidi kuzivuta hisia zake ili amalize haraka atoke humo ndani alidhani atachelewa lakini alikutana na kiuno chepesi mno cha mtoto wa kitanga kiasi kwamba kama asingekuwa mzoefu kwenye hilo eneo mechi ilikuwa inaenda kuwa sare, ufundi wao wote wawili uliifanya safari hiyo kuwa fupi mno wote wakiinjoi na hawakujuta kukutana, dakika kumi zingine zilitosha wote kufika kwa pamoja kwenye safari bora zaidi ya mapenzi duniani hususani kwa mwanamke, “mwanamke hata usipokuwa na mali za kutosha ila ukiwa unakitendea haki kitanda na mwili wake kwa asilimia mia moja ni ngumu sana kuweza kukuacha kwenye maisha yake yote hata muwe mnashindia maharage kila siku” haya ni maneno ambayo Rashid aliwahi kuambiwa na rafiki yake ndio maana aliiheshimu sana hii sanaa ya mapenzi. Rashid alikuwa imara sana alitaka kuendelea na mechi yake kwani alipania kumuonyesha huyo mwanamke namna mwanaume anavyotakiwa kuheshimiwa linapokuja suala la mapenzi ila kwa mwenzake ilikuwa tofauti sana alikuwa yupo hoi hata uwezo wa kutembea alikuwa hana. Kabla hajafanya chochote saa yake aliyokuwa ameivaa mkononi iliwaka mwanga mkali mwekundu mara moja kisha saa hiyo ilimbana kwenye mkono wake kwa nguvu, alionekana kushtuka sana aliamka haraka na akasimama na kuvaa bukta yake na kuanza kuondoka humo ndani.

“Naomba uache kubadilisha wanawake Rashid nakuomba sana utulie namimi” ilikuwa sauti ya Amina, mwanaume alisimama akageuka na kutabasamu akionekana kukubali hicho kitu, aliingia chumbani kwake na kumkuta mwanamke wake huyo akiwa bado amelala hapo uchi wa mnyama alimpiga busu na kuvaa suruali yake haraka sana pamoja na laba yake, akachukua t-shirt yake akawa anaivaa huku akiwa ameanza kuelekea mlangoni, mwanamke huyo hakumuelewa kwamba anafanya nini kwani alitoka ghafla sana amerudi tu hajaongea chochote anataka kutoka tena bila kuongea chochote wala kutoa taarifa yoyote ile akiwa anaonekana kuwa na haraka kupita kiasi.

“Kheee wewe mwanaume mbona hueleweki wapi tena na usiku wote huu hata taarifa hakuna huu ni muda wa sisi kulala na kufurahia mapenzi vipi tena mbona wanikimbia” mtoto wa chuo alionyesha kukasirika kwa sababu alikuwa ameshapenda mambo ya bwana Rashid kitandani hakutamani eti itokee aondoke tena.

“Ikifika saa kumi na mbili asubuhi sijarudi basi funguo utaniwekea juu ya mlango” alitamka huku akiingiza mkono mfukoni mwake na kumrushia mwanamke huyo noti za elfu kumi kumi zaidi ya ishirini kisha hakusubiri kujibiwa alitoka humo ndani na kuishia vichochoroni mida hiyo ya saa sita za usiku. Alikimbia kwa spidi za ajabu sana kama vile amefumaniwa alienda kusimama eneo la Kibangu kwenye msitu mdogo ambao upo eneo la Jeshini baada ya kumuona mtu mbele yake aliyekuwa ameyaelekezea macho yake juu angani akiwa anahesabu nyota ambazo asingeweza kuzimalizia pamoja na kuufurahia uzuri wa anga la nchi ya amani Tanzania ila siri ya amani hiyo yeye alikuwa na siri nzito mno moyoni mwake japokuwa watu wa kawaida mtaani walikuwa wakihadithiana kwamba kila mtu alikuwa akifurahia matunda ya amani bila kujua mateso waliyokuwa wanayapitia baadhi ya watu chini chini.

“Mkuu?” kijana Rashid aliita kwa mshangao mkubwa baaada ya kumuona huyo mwanaume mbele yake.

“Mhhhhhhhhhh ulitakiwa upate hata marashi kidogo kumbe bado hujaachaga tu tabia za kuwapanda sana wanawake, unatakiwa upunguze kidogo utakuwa unautengenezea mwili udhaifu mkubwa sana kama ukiendelea na hiyo kazi yako, uwe unapata hata muda wa mazoezi kidogo kuhakikisha mwili hauwi na maji mengi ambayo yatakufanya uwe na mifupa dhaifu mno na unaweza ukauawa kizembe sana” sauti nzito iliunguruma na kumfanya Rashid kuona aibu kwa sababu aliambiwa ukweli mtupu alipenda na kuihusudu sana ngono kuliko kitu chochote kile kwenye maisha yake nah apo alikuwa anatoa harufu kwani wakati anatoka kwa Amina hakuweza hata kuoga.

“Enhe nini kinaendelea idarani huko saivi? maana ni muda mrefu sana” mwanaume huyo aligeuka baada ya kumuuliza Rashid hili swali, hakuwa mwingine bali ni baba yake Jamal, David Hauston, maelezo ya yule mzee mitaa ya Mburahati aliyekuwa akimwambia makamu wa raisi kwamba mwanaume huyo alikuwa ni komando mkubwa na wa siri sana ndani ya idara ya usalama wa taifa na alijulikana na watu wachache sana zilikuwa za kweli kabisa kwa asilimia miamoja na jina lake halisi alikuwa anaitwa Timotheo Jordan, ni jina lililokuwa la siri mno ni watu wachache tena wa karibu sana ndio waliokuwa wakilijua hili jina, huyu alikuwa ni Jasusi mkubwa mno ndani ya usalama wa taifa, na huyu kijana Rashid ambaye wengi walimjua kama marioo (kijana asiyekuwa na kazi na anapenda kulelewa) hapa mjini basi walikuwa wakijidanganya sana huyu alikuwa ni usalama wa taifa ndani ya nchi ya Tanzania na huyo aliyekuwa mbele yake ndiye aliyekuwa kiongozi wake, ndiye aliye muingiza huko na ndiye aliye mfundisha kila kitu kwenye maisha yake, kwake alikuwa ni zaidi ya baba kwani hakumjua mtu yeyote kwenye maisha yake zaidi ya huyu mtu ambaye ndiye aliye mtoa kwenye uraibu wa matumizi ya dawa za kulevya na kuweza kuyabadilisha maisha yake kwa kumuingiza ndani ya usalama wa taifa. Rashid hakuwa na shida ya pesa kama wengi walivyokuwa wakifikiri mtaani, alikuwa na pesa nyingi mno kwenye akaunti yake kiasi kwamba hata angesema aache kufanya kazi kwenye maisha yake yote asingeweza kuzimaliza ila alikuwa akiigiza maisha ikiwa ni majukumu ya kikazi yalimlazimu kuishi hivyo mtaani bila kujulikana na mtu yeyote yule.

“Ni miaka saba sasa imepita umepotea ghafla sana, na taarifa za juu kabisa zilikuwa zinadai kwamba wewe utakuwa umekufa ila hata hivi bosi aligoma kabisa kubadilisha mtu mwingine kwa sababu alisema kwamba kama umepotea kwenye mazingira ya kutatanisha kwa aina ya mtu kama wewe huwezi kufa kirahisi namna hiyo hivyo alisema ataamini labda mpaka aweze kuuona mwili wako na hili jambo ni watu wachache sana ambao walipata taarifa hii kwa sababu zilikuwa nyeti mno. Sasa mkuu ulipotelea wapi miaka yote hii bila hata kunipa taarifa yoyote wala kutoa taarifa kwa mkurugenzi? japo hata hivi sikuwahi kuivua hata mara moja hii saa uliyo nipa zamani sana nilikuwa nina imani ipo siku muujiza unaweza kutokea na ukarudi tena hatimaye leo ndoto yangu imetimia tena” Rashid alimkimbilia mtu huyo akimkumbatia kwa furaha alikuwa ni mzee kidogo ila kwake alikuwa ni kama baba yake mzazi ambaye ndiye alimtambua hapa ulimwenguni.

“Maisha ya mwanadamu yanaenda kasi sana kijana wangu siku hizi mambo yamebadilika mno, wanadamu wameamua kuyabadili maisha na kuyafanya kuwa magumu mno kwa baadhi ya watu ila wao waweze kuishi kwa furaha wakisahau kwamba nao ni wanadamu tu walizaliwa na ni lazima watakufa siku moja. Maisha ni mafupi sana ukiwa mtu mwenye furaha sana hapa duniani ila maisha ni marefu mno pale unapokuwa mtu wa kuishi kwa shida sana bila furaha kwenye maisha haya. Leo sijaja kuongea nawewe sana nilitaka ujue tu kwamba nimerudi japo hili hakuna anayetakiwa kulijua zaidi yako wewe hapo na muda huu usimwamini mtu yeyote yule hata awe nani, tutaonana siku nyingine kwa sababu nilishajua upo salama ila hakikisha unafanya mazoezi kwa nguvu siku za mbeleni kunaweza kukawa na kazi ngumu sana ya wewe kuifanya” mzee huyu hakukaa sana alikuwa anayamalizia hayo maneno huku akiwa anaondoka, alinyoosha tu mkono wa kwaheri kwa kijana wake na kushia zake kwenye msitu huo mdogo hapo Kibangu maeneo ya Jeshini.

Rashid alifurahi sana baada ya kugundua kwamba mzee huyo alikuwa bado yupo hai na ni mzima wa afya kabisa, aliibusu ile saa yake ambayo haikuwa saa bali kilikuwa kifaa cha mawasiliano popote pale alipo alikuwa anweza kuonekana na mzee huyo nayeye alikuwa akitumiwa location mahali alipokuwa akihitajika hivyo haikuwan na haja ya kupigiana simu ambazo zingewafanya kukamatwa kirahisi. Hizi mbinu huwa wanazitumia sana magaidi wakubwa ndiyo sababu huwa ni ngumu sana kuweza kuwakamata kwa sababu hawatumii sana simu wanapofanya mawasiliano yao ya siri, teknolojia imekua sana siku hizi simu inaweza ikakufanya ukakamatwa kwa dakika moja tu.

Rashid alikaa chini alisikitika sana kwa aina ya maisha waliyokuwa wakiyaishi yalikuwa yakusikitisha sana, ugumu wa maisha ya kwenye hizo kazi zao yalimpa mawazo sana wakati raia wa kawaida akiwa analala usingizi mnono na kuamka asubuhi kwenda kuilalamikia serikali vilingeni bila kuwa na sababu za msingi, ila watu hawa walikuwa hawapati muda wa kupumzika kwani hata usiku wa manane walikuwa wakiwajibika pale wanapo hitajika huku wakiwa wanajificha ficha sana maisha yao mbele za uso wa jamii, hata kuwa na familia kwao ilikuwa ni ngumu sana kwa sababu siku zao za kuishi zilikuwa zinahesabika muda wowote walikuwa wanayaweka rehani maisha yao na iliwalazimu kufa muda mwingine pale inapowalazimu ili kulinda siri za nchi au kuhakikisha usalama wa raia. Alinyanyuka na kuanza kuondoka hilo eneo ila baada ya dakika kumi akiwa anapiga hatua kadhaa kuelekea getoni kwake alisimama baada ya kuamriwa na sauti moja ngumu na kavu ya mtu aliyetokeza akiwa ameshika kisu mbele yake.

“Toa kila ulicho nacho na upotee hapa kabla sijakutoa utumbo huo” alionekana kuwa kibaka, sekunde kadhaa walitokea na wenzake kama wanne wakawa watano.

“Haahahhahhahahahahhahh yani kiumbe dhaifu kama wewe ndo unaniambia mimi hayo maneno ebu ondokeni tu saivi nimepumzika kufanya huu ukatili nina mpenzi wangu ananisubiri kitandani huko ebu niacheni nikamalizie starehe yangu” alimaliza kuongea akicheka na kuanza kuondoka alipishana na kisu kilicho enda kukita kwenye kuta ya nyumba ya kwenye hizo chochoro, alimgeukia yule aliyekuwa amerusha hicho kisu alimdaka mkono na kuuvunja kama kuni halafu akakidaka hicho kisu, kilizungushwa kwa ustadi mkubwa dakika mbili tu vibaka hao wote walikuwa wamelala chini wakilia kwa maumivu huku wakiwa wamechomwa chomwa na visu mikononi na miguuni walikuwa wakivuja damu kila sehemu. Marioo wa mtaani huyu alikitupa hicho kisu kwa hao vibaka na kuondoka zake akiwa anamuwahi mpenzi wake wa chuo cha UDSM wakamalizie dakika zao 90 ambazo alizikatisha njiani baada ya Amina kumgongea mlango.

Rashid tumpe mji wake hapa mjini………sehemu ya 9 sina la ziada tena tukutane wakati mwingine.

Bux the story teller.

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA KUMI

TULIPO ISHIA SEHEMU YA TISA...........

alimaliza kuongea akicheka na kuanza kuondoka alipishana na kisu kilicho enda kukita kwenye kuta ya nyumba ya kwenye hizo chochoro, alimgeukia yule aliyekuwa amerusha hicho kisu alimdaka mkono na kuuvunja kama kuni halafu akakidaka hicho kisu, kilizungushwa kwa ustadi mkubwa dakika mbili tu vibaka hao wote walikuwa wamelala chini wakilia kwa maumivu huku wakiwa wamechomwa chomwa na visu mikononi na miguuni walikuwa wakivuja damu kila sehemu. Marioo wa mtaani huyu alikitupa hicho kisu kwa hao vibaka na kuondoka zake akiwa anamuwahi mpenzi wake wa chuo cha UDSM wakamalizie dakika zao 90 ambazo alizikatisha njiani baada ya Amina kumgongea mlango.

ENDELEA...........................

Asubuhi na mapema sana kwenye eneo salama zaidi ndani ya nchi, ni eneo ambalo hakuna hatari yoyote ile inaweza kutokea ukiwa hapo unakuwa upo kwenye eneo salama kwa zaidi ya asilimia miamoja muda wote kwa sababu ndilo eneo analokaa mkuu wa nchi. Ikulu ndani ya jiji la Dar es salaam pembezoni kabisa mwa bahari ya Hindi, upepo mwanana wa kulifanya joto la jiji hili kupungua kiasi ulikuwa umechukua nafasi yake na watu walikuwa tayari wameingia kwenye mihangaiko yao ya kila siku hasa karibu na maeneo hayo ambapo kuna biashara na soko kubwa sana la samaki watu walikuwa wakiendelea kuutafuta mkono mrefu(pesa) ambazo kwa miaka ya sasa ndizo huwa zinawafanya wanaume wapewe heshima mjini na kuitwa majina mazuri sana yenye ushawishi mkubwa wa kuleta hamasa pale yanapo tajwa. Majira hayo ya asubuhi na mapema kuna gari moja nyeusi kabisa ilikuwa inaelekea kwenye geti kuu kabisa la kuingilia ikulu, gari ilisimamishwa kwa ajili ya ukaguzi humo ndani alishuka makamu wa raisi ya nchi ya Tanzania mheshimiwa Hakram Hamad watu wake wa karibu walikuwa wakipenda sana kumuita double H, iliwashtua walinzi waliokuwa getini kwa sababu gari za mtu huyo hakuna mtu aliyekuwa anaruhusiwa kuzikagua wala kuzisimamisha lakini hata hivi hawakuwa na makosa yoyote kwa sababu hawakujua kama ni yeye na hakuwahi kuendesha gari mwenyewe ila leo alikuwa analiendesha yeye mwenyewe na hakutoa taarifa yoyote juu ya ujio wake hapo. Hakutaka kuingia na gari ndani aliliacha hapo hapo bila hata kujibu salamu za walinzi waliokuwa wakimsalimia kwa heshima sana baada ya kugundua ni yeye. Ni miongoni mwa wanadamu waliokuwa wagumu sana kwenye maisha yao usingeamini ukiambiwa huyu ndiye aliyetoka kupigwa risasi mbili jana usiku, alikuwa yupo imara tena akitembea kwa miguu akionekana kuwa na haraka na jambo la mhimu mno kwa sababu alikuwa amewahi asubuhi sana, shavu lake lilikuwa bado lina kovu ambalo alipigwa kofi na mtu aliyekuwa anadai kuwa ni kiongozi wake kwenye hizo kazi zao ambazo mpaka sasa zilikuwa hazijulikani ni zipi.

Safari yake ilienda kuishia nje ya ofisi ya mkurugenzi wa usalama wa taifa, alipitia mapokezi lakini aliambiwa kwamba mkurugenzi huyo hakuwa amefika bado hakuchukua muda aliamua kuingia kwenye chumba kimoja kilichokuwa kina komputa nyingi sana za ulinzi zilizokuwa zinatumika kudumisha ulinzi ndani ya hiyo ikulu.

“Haujambo kijana wangu?” aliuliza kwa sauti nzito iliyo mshtua kijana mdogo aliyekuwa yuko bize na kuunganisha vizuri kamera zote za nje.

“Sijambo shikamoo mzee? mbona ghafla sana na asubuhi? na hujui kama hapa huruhusiwi kuingia?” kijana alikuwa anatoa maelezo yake mikono yake ikiwa inatetemeka sana haiwezi hata kushika vobonyezeo vya komputa vizuri kwa aina ya woga aliokuwa nao kwa sababu huyo mwanaume mbele yake alikuwa mtu mkubwa mno ndani ya nchi bora ya Tanzania, ni yeye ambaye ndiye hukabidhiwa nchi pale baadhi ya changamoto zinapo mpata mheshimiwa raisi.

“Kuna mwanaume mmoja anaitwa Timotheo Jordan nazihitaji taarifa zake kwa haraka mno” haya maneno yalimshtua sana huyo kijana kwa sababu mtu aliyekuwa anatajwa hapo anakumbuka aliwahi kumsikia mara moja tu na wote walipigwa marufuku kufuatilia kabisa taarifa za huyo mtu, lilikuwa ni kosa kubwa sana endapo ingegundukika kuna mtu ndiye kaifanya hiyo kazi.

“Ukiachana tu namimi kutokuwa tayari kukufanyia kazi hiyo taarifa za huyo mtu huwezi kuzipata kwa namna ambayo wewe unafikiria, itakulazimu uingie kwenye mifumo ya ndani sana ya siri za nchi na ikulu ndipo unaweza kupata taarifa za huyo mtu japo inasemekana ni chache mno ila kuzipata kwake ni hatari sana unaweza ukakamatwa sehemu utakayo hitajika kuingia inalindwa sana na mifumo ya mitandao” kijana alijibu akiwa na wasiwasi macho yake ameyaelekeza kwenye komputa.

“Bwana mdogo haya ni mambo madogo sana usifanye tufike mbali, mama yako na mdogo wako wapo wanaishi vizuri saivi pale Tegeta kwa sababu una kazi nzuri kwahiyo sifike hatua tukafika sehemu mbaya ukawapoteza hao watu ambao ndio tegemeo lako la pekee hapa duniani, najua hakuna kitu kinaweza kukushinda humu ndani ndio maana umewekwa sehemu kama hii, nina dakika kumi tu za kukaa hapa sitaki nikutane na mheshimiwa raisi wala mkurugenzi wa usalama wa taifa. Huyu mtu alipotea kwa zaidi ya miaka mitano inafika kama saba hivi lakini kwa sasa inasemekana yupo hapa Dar es salaam hivyo mimi nahitaji sana nipate taarifa zake za ndani pamoja na kujua alifikia wapi na yuko wapi, kwa sababu mna kamera za siri kila sehemu ndani ya nchi hii kazi haiwezi kukushinda” makamu wa raisi alimaliza maelezo yake na kuitoa bahasha ndogo mfukoni akaiweka mezani kwa kijana huyo. Ilifunguliwa haraka sana ndani zilikuwa zimepangwa noti nyekundu nyingi sana zilizo onekana kutolewa benki siku si nyingi, kijana alimeza mate na kumfanya mheshimiwa atabasamu alijua wazi hakuna binadamu mtafutaji ambaye huwa anakuwa na misimamo pale linapokuja suala la mafanikio ilikuwa ni rahisi sana kuishinda roho ya huyo kijana kwa pesa nyingi alizokuwa anaziacha humo ndani.

“Naomba hili jambo liishie humu mheshimiwa na familia yangu usije ukaigusa kwa chochote kile hawana kosa lolote wale, nipe dakika tatu naifanya kazi yako” ni mzoefu wa muda mrefu humu ndani aliingia kwenye mifumo ya siri sana ya nyaraka za serikali baada ya dakika tano mbele kulikuwa na picha kubwa sana ya mwanaume aliyeonekana umri wake umeenda kidogo lakini bado alikuwa imara sana ukimtazama vizuri, Timotheo Jordan ndilo jina lililokuwa limeandikwa pembeni mwa picha hiyo kulikuwa na neno moja lililokuwa limeandikwa pembeni Undisputed likiwa na maana ya mtu aliyekubalika, upande wa kushoto kulikuwa na sehemu ya kujaza nywila ambazo zilikuwa zikijibadilisha kila baada ya sekunde tano, ukifanikiwa kuingia huko ndiko kulikokuwa na taarifa za siri sana za huyo binadamu

“Mzee tuishie hapa huko ndani tukisema tujaribu hata kugusa tu hizo namba ambazo zinahitajika tuziweke ndipo tufungue tutakamatwa, kwa aina ya ulinzi uliowekwa ni wazi kwamba ni mtu mhimu sana ndio maana ana ulinzi mkubwa hivyo, komputa zote zitazima humu ndani na kingora kitalia hakuna hata mmoja atakaye ruhusiwa kutoka ndani ya dakika tano tu maisha yetu yanaweza kuishia pabaya naomba niishie hapa huko kulikobaki anaweza kuingia mkuu tu basi hakuna mwanadamu yeyote anayeweza kufungua hata mheshimiwa raisi hawezi” ilikuwa ni hatari sana kuendelea kumchimba mwanaume huyo ilibidi aliweke wazi kabla ya kuikaribisha hiyo hatari kwao.

“Hapo inatosha sana ila nahitaji hiyo sura imatch kwenye kamera zenu tuone hivi karibuni imeonekana wapi” makamu wa raisi aliongea kitu ambacho kwa huyo kijana ilikuwa ni kazi nyepesi mithili ya kumsukumia mlevi kwenye mtaro, zilibonyezwa tarakimu tano tu kwenye komputa kuangalia kama picha hiyo ilikuwa inafanana na picha yoyote kwa zile zilizonaswa na kamera zao za usalama, mbele yao ilikuwa imekuja video ambayo iliwalazimu kuifungua. Ilikuwa Inaonyesha majira ya usiku ndani ya ubungo njia ya kuelekea Riverside ndiyo sehemu ambayo alionekana mtu aliyekuwa anafanana sana na Timotheo Jordan, alikuwa yupo na kijana mdogo ambaye bile shaka makamu wa raisi alimjua vyema japokuwa hakuwa na uhakika kama ni yeye, dakika kadhaa mbele walionekana kuingia kwenye moja ya bajaji hapo ubungo wakaanza kuifuata njia ya External. Makamu wa raisi alionekana kufurahia sana hicho kitu baada ya kuzinakili kwa usahihi namba za huyo dereva bajaji kwenye hilo eneo aliye onekana kuwapakiza hao watu wawili, alitoka bila hata kuaga humo ndani.

Mheshimiwa alitembea kwa haraka kubwa mpaka mahali lilipokuwa gari lake aliingia ndani na kuichukua simu yake akipiga mahali simu iliita kwa sekunde kadhaa tu ikapokelewa.

“Ndiyo bosi” ni sauti ya upande wa pili iliitikia ikionekana kabisa imetoka kwenye uvutaji wa sigara ilikuwa kavu mno.

“Kuna namba nawatumia za bajaji na picha ya mtu anaye hitajika kupatikana usiku wa leo, huyo mwenye bajaji ndiye atakaye waongoza kumpata kwahiyo hakikisheni mnampata dereva bajaji na kazi inaisha mapema” hakuwa mtu wa makubaliano kwa watu wake alikuwa ni mtu wa kutoa maagizo na kazi inafanyika haraka mno simu ilikatwa bila hata kusubiri jibu kutoka upande wa pili.

“saa moja za jioni mitaa ya Ubungo kulikuwa kumechangamka sana kama kawaida ya sehemu hiyo ambayo ni kama njiapanda ya magari na watu waendao maeneo mbalimbali ndani ya jiji la Dar es salaam, lilionekana gari aina ya Alphard jipya kabisa lilikuwa na vioo vyeusi kila sehemu ambavyo vilifungwa mpaka juu na usingeweza kuona chochote kilichokuwa kikiendelea humo ndani. Alishuka mwanaume mmoja alikuwa na sura ngumu kiasi hakuwa mtu wa kucheka cheka kombati ye jeshi ilikuwa imekaa vyema sana kwenye mwili huo wa mazoezi uliotengenezeka kwa usahihi sana. Baada ya kushuka alienda sehemu zilipokuwa zimepakiwa bajaji nyingi sana alimuita dereva bajaji mmoja ambaye alifurahia na kudhani amepata zali la mteja majira hayo ya usiku.

“Habari yako kijana” sauti yenye bezi kubwa ilisikika vyema kwenye masikio ya dereva bajaji huyo.

“Hafi tu mkuu karibu sana” alikuwa mchangamfu sana linapokuja suala la kupata mteja.

“Hapa Ali manase ndo yupi?” swali la mwanaume huyu lilimshtua dereva huyo hakujibu zaidi ya kunyoosha kidole na kuionyesha bajaji iliyokuwa inamilikiwa na huyo mtu aliyejulikana kama Ali Manase, zilichomolewa noti tano akapatiwa baada ya kutoa ushirikiano, alichekelea sana kupata hiyo bahati hiyo ilikuwa ni pesa ambayo angeipata kwa siku mbili lakini ilikuwa ni bahati yake aliipata kwa dakika moja tu alifurahi mno.

“Panda twende bosi wangu safari ya wapi hiyo nikupeleke haraka sana na ndege yangu ya barabarani hii” kijana aliyefahamika kwa majina ya Ali Manase alikuwa mchangamfu sana kwenye biashara yake kitu kilicho mfanya kupendwa sana na wateja wengi wakati huo alikuwa anaiwasha bajaji yake aweze kuondoka hapo.

“unamjua huyu mtu?” lilikuwa ni swali la kwanza baada ya mwanaume huyo kuingia kwenye bajaji ya Ali, lilimshtua sana Ali lakini alitulia baada ya kugundua huyo mtu atakuwa ni mtu wa usalama wa nchi kwa aina ya kombati aliyokuwa ameivaa. Sura ya kwenye picha haikuwa ngeni anakumbuka vyema siku kadhaa nyuma alimpakiza mtu huyo wakiwa wawili na kijana mmoja ambaye kwake hakumfahamu kabisa kama alikuwa ni nani.

“Ndiyo bosi wangu huyo ni moja ya mteja ambaye nilimbeba siku kadhaa nyuma” alijibu kinyenyekevu.

“Safi unakumbuka ni wapi ulimpeleka?” liliulizwa swali lingine

“Ndiyo niliwapeleka mpaka Buguruni sheli pale na ninavyo ondoka walionekana kuzunguka nyuma ya ile sehemu japokuwa sikujua safari yeo iliendelea wapi” alimaliza kujibu akiwa anaizima bajaji yake kwani aliona kabisa hapakuwa na abiria hapo zaidi ya kuulizwa maswali. Mwanaume yule hakujibu kingine zaidi ya kutoa kibunda cha pesa na kumrushia kijana Ali ambaye hakuwa hata na hamu ya kuzichekelea japo alikuwa amezipokea, alikuwa akiheshimu sana mamlaka za usalama hivyo kufuatiliwa na kuulizwa kwake aliogopa mno alijua lazima siku nyingine watu hao wangerudi tu. Wenzake walimfuata na kumuuliza maswali kibao kuhusu yule mtu aliye onekana kuwa mwanajeshi alikuwa na ishu gani mpaka amtafute yeye, alikuwa amechanganyikiwa hakuwa na hamu tena ya kukaa hapo kijana Ali, aliichukua simu na kumpigia mwanamke wake aliyekuwa anampata muda wowote alipomhitaji yeye, alihitaji wakutane kwake maeneo ya mawasiliano kwa muda huo aje ampe burudani kukaa hapo aliona itakuwa kama ni mkosi kwani siku ilikuwa imesha haribika wakati huo mwanaume yule aliye onekana kuwa mwanajeshi alirudi kwenye ile gari yao mlimokuwa na wanaume sita kwa ujumla wao baada ya hapo iliondolewa kwa spidi ikionekana wazi walikuwa wanawahi huko Buguruni sheli ambako walikuwa wameelekezwa kwamba wanaweza kumpata Timotheo Jordan.

Huyu kiumbe ni nani hasa mpaka taarifa zake ziwe ndani ya nyaraka za mhimu sana za serikali? je watafanikiwa kumpata? je ni mtu wa kukamatwa kirahisi hivi?......sehemu ya 10 sina la ziada tena sehemu ijayo itaenda kutupatia majibu zaidi ya nini kipo nyuma ya baba yake na Jamal ambaye alionekana kuwa mtu hatari na ni tofauti na alivyokuwa akionekana.

Bux the story teller.

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA KUMI

TULIPO ISHIA SEHEMU YA TISA...........

alimaliza kuongea akicheka na kuanza kuondoka alipishana na kisu kilicho enda kukita kwenye kuta ya nyumba ya kwenye hizo chochoro, alimgeukia yule aliyekuwa amerusha hicho kisu alimdaka mkono na kuuvunja kama kuni halafu akakidaka hicho kisu, kilizungushwa kwa ustadi mkubwa dakika mbili tu vibaka hao wote walikuwa wamelala chini wakilia kwa maumivu huku wakiwa wamechomwa chomwa na visu mikononi na miguuni walikuwa wakivuja damu kila sehemu. Marioo wa mtaani huyu alikitupa hicho kisu kwa hao vibaka na kuondoka zake akiwa anamuwahi mpenzi wake wa chuo cha UDSM wakamalizie dakika zao 90 ambazo alizikatisha njiani baada ya Amina kumgongea mlango.

ENDELEA...........................

Asubuhi na mapema sana kwenye eneo salama zaidi ndani ya nchi, ni eneo ambalo hakuna hatari yoyote ile inaweza kutokea ukiwa hapo unakuwa upo kwenye eneo salama kwa zaidi ya asilimia miamoja muda wote kwa sababu ndilo eneo analokaa mkuu wa nchi. Ikulu ndani ya jiji la Dar es salaam pembezoni kabisa mwa bahari ya Hindi, upepo mwanana wa kulifanya joto la jiji hili kupungua kiasi ulikuwa umechukua nafasi yake na watu walikuwa tayari wameingia kwenye mihangaiko yao ya kila siku hasa karibu na maeneo hayo ambapo kuna biashara na soko kubwa sana la samaki watu walikuwa wakiendelea kuutafuta mkono mrefu(pesa) ambazo kwa miaka ya sasa ndizo huwa zinawafanya wanaume wapewe heshima mjini na kuitwa majina mazuri sana yenye ushawishi mkubwa wa kuleta hamasa pale yanapo tajwa. Majira hayo ya asubuhi na mapema kuna gari moja nyeusi kabisa ilikuwa inaelekea kwenye geti kuu kabisa la kuingilia ikulu, gari ilisimamishwa kwa ajili ya ukaguzi humo ndani alishuka makamu wa raisi ya nchi ya Tanzania mheshimiwa Hakram Hamad watu wake wa karibu walikuwa wakipenda sana kumuita double H, iliwashtua walinzi waliokuwa getini kwa sababu gari za mtu huyo hakuna mtu aliyekuwa anaruhusiwa kuzikagua wala kuzisimamisha lakini hata hivi hawakuwa na makosa yoyote kwa sababu hawakujua kama ni yeye na hakuwahi kuendesha gari mwenyewe ila leo alikuwa analiendesha yeye mwenyewe na hakutoa taarifa yoyote juu ya ujio wake hapo. Hakutaka kuingia na gari ndani aliliacha hapo hapo bila hata kujibu salamu za walinzi waliokuwa wakimsalimia kwa heshima sana baada ya kugundua ni yeye. Ni miongoni mwa wanadamu waliokuwa wagumu sana kwenye maisha yao usingeamini ukiambiwa huyu ndiye aliyetoka kupigwa risasi mbili jana usiku, alikuwa yupo imara tena akitembea kwa miguu akionekana kuwa na haraka na jambo la mhimu mno kwa sababu alikuwa amewahi asubuhi sana, shavu lake lilikuwa bado lina kovu ambalo alipigwa kofi na mtu aliyekuwa anadai kuwa ni kiongozi wake kwenye hizo kazi zao ambazo mpaka sasa zilikuwa hazijulikani ni zipi.

Safari yake ilienda kuishia nje ya ofisi ya mkurugenzi wa usalama wa taifa, alipitia mapokezi lakini aliambiwa kwamba mkurugenzi huyo hakuwa amefika bado hakuchukua muda aliamua kuingia kwenye chumba kimoja kilichokuwa kina komputa nyingi sana za ulinzi zilizokuwa zinatumika kudumisha ulinzi ndani ya hiyo ikulu.

“Haujambo kijana wangu?” aliuliza kwa sauti nzito iliyo mshtua kijana mdogo aliyekuwa yuko bize na kuunganisha vizuri kamera zote za nje.

“Sijambo shikamoo mzee? mbona ghafla sana na asubuhi? na hujui kama hapa huruhusiwi kuingia?” kijana alikuwa anatoa maelezo yake mikono yake ikiwa inatetemeka sana haiwezi hata kushika vobonyezeo vya komputa vizuri kwa aina ya woga aliokuwa nao kwa sababu huyo mwanaume mbele yake alikuwa mtu mkubwa mno ndani ya nchi bora ya Tanzania, ni yeye ambaye ndiye hukabidhiwa nchi pale baadhi ya changamoto zinapo mpata mheshimiwa raisi.

“Kuna mwanaume mmoja anaitwa Timotheo Jordan nazihitaji taarifa zake kwa haraka mno” haya maneno yalimshtua sana huyo kijana kwa sababu mtu aliyekuwa anatajwa hapo anakumbuka aliwahi kumsikia mara moja tu na wote walipigwa marufuku kufuatilia kabisa taarifa za huyo mtu, lilikuwa ni kosa kubwa sana endapo ingegundukika kuna mtu ndiye kaifanya hiyo kazi.

“Ukiachana tu namimi kutokuwa tayari kukufanyia kazi hiyo taarifa za huyo mtu huwezi kuzipata kwa namna ambayo wewe unafikiria, itakulazimu uingie kwenye mifumo ya ndani sana ya siri za nchi na ikulu ndipo unaweza kupata taarifa za huyo mtu japo inasemekana ni chache mno ila kuzipata kwake ni hatari sana unaweza ukakamatwa sehemu utakayo hitajika kuingia inalindwa sana na mifumo ya mitandao” kijana alijibu akiwa na wasiwasi macho yake ameyaelekeza kwenye komputa.

“Bwana mdogo haya ni mambo madogo sana usifanye tufike mbali, mama yako na mdogo wako wapo wanaishi vizuri saivi pale Tegeta kwa sababu una kazi nzuri kwahiyo sifike hatua tukafika sehemu mbaya ukawapoteza hao watu ambao ndio tegemeo lako la pekee hapa duniani, najua hakuna kitu kinaweza kukushinda humu ndani ndio maana umewekwa sehemu kama hii, nina dakika kumi tu za kukaa hapa sitaki nikutane na mheshimiwa raisi wala mkurugenzi wa usalama wa taifa. Huyu mtu alipotea kwa zaidi ya miaka mitano inafika kama saba hivi lakini kwa sasa inasemekana yupo hapa Dar es salaam hivyo mimi nahitaji sana nipate taarifa zake za ndani pamoja na kujua alifikia wapi na yuko wapi, kwa sababu mna kamera za siri kila sehemu ndani ya nchi hii kazi haiwezi kukushinda” makamu wa raisi alimaliza maelezo yake na kuitoa bahasha ndogo mfukoni akaiweka mezani kwa kijana huyo. Ilifunguliwa haraka sana ndani zilikuwa zimepangwa noti nyekundu nyingi sana zilizo onekana kutolewa benki siku si nyingi, kijana alimeza mate na kumfanya mheshimiwa atabasamu alijua wazi hakuna binadamu mtafutaji ambaye huwa anakuwa na misimamo pale linapokuja suala la mafanikio ilikuwa ni rahisi sana kuishinda roho ya huyo kijana kwa pesa nyingi alizokuwa anaziacha humo ndani.

“Naomba hili jambo liishie humu mheshimiwa na familia yangu usije ukaigusa kwa chochote kile hawana kosa lolote wale, nipe dakika tatu naifanya kazi yako” ni mzoefu wa muda mrefu humu ndani aliingia kwenye mifumo ya siri sana ya nyaraka za serikali baada ya dakika tano mbele kulikuwa na picha kubwa sana ya mwanaume aliyeonekana umri wake umeenda kidogo lakini bado alikuwa imara sana ukimtazama vizuri, Timotheo Jordan ndilo jina lililokuwa limeandikwa pembeni mwa picha hiyo kulikuwa na neno moja lililokuwa limeandikwa pembeni Undisputed likiwa na maana ya mtu aliyekubalika, upande wa kushoto kulikuwa na sehemu ya kujaza nywila ambazo zilikuwa zikijibadilisha kila baada ya sekunde tano, ukifanikiwa kuingia huko ndiko kulikokuwa na taarifa za siri sana za huyo binadamu

“Mzee tuishie hapa huko ndani tukisema tujaribu hata kugusa tu hizo namba ambazo zinahitajika tuziweke ndipo tufungue tutakamatwa, kwa aina ya ulinzi uliowekwa ni wazi kwamba ni mtu mhimu sana ndio maana ana ulinzi mkubwa hivyo, komputa zote zitazima humu ndani na kingora kitalia hakuna hata mmoja atakaye ruhusiwa kutoka ndani ya dakika tano tu maisha yetu yanaweza kuishia pabaya naomba niishie hapa huko kulikobaki anaweza kuingia mkuu tu basi hakuna mwanadamu yeyote anayeweza kufungua hata mheshimiwa raisi hawezi” ilikuwa ni hatari sana kuendelea kumchimba mwanaume huyo ilibidi aliweke wazi kabla ya kuikaribisha hiyo hatari kwao.

“Hapo inatosha sana ila nahitaji hiyo sura imatch kwenye kamera zenu tuone hivi karibuni imeonekana wapi” makamu wa raisi aliongea kitu ambacho kwa huyo kijana ilikuwa ni kazi nyepesi mithili ya kumsukumia mlevi kwenye mtaro, zilibonyezwa tarakimu tano tu kwenye komputa kuangalia kama picha hiyo ilikuwa inafanana na picha yoyote kwa zile zilizonaswa na kamera zao za usalama, mbele yao ilikuwa imekuja video ambayo iliwalazimu kuifungua. Ilikuwa Inaonyesha majira ya usiku ndani ya ubungo njia ya kuelekea Riverside ndiyo sehemu ambayo alionekana mtu aliyekuwa anafanana sana na Timotheo Jordan, alikuwa yupo na kijana mdogo ambaye bile shaka makamu wa raisi alimjua vyema japokuwa hakuwa na uhakika kama ni yeye, dakika kadhaa mbele walionekana kuingia kwenye moja ya bajaji hapo ubungo wakaanza kuifuata njia ya External. Makamu wa raisi alionekana kufurahia sana hicho kitu baada ya kuzinakili kwa usahihi namba za huyo dereva bajaji kwenye hilo eneo aliye onekana kuwapakiza hao watu wawili, alitoka bila hata kuaga humo ndani.

Mheshimiwa alitembea kwa haraka kubwa mpaka mahali lilipokuwa gari lake aliingia ndani na kuichukua simu yake akipiga mahali simu iliita kwa sekunde kadhaa tu ikapokelewa.

“Ndiyo bosi” ni sauti ya upande wa pili iliitikia ikionekana kabisa imetoka kwenye uvutaji wa sigara ilikuwa kavu mno.

“Kuna namba nawatumia za bajaji na picha ya mtu anaye hitajika kupatikana usiku wa leo, huyo mwenye bajaji ndiye atakaye waongoza kumpata kwahiyo hakikisheni mnampata dereva bajaji na kazi inaisha mapema” hakuwa mtu wa makubaliano kwa watu wake alikuwa ni mtu wa kutoa maagizo na kazi inafanyika haraka mno simu ilikatwa bila hata kusubiri jibu kutoka upande wa pili.

“saa moja za jioni mitaa ya Ubungo kulikuwa kumechangamka sana kama kawaida ya sehemu hiyo ambayo ni kama njiapanda ya magari na watu waendao maeneo mbalimbali ndani ya jiji la Dar es salaam, lilionekana gari aina ya Alphard jipya kabisa lilikuwa na vioo vyeusi kila sehemu ambavyo vilifungwa mpaka juu na usingeweza kuona chochote kilichokuwa kikiendelea humo ndani. Alishuka mwanaume mmoja alikuwa na sura ngumu kiasi hakuwa mtu wa kucheka cheka kombati ye jeshi ilikuwa imekaa vyema sana kwenye mwili huo wa mazoezi uliotengenezeka kwa usahihi sana. Baada ya kushuka alienda sehemu zilipokuwa zimepakiwa bajaji nyingi sana alimuita dereva bajaji mmoja ambaye alifurahia na kudhani amepata zali la mteja majira hayo ya usiku.

“Habari yako kijana” sauti yenye bezi kubwa ilisikika vyema kwenye masikio ya dereva bajaji huyo.

“Hafi tu mkuu karibu sana” alikuwa mchangamfu sana linapokuja suala la kupata mteja.

“Hapa Ali manase ndo yupi?” swali la mwanaume huyu lilimshtua dereva huyo hakujibu zaidi ya kunyoosha kidole na kuionyesha bajaji iliyokuwa inamilikiwa na huyo mtu aliyejulikana kama Ali Manase, zilichomolewa noti tano akapatiwa baada ya kutoa ushirikiano, alichekelea sana kupata hiyo bahati hiyo ilikuwa ni pesa ambayo angeipata kwa siku mbili lakini ilikuwa ni bahati yake aliipata kwa dakika moja tu alifurahi mno.

“Panda twende bosi wangu safari ya wapi hiyo nikupeleke haraka sana na ndege yangu ya barabarani hii” kijana aliyefahamika kwa majina ya Ali Manase alikuwa mchangamfu sana kwenye biashara yake kitu kilicho mfanya kupendwa sana na wateja wengi wakati huo alikuwa anaiwasha bajaji yake aweze kuondoka hapo.

“unamjua huyu mtu?” lilikuwa ni swali la kwanza baada ya mwanaume huyo kuingia kwenye bajaji ya Ali, lilimshtua sana Ali lakini alitulia baada ya kugundua huyo mtu atakuwa ni mtu wa usalama wa nchi kwa aina ya kombati aliyokuwa ameivaa. Sura ya kwenye picha haikuwa ngeni anakumbuka vyema siku kadhaa nyuma alimpakiza mtu huyo wakiwa wawili na kijana mmoja ambaye kwake hakumfahamu kabisa kama alikuwa ni nani.

“Ndiyo bosi wangu huyo ni moja ya mteja ambaye nilimbeba siku kadhaa nyuma” alijibu kinyenyekevu.

“Safi unakumbuka ni wapi ulimpeleka?” liliulizwa swali lingine

“Ndiyo niliwapeleka mpaka Buguruni sheli pale na ninavyo ondoka walionekana kuzunguka nyuma ya ile sehemu japokuwa sikujua safari yeo iliendelea wapi” alimaliza kujibu akiwa anaizima bajaji yake kwani aliona kabisa hapakuwa na abiria hapo zaidi ya kuulizwa maswali. Mwanaume yule hakujibu kingine zaidi ya kutoa kibunda cha pesa na kumrushia kijana Ali ambaye hakuwa hata na hamu ya kuzichekelea japo alikuwa amezipokea, alikuwa akiheshimu sana mamlaka za usalama hivyo kufuatiliwa na kuulizwa kwake aliogopa mno alijua lazima siku nyingine watu hao wangerudi tu. Wenzake walimfuata na kumuuliza maswali kibao kuhusu yule mtu aliye onekana kuwa mwanajeshi alikuwa na ishu gani mpaka amtafute yeye, alikuwa amechanganyikiwa hakuwa na hamu tena ya kukaa hapo kijana Ali, aliichukua simu na kumpigia mwanamke wake aliyekuwa anampata muda wowote alipomhitaji yeye, alihitaji wakutane kwake maeneo ya mawasiliano kwa muda huo aje ampe burudani kukaa hapo aliona itakuwa kama ni mkosi kwani siku ilikuwa imesha haribika wakati huo mwanaume yule aliye onekana kuwa mwanajeshi alirudi kwenye ile gari yao mlimokuwa na wanaume sita kwa ujumla wao baada ya hapo iliondolewa kwa spidi ikionekana wazi walikuwa wanawahi huko Buguruni sheli ambako walikuwa wameelekezwa kwamba wanaweza kumpata Timotheo Jordan.

Huyu kiumbe ni nani hasa mpaka taarifa zake ziwe ndani ya nyaraka za mhimu sana za serikali? je watafanikiwa kumpata? je ni mtu wa kukamatwa kirahisi hivi?......sehemu ya 10 sina la ziada tena sehemu ijayo itaenda kutupatia majibu zaidi ya nini kipo nyuma ya baba yake na Jamal ambaye alionekana kuwa mtu hatari na ni tofauti na alivyokuwa akionekana.

Bux the story teller.

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA KUMI NA MOJA

TULIPO ISHIA SEHEMU YA KUMI...........

Wenzake walimfuata na kumuuliza maswali kibao kuhusu yule mtu aliye onekana kuwa mwanajeshi alikuwa na ishu gani mpaka amtafute yeye, alikuwa amechanganyikiwa hakuwa na hamu tena ya kukaa hapo kijana Ali, aliichukua simu na kumpigia mwanamke wake aliyekuwa anampata muda wowote alipomhitaji yeye, alihitaji wakutane kwake maeneo ya mawasiliano kwa muda huo aje ampe burudani kukaa hapo aliona itakuwa kama ni mkosi kwani siku ilikuwa imesha haribika wakati huo mwanaume yule aliye onekana kuwa mwanajeshi alirudi kwenye ile gari yao mlimokuwa na wanaume sita kwa ujumla wao baada ya hapo iliondolewa kwa spidi ikionekana wazi walikuwa wanawahi huko Buguruni sheli ambako walikuwa wameelekezwa kwamba wanaweza kumpata Timotheo Jordan.

ENDELEA................................

Kutokana na foleni iliyokuwepo njiani hapo majira ya jioni ambapo watu wengi walikuwa wanarudi majumbani kutoka kwenye mishe mishe mbali mbali, iliwachukua wanaume hawa saa zima kuweza kufika ndani ya mitaa ya Buguruni sheli. Gari ilisimamishwa maeneo hayo kisha wakashuka wanaume hawa mmoja wao akiwa na picha kubwa yenye sura ya Timotheo Jordan, waliuliza kwa watu kadhaa lakini hawakuweza kupata majibu yaliyo waridhisha, safari yao iliishia kwenye mgahawa mmoja mdogo ambapo mama mwenye mgahawa huo ndo alikuwa anautoa ufunguo kwenye kufuli baada ya kufunga ili awahi nyumbani kwake.
"Heshima yako mama, samahani utakuwa unamjua huyu mtu?" Swali liliulizwa kistaarabu sana na mwanaume huyo kiasi kwamba hakuna mtu ambaye angemtilia shaka kwamba huyo mwanaume alikuwa ni binadamu wa hatari sana tofauti na maneno yalivyokuwa yanatoka kwenye kinywa chake. Picha hiyo haikuwa ngeni kabisa machoni pa huyo mama, alitikisa kichwa kuonyesha kukubali kwa sababu siku ya kwanza watu hao kuingia hapo mtaani walikuja kula chakula kwake hivyo aliwajua japo ilikuwa ni siku moja, waliuliza ni wapi mtu huyo alikuwa anapatikana mama huyo alinyoosha kidole kuonyesha kwenye nyumba ya wageni ambayo haikuwa mbali kabisa na sehemu hiyo kwamba ndipo alipo waona wanaingia kwa mara ya mwisho,mama huyu aliitambua picha ya Timotheo kwa sababu siku ya kwanza wanafika mitaa hiyo ndiyo sehemu waliyokuwa wameenda kula chakula. Hawakuwa na deni nae alimshukuru na mama wa watu akawa anaondoka kuweza kuwahi nyumbani kwake.

"Kama ni siku kadhaa zimepita sina imani kama mtu huyu atakuwa bado yupo kwenye haya maeneo tunaweza tukawa tunacheza mchezo wa kipumbavu sana kuhangaika kumtafuta mtu ambaye usikute kwa muda huu yupo mbali sana na haya maeneo" mmoja wao hakuona sababu ya kuendelea kuhangaika kumtafuta tu huyo hayo maeneo ikiwa hawana uhakika kabisa kama anaweza kweli kuwepo kwenye hiyo mitaa, mawazo yake ilikuwa ni vyema wakae kwanza chini wakaangalie namna nyingine ili waweze kumpata huyo binadamu ambaye bosi wao makamu wa raisi alikuwa anamhitaji akiwa hai kwa gharama yoyote ile.

"Kwa aina yake jinsi taarifa zilivyokuja niliwahi kuishi na mtu wa aina hii ndani ya kambi ya boko haramu kabla ya kupata nafasi ya kutoroka ni sehemu yenye mateso zaidi niliyowahi kuiishi hapa duniani ni bora hata ufungwe kwenye jela yenye mateso maisha yako yote lakini sio kuomba MUNGU itokee ukajikuta kwenye kambi ya wale jamaa kule hakuna ubinadamu kabisa, kuna mambo ambayo hata mnyama huwezi kumfanyia na hivyo ndivyo wanadamu wanatenda siku hizi. Huyo jamaa alikuwa ni jasusi mkubwa sana lakini hakuna mtu yeyote aliyepata kumjua mpaka siku tunatoroka yeye ndiye aliyenisaidia namimi kutoroka baada ya kugundua kwamba mimi nilikuwa ni mtanzania mwenzake kwa ile siku ndipo nilipojikuta najivunia sana kuwa mtanzania, hawa watu sio binadamu wa kukata tamaa kirahisi na huwa hawaishi kihasara wala kupoteza muda kirahisi kama ni kweli kwa taarifa tulizo zikisanya kusemekana yupo hapa basi jua hawezi kuondoka Kwa muda mfupi sana kiasi hiki lazima amekuja kukaa hapa kwa muda ndipo aweze kuondoka hivyo kwa uzoefu wangu nakuthibitishia huyu mtu yupo mitaa hii hii hata kama sio humo ndani basi hayupo mbali na hili eneo". Ni mmoja wa wale wanaume alionekana kuwajua sana hawa majasusi kiundani ndicho kilicho mpa imani kwamba huyo kiumbe lazima yupo hapa hapa mtaani.

"Huyo aliye watuma hakuwapa taarifa juu ya hatari kubwa itakayo jitokeza juu ya hiki kitu ambacho anawatuma kukifanya?" Sauti moja kali sana iliyo onekana kutoka kwenye kinywa cha mwanaume shupavu sana ilipenya vyema kwenye ngoma za masikio yao. Huyu aliyekuwa ameshika picha mkononi aligeuka kwa haraka mno mkabala na wengine ambao walikuwa sentimita chache kutoka hapo nao waligeuka ili waweze kumuona huyo mwanaume aliyekuwa anaunguruma bila uoga kwa watu kama hao atakuwa ni nani huyo. Timotheo Jordan ndiye kiumbe aliyekuwa ameitoa hiyo sauti, alikuwa amekaa kwenye korido ya ukuta mmoja mdogo uliokuwa karibu na kwenye huo mgahawa alionekana kabisa aliwaona tangu wanafika hapo.

"Hahaaaaahaaaa safi sana hawa watu nasikia wengine tunafanya nao kazi miongoni mwetu ila kiuhalisia nilikuwa natamani sana siku nikutane na watu wa aina hii wanao jiita majasusi nasikia wapo vizuri sana kwenye mkono maana wanasifiwa na kuogopwa mno, nahitaji sana nisimame nawewe mimi mwenyewe kwenye huu ulimwengu wa mapigano ili nithibitishe kama ni kweli mna huo uwezo ambao huwa mnasifiwa sana au ni kelele tu haaaaahaaaaaaaa" mmoja wa wale wanaume sita alikuwa akijiamini sana linapokuja suala ka kuirusha mikono yake na miguu yake, hiyo ndiyo ilikuwa furaha ya maisha yake, hakuwa mtu wa mapenzi sana licha ya kuihusudu sana pombe alikuwa anapenda sana kupigana, Julius Makasi ndilo lilikuwa jina la huyu binadamu aliyekuwa akijigamba mbele ya huyo jasusi ambaye mpaka sasa haikueleweka kama aliiasi nchi au yupo upande upi, sisi tulimjua kama baba Jamal,mkuu wa majeshi alimjua kama David Hauston lakini kwa hawa watu Timotheo Jordan ndilo lilikuwa jina lake na walimjua hivyo.

"Nikikuangalia kwa usahihi wewe bado ni mdogo sana kiumri sijui kwanini unapenda sana haya mambo ambayo huna hata uwezo nayo yanaweza kukupelekea pabaya sana ukawa miongoni mwa wanadamu walioishi kwa kuwa na mwisho mbaya zaidi hapa duniani. Nina miaka saba sasa mikono yangu haijahusika na umwagaji wa damu ya binadamu yeyote yule namshukuru sana MUNGU kwa hilo na nilitamani sana niishi hayo maisha mpaka siku yangu ya mwisho bila kuzipunguza siku za wanadamu wenzangu kwa sababu naogopa sana ipo siku namimi nitakufa tu na nahisi sitakuwa na cha kujibu mbele ya mwenyezi MUNGU ila nadhani hilo lingewezekana endapo tu ningeendelea kuishi kijijini ambako hakuna hata umeme watu wanaishi kwa furaha bila pesa ila kuja huku mjini ambako hata pesa ya chupa moja ya pombe tu inakufanya unautoa uhai wa mwenzako najuta kurudi japokuwa sina namna naenda kuwa muuaji mkubwa sana kwa mara nyingine tena" Mzee huyo alisikitika akitoka kwenye hicho kivalanda akajinyoosha kwa usahihi sana mahali hapo.

"Mzee punguza porojo za kutaka kunikwepa mimi mwenyewe nakuingiza kwenye gari lile bila msaada wa mtu mwingine halafu tunaondoka hapa" alijigamba tena mwanaume huyo wa shoka. Dharau zilikuwa zimemjaa kijana huyo wa mjini Timotheo alielewa vyema kwamba ni kwa sababu tu kijana huyo hakupata bahati ya kukutana naye ndiyo sababu bado mdomo wa huyo kijana ulikuwa ukitamba sana mbele yake. Mkanda wa kwenye suruali ulikuwa unakuja kwa nguvu kutoka kwa Julius yeye alikuwa anafuata nyuma sekunde kadhaa mkanda ulidakwa na mzee huyo, Julius alijibinua kwa sarakasi ya kasi hesabu zake zilikuwa sahihi kwake tu lakini kwa mwenzake alikuwa na mahesabu makali zaidi yake aliurusha mkono wenye mkanda wa suruali Julius wakati anatua chini chuma cha kwenye huo mkanda kilipasukia kwenye pua yake damu nyingi zilikuwa zinamtiririka kama maji kijana Julius.

Alishikwa na hasira kali sana baada ya kutolewa damu, hasira ni hasara unapokuwa vitani, hasira zake zilimfanya kukosa kabisa uwezo wa kujilinda dakika moja alikuwa amepigwa ngumi zaidi ya kumi na tano mkono wake ulivunjwa kama kuni, makelele mazito ndiyo yaliyo wafanya wenzake washtuke na kujua kwamba mwenzao hakuwa na uwezo wa kupambana tena iliwalazimu waliobaki wote watano kumjia kiumbe huyo kwa kasi kubwa mno. Hakukuwa na maneno mengi sana hapo palikuwa kimya ilikuwa inasikika mifupa tu inavyogongana kwa ngumi nzito za hao wanaume. Nadhani walifanya moja ya makosa makubwa sana kuweza kumchukulia poa huyu mzee japo walionywa mapema kwamba huyo sio mtu wa kawaida, dakika tano ziliisha hakukuwa na mtu hata mmoja ambaye alikuwa na uwezo hata wa kusimama zaidi ya Timotheo Jordan mwenyewe walivunjwa vibaya sana hiyo sehemu.

"Miaka kumi na mitano iliyopita niliwahi kutumwa pekeangu kwenye kundi la kihalifu nchini Nigeria kwenda kuwakomboa watanzania waliokuwa wametekwa kule, ile ndiyo siku niliyo pigana kwa muda mrefu zaidi kwenye maisha yangu. Nilitumia masaa saba nikiwa nimesimama na wanaume wagumu sana thelathini na watano (35) na nilifanikiwa kuwamaliza wote japokuwa nilichoka sana lakini nilifanikiwa kuwakomboa wananchi wote wakarudi salama nchini hivyo kwa vijana wadogo kama ninyi mpo sita ni kazi ambayo sihitaji hata kuumiza kichwa kuwaua lakini sitafanya hivyo saivi nimepumzika kabisa kuua ila muda sio mrefu kuna mtu akirudi ndiye anayekwenda kuifanya hii kazi rasmi na ndio muda ambao mimi mwenyewe naenda kuwa mtu mbaya sana kwenye huu ulimwengu. Mkamwambie na huyo kiongozi wenu muda wake unakaribia kazi itaanzia kwa huyo mtoto wake ambaye anajiona mjanja sana kwa maisha yake ya kuigiza pale Sokoni Buguruni. Kwa atakaye bahatika kuishi tena leo basi wakati mwingine ajifunze namna watu wanavyotakiwa kuyaishi maisha wanapopewa nafasi ya kuishi, naondoka leo baada ya miaka miwili nitarudi na kama mkisikia nimerudi hapa mjini tena huu mji unaenda kutokea vifo vingi sana" walikuwa kwenye maumivu makali sana lakini maelezo yake waliweza kuyasikia kwa usahihi mkubwa sana japo hawakumuelewa kwamba ni kwanini amewaacha hai lakini aliwaambia kwa atakayepata bahati ya kuishi tena akumbuke kuishi maisha bila kuyafanya makosa kama waliyoweza kuyafanya mwanzo ina maana kulikuwa na ujio wa watu wengine au kuna nini na kama ni hivyo kajuaje? Hakuna aliyepata jibu juu ya huyo mtu. Julius Makasi licha ya kuwa kwenye hali mbaya ya kuvunjwa mkono wake na kuteguliwa mwili wake vibaya alihisi hatari hiyo sehemu alijikongoja akajivuta mpaka nyuma ya huo mgahawa akaingia kwenye moja ya tenki la maji lililokuwa hapo nyumba ya jirani na huo mgahawa, wenzake walikuwa wapo hoi kwa kipigo kizito walichokuwa wamekipata hawakuwa hata na uwezo wa kujisogeza pembeni.

Timotheo Jordan kama alivyojulikana kwa hawa watu alifanikiwa kuingia kwenye chumba alichokuwa amekichukua kwenye hiyo nyumba ya wageni alikusanya vitu vyake vichache vilivyokuwa humo ndani, alikuwa anaangalia saa yake kwa usahihi akionekana wazi alikuwa hataki kuipoteza hata sekunde moja, alikuwa mtu mkubwa sana hivyo aliijua thamani ya muda sekunde moja ilikuwa na uwezo wa kumfanya akajuta maisha yake yote, mwanaume huyu wa makamo kiasi na kwa sura aliyokuwa anaivaa alionekana umri umeenda kiasi alivunja dirisha la kioo kwenye hicho chumba aliukunja mkono wake uliokuwa umekomaa mithili ya jiwe akazikunja nondo mbili kwenye hilo dirisha na kutokea hapo wala hakutumia mlango wa kawaida kutoka humo ndani, baada ya kutoka tu hakuzubaa alikimbia kwa spidi ambayo ungehisi kuna mtu anamfukuza nyuma lakini alikuwa yupo peke yake alienda kuishia vichochoroni karibu na hayo maeneo ambako haikujulikana ameenda wapi japo aliahidi kwamba anaondoka na atarudi miaka miwili ijayo na atakaporudi mji utatapakaa damu.

Ni kama alikuwa anajua kile ambacho kinaenda kutokea kwenye hilo eneo dakika tano zilipita hiyo sehemu palipokuwa na mapigano walitokea wanaume watano waliokuwa wamevaa nguo nyeusi na barakoa usoni wakiwa hawaonekani sura zao majira hayo ya usiku, baada ya kuwaona wale wanaume watano kati ya sita waliokuwa wanapigana na Timotheo wakiwa chini hawajiwezi kwa lolote hawakuwauliza chochote zaidi ya kuwamiminia risasi wote kwenye vichwa vyao.

“Mmoja wao hayupo hapa inaonekana amejeruhiwa vibaya hawezi kuwa mbali hakikisheni mnampata na mnammaliza sisi tunaenda kumchukua huyu anayehitajika” ilikuwa ni sauti ya mamlaka kutoka kwa mmoja wa wale wanaume watano ambaye alionekana kuwa kiongozi wao. Milio ya risasi hizo japo silaha zilifungwa kwa viwambo vya kuzuia sauti ila alikuwa akiisikia vizuri kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa ni muuaji mkubwa mno pamoja na maneno ya kutafutwa Julius alikuwa akiyasikia vizuri akiwa ndani ya tenki la maji alimshukuru MUNGU alifanikiwa kutoka mahali pale japokuwa bado hakuwa na uhakika kabisa wa usalama wa maisha yake, wanaume wawili walikuwa wanaelekea sehemu lilipokuwa hilo tenki mmoja wao aligusa kwenye tenki hilo na kuona damu mbichi kabisa alimkonyeza mwenzake kumwambia kwamba mtu huyu atakuwa yupo ndani ya hayo maji. Pumzi ndicho kitu pekee kilichokuwa kinamfanya Julius aendelee kuwa hai humo ndani ya maji angekuwa goi goi sio mtu wa mazoezi makali angekuwa ameshikwa mapema sana. wale wanaume wawili walijibetua kwa sarakasi walikuwa wepesi kama karatasi wakawa wamesimama juu ya tenki hilo la maji wakiwa wanaangalia ndani ya maji hawakuona mtu walipiga risasi zaidi ya tano humo ndani, risasi mbili zilimpata Julius na kuuvunja mfupa wake wa goti la kulia, alipata maumivu makali ambayo yalimfanya ajutie sana kuweza kufanya kazi na hao watu leo kwa sababu tu ameshindwa kuifanya kazi kwa usahihi wanataka kumtoa roho yake, ni ujasiri pekee ulio mpatia msaada aliuma meno yake kwa maumivu makali bila kupiga kelele wala kufanya mjongeo wowote wa maji ambao alijua ungemletea maafa hao watu hapo nje walikuwa hawafai hata kwa bure aliwajua vizuri sana walikuwa wapo watano tu ila walikuwa wanaweza kutekeleza majukumu ya watu zaidi ya mia tano. Damu yake ilikuwa inapandisha juu ya maji taratibu na kutokana na giza la humo ndani ya tenki la maji lilifanya damu hiyo isiweze kuonekana kirahisi. Wale wanaume baada ya dakika mbili waliweza kutoka hapo walijua wazi kama kungekuwa na mtu asingeweza kuvumilia maumivu ya hizo risasi zao ambazo zilikuwa maalumu. Dakika kumi mbele ndio muda ambao Julius aliibuka kutoka kwenye hayo maji akiwa kwenye hali mbaya sana alidondokea chini na kuzimia hapo hapo akiwa amepoteza damu nyingi sana ni neema za MUNGU tu ndizo zilikuwa zinaweza kumponya vinginevyo alikuwa ana asilimia chache sana za kuendelea kuivuta pumzi ya hapa duniani.

“Ooooh my gosh tumechelewa” ni sauti ya kulalama kwa maumivu kutoka kwa kiongozi wa wale watu watatu ambao walitawanyika upande wao kwenda kumchukua Timotheo walifanikiwa kufika kwenye kile chumba, walichoka baada ya kuona dirisha limebomolewa walijua wazi mwanaume huyo ameshakimbia hilo eneo.
“Nadhani tunaweza kumuwahi” mmoja wao alimjibu kiongozi wake
“Yule sio mtu wa kawaida namjua vizuri sana kuna mwaka nimewahi kukutana naye kwenye mafunzo ya siri sana ya ngazi za juu, hivyo kumpata kwa sasa haiwezekani inabidi tukaanze mahesabu upya” kiongozi wake alimjibu akionyesha wazi yeye alimjua vizuri sana huyo mtu kuliko mtu yeyote hapo kati yao. Walitoka na kukutana na wenzao wawili waliotikisa vichwa kuonyesha hata yule mmoja aliyepona hawakuweza kumpata hilo eneo, waliwaingiza wote ndani ya gari wakategesha bomu wakiwa wamefika mbali waliilipua gari hiyo wote waliowekwa humo ndani waliteketea kwa moto mkali ambao uliwashtua mpaka wenyeji wa hayo maeneo ila kazi yao ilikuwa imeisha walipotea hayo maeneo.

Nadhani rasmi hadithi ndo inaenda kuanza, kipi kinajiri ndani ya hiyo miaka miwili ijayo?...... kwa leo acha niweke nukta nahifadhi akiba ya maneno ya sehemu ijayo. 11 inafika mwisho sina la ziada tena.
Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA KUMI NA MOJA

TULIPO ISHIA SEHEMU YA KUMI...........

Wenzake walimfuata na kumuuliza maswali kibao kuhusu yule mtu aliye onekana kuwa mwanajeshi alikuwa na ishu gani mpaka amtafute yeye, alikuwa amechanganyikiwa hakuwa na hamu tena ya kukaa hapo kijana Ali, aliichukua simu na kumpigia mwanamke wake aliyekuwa anampata muda wowote alipomhitaji yeye, alihitaji wakutane kwake maeneo ya mawasiliano kwa muda huo aje ampe burudani kukaa hapo aliona itakuwa kama ni mkosi kwani siku ilikuwa imesha haribika wakati huo mwanaume yule aliye onekana kuwa mwanajeshi alirudi kwenye ile gari yao mlimokuwa na wanaume sita kwa ujumla wao baada ya hapo iliondolewa kwa spidi ikionekana wazi walikuwa wanawahi huko Buguruni sheli ambako walikuwa wameelekezwa kwamba wanaweza kumpata Timotheo Jordan.

ENDELEA................................

Kutokana na foleni iliyokuwepo njiani hapo majira ya jioni ambapo watu wengi walikuwa wanarudi majumbani kutoka kwenye mishe mishe mbali mbali, iliwachukua wanaume hawa saa zima kuweza kufika ndani ya mitaa ya Buguruni sheli. Gari ilisimamishwa maeneo hayo kisha wakashuka wanaume hawa mmoja wao akiwa na picha kubwa yenye sura ya Timotheo Jordan, waliuliza kwa watu kadhaa lakini hawakuweza kupata majibu yaliyo waridhisha, safari yao iliishia kwenye mgahawa mmoja mdogo ambapo mama mwenye mgahawa huo ndo alikuwa anautoa ufunguo kwenye kufuli baada ya kufunga ili awahi nyumbani kwake.
"Heshima yako mama, samahani utakuwa unamjua huyu mtu?" Swali liliulizwa kistaarabu sana na mwanaume huyo kiasi kwamba hakuna mtu ambaye angemtilia shaka kwamba huyo mwanaume alikuwa ni binadamu wa hatari sana tofauti na maneno yalivyokuwa yanatoka kwenye kinywa chake. Picha hiyo haikuwa ngeni kabisa machoni pa huyo mama, alitikisa kichwa kuonyesha kukubali kwa sababu siku ya kwanza watu hao kuingia hapo mtaani walikuja kula chakula kwake hivyo aliwajua japo ilikuwa ni siku moja, waliuliza ni wapi mtu huyo alikuwa anapatikana mama huyo alinyoosha kidole kuonyesha kwenye nyumba ya wageni ambayo haikuwa mbali kabisa na sehemu hiyo kwamba ndipo alipo waona wanaingia kwa mara ya mwisho,mama huyu aliitambua picha ya Timotheo kwa sababu siku ya kwanza wanafika mitaa hiyo ndiyo sehemu waliyokuwa wameenda kula chakula. Hawakuwa na deni nae alimshukuru na mama wa watu akawa anaondoka kuweza kuwahi nyumbani kwake.

"Kama ni siku kadhaa zimepita sina imani kama mtu huyu atakuwa bado yupo kwenye haya maeneo tunaweza tukawa tunacheza mchezo wa kipumbavu sana kuhangaika kumtafuta mtu ambaye usikute kwa muda huu yupo mbali sana na haya maeneo" mmoja wao hakuona sababu ya kuendelea kuhangaika kumtafuta tu huyo hayo maeneo ikiwa hawana uhakika kabisa kama anaweza kweli kuwepo kwenye hiyo mitaa, mawazo yake ilikuwa ni vyema wakae kwanza chini wakaangalie namna nyingine ili waweze kumpata huyo binadamu ambaye bosi wao makamu wa raisi alikuwa anamhitaji akiwa hai kwa gharama yoyote ile.

"Kwa aina yake jinsi taarifa zilivyokuja niliwahi kuishi na mtu wa aina hii ndani ya kambi ya boko haramu kabla ya kupata nafasi ya kutoroka ni sehemu yenye mateso zaidi niliyowahi kuiishi hapa duniani ni bora hata ufungwe kwenye jela yenye mateso maisha yako yote lakini sio kuomba MUNGU itokee ukajikuta kwenye kambi ya wale jamaa kule hakuna ubinadamu kabisa, kuna mambo ambayo hata mnyama huwezi kumfanyia na hivyo ndivyo wanadamu wanatenda siku hizi. Huyo jamaa alikuwa ni jasusi mkubwa sana lakini hakuna mtu yeyote aliyepata kumjua mpaka siku tunatoroka yeye ndiye aliyenisaidia namimi kutoroka baada ya kugundua kwamba mimi nilikuwa ni mtanzania mwenzake kwa ile siku ndipo nilipojikuta najivunia sana kuwa mtanzania, hawa watu sio binadamu wa kukata tamaa kirahisi na huwa hawaishi kihasara wala kupoteza muda kirahisi kama ni kweli kwa taarifa tulizo zikisanya kusemekana yupo hapa basi jua hawezi kuondoka Kwa muda mfupi sana kiasi hiki lazima amekuja kukaa hapa kwa muda ndipo aweze kuondoka hivyo kwa uzoefu wangu nakuthibitishia huyu mtu yupo mitaa hii hii hata kama sio humo ndani basi hayupo mbali na hili eneo". Ni mmoja wa wale wanaume alionekana kuwajua sana hawa majasusi kiundani ndicho kilicho mpa imani kwamba huyo kiumbe lazima yupo hapa hapa mtaani.

"Huyo aliye watuma hakuwapa taarifa juu ya hatari kubwa itakayo jitokeza juu ya hiki kitu ambacho anawatuma kukifanya?" Sauti moja kali sana iliyo onekana kutoka kwenye kinywa cha mwanaume shupavu sana ilipenya vyema kwenye ngoma za masikio yao. Huyu aliyekuwa ameshika picha mkononi aligeuka kwa haraka mno mkabala na wengine ambao walikuwa sentimita chache kutoka hapo nao waligeuka ili waweze kumuona huyo mwanaume aliyekuwa anaunguruma bila uoga kwa watu kama hao atakuwa ni nani huyo. Timotheo Jordan ndiye kiumbe aliyekuwa ameitoa hiyo sauti, alikuwa amekaa kwenye korido ya ukuta mmoja mdogo uliokuwa karibu na kwenye huo mgahawa alionekana kabisa aliwaona tangu wanafika hapo.

"Hahaaaaahaaaa safi sana hawa watu nasikia wengine tunafanya nao kazi miongoni mwetu ila kiuhalisia nilikuwa natamani sana siku nikutane na watu wa aina hii wanao jiita majasusi nasikia wapo vizuri sana kwenye mkono maana wanasifiwa na kuogopwa mno, nahitaji sana nisimame nawewe mimi mwenyewe kwenye huu ulimwengu wa mapigano ili nithibitishe kama ni kweli mna huo uwezo ambao huwa mnasifiwa sana au ni kelele tu haaaaahaaaaaaaa" mmoja wa wale wanaume sita alikuwa akijiamini sana linapokuja suala ka kuirusha mikono yake na miguu yake, hiyo ndiyo ilikuwa furaha ya maisha yake, hakuwa mtu wa mapenzi sana licha ya kuihusudu sana pombe alikuwa anapenda sana kupigana, Julius Makasi ndilo lilikuwa jina la huyu binadamu aliyekuwa akijigamba mbele ya huyo jasusi ambaye mpaka sasa haikueleweka kama aliiasi nchi au yupo upande upi, sisi tulimjua kama baba Jamal,mkuu wa majeshi alimjua kama David Hauston lakini kwa hawa watu Timotheo Jordan ndilo lilikuwa jina lake na walimjua hivyo.

"Nikikuangalia kwa usahihi wewe bado ni mdogo sana kiumri sijui kwanini unapenda sana haya mambo ambayo huna hata uwezo nayo yanaweza kukupelekea pabaya sana ukawa miongoni mwa wanadamu walioishi kwa kuwa na mwisho mbaya zaidi hapa duniani. Nina miaka saba sasa mikono yangu haijahusika na umwagaji wa damu ya binadamu yeyote yule namshukuru sana MUNGU kwa hilo na nilitamani sana niishi hayo maisha mpaka siku yangu ya mwisho bila kuzipunguza siku za wanadamu wenzangu kwa sababu naogopa sana ipo siku namimi nitakufa tu na nahisi sitakuwa na cha kujibu mbele ya mwenyezi MUNGU ila nadhani hilo lingewezekana endapo tu ningeendelea kuishi kijijini ambako hakuna hata umeme watu wanaishi kwa furaha bila pesa ila kuja huku mjini ambako hata pesa ya chupa moja ya pombe tu inakufanya unautoa uhai wa mwenzako najuta kurudi japokuwa sina namna naenda kuwa muuaji mkubwa sana kwa mara nyingine tena" Mzee huyo alisikitika akitoka kwenye hicho kivalanda akajinyoosha kwa usahihi sana mahali hapo.

"Mzee punguza porojo za kutaka kunikwepa mimi mwenyewe nakuingiza kwenye gari lile bila msaada wa mtu mwingine halafu tunaondoka hapa" alijigamba tena mwanaume huyo wa shoka. Dharau zilikuwa zimemjaa kijana huyo wa mjini Timotheo alielewa vyema kwamba ni kwa sababu tu kijana huyo hakupata bahati ya kukutana naye ndiyo sababu bado mdomo wa huyo kijana ulikuwa ukitamba sana mbele yake. Mkanda wa kwenye suruali ulikuwa unakuja kwa nguvu kutoka kwa Julius yeye alikuwa anafuata nyuma sekunde kadhaa mkanda ulidakwa na mzee huyo, Julius alijibinua kwa sarakasi ya kasi hesabu zake zilikuwa sahihi kwake tu lakini kwa mwenzake alikuwa na mahesabu makali zaidi yake aliurusha mkono wenye mkanda wa suruali Julius wakati anatua chini chuma cha kwenye huo mkanda kilipasukia kwenye pua yake damu nyingi zilikuwa zinamtiririka kama maji kijana Julius.

Alishikwa na hasira kali sana baada ya kutolewa damu, hasira ni hasara unapokuwa vitani, hasira zake zilimfanya kukosa kabisa uwezo wa kujilinda dakika moja alikuwa amepigwa ngumi zaidi ya kumi na tano mkono wake ulivunjwa kama kuni, makelele mazito ndiyo yaliyo wafanya wenzake washtuke na kujua kwamba mwenzao hakuwa na uwezo wa kupambana tena iliwalazimu waliobaki wote watano kumjia kiumbe huyo kwa kasi kubwa mno. Hakukuwa na maneno mengi sana hapo palikuwa kimya ilikuwa inasikika mifupa tu inavyogongana kwa ngumi nzito za hao wanaume. Nadhani walifanya moja ya makosa makubwa sana kuweza kumchukulia poa huyu mzee japo walionywa mapema kwamba huyo sio mtu wa kawaida, dakika tano ziliisha hakukuwa na mtu hata mmoja ambaye alikuwa na uwezo hata wa kusimama zaidi ya Timotheo Jordan mwenyewe walivunjwa vibaya sana hiyo sehemu.

"Miaka kumi na mitano iliyopita niliwahi kutumwa pekeangu kwenye kundi la kihalifu nchini Nigeria kwenda kuwakomboa watanzania waliokuwa wametekwa kule, ile ndiyo siku niliyo pigana kwa muda mrefu zaidi kwenye maisha yangu. Nilitumia masaa saba nikiwa nimesimama na wanaume wagumu sana thelathini na watano (35) na nilifanikiwa kuwamaliza wote japokuwa nilichoka sana lakini nilifanikiwa kuwakomboa wananchi wote wakarudi salama nchini hivyo kwa vijana wadogo kama ninyi mpo sita ni kazi ambayo sihitaji hata kuumiza kichwa kuwaua lakini sitafanya hivyo saivi nimepumzika kabisa kuua ila muda sio mrefu kuna mtu akirudi ndiye anayekwenda kuifanya hii kazi rasmi na ndio muda ambao mimi mwenyewe naenda kuwa mtu mbaya sana kwenye huu ulimwengu. Mkamwambie na huyo kiongozi wenu muda wake unakaribia kazi itaanzia kwa huyo mtoto wake ambaye anajiona mjanja sana kwa maisha yake ya kuigiza pale Sokoni Buguruni. Kwa atakaye bahatika kuishi tena leo basi wakati mwingine ajifunze namna watu wanavyotakiwa kuyaishi maisha wanapopewa nafasi ya kuishi, naondoka leo baada ya miaka miwili nitarudi na kama mkisikia nimerudi hapa mjini tena huu mji unaenda kutokea vifo vingi sana" walikuwa kwenye maumivu makali sana lakini maelezo yake waliweza kuyasikia kwa usahihi mkubwa sana japo hawakumuelewa kwamba ni kwanini amewaacha hai lakini aliwaambia kwa atakayepata bahati ya kuishi tena akumbuke kuishi maisha bila kuyafanya makosa kama waliyoweza kuyafanya mwanzo ina maana kulikuwa na ujio wa watu wengine au kuna nini na kama ni hivyo kajuaje? Hakuna aliyepata jibu juu ya huyo mtu. Julius Makasi licha ya kuwa kwenye hali mbaya ya kuvunjwa mkono wake na kuteguliwa mwili wake vibaya alihisi hatari hiyo sehemu alijikongoja akajivuta mpaka nyuma ya huo mgahawa akaingia kwenye moja ya tenki la maji lililokuwa hapo nyumba ya jirani na huo mgahawa, wenzake walikuwa wapo hoi kwa kipigo kizito walichokuwa wamekipata hawakuwa hata na uwezo wa kujisogeza pembeni.

Timotheo Jordan kama alivyojulikana kwa hawa watu alifanikiwa kuingia kwenye chumba alichokuwa amekichukua kwenye hiyo nyumba ya wageni alikusanya vitu vyake vichache vilivyokuwa humo ndani, alikuwa anaangalia saa yake kwa usahihi akionekana wazi alikuwa hataki kuipoteza hata sekunde moja, alikuwa mtu mkubwa sana hivyo aliijua thamani ya muda sekunde moja ilikuwa na uwezo wa kumfanya akajuta maisha yake yote, mwanaume huyu wa makamo kiasi na kwa sura aliyokuwa anaivaa alionekana umri umeenda kiasi alivunja dirisha la kioo kwenye hicho chumba aliukunja mkono wake uliokuwa umekomaa mithili ya jiwe akazikunja nondo mbili kwenye hilo dirisha na kutokea hapo wala hakutumia mlango wa kawaida kutoka humo ndani, baada ya kutoka tu hakuzubaa alikimbia kwa spidi ambayo ungehisi kuna mtu anamfukuza nyuma lakini alikuwa yupo peke yake alienda kuishia vichochoroni karibu na hayo maeneo ambako haikujulikana ameenda wapi japo aliahidi kwamba anaondoka na atarudi miaka miwili ijayo na atakaporudi mji utatapakaa damu.

Ni kama alikuwa anajua kile ambacho kinaenda kutokea kwenye hilo eneo dakika tano zilipita hiyo sehemu palipokuwa na mapigano walitokea wanaume watano waliokuwa wamevaa nguo nyeusi na barakoa usoni wakiwa hawaonekani sura zao majira hayo ya usiku, baada ya kuwaona wale wanaume watano kati ya sita waliokuwa wanapigana na Timotheo wakiwa chini hawajiwezi kwa lolote hawakuwauliza chochote zaidi ya kuwamiminia risasi wote kwenye vichwa vyao.

“Mmoja wao hayupo hapa inaonekana amejeruhiwa vibaya hawezi kuwa mbali hakikisheni mnampata na mnammaliza sisi tunaenda kumchukua huyu anayehitajika” ilikuwa ni sauti ya mamlaka kutoka kwa mmoja wa wale wanaume watano ambaye alionekana kuwa kiongozi wao. Milio ya risasi hizo japo silaha zilifungwa kwa viwambo vya kuzuia sauti ila alikuwa akiisikia vizuri kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa ni muuaji mkubwa mno pamoja na maneno ya kutafutwa Julius alikuwa akiyasikia vizuri akiwa ndani ya tenki la maji alimshukuru MUNGU alifanikiwa kutoka mahali pale japokuwa bado hakuwa na uhakika kabisa wa usalama wa maisha yake, wanaume wawili walikuwa wanaelekea sehemu lilipokuwa hilo tenki mmoja wao aligusa kwenye tenki hilo na kuona damu mbichi kabisa alimkonyeza mwenzake kumwambia kwamba mtu huyu atakuwa yupo ndani ya hayo maji. Pumzi ndicho kitu pekee kilichokuwa kinamfanya Julius aendelee kuwa hai humo ndani ya maji angekuwa goi goi sio mtu wa mazoezi makali angekuwa ameshikwa mapema sana. wale wanaume wawili walijibetua kwa sarakasi walikuwa wepesi kama karatasi wakawa wamesimama juu ya tenki hilo la maji wakiwa wanaangalia ndani ya maji hawakuona mtu walipiga risasi zaidi ya tano humo ndani, risasi mbili zilimpata Julius na kuuvunja mfupa wake wa goti la kulia, alipata maumivu makali ambayo yalimfanya ajutie sana kuweza kufanya kazi na hao watu leo kwa sababu tu ameshindwa kuifanya kazi kwa usahihi wanataka kumtoa roho yake, ni ujasiri pekee ulio mpatia msaada aliuma meno yake kwa maumivu makali bila kupiga kelele wala kufanya mjongeo wowote wa maji ambao alijua ungemletea maafa hao watu hapo nje walikuwa hawafai hata kwa bure aliwajua vizuri sana walikuwa wapo watano tu ila walikuwa wanaweza kutekeleza majukumu ya watu zaidi ya mia tano. Damu yake ilikuwa inapandisha juu ya maji taratibu na kutokana na giza la humo ndani ya tenki la maji lilifanya damu hiyo isiweze kuonekana kirahisi. Wale wanaume baada ya dakika mbili waliweza kutoka hapo walijua wazi kama kungekuwa na mtu asingeweza kuvumilia maumivu ya hizo risasi zao ambazo zilikuwa maalumu. Dakika kumi mbele ndio muda ambao Julius aliibuka kutoka kwenye hayo maji akiwa kwenye hali mbaya sana alidondokea chini na kuzimia hapo hapo akiwa amepoteza damu nyingi sana ni neema za MUNGU tu ndizo zilikuwa zinaweza kumponya vinginevyo alikuwa ana asilimia chache sana za kuendelea kuivuta pumzi ya hapa duniani.

“Ooooh my gosh tumechelewa” ni sauti ya kulalama kwa maumivu kutoka kwa kiongozi wa wale watu watatu ambao walitawanyika upande wao kwenda kumchukua Timotheo walifanikiwa kufika kwenye kile chumba, walichoka baada ya kuona dirisha limebomolewa walijua wazi mwanaume huyo ameshakimbia hilo eneo.
“Nadhani tunaweza kumuwahi” mmoja wao alimjibu kiongozi wake
“Yule sio mtu wa kawaida namjua vizuri sana kuna mwaka nimewahi kukutana naye kwenye mafunzo ya siri sana ya ngazi za juu, hivyo kumpata kwa sasa haiwezekani inabidi tukaanze mahesabu upya” kiongozi wake alimjibu akionyesha wazi yeye alimjua vizuri sana huyo mtu kuliko mtu yeyote hapo kati yao. Walitoka na kukutana na wenzao wawili waliotikisa vichwa kuonyesha hata yule mmoja aliyepona hawakuweza kumpata hilo eneo, waliwaingiza wote ndani ya gari wakategesha bomu wakiwa wamefika mbali waliilipua gari hiyo wote waliowekwa humo ndani waliteketea kwa moto mkali ambao uliwashtua mpaka wenyeji wa hayo maeneo ila kazi yao ilikuwa imeisha walipotea hayo maeneo.

Nadhani rasmi hadithi ndo inaenda kuanza, kipi kinajiri ndani ya hiyo miaka miwili ijayo?...... kwa leo acha niweke nukta nahifadhi akiba ya maneno ya sehemu ijayo. 11 inafika mwisho sina la ziada tena.
Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA KUMI NA MBILI

TULIPO ISHIA SEHEMU YA KUMI NA MOJA..........

“Yule sio mtu wa kawaida namjua vizuri sana kuna mwaka nimewahi kukutana naye kwenye mafunzo ya siri sana ya ngazi za juu, hivyo kumpata kwa sasa haiwezekani inabidi tukaanze mahesabu upya” kiongozi wake alimjibu akionyesha wazi yeye alimjua vizuri sana huyo mtu kuliko mtu yeyote hapo kati yao. Walitoka na kukutana na wenzao wawili waliotikisa vichwa kuonyesha hata yule mmoja aliyepona hawakuweza kumpata hilo eneo, waliwaingiza wote ndani ya gari wakategesha bomu wakiwa wamefika mbali waliilipua gari hiyo wote waliowekwa humo ndani waliteketea kwa moto mkali ambao uliwashtua mpaka wenyeji wa hayo maeneo ila kazi yao ilikuwa imeisha walipotea hayo maeneo.

ENDELEA.......................


Hali ya nchi ya Tanzania ilikuwa imetulia ila wananchi wa maeneo ya Buguruni hawakuwa na imani kabisa na mlipuko uliokuwa umeweza kutokea maeneo hayo wakiogopa kwamba huenda walikuwa wamevamiwa kwenye eneo lao na magaidi, vyombo vya sheria vilijaribu sana kuwatuliza kwa kuwaahidi kwamba hilo jambo haliwezi kutokea tena kwani ni ajali ya kawaida tu hakukuwa na uvamizi wowote ule huku wakiahidi kudumisha usalama wa raia na mali zao kama ilivyo kawaida kwa siku zote ndani ya nchi ya amani. Hayo ndiyo mara nyingi huwa ni maneno ya kuvutia kutoka kwenye vyombo vya sheria pale linapotokea tatizo na wanahitaji kuwatuliza wananchi basi huwa inatafutwa namna bora sana ya kuwafanya wananchi watulie ilihali kwa asilimia nyingi sana taarifa za hivyo huwa hazina ukweli sana ndani yake na unaweza ukasubiri hata miaka na miaka na usione mabadiliko yoyote yale yanafanyika kwenye nchi yako.

“Hii nchi ni tulivu sana mbele za macho ya watu lakini ukifuatilia kwa undani sana unakuja kugundua kwamba kuna mambo mengi sana ambayo yanafanyika chini chini na yanazikwa juu juu kabisa kwa maslahi ya watu fulani, yaani mimi sio mjinga ambaye nilikuwa jirahi kabisa na eneo ambalo mlipuko ulitokea halafu leo unakuja kuniambia ilikuwa ni bahati mbaya ya kawaida tu wakati lilikuwa ni bomu lile hapana hapana mimi nakataa kabisa hicho kitu huo ni uongo” kijana mmoja alikuwa akiongea kwa sauti kubwa wakiwa kilingeni na wenzake maeneo ya Chalinze baada ya kuweza kuisikia habari hiyo, alikuwa ni mkazi wa maeneo ya Buguruni lakini tangu litokee hilo tatizo hakuhitaji tena kukaa huko alihama asubuhi tu ya siku hiyo ya tukio.

“Mwanangu una miaka mingapi?” lilikuwa ni swali kutoka kwa babu mmoja mwenye busara zake ambaye alikuwa anapita hapo akawasikia hao vijana wakisimuliana hizo habari sehemu hiyo

“27 babu”

“Una mke?”

“Ndiyo na mtoto mmoja”

“Izingatie sana hii sentensi kwenye maisha yako, siasa ni aina ya mchezo hatari zaidi kwenye historia ya maisha ya mwanadamu, ni kama unavyo waona wachezaji wa mpira wakiwa timu moja na wapo kambini wanalala chumba kimoja ila kila mtu anawaza kuwa namba moja kati yao hao hao unadhani nini kinafanyika? hapo ndipo ubaya unapo anzia kwa wanadamu pale anapokuwa na tamaa kubwa sana ya mafanikio halafu anaona kuna mtu ni kizuizi kwake. Muda umeenda sana kijana wangu tukipata wasaa ipo siku nitawatembelea tena tuzungumze kiundani ila kaa mbali na haya mambo ya siasa nenda kwako kamlee vizuri mkeo na mtoto wako” yalikuwa maneno ya busara kutoka kwa huyo mzee ambayo yaliwaacha wote kwenye mshangao mkubwa, mzee huyu aliiwasha sigara yake na kuondoka zake, hakuna aliyekuwa na hamu ya kukaa tena hapo wote walitawanyika.

Ndani ya gereza maarufu zaidi nchini Tanzania, huko hakuna watu wa aina ya kawaida wengi wao akili za ubinadamu huwa zinawatoka kabisa pindi wanapokuwa sehemu kama hizo, ubabe ni kitu kinachokufanya uwe na maisha mazuri ndani ya gereza hilo lakini ukiwa mnyonge sana unakuwa mwanadamu mwenye maisha magumu mno unaweza ukajikuta umepoteza hata utu wako. Segerea ni gereza maarufu mno ndani ya nchi hii kama umepata bahati ya kukaa na baadhi ya watu ambao waliwahi kukaa huko hata wiki moja tu pekee wanaweza kuwa mashahidi wazuri sana juu ya gereza hilo, linapatikana maeneo ya Tabata Tanzania. Ndani ya hilo gereza leo kulikuwa na ugeni mkubwa wa gari zaidi ya tano ambazo zote zilikuwa na rangi nyeusi tu kasoro moja ndiyo iliyokuwa na rangi ya kijivu, ndani ya gari hiyo ya kijivu alishuka mwanaume mmoja mwembamba ila mwili wake ulionekana wazi alitokea kwenye maisha ambayo hakuhitaji kujitambulisha mara mbili kwamba yeye ni mtu mwenye pesa za kutosha, alikuwa amevaa kofia kubwa kwenye kichwa chake pamoja na miwani kisha kitambaa kisafi cha kijivu kilimfanya kutoonekana kabisa sura yake. Alishuka mwenyewe ndani ya hilo gari kisha akaongoza ulipokuwa mlango mkuu wa kuingilia sehemu waliyokuwepo wafungwa, walinzi wa getini walikuwa na taarifa juu ya ujio wa huyo mtu hivyo walimfungulia mlango ili aweze kupita huku wakimpa heshima za kutosha kuonyesha walimjua vizuri kama sio kusikia sifa zake.

Dakika kumi nyuma kabla ya mtu huyo kufika hapo ndani kulikuwa na makelele sana ndani ya hilo gereza wafungwa wakiwa wanashangilia kwa nguvu na furaha sana, kwao kupigana ndiyo ilikuwa furaha kubwa mno kwa sababu humo ndani usingeweza kumuona mwanamke wala kwenda club kwamba utafurahia maisha hivyo mapigano ndicho kitu pekee kilicho wafanya wengi kusahau shida za humo ndani na kufurahia uwepo wao humo maana wengine hawakuwahi kuwa na matumaini ya kuja kuivuta pumzi ya nje ya gereza hilo maisha yao yote.

“Muue huyo muueee wooooooiiiiiii, hana lolote mjinga auawe huyo” ni sauti za wafungwa waliokuwa wamesimama pembeni ya uzio wa sehemu ya uwanja wa mapigano ndani ya hiyo jela. Kati kati ya huo ulingo walikuwa wamesimama wanaume wawili ambao walikuwa wanatambiana kwa muda mrefu sana ni miaka sasa ilikuwa imepita hawakuwahi kukutana waliishia kupigana ndani ya selo zao na kuachanishwa. Alexander ndilo jina la mmoja wa hawa wanaume waliokuwa wamesimama katikati ya ulingo, mwanaume huyu alikuwa na miaka minne sasa tangu awepo kwenye hili gereza aliletwa kwa kesi ambayo bado mpaka leo walidai ipo mahakamani inafuatiliwa na hakukuwa na taarifa yoyote tangu aletwe humu ndani. Wakati anafika kwenye hili gereza ndipo alipomkuta huyu mwenzake ndiye aliyekuwa mbabe wa gereza, hakuna mfungwa ambaye alikuwa ana uwezo wa kusema chochote kile mbele yake wakati Alexander anaingia humu ndani hakuwa tayari kuwa chini ya binadamu yoyote yule na hakuwahi kuwa na imani kwamba ndani ya hilo gereza kunaweza kukawa na mwanaume wa kuweza kusimama na kutoa sauti ya mamlaka mbele yake na ndipo ugomvi kati ya hawa viumbe wawili kati ya Alexander na mwenzake ambaye aliletwa kwa kosa la ubakaji na mauaji ya watu watatu ulipo anzia.

Kutokana na kuwatesa sana wafungwa humo ndani wengi walikuja kuwa upande wa Alexander wakimuomba awapigie huyo jamaa ili aache kuwatesa ila nadhani walikuwa wanafanya makosa makubwa sana kwenye maisha yao kwa sababu huyo mwanaume waliyekuwa wanamuombea hawakuweza kabisa kumjua asili yake wala kuujua undani wake yupoje kwa sababu alikuwa sio mtu wa kuchangamana na watu kabisa muda mwingi alikuwa anakaa ndani ya selo yake tu iliyokuwa chumba cha mwisho kabisa kuelekea chini ya ardhi na huko walikuwa wanakaa wafungwa maalumu mtu wa kawaida asingeruhusiwa kwenda huko.

Mkono kati ya wanaume hawa ulianza rasmi kukiwa hakuna maneno hata kidogo, Alexander hakuonekana kuwa mtu mwenye huruma kabisa kwenye maisha yake, licha ya mwenzake kuonyesha utaalamu mkubwa kwenye mapigano ila mbele ya huyu binadamu alikuwa kama mtoto mdogo, yule mwanaume alikunjuka moja ya teke lililompata Alaxander shingoni alisogea nyuma kidogo kusikilizia hilo teke ngumi kali ilipita tumboni kwake, teke lingine lilikuwa linakuja kwa nguvu kutoka kwa huyo jamaa ambaye aliona hiyo ndiyo nafasi ya kummaliza huyu mwanaume ambaye hakueleweka aliletwa kwa sababu ipi hapo gerezani mguu ulidakwa kwa mkono mmoja tu, huo mkono ulikuwa umekomaa mno mguu ulibinywa kwa nguvu na huo mkono mpaka mfupa mmoja ulivunjika, ngumi nzito iliyo shindiliwa vyema ilifuatia kwenye kifundo cha mguu huo, wakati huyo jamaa anataka kudondoka akiwa anapiga makelele kwa maana mguu ulikuwa hauna uwezo wa kufanya kazi tena, mguu mmoja uliokuwa umebaki chini ulichotwa mtama wa nguvu kisha alishindiliwa na teke moja lenye ujazo wa tani kadhaa unaweza ukasema ni mchezaji yupo kupiga penati mechi ya fainali bahati mbaya sana lilifanywa kwenye mwili wa binadamu.

Licha ya kupigwa na hilo teke ndani ya muda mfupi tu hakuweza kupewa nafasi ya kupumua vizuri alifuatwa pale alipodondokea Alexander hakuongea chochote zaidi ya kuushika mkono wa kulia wa huyo jamaa, ni ngumu kuamini ila ndicho kilicho tokea ndani ya jela hakuna mtu anaruhusiwa kumiliki silaha yoyote wala kitu chenye ncha kali ambacho kinaweza kuleta madhara kwa mwenzake lakini ilikuwa tofauti kwa Alexander kwenye kola ya shati yake ya jela kilikuwa kimeviringishwa kisu kikali mno, kilitolewa mithili ya mtu aliyepo vitani kilizamishwa kwenye bega la huyo jamaa kwa nguvu kubwa mwanaume akawa anakizungusha kwa nguvu kama vile anachora duara, mwenzake alipiga kelele kwa sauti ambazo zilifika mbali sana ilibidi kengele ya tahadhali humo ndani ipigwe ili kujua kama huenda kuna tatizo limetokea humo ndani waweze kulishughulikia. Sekunde ya ishirini kisu kilikamilisha duara alilokuwa anachora kwenye hilo bega wakati huo maaskari walikuwa wanakimbia kuja kumtoa hilo eneo kwani alichokuwa anakifanya hayakuwa mapigano tena yalikuwa ni mauaji ya kutisha. Askari wakati wanafika hiyo sehemu mwanaume alikuwa ameunyofoa mkono huo kutoka kwa huyo jamaa yake ambaye alikuwa anapigana naye, jamaa huyo alizimia kwa maumivu aliyokuwa akiyasikia. Wafungwa walinyamaza kwa huu unyama uliokuwa umefanyika hakuna ambaye alikuwa na ujasiri wa kuendelea kushangilia tena kila mtu alirudi kwenye selo yake kwenda kutulia waliogopa mno hicho kitendo.

“Mpuuzi wewe unadhani ni nyumbani kwa baba yako hapa, paaaaaaa” ni askari mmoja aliyekuwa mgeni ndani ya hilo gereza alitukana na kumtandika na kirungu cha mbao kwenye paji lake la uso ambapo damu ilianza kutoka na kirungu hicho kilipasuka, alichukia sana Alexander ngumi yake nzito ilipelekwa kwenye tumbo la huyo askari alipiga sana makelele ya maumivu alipigwa teke baya sana maeneo ya kwenye goti ambalo lilipelekea mguu wake kuvunjika kwa sauti, alilia mno mwanaume aliidaka shingo ya askari huyo na kuhitaji kuizungusha kumaliza kazi lakini mbele yake alimuona mkuu wa gereza, baada ya kumuona mzee huyo wa makamo ndipo alipoweza kutulia, alipewa ishara ya kuonyesha kwamba amfute mzee huyo hiyo ndiyo ikawa pona pona ya askari magereza huyo ambaye mpaka muda huo alikuwa amesababishiwa ukilema alihitajika kwenda hospitali ili ifanyike namna kama anaweza kuusaidia mguu wake akatembea tena.

“Sitapenda tena uweze kufanya kitu cha kipuuzi kama hiki sitakuvumilia, wahi kwenye selo yako kuna mtu anahitaji kuonana nawewe” ilikuwa sauti ya mkuu wa gereza baada ya kumtoa Alaxander kwenye ulingo wa mapigano aliambiwa kuna mtu alihitaji kumuona ndani ya selo yake mpaka wakati huo alikuwa hajafungua mdomo wake.

“Maisha ya hapa unayaonaje? ni muda kidogo sijaweza kufika ndani ya hili gereza” ni sauti ambayo aliijua sana kwenye masikio yake ilitoka kwa mtu aliyekuwa amegeukia upande wa ukuta wa selo hiyo akionekana alikuwa ndani ya mahesabu mazito sana, aliinamisha kichwa kwa heshima baada kumuona mtu huyo ambaye walikuwa na mambo mengi sana ya pamoja waliyowahi kuyafanya na alionekana kumheshimu kupita kawaida ndiyo sababu akainamisha kichwa chake mbele ya huyo mwanaume.

Sina imani sana na hawa watu lakini naweza kusema tukutane tena wakati ujao binafsi naweka nukta sehemu ya 12.

Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA KUMI NA MOJA

TULIPO ISHIA SEHEMU YA KUMI...........

Wenzake walimfuata na kumuuliza maswali kibao kuhusu yule mtu aliye onekana kuwa mwanajeshi alikuwa na ishu gani mpaka amtafute yeye, alikuwa amechanganyikiwa hakuwa na hamu tena ya kukaa hapo kijana Ali, aliichukua simu na kumpigia mwanamke wake aliyekuwa anampata muda wowote alipomhitaji yeye, alihitaji wakutane kwake maeneo ya mawasiliano kwa muda huo aje ampe burudani kukaa hapo aliona itakuwa kama ni mkosi kwani siku ilikuwa imesha haribika wakati huo mwanaume yule aliye onekana kuwa mwanajeshi alirudi kwenye ile gari yao mlimokuwa na wanaume sita kwa ujumla wao baada ya hapo iliondolewa kwa spidi ikionekana wazi walikuwa wanawahi huko Buguruni sheli ambako walikuwa wameelekezwa kwamba wanaweza kumpata Timotheo Jordan.

ENDELEA................................

Kutokana na foleni iliyokuwepo njiani hapo majira ya jioni ambapo watu wengi walikuwa wanarudi majumbani kutoka kwenye mishe mishe mbali mbali, iliwachukua wanaume hawa saa zima kuweza kufika ndani ya mitaa ya Buguruni sheli. Gari ilisimamishwa maeneo hayo kisha wakashuka wanaume hawa mmoja wao akiwa na picha kubwa yenye sura ya Timotheo Jordan, waliuliza kwa watu kadhaa lakini hawakuweza kupata majibu yaliyo waridhisha, safari yao iliishia kwenye mgahawa mmoja mdogo ambapo mama mwenye mgahawa huo ndo alikuwa anautoa ufunguo kwenye kufuli baada ya kufunga ili awahi nyumbani kwake.
"Heshima yako mama, samahani utakuwa unamjua huyu mtu?" Swali liliulizwa kistaarabu sana na mwanaume huyo kiasi kwamba hakuna mtu ambaye angemtilia shaka kwamba huyo mwanaume alikuwa ni binadamu wa hatari sana tofauti na maneno yalivyokuwa yanatoka kwenye kinywa chake. Picha hiyo haikuwa ngeni kabisa machoni pa huyo mama, alitikisa kichwa kuonyesha kukubali kwa sababu siku ya kwanza watu hao kuingia hapo mtaani walikuja kula chakula kwake hivyo aliwajua japo ilikuwa ni siku moja, waliuliza ni wapi mtu huyo alikuwa anapatikana mama huyo alinyoosha kidole kuonyesha kwenye nyumba ya wageni ambayo haikuwa mbali kabisa na sehemu hiyo kwamba ndipo alipo waona wanaingia kwa mara ya mwisho,mama huyu aliitambua picha ya Timotheo kwa sababu siku ya kwanza wanafika mitaa hiyo ndiyo sehemu waliyokuwa wameenda kula chakula. Hawakuwa na deni nae alimshukuru na mama wa watu akawa anaondoka kuweza kuwahi nyumbani kwake.

"Kama ni siku kadhaa zimepita sina imani kama mtu huyu atakuwa bado yupo kwenye haya maeneo tunaweza tukawa tunacheza mchezo wa kipumbavu sana kuhangaika kumtafuta mtu ambaye usikute kwa muda huu yupo mbali sana na haya maeneo" mmoja wao hakuona sababu ya kuendelea kuhangaika kumtafuta tu huyo hayo maeneo ikiwa hawana uhakika kabisa kama anaweza kweli kuwepo kwenye hiyo mitaa, mawazo yake ilikuwa ni vyema wakae kwanza chini wakaangalie namna nyingine ili waweze kumpata huyo binadamu ambaye bosi wao makamu wa raisi alikuwa anamhitaji akiwa hai kwa gharama yoyote ile.

"Kwa aina yake jinsi taarifa zilivyokuja niliwahi kuishi na mtu wa aina hii ndani ya kambi ya boko haramu kabla ya kupata nafasi ya kutoroka ni sehemu yenye mateso zaidi niliyowahi kuiishi hapa duniani ni bora hata ufungwe kwenye jela yenye mateso maisha yako yote lakini sio kuomba MUNGU itokee ukajikuta kwenye kambi ya wale jamaa kule hakuna ubinadamu kabisa, kuna mambo ambayo hata mnyama huwezi kumfanyia na hivyo ndivyo wanadamu wanatenda siku hizi. Huyo jamaa alikuwa ni jasusi mkubwa sana lakini hakuna mtu yeyote aliyepata kumjua mpaka siku tunatoroka yeye ndiye aliyenisaidia namimi kutoroka baada ya kugundua kwamba mimi nilikuwa ni mtanzania mwenzake kwa ile siku ndipo nilipojikuta najivunia sana kuwa mtanzania, hawa watu sio binadamu wa kukata tamaa kirahisi na huwa hawaishi kihasara wala kupoteza muda kirahisi kama ni kweli kwa taarifa tulizo zikisanya kusemekana yupo hapa basi jua hawezi kuondoka Kwa muda mfupi sana kiasi hiki lazima amekuja kukaa hapa kwa muda ndipo aweze kuondoka hivyo kwa uzoefu wangu nakuthibitishia huyu mtu yupo mitaa hii hii hata kama sio humo ndani basi hayupo mbali na hili eneo". Ni mmoja wa wale wanaume alionekana kuwajua sana hawa majasusi kiundani ndicho kilicho mpa imani kwamba huyo kiumbe lazima yupo hapa hapa mtaani.

"Huyo aliye watuma hakuwapa taarifa juu ya hatari kubwa itakayo jitokeza juu ya hiki kitu ambacho anawatuma kukifanya?" Sauti moja kali sana iliyo onekana kutoka kwenye kinywa cha mwanaume shupavu sana ilipenya vyema kwenye ngoma za masikio yao. Huyu aliyekuwa ameshika picha mkononi aligeuka kwa haraka mno mkabala na wengine ambao walikuwa sentimita chache kutoka hapo nao waligeuka ili waweze kumuona huyo mwanaume aliyekuwa anaunguruma bila uoga kwa watu kama hao atakuwa ni nani huyo. Timotheo Jordan ndiye kiumbe aliyekuwa ameitoa hiyo sauti, alikuwa amekaa kwenye korido ya ukuta mmoja mdogo uliokuwa karibu na kwenye huo mgahawa alionekana kabisa aliwaona tangu wanafika hapo.

"Hahaaaaahaaaa safi sana hawa watu nasikia wengine tunafanya nao kazi miongoni mwetu ila kiuhalisia nilikuwa natamani sana siku nikutane na watu wa aina hii wanao jiita majasusi nasikia wapo vizuri sana kwenye mkono maana wanasifiwa na kuogopwa mno, nahitaji sana nisimame nawewe mimi mwenyewe kwenye huu ulimwengu wa mapigano ili nithibitishe kama ni kweli mna huo uwezo ambao huwa mnasifiwa sana au ni kelele tu haaaaahaaaaaaaa" mmoja wa wale wanaume sita alikuwa akijiamini sana linapokuja suala ka kuirusha mikono yake na miguu yake, hiyo ndiyo ilikuwa furaha ya maisha yake, hakuwa mtu wa mapenzi sana licha ya kuihusudu sana pombe alikuwa anapenda sana kupigana, Julius Makasi ndilo lilikuwa jina la huyu binadamu aliyekuwa akijigamba mbele ya huyo jasusi ambaye mpaka sasa haikueleweka kama aliiasi nchi au yupo upande upi, sisi tulimjua kama baba Jamal,mkuu wa majeshi alimjua kama David Hauston lakini kwa hawa watu Timotheo Jordan ndilo lilikuwa jina lake na walimjua hivyo.

"Nikikuangalia kwa usahihi wewe bado ni mdogo sana kiumri sijui kwanini unapenda sana haya mambo ambayo huna hata uwezo nayo yanaweza kukupelekea pabaya sana ukawa miongoni mwa wanadamu walioishi kwa kuwa na mwisho mbaya zaidi hapa duniani. Nina miaka saba sasa mikono yangu haijahusika na umwagaji wa damu ya binadamu yeyote yule namshukuru sana MUNGU kwa hilo na nilitamani sana niishi hayo maisha mpaka siku yangu ya mwisho bila kuzipunguza siku za wanadamu wenzangu kwa sababu naogopa sana ipo siku namimi nitakufa tu na nahisi sitakuwa na cha kujibu mbele ya mwenyezi MUNGU ila nadhani hilo lingewezekana endapo tu ningeendelea kuishi kijijini ambako hakuna hata umeme watu wanaishi kwa furaha bila pesa ila kuja huku mjini ambako hata pesa ya chupa moja ya pombe tu inakufanya unautoa uhai wa mwenzako najuta kurudi japokuwa sina namna naenda kuwa muuaji mkubwa sana kwa mara nyingine tena" Mzee huyo alisikitika akitoka kwenye hicho kivalanda akajinyoosha kwa usahihi sana mahali hapo.

"Mzee punguza porojo za kutaka kunikwepa mimi mwenyewe nakuingiza kwenye gari lile bila msaada wa mtu mwingine halafu tunaondoka hapa" alijigamba tena mwanaume huyo wa shoka. Dharau zilikuwa zimemjaa kijana huyo wa mjini Timotheo alielewa vyema kwamba ni kwa sababu tu kijana huyo hakupata bahati ya kukutana naye ndiyo sababu bado mdomo wa huyo kijana ulikuwa ukitamba sana mbele yake. Mkanda wa kwenye suruali ulikuwa unakuja kwa nguvu kutoka kwa Julius yeye alikuwa anafuata nyuma sekunde kadhaa mkanda ulidakwa na mzee huyo, Julius alijibinua kwa sarakasi ya kasi hesabu zake zilikuwa sahihi kwake tu lakini kwa mwenzake alikuwa na mahesabu makali zaidi yake aliurusha mkono wenye mkanda wa suruali Julius wakati anatua chini chuma cha kwenye huo mkanda kilipasukia kwenye pua yake damu nyingi zilikuwa zinamtiririka kama maji kijana Julius.

Alishikwa na hasira kali sana baada ya kutolewa damu, hasira ni hasara unapokuwa vitani, hasira zake zilimfanya kukosa kabisa uwezo wa kujilinda dakika moja alikuwa amepigwa ngumi zaidi ya kumi na tano mkono wake ulivunjwa kama kuni, makelele mazito ndiyo yaliyo wafanya wenzake washtuke na kujua kwamba mwenzao hakuwa na uwezo wa kupambana tena iliwalazimu waliobaki wote watano kumjia kiumbe huyo kwa kasi kubwa mno. Hakukuwa na maneno mengi sana hapo palikuwa kimya ilikuwa inasikika mifupa tu inavyogongana kwa ngumi nzito za hao wanaume. Nadhani walifanya moja ya makosa makubwa sana kuweza kumchukulia poa huyu mzee japo walionywa mapema kwamba huyo sio mtu wa kawaida, dakika tano ziliisha hakukuwa na mtu hata mmoja ambaye alikuwa na uwezo hata wa kusimama zaidi ya Timotheo Jordan mwenyewe walivunjwa vibaya sana hiyo sehemu.

"Miaka kumi na mitano iliyopita niliwahi kutumwa pekeangu kwenye kundi la kihalifu nchini Nigeria kwenda kuwakomboa watanzania waliokuwa wametekwa kule, ile ndiyo siku niliyo pigana kwa muda mrefu zaidi kwenye maisha yangu. Nilitumia masaa saba nikiwa nimesimama na wanaume wagumu sana thelathini na watano (35) na nilifanikiwa kuwamaliza wote japokuwa nilichoka sana lakini nilifanikiwa kuwakomboa wananchi wote wakarudi salama nchini hivyo kwa vijana wadogo kama ninyi mpo sita ni kazi ambayo sihitaji hata kuumiza kichwa kuwaua lakini sitafanya hivyo saivi nimepumzika kabisa kuua ila muda sio mrefu kuna mtu akirudi ndiye anayekwenda kuifanya hii kazi rasmi na ndio muda ambao mimi mwenyewe naenda kuwa mtu mbaya sana kwenye huu ulimwengu. Mkamwambie na huyo kiongozi wenu muda wake unakaribia kazi itaanzia kwa huyo mtoto wake ambaye anajiona mjanja sana kwa maisha yake ya kuigiza pale Sokoni Buguruni. Kwa atakaye bahatika kuishi tena leo basi wakati mwingine ajifunze namna watu wanavyotakiwa kuyaishi maisha wanapopewa nafasi ya kuishi, naondoka leo baada ya miaka miwili nitarudi na kama mkisikia nimerudi hapa mjini tena huu mji unaenda kutokea vifo vingi sana" walikuwa kwenye maumivu makali sana lakini maelezo yake waliweza kuyasikia kwa usahihi mkubwa sana japo hawakumuelewa kwamba ni kwanini amewaacha hai lakini aliwaambia kwa atakayepata bahati ya kuishi tena akumbuke kuishi maisha bila kuyafanya makosa kama waliyoweza kuyafanya mwanzo ina maana kulikuwa na ujio wa watu wengine au kuna nini na kama ni hivyo kajuaje? Hakuna aliyepata jibu juu ya huyo mtu. Julius Makasi licha ya kuwa kwenye hali mbaya ya kuvunjwa mkono wake na kuteguliwa mwili wake vibaya alihisi hatari hiyo sehemu alijikongoja akajivuta mpaka nyuma ya huo mgahawa akaingia kwenye moja ya tenki la maji lililokuwa hapo nyumba ya jirani na huo mgahawa, wenzake walikuwa wapo hoi kwa kipigo kizito walichokuwa wamekipata hawakuwa hata na uwezo wa kujisogeza pembeni.

Timotheo Jordan kama alivyojulikana kwa hawa watu alifanikiwa kuingia kwenye chumba alichokuwa amekichukua kwenye hiyo nyumba ya wageni alikusanya vitu vyake vichache vilivyokuwa humo ndani, alikuwa anaangalia saa yake kwa usahihi akionekana wazi alikuwa hataki kuipoteza hata sekunde moja, alikuwa mtu mkubwa sana hivyo aliijua thamani ya muda sekunde moja ilikuwa na uwezo wa kumfanya akajuta maisha yake yote, mwanaume huyu wa makamo kiasi na kwa sura aliyokuwa anaivaa alionekana umri umeenda kiasi alivunja dirisha la kioo kwenye hicho chumba aliukunja mkono wake uliokuwa umekomaa mithili ya jiwe akazikunja nondo mbili kwenye hilo dirisha na kutokea hapo wala hakutumia mlango wa kawaida kutoka humo ndani, baada ya kutoka tu hakuzubaa alikimbia kwa spidi ambayo ungehisi kuna mtu anamfukuza nyuma lakini alikuwa yupo peke yake alienda kuishia vichochoroni karibu na hayo maeneo ambako haikujulikana ameenda wapi japo aliahidi kwamba anaondoka na atarudi miaka miwili ijayo na atakaporudi mji utatapakaa damu.

Ni kama alikuwa anajua kile ambacho kinaenda kutokea kwenye hilo eneo dakika tano zilipita hiyo sehemu palipokuwa na mapigano walitokea wanaume watano waliokuwa wamevaa nguo nyeusi na barakoa usoni wakiwa hawaonekani sura zao majira hayo ya usiku, baada ya kuwaona wale wanaume watano kati ya sita waliokuwa wanapigana na Timotheo wakiwa chini hawajiwezi kwa lolote hawakuwauliza chochote zaidi ya kuwamiminia risasi wote kwenye vichwa vyao.

“Mmoja wao hayupo hapa inaonekana amejeruhiwa vibaya hawezi kuwa mbali hakikisheni mnampata na mnammaliza sisi tunaenda kumchukua huyu anayehitajika” ilikuwa ni sauti ya mamlaka kutoka kwa mmoja wa wale wanaume watano ambaye alionekana kuwa kiongozi wao. Milio ya risasi hizo japo silaha zilifungwa kwa viwambo vya kuzuia sauti ila alikuwa akiisikia vizuri kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa ni muuaji mkubwa mno pamoja na maneno ya kutafutwa Julius alikuwa akiyasikia vizuri akiwa ndani ya tenki la maji alimshukuru MUNGU alifanikiwa kutoka mahali pale japokuwa bado hakuwa na uhakika kabisa wa usalama wa maisha yake, wanaume wawili walikuwa wanaelekea sehemu lilipokuwa hilo tenki mmoja wao aligusa kwenye tenki hilo na kuona damu mbichi kabisa alimkonyeza mwenzake kumwambia kwamba mtu huyu atakuwa yupo ndani ya hayo maji. Pumzi ndicho kitu pekee kilichokuwa kinamfanya Julius aendelee kuwa hai humo ndani ya maji angekuwa goi goi sio mtu wa mazoezi makali angekuwa ameshikwa mapema sana. wale wanaume wawili walijibetua kwa sarakasi walikuwa wepesi kama karatasi wakawa wamesimama juu ya tenki hilo la maji wakiwa wanaangalia ndani ya maji hawakuona mtu walipiga risasi zaidi ya tano humo ndani, risasi mbili zilimpata Julius na kuuvunja mfupa wake wa goti la kulia, alipata maumivu makali ambayo yalimfanya ajutie sana kuweza kufanya kazi na hao watu leo kwa sababu tu ameshindwa kuifanya kazi kwa usahihi wanataka kumtoa roho yake, ni ujasiri pekee ulio mpatia msaada aliuma meno yake kwa maumivu makali bila kupiga kelele wala kufanya mjongeo wowote wa maji ambao alijua ungemletea maafa hao watu hapo nje walikuwa hawafai hata kwa bure aliwajua vizuri sana walikuwa wapo watano tu ila walikuwa wanaweza kutekeleza majukumu ya watu zaidi ya mia tano. Damu yake ilikuwa inapandisha juu ya maji taratibu na kutokana na giza la humo ndani ya tenki la maji lilifanya damu hiyo isiweze kuonekana kirahisi. Wale wanaume baada ya dakika mbili waliweza kutoka hapo walijua wazi kama kungekuwa na mtu asingeweza kuvumilia maumivu ya hizo risasi zao ambazo zilikuwa maalumu. Dakika kumi mbele ndio muda ambao Julius aliibuka kutoka kwenye hayo maji akiwa kwenye hali mbaya sana alidondokea chini na kuzimia hapo hapo akiwa amepoteza damu nyingi sana ni neema za MUNGU tu ndizo zilikuwa zinaweza kumponya vinginevyo alikuwa ana asilimia chache sana za kuendelea kuivuta pumzi ya hapa duniani.

“Ooooh my gosh tumechelewa” ni sauti ya kulalama kwa maumivu kutoka kwa kiongozi wa wale watu watatu ambao walitawanyika upande wao kwenda kumchukua Timotheo walifanikiwa kufika kwenye kile chumba, walichoka baada ya kuona dirisha limebomolewa walijua wazi mwanaume huyo ameshakimbia hilo eneo.
“Nadhani tunaweza kumuwahi” mmoja wao alimjibu kiongozi wake
“Yule sio mtu wa kawaida namjua vizuri sana kuna mwaka nimewahi kukutana naye kwenye mafunzo ya siri sana ya ngazi za juu, hivyo kumpata kwa sasa haiwezekani inabidi tukaanze mahesabu upya” kiongozi wake alimjibu akionyesha wazi yeye alimjua vizuri sana huyo mtu kuliko mtu yeyote hapo kati yao. Walitoka na kukutana na wenzao wawili waliotikisa vichwa kuonyesha hata yule mmoja aliyepona hawakuweza kumpata hilo eneo, waliwaingiza wote ndani ya gari wakategesha bomu wakiwa wamefika mbali waliilipua gari hiyo wote waliowekwa humo ndani waliteketea kwa moto mkali ambao uliwashtua mpaka wenyeji wa hayo maeneo ila kazi yao ilikuwa imeisha walipotea hayo maeneo.

Nadhani rasmi hadithi ndo inaenda kuanza, kipi kinajiri ndani ya hiyo miaka miwili ijayo?...... kwa leo acha niweke nukta nahifadhi akiba ya maneno ya sehemu ijayo. 11 inafika mwisho sina la ziada tena.
Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Mwamba mwenyewe umetisha sana
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA KUMI NA MBILI

TULIPO ISHIA SEHEMU YA KUMI NA MOJA..........

“Yule sio mtu wa kawaida namjua vizuri sana kuna mwaka nimewahi kukutana naye kwenye mafunzo ya siri sana ya ngazi za juu, hivyo kumpata kwa sasa haiwezekani inabidi tukaanze mahesabu upya” kiongozi wake alimjibu akionyesha wazi yeye alimjua vizuri sana huyo mtu kuliko mtu yeyote hapo kati yao. Walitoka na kukutana na wenzao wawili waliotikisa vichwa kuonyesha hata yule mmoja aliyepona hawakuweza kumpata hilo eneo, waliwaingiza wote ndani ya gari wakategesha bomu wakiwa wamefika mbali waliilipua gari hiyo wote waliowekwa humo ndani waliteketea kwa moto mkali ambao uliwashtua mpaka wenyeji wa hayo maeneo ila kazi yao ilikuwa imeisha walipotea hayo maeneo.

ENDELEA.......................


Hali ya nchi ya Tanzania ilikuwa imetulia ila wananchi wa maeneo ya Buguruni hawakuwa na imani kabisa na mlipuko uliokuwa umeweza kutokea maeneo hayo wakiogopa kwamba huenda walikuwa wamevamiwa kwenye eneo lao na magaidi, vyombo vya sheria vilijaribu sana kuwatuliza kwa kuwaahidi kwamba hilo jambo haliwezi kutokea tena kwani ni ajali ya kawaida tu hakukuwa na uvamizi wowote ule huku wakiahidi kudumisha usalama wa raia na mali zao kama ilivyo kawaida kwa siku zote ndani ya nchi ya amani. Hayo ndiyo mara nyingi huwa ni maneno ya kuvutia kutoka kwenye vyombo vya sheria pale linapotokea tatizo na wanahitaji kuwatuliza wananchi basi huwa inatafutwa namna bora sana ya kuwafanya wananchi watulie ilihali kwa asilimia nyingi sana taarifa za hivyo huwa hazina ukweli sana ndani yake na unaweza ukasubiri hata miaka na miaka na usione mabadiliko yoyote yale yanafanyika kwenye nchi yako.

“Hii nchi ni tulivu sana mbele za macho ya watu lakini ukifuatilia kwa undani sana unakuja kugundua kwamba kuna mambo mengi sana ambayo yanafanyika chini chini na yanazikwa juu juu kabisa kwa maslahi ya watu fulani, yaani mimi sio mjinga ambaye nilikuwa jirahi kabisa na eneo ambalo mlipuko ulitokea halafu leo unakuja kuniambia ilikuwa ni bahati mbaya ya kawaida tu wakati lilikuwa ni bomu lile hapana hapana mimi nakataa kabisa hicho kitu huo ni uongo” kijana mmoja alikuwa akiongea kwa sauti kubwa wakiwa kilingeni na wenzake maeneo ya Chalinze baada ya kuweza kuisikia habari hiyo, alikuwa ni mkazi wa maeneo ya Buguruni lakini tangu litokee hilo tatizo hakuhitaji tena kukaa huko alihama asubuhi tu ya siku hiyo ya tukio.

“Mwanangu una miaka mingapi?” lilikuwa ni swali kutoka kwa babu mmoja mwenye busara zake ambaye alikuwa anapita hapo akawasikia hao vijana wakisimuliana hizo habari sehemu hiyo

“27 babu”

“Una mke?”

“Ndiyo na mtoto mmoja”

“Izingatie sana hii sentensi kwenye maisha yako, siasa ni aina ya mchezo hatari zaidi kwenye historia ya maisha ya mwanadamu, ni kama unavyo waona wachezaji wa mpira wakiwa timu moja na wapo kambini wanalala chumba kimoja ila kila mtu anawaza kuwa namba moja kati yao hao hao unadhani nini kinafanyika? hapo ndipo ubaya unapo anzia kwa wanadamu pale anapokuwa na tamaa kubwa sana ya mafanikio halafu anaona kuna mtu ni kizuizi kwake. Muda umeenda sana kijana wangu tukipata wasaa ipo siku nitawatembelea tena tuzungumze kiundani ila kaa mbali na haya mambo ya siasa nenda kwako kamlee vizuri mkeo na mtoto wako” yalikuwa maneno ya busara kutoka kwa huyo mzee ambayo yaliwaacha wote kwenye mshangao mkubwa, mzee huyu aliiwasha sigara yake na kuondoka zake, hakuna aliyekuwa na hamu ya kukaa tena hapo wote walitawanyika.

Ndani ya gereza maarufu zaidi nchini Tanzania, huko hakuna watu wa aina ya kawaida wengi wao akili za ubinadamu huwa zinawatoka kabisa pindi wanapokuwa sehemu kama hizo, ubabe ni kitu kinachokufanya uwe na maisha mazuri ndani ya gereza hilo lakini ukiwa mnyonge sana unakuwa mwanadamu mwenye maisha magumu mno unaweza ukajikuta umepoteza hata utu wako. Segerea ni gereza maarufu mno ndani ya nchi hii kama umepata bahati ya kukaa na baadhi ya watu ambao waliwahi kukaa huko hata wiki moja tu pekee wanaweza kuwa mashahidi wazuri sana juu ya gereza hilo, linapatikana maeneo ya Tabata Tanzania. Ndani ya hilo gereza leo kulikuwa na ugeni mkubwa wa gari zaidi ya tano ambazo zote zilikuwa na rangi nyeusi tu kasoro moja ndiyo iliyokuwa na rangi ya kijivu, ndani ya gari hiyo ya kijivu alishuka mwanaume mmoja mwembamba ila mwili wake ulionekana wazi alitokea kwenye maisha ambayo hakuhitaji kujitambulisha mara mbili kwamba yeye ni mtu mwenye pesa za kutosha, alikuwa amevaa kofia kubwa kwenye kichwa chake pamoja na miwani kisha kitambaa kisafi cha kijivu kilimfanya kutoonekana kabisa sura yake. Alishuka mwenyewe ndani ya hilo gari kisha akaongoza ulipokuwa mlango mkuu wa kuingilia sehemu waliyokuwepo wafungwa, walinzi wa getini walikuwa na taarifa juu ya ujio wa huyo mtu hivyo walimfungulia mlango ili aweze kupita huku wakimpa heshima za kutosha kuonyesha walimjua vizuri kama sio kusikia sifa zake.

Dakika kumi nyuma kabla ya mtu huyo kufika hapo ndani kulikuwa na makelele sana ndani ya hilo gereza wafungwa wakiwa wanashangilia kwa nguvu na furaha sana, kwao kupigana ndiyo ilikuwa furaha kubwa mno kwa sababu humo ndani usingeweza kumuona mwanamke wala kwenda club kwamba utafurahia maisha hivyo mapigano ndicho kitu pekee kilicho wafanya wengi kusahau shida za humo ndani na kufurahia uwepo wao humo maana wengine hawakuwahi kuwa na matumaini ya kuja kuivuta pumzi ya nje ya gereza hilo maisha yao yote.

“Muue huyo muueee wooooooiiiiiii, hana lolote mjinga auawe huyo” ni sauti za wafungwa waliokuwa wamesimama pembeni ya uzio wa sehemu ya uwanja wa mapigano ndani ya hiyo jela. Kati kati ya huo ulingo walikuwa wamesimama wanaume wawili ambao walikuwa wanatambiana kwa muda mrefu sana ni miaka sasa ilikuwa imepita hawakuwahi kukutana waliishia kupigana ndani ya selo zao na kuachanishwa. Alexander ndilo jina la mmoja wa hawa wanaume waliokuwa wamesimama katikati ya ulingo, mwanaume huyu alikuwa na miaka minne sasa tangu awepo kwenye hili gereza aliletwa kwa kesi ambayo bado mpaka leo walidai ipo mahakamani inafuatiliwa na hakukuwa na taarifa yoyote tangu aletwe humu ndani. Wakati anafika kwenye hili gereza ndipo alipomkuta huyu mwenzake ndiye aliyekuwa mbabe wa gereza, hakuna mfungwa ambaye alikuwa ana uwezo wa kusema chochote kile mbele yake wakati Alexander anaingia humu ndani hakuwa tayari kuwa chini ya binadamu yoyote yule na hakuwahi kuwa na imani kwamba ndani ya hilo gereza kunaweza kukawa na mwanaume wa kuweza kusimama na kutoa sauti ya mamlaka mbele yake na ndipo ugomvi kati ya hawa viumbe wawili kati ya Alexander na mwenzake ambaye aliletwa kwa kosa la ubakaji na mauaji ya watu watatu ulipo anzia.

Kutokana na kuwatesa sana wafungwa humo ndani wengi walikuja kuwa upande wa Alexander wakimuomba awapigie huyo jamaa ili aache kuwatesa ila nadhani walikuwa wanafanya makosa makubwa sana kwenye maisha yao kwa sababu huyo mwanaume waliyekuwa wanamuombea hawakuweza kabisa kumjua asili yake wala kuujua undani wake yupoje kwa sababu alikuwa sio mtu wa kuchangamana na watu kabisa muda mwingi alikuwa anakaa ndani ya selo yake tu iliyokuwa chumba cha mwisho kabisa kuelekea chini ya ardhi na huko walikuwa wanakaa wafungwa maalumu mtu wa kawaida asingeruhusiwa kwenda huko.

Mkono kati ya wanaume hawa ulianza rasmi kukiwa hakuna maneno hata kidogo, Alexander hakuonekana kuwa mtu mwenye huruma kabisa kwenye maisha yake, licha ya mwenzake kuonyesha utaalamu mkubwa kwenye mapigano ila mbele ya huyu binadamu alikuwa kama mtoto mdogo, yule mwanaume alikunjuka moja ya teke lililompata Alaxander shingoni alisogea nyuma kidogo kusikilizia hilo teke ngumi kali ilipita tumboni kwake, teke lingine lilikuwa linakuja kwa nguvu kutoka kwa huyo jamaa ambaye aliona hiyo ndiyo nafasi ya kummaliza huyu mwanaume ambaye hakueleweka aliletwa kwa sababu ipi hapo gerezani mguu ulidakwa kwa mkono mmoja tu, huo mkono ulikuwa umekomaa mno mguu ulibinywa kwa nguvu na huo mkono mpaka mfupa mmoja ulivunjika, ngumi nzito iliyo shindiliwa vyema ilifuatia kwenye kifundo cha mguu huo, wakati huyo jamaa anataka kudondoka akiwa anapiga makelele kwa maana mguu ulikuwa hauna uwezo wa kufanya kazi tena, mguu mmoja uliokuwa umebaki chini ulichotwa mtama wa nguvu kisha alishindiliwa na teke moja lenye ujazo wa tani kadhaa unaweza ukasema ni mchezaji yupo kupiga penati mechi ya fainali bahati mbaya sana lilifanywa kwenye mwili wa binadamu.

Licha ya kupigwa na hilo teke ndani ya muda mfupi tu hakuweza kupewa nafasi ya kupumua vizuri alifuatwa pale alipodondokea Alexander hakuongea chochote zaidi ya kuushika mkono wa kulia wa huyo jamaa, ni ngumu kuamini ila ndicho kilicho tokea ndani ya jela hakuna mtu anaruhusiwa kumiliki silaha yoyote wala kitu chenye ncha kali ambacho kinaweza kuleta madhara kwa mwenzake lakini ilikuwa tofauti kwa Alexander kwenye kola ya shati yake ya jela kilikuwa kimeviringishwa kisu kikali mno, kilitolewa mithili ya mtu aliyepo vitani kilizamishwa kwenye bega la huyo jamaa kwa nguvu kubwa mwanaume akawa anakizungusha kwa nguvu kama vile anachora duara, mwenzake alipiga kelele kwa sauti ambazo zilifika mbali sana ilibidi kengele ya tahadhali humo ndani ipigwe ili kujua kama huenda kuna tatizo limetokea humo ndani waweze kulishughulikia. Sekunde ya ishirini kisu kilikamilisha duara alilokuwa anachora kwenye hilo bega wakati huo maaskari walikuwa wanakimbia kuja kumtoa hilo eneo kwani alichokuwa anakifanya hayakuwa mapigano tena yalikuwa ni mauaji ya kutisha. Askari wakati wanafika hiyo sehemu mwanaume alikuwa ameunyofoa mkono huo kutoka kwa huyo jamaa yake ambaye alikuwa anapigana naye, jamaa huyo alizimia kwa maumivu aliyokuwa akiyasikia. Wafungwa walinyamaza kwa huu unyama uliokuwa umefanyika hakuna ambaye alikuwa na ujasiri wa kuendelea kushangilia tena kila mtu alirudi kwenye selo yake kwenda kutulia waliogopa mno hicho kitendo.

“Mpuuzi wewe unadhani ni nyumbani kwa baba yako hapa, paaaaaaa” ni askari mmoja aliyekuwa mgeni ndani ya hilo gereza alitukana na kumtandika na kirungu cha mbao kwenye paji lake la uso ambapo damu ilianza kutoka na kirungu hicho kilipasuka, alichukia sana Alexander ngumi yake nzito ilipelekwa kwenye tumbo la huyo askari alipiga sana makelele ya maumivu alipigwa teke baya sana maeneo ya kwenye goti ambalo lilipelekea mguu wake kuvunjika kwa sauti, alilia mno mwanaume aliidaka shingo ya askari huyo na kuhitaji kuizungusha kumaliza kazi lakini mbele yake alimuona mkuu wa gereza, baada ya kumuona mzee huyo wa makamo ndipo alipoweza kutulia, alipewa ishara ya kuonyesha kwamba amfute mzee huyo hiyo ndiyo ikawa pona pona ya askari magereza huyo ambaye mpaka muda huo alikuwa amesababishiwa ukilema alihitajika kwenda hospitali ili ifanyike namna kama anaweza kuusaidia mguu wake akatembea tena.

“Sitapenda tena uweze kufanya kitu cha kipuuzi kama hiki sitakuvumilia, wahi kwenye selo yako kuna mtu anahitaji kuonana nawewe” ilikuwa sauti ya mkuu wa gereza baada ya kumtoa Alaxander kwenye ulingo wa mapigano aliambiwa kuna mtu alihitaji kumuona ndani ya selo yake mpaka wakati huo alikuwa hajafungua mdomo wake.

“Maisha ya hapa unayaonaje? ni muda kidogo sijaweza kufika ndani ya hili gereza” ni sauti ambayo aliijua sana kwenye masikio yake ilitoka kwa mtu aliyekuwa amegeukia upande wa ukuta wa selo hiyo akionekana alikuwa ndani ya mahesabu mazito sana, aliinamisha kichwa kwa heshima baada kumuona mtu huyo ambaye walikuwa na mambo mengi sana ya pamoja waliyowahi kuyafanya na alionekana kumheshimu kupita kawaida ndiyo sababu akainamisha kichwa chake mbele ya huyo mwanaume.

Sina imani sana na hawa watu lakini naweza kusema tukutane tena wakati ujao binafsi naweka nukta sehemu ya 12.

Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA KUMI NA TATU

TULIPO ISHIA SEHEMU YA KUMI NA MBILI..........

Maisha ya hapa unayaonaje? ni muda kidogo sijaweza kufika ndani ya hili gereza” ni sauti ambayo aliijua sana kwenye masikio yake ilitoka kwa mtu aliyekuwa amegeukia upande wa ukuta wa selo hiyo akionekana alikuwa ndani ya mahesabu mazito sana, aliinamisha kichwa kwa heshima baada kumuona mtu huyo ambaye walikuwa na mambo mengi sana ya pamoja waliyowahi kuyafanya na alionekana kumheshimu kupita kawaida ndiyo sababu akainamisha kichwa chake mbele ya huyo mwanaume.

ENDELEA.........................


“Miaka niliyo iishi humu ndani kwangu sio tatizo sana ila kuna kitu kimoja huwa kinaniumiza kichwa sana ninahitaji mno nianze nacho siku tu nikitoka humu ndani. Ni siku ambayo siwezi kuisahau kamwe kwenye maisha yangu, maeneo ya Buguruni siwezi kuyasahau kabisa kuna mtoto mmoja huwa ananifanya mpaka leo silali usingizi kwa amani natamani sana nikutane naye, ni mdogo sana kwa umri na mwili wake ila ni miongoni mwa viumbe hatari sana, alibahatisha kunipiga ngumi moja mwilini uwezo na nguvu iliyotumika kuirusha ile ngumi ilikuwa ni kali mno ni binadamu wachache sana wenye uwezo wa kufanya kila kitu, nilitaka kumuua lakini aliniwahi akanipiga risasi moja nikaamua kuondoka haraka sana ili nisiweze kujulikana kwani haikutakiwa anijue kabisa kwa sababu nilijua mwenzangu mtamalizana naye.
Swali langu nalohitaji kulijua ni nani yule bwana mdogo na aliwezaje kuifikisha ngumi yake kwenye mwili wangu?, ni binadamu wa kuhesabika sana wenye huo uwezo wa kuingiza ngumi zao ndani ya mwili wangu mpaka nikahisi kabisa maumivu hilo limenifanya nione nina maisha marefu sana ya kuishi humu ndani” sauti nzito ya Alexander ndiyo iliyo tupa mwangaza kwamba kumbe miongoni mwa wale wanaume wawili walio iangamiza familia ya mr Jonson Malisaba yeye alikuwa miongoni mwao na ndiye ambaye Ashrafu Hamad alibahatika kupanga naye mkono maeneo ya Buguruni akaishia kumpiga risasi ya bega mtu huyo iliyokuwa imelengwa maeneo ya kichwani hata hivi ilimshangaza spidi kali mno ambayo huyo mwanaume aliitumia kuikwepa hiyo risasi isimpate maeneo ya kichwani pamoja na kupotea kwa spidi za ajabu kama mzimu ilimtisha sana kijana huyo.

“Mhhhhhhhhhh kuhusu huyo mtoto asikuumize kichwa siku ukitoka nitakuelekeza sehemu ya kwenda kumpata japo sio rahisi sana namna hiyo, huyo ni mtoto wa mtu mkubwa sana ndani ya nchi hii hivyo hautakiwi kukurupuka unacho kifanya unaweza ukapoteza maisha yako kabla hata hujaigusa hata soksi ya kwenye kiatu chake, yeye mwenyewe ni mtu hatari sana japokuwa mpaka leo haijulikani huo uhatari kaujulia wapi kwani hakuna rekodi yoyote ile inayo onyesha kwamba kuna sehemu amepata mafunzo yoyote kwa sababu taarifa zake zenyewe zipo chache sana. Lengo la kukufuata hapa leo kwanza unatakiwa uache hizo sifa mbaya ambazo umeshazitengeneza hapa ndani nimetoa amri usitolewe ndani ya selo yako mpaka siku unakuja kutolewa hapa kila kitu utakuwa unaletewa humu, hizo kazi za kuua watu humu zitakufanya utambulike kirahisi sana itanipa kazi nzito kuanza kukulinda, una muda mchache wa kukaa humu ndani kuna majukumu mazito sana ambayo naenda kukupatia sio muda, huko nje hali sio nzuri sana kuna baadhi ya mambo yameanza kuharibika na yakiachwa yanaweza kuniletea madhara makubwa sana hivyo nahitaji niyasafishe mapema kabla hatujafika mbali juu ya hili” Mwanaume huyo mwembamba aligeuka na kukivua kitambaa chake kilichokuwa kimeiziba sura yake vizuri sana na kumfanya asionekane. Nicolous Philemone ndilo lilikuwa jina lake huyu mtu, hakuwa mgeni sana machoni mwa wananchi wa Tanzania kwa sababu ndiye aliyekuwa mwanasheria mkuu wa nchi ya Tanzania, ni mtu makini sana na huwa anafanya kazi zake kwa weledi mkubwa mno. Ni mshangao mkubwa sana kama kuna watu wangefanikiwa kumuona kivipi mwanasheria mkuu wa nchi ahusike kwenye mauaji ya mtu asiye kuwa na hatia wakati yeye ndiye anaye paswa kuilinda sheria kwa gharama na kwa namna yoyote ile. Hili jambo hata Alexander alishtuka na kuogopa kwa wakati mmoja, alikuwa anajua kama huyo mtu ni kiongozi wake ila hata siku moja hakuwahi kumuona sura kitambaa kisafi kila wakati kilikuwa kipo kwenye uso wa huyo binadamu kilimfanya awe salama sana kila sehemu anayokuwepo, alitabasamu mara moja tu kisha sura yake ilirudi kwenye hali yake ya kwaida, ni miongoni mwa wanadamu ambao walikuwa na nafasi ndogo sana ya kuonyesha tabasamu au furaha kwenye nyuso zao muda mwingi uso wake ulikuwa upo siriasi sana na anacho kifanya kuliko uhalisia aliokuwa nao ndani ya moyo wake.

“Kiongozi ina maana ni wewe ndiyo upo nyuma ya haya kwa miaka yote hii?” Alexander aliuliza kichwani akiwa na maswali mengi sana hakuweza kuamini kama kweli inawezekana mtu mkubwa sana wa sheria namna hiyo alikuwa amesimamia upande wa uvunjwaji sheria tena yeye akionekana kuwa kinara wa kuivunja hiyo sheria na hakuwahi kulijua hilo.

“Kwenye maisha yako unatakiwa uiheshimu sana siri, hili ni neno dogo sana maana yake ni kubwa mno na wengi huwa linawashinda kwenye upande wa kulitumia, kuna baadhi ya watu wenye akili waliwahi kusema muogope na muheshimu sana mtu usiye mjua, hii ni sentensi ambayo inazungumzia uhalisia na ukweli wa maisha ya mwanadamu ya kila siku. Nilipokuwa na miaka kumi na nane iliniuma sana baada ya kugundua kwamba baba niliyekuwa naishi naye na alinipenda kwa kila kitu kwenye maisha yake hakuwa baba yangu mzazi, ni maumivu makali sana ambayo aliyapitia yule mwanaume lakini aliamua kuwa na kifua kipana sana na kuliheshimu neno siri kwani mkewe ambaye ndiye mama yangu mzazi alikuwa akichepuka na mwanaume mwingine akihisi yule baba hajui ila ilikuwa ni tofauti na matarajio yake alikuwa anajua kila kitu sema aliamua kumezea moyoni akakubali maumivu yamtafune ndani kwa ndani ila ndoa ilindwe isije ikaharibika kwa siku moja tu wakati imejengwa kwa miaka mingi sana. Nilijifunza vingi sana kwa yule mzee kuhusu neno siri, hili linaweza kukuweka mahali salama zaidi duniani au kukuweka sehemu ya hatari zaidi duniani, siku zote watu wenye uwezo wa kubeba siri nzito na kukubali kuzibeba mpaka kaburini hao ndio watu hatari zaidi kwenye maisha ya mwanadamu hivyo liogope sana hilo neno na kuwaogopa sana wanadamu usio wajua kiundani wapo vipi. Siku nyingine utakapo toka kuna baadhi ya vitu utavijua kwa leo nilikuja kukupa taarifa iandae akili yako kwa usahihi kuna majukumu unaenda kuyabeba” mwanasheria huyu mkuu wa nchi ya Tanzania baada ya kumaliza maelezo yake hakuhitaji maswali sana alikivaa kitambaa chake na kuanza kuondoka humo ndani taratibu. Alexander alibaki mdomo wazi akiwa haamini kitu kilichokuwa kinatokea, ilikuwa ni hatari sana mtu kama huyu ambaye ndiye kiongozi mkuu wa sheria zote zinazotumika ndani ya nchi kuwa kama hivi kwa sababu kalamu yake moja tu ilikuwa inaweza kubadilisha uhalisia wa kila kitu ndani ya nchi kwa dakika moja tu na kila mtu akaiamini sentensi yake, mwanaume alifikiria kwa muda aliishia kusikitika sana nchi ilikuwa imefikia hatua mbaya ambayo ilimpa ishara ya kuacha kabisa kumwamini mwanadamu yeyote yule ambaye naye siku moja anaweza kufa na kuwaacha wengine wakiendelea kuyafanya yale aliyokuwa ameyaacha.


Mungu aliuumba ulimwengu kisha akaumba viumbe hai ambavyo vyote vilipewa usimamizi wa mwanadamu avitawale kwa namna yoyote ile, kwenye kuhakikisha mwanadamu anaishi maisha mazuri na kwa utulivu akamuumbia muda halafu akamuumbia mwanamke ambaye atamfanya mwanaume kuijua thamani ya muda na uwepo wa wanawake ndio umewafanya wanaume wengi sana waweze kumsifia sana MUNGU kwa uumbaji wake mzuri kwa warembo wa kuvutia wakimuita fundi, muda ndicho kitu ambacho ni mhimu zaidi kwenye maisha ya mwanadamu na ndipo ambapo huwa unakuja utofauti wa maisha kati ya watu wenye ukwasi (matajiri) na wale walala hoi wenzangu, muda ndio huwa unaamua nani awe bora, nani anastahili na nani hastahili kabisa. Kwenye vitabu vya RICHDAD POORDAD pamoja na THE CASHFLOW QUADRANT vilivyo andikwa na miongoni mwa waandishi bora sana wa elimu ya fedha kuwahi kuishi ulimwenguni apataye kuitwa ROBERT KIYOSAKI, kuna kitu kikubwa sana amekiandika kwenye miongoni mwa vitu vinne vya mhimu ambavyo nilijifunza ndani ya hivyo vitabu, kitu hicho kinaitwa management of time (usimamizi wa wakati) hapo ameelezea kwamba time is the most scarcest resource in the world (muda ndio rasilimali chache/haba zaidi duniani), lengo lake kubwa alikuwa anataka kuupa elimu ulimwengu kwamba sio tu pesa ndio yenye uchache/uhaba duniani japo hilo ni kweli pesa haitoshelezi kiuchumi ipo hiivyo ila unaweza ukaitafuta na kuipata tena kama ukiipoteza tofauti na muda ambao ukipotea huwa haurudi tena kwenye maisha ya mwanadamu yeyote yule mpaka anakufa.

Wilaya ya Miramar ndani ya misitu ya Havana kwa jina lingine maarufu kama Armendares park ndani ya kambi ya kikomando ambayo alikuwa kijana Jamal, muda haukuwa rafiki sana na muda ulikuwa umesogea sana dakika zilikatika, wiki zilisonga, miezi ilikuwa imeisha kwa kasi sana, miaka ilikuwa imeenda kwa kasi mno, muda ulikuwa daktari mzuri kwa sababu mshale haukusimama kila sekunde inavyo zidi kugonga kwenye kimshale chake cha kwenye saa. Miaka miwili ilienda kwa kasi mno muda haukuwa rafiki sana kwake, hakuwa na dakika za nyongeza kuendelea kukaa kwenye nchi ya komando mkubwa zaidi kuwahi kuishi kwenye dunia ya wanadamu Fidel Castro, alihitajika arudi ndani ya nchi ya mama yake Tanzania ndilo jina lililokuwa linakatiza ndani ya kichwa chake, alitamani sana kuweza kujijua yeye ni nani hasa kama alivyokuwa ameahidiwa na baba yake mzazi ambaye yeye alimjua hivyo.

“Jamal ina maana hautaweza kurudi tena ndani ya nchi hii?” Catherine Yudel jasusi kutoka ndani ya CUBAN INTELLIGENCE DEPARTMENT(CID) ndiye aliyekuwa akiongea akiwa ameegemea kwenye bega la kijana Jamal ambaye alikuwa anahesabu masaa ya kuiacha ardhi ya nchi hiyo wakiwa wamekaa kwenye gogo moja kubwa sana wakiwa wanayatazama mawimbi ya maji yakiwa yanafanya mijongeo ya taratibu sana.

“Ninapo yatazama yale mawimbi inanifanya niyafurahie maisha ya hii sehemu ambayo nimeiishi nawewe kwa muda wa miaka miwili japokuwa penzi letu lilikuwa la siri sana ila naweza kukiri kwamba wewe ni mwanamke niliyekupenda kutoka ndani ya mishipa ya moyo wangu, sikuwahi kuyajua mapenzi tumefundishana imenifanya niifurahie sana dunia kwa sababu nimeishi maisha ambayo yalinifanya kuwa mwanadamu wa kununa kila siku angalau huku kila ninapokuona huwa ninapata hata wasaa wa kutabasamu hiyo inanifanya namimi nijione kama mwanadamu niliye kamilika sana.

Siwezi kukuahidi moja kwa moja kwamba nitarudi tena kwani sijui huko ninako enda naenda kutumia muda gani na nimeambiwa nina kazi nzito sana ambayo ipo mbele yangu hivyo nadhani hata kuletwa huku kuna maana kubwa, sina imani na urefu wa maisha yangu ndivyo nafsi yangu inaniambia hivyo moyo wangu hauwezi kudanganya mbele ya hili anga huru kwamba unakupenda sana, ukiweza kama una matumaini makubwa sana namimi unaweza ukanisubiri ila kama imani yako itakuruhusu kumpenda mtu mwingine basi nitakuwa moja ya wanadamu ambao nitakuombea furaha njema sana kwenye maisha yak……..” Jamali alikuwa anaongea kitu ambacho kilikuwa kinamuuma sana Catherine

“Hapana usiseme hivyo hata kama kungekuwa na maisha mengine ya kusubiri zaidi ya miaka mia moja basi ningekusubiri wewe tu hakuna mwanaume mwingine kwenye maisha yangu atakayekuja kuugusa mwili wangu zaidi ya wewe tu ambaye ulikuwa wakwanza nakupenda sana. Jamal kama ikichukua muda haujarudi nijakuja mwenyewe nipo tayari kuacha hata kazi yangu, usije ukalisahau jina la Catherine kwenye kichwa chako huko unakoenda kuyaanza maisha mapya” maneno matamu sana ya majonzi yalikuwa yakimtoka Catherine alikuwa anaumia sana kutengana na mwanaume aliyekiri kuwa wa maisha yake. Mwanaume alimkumbatia kwa mahaba na kumpiga busu zito sana la hisia wakati huo kuna gari ilikuwa inamsubiri aliondoka huku akikimbia mkono ulikuwa juu akimpungia Catherine mkono wa kwaheri.

Mara ya mwisho kupewa maneno matamu kama aliyo yapata Jamal ilikuwa ni lini?...... 13 naweka nukta.

Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA KUMI NA TATU

TULIPO ISHIA SEHEMU YA KUMI NA MBILI..........

Maisha ya hapa unayaonaje? ni muda kidogo sijaweza kufika ndani ya hili gereza” ni sauti ambayo aliijua sana kwenye masikio yake ilitoka kwa mtu aliyekuwa amegeukia upande wa ukuta wa selo hiyo akionekana alikuwa ndani ya mahesabu mazito sana, aliinamisha kichwa kwa heshima baada kumuona mtu huyo ambaye walikuwa na mambo mengi sana ya pamoja waliyowahi kuyafanya na alionekana kumheshimu kupita kawaida ndiyo sababu akainamisha kichwa chake mbele ya huyo mwanaume.

ENDELEA.........................


“Miaka niliyo iishi humu ndani kwangu sio tatizo sana ila kuna kitu kimoja huwa kinaniumiza kichwa sana ninahitaji mno nianze nacho siku tu nikitoka humu ndani. Ni siku ambayo siwezi kuisahau kamwe kwenye maisha yangu, maeneo ya Buguruni siwezi kuyasahau kabisa kuna mtoto mmoja huwa ananifanya mpaka leo silali usingizi kwa amani natamani sana nikutane naye, ni mdogo sana kwa umri na mwili wake ila ni miongoni mwa viumbe hatari sana, alibahatisha kunipiga ngumi moja mwilini uwezo na nguvu iliyotumika kuirusha ile ngumi ilikuwa ni kali mno ni binadamu wachache sana wenye uwezo wa kufanya kila kitu, nilitaka kumuua lakini aliniwahi akanipiga risasi moja nikaamua kuondoka haraka sana ili nisiweze kujulikana kwani haikutakiwa anijue kabisa kwa sababu nilijua mwenzangu mtamalizana naye.
Swali langu nalohitaji kulijua ni nani yule bwana mdogo na aliwezaje kuifikisha ngumi yake kwenye mwili wangu?, ni binadamu wa kuhesabika sana wenye huo uwezo wa kuingiza ngumi zao ndani ya mwili wangu mpaka nikahisi kabisa maumivu hilo limenifanya nione nina maisha marefu sana ya kuishi humu ndani” sauti nzito ya Alexander ndiyo iliyo tupa mwangaza kwamba kumbe miongoni mwa wale wanaume wawili walio iangamiza familia ya mr Jonson Malisaba yeye alikuwa miongoni mwao na ndiye ambaye Ashrafu Hamad alibahatika kupanga naye mkono maeneo ya Buguruni akaishia kumpiga risasi ya bega mtu huyo iliyokuwa imelengwa maeneo ya kichwani hata hivi ilimshangaza spidi kali mno ambayo huyo mwanaume aliitumia kuikwepa hiyo risasi isimpate maeneo ya kichwani pamoja na kupotea kwa spidi za ajabu kama mzimu ilimtisha sana kijana huyo.

“Mhhhhhhhhhh kuhusu huyo mtoto asikuumize kichwa siku ukitoka nitakuelekeza sehemu ya kwenda kumpata japo sio rahisi sana namna hiyo, huyo ni mtoto wa mtu mkubwa sana ndani ya nchi hii hivyo hautakiwi kukurupuka unacho kifanya unaweza ukapoteza maisha yako kabla hata hujaigusa hata soksi ya kwenye kiatu chake, yeye mwenyewe ni mtu hatari sana japokuwa mpaka leo haijulikani huo uhatari kaujulia wapi kwani hakuna rekodi yoyote ile inayo onyesha kwamba kuna sehemu amepata mafunzo yoyote kwa sababu taarifa zake zenyewe zipo chache sana. Lengo la kukufuata hapa leo kwanza unatakiwa uache hizo sifa mbaya ambazo umeshazitengeneza hapa ndani nimetoa amri usitolewe ndani ya selo yako mpaka siku unakuja kutolewa hapa kila kitu utakuwa unaletewa humu, hizo kazi za kuua watu humu zitakufanya utambulike kirahisi sana itanipa kazi nzito kuanza kukulinda, una muda mchache wa kukaa humu ndani kuna majukumu mazito sana ambayo naenda kukupatia sio muda, huko nje hali sio nzuri sana kuna baadhi ya mambo yameanza kuharibika na yakiachwa yanaweza kuniletea madhara makubwa sana hivyo nahitaji niyasafishe mapema kabla hatujafika mbali juu ya hili” Mwanaume huyo mwembamba aligeuka na kukivua kitambaa chake kilichokuwa kimeiziba sura yake vizuri sana na kumfanya asionekane. Nicolous Philemone ndilo lilikuwa jina lake huyu mtu, hakuwa mgeni sana machoni mwa wananchi wa Tanzania kwa sababu ndiye aliyekuwa mwanasheria mkuu wa nchi ya Tanzania, ni mtu makini sana na huwa anafanya kazi zake kwa weledi mkubwa mno. Ni mshangao mkubwa sana kama kuna watu wangefanikiwa kumuona kivipi mwanasheria mkuu wa nchi ahusike kwenye mauaji ya mtu asiye kuwa na hatia wakati yeye ndiye anaye paswa kuilinda sheria kwa gharama na kwa namna yoyote ile. Hili jambo hata Alexander alishtuka na kuogopa kwa wakati mmoja, alikuwa anajua kama huyo mtu ni kiongozi wake ila hata siku moja hakuwahi kumuona sura kitambaa kisafi kila wakati kilikuwa kipo kwenye uso wa huyo binadamu kilimfanya awe salama sana kila sehemu anayokuwepo, alitabasamu mara moja tu kisha sura yake ilirudi kwenye hali yake ya kwaida, ni miongoni mwa wanadamu ambao walikuwa na nafasi ndogo sana ya kuonyesha tabasamu au furaha kwenye nyuso zao muda mwingi uso wake ulikuwa upo siriasi sana na anacho kifanya kuliko uhalisia aliokuwa nao ndani ya moyo wake.

“Kiongozi ina maana ni wewe ndiyo upo nyuma ya haya kwa miaka yote hii?” Alexander aliuliza kichwani akiwa na maswali mengi sana hakuweza kuamini kama kweli inawezekana mtu mkubwa sana wa sheria namna hiyo alikuwa amesimamia upande wa uvunjwaji sheria tena yeye akionekana kuwa kinara wa kuivunja hiyo sheria na hakuwahi kulijua hilo.

“Kwenye maisha yako unatakiwa uiheshimu sana siri, hili ni neno dogo sana maana yake ni kubwa mno na wengi huwa linawashinda kwenye upande wa kulitumia, kuna baadhi ya watu wenye akili waliwahi kusema muogope na muheshimu sana mtu usiye mjua, hii ni sentensi ambayo inazungumzia uhalisia na ukweli wa maisha ya mwanadamu ya kila siku. Nilipokuwa na miaka kumi na nane iliniuma sana baada ya kugundua kwamba baba niliyekuwa naishi naye na alinipenda kwa kila kitu kwenye maisha yake hakuwa baba yangu mzazi, ni maumivu makali sana ambayo aliyapitia yule mwanaume lakini aliamua kuwa na kifua kipana sana na kuliheshimu neno siri kwani mkewe ambaye ndiye mama yangu mzazi alikuwa akichepuka na mwanaume mwingine akihisi yule baba hajui ila ilikuwa ni tofauti na matarajio yake alikuwa anajua kila kitu sema aliamua kumezea moyoni akakubali maumivu yamtafune ndani kwa ndani ila ndoa ilindwe isije ikaharibika kwa siku moja tu wakati imejengwa kwa miaka mingi sana. Nilijifunza vingi sana kwa yule mzee kuhusu neno siri, hili linaweza kukuweka mahali salama zaidi duniani au kukuweka sehemu ya hatari zaidi duniani, siku zote watu wenye uwezo wa kubeba siri nzito na kukubali kuzibeba mpaka kaburini hao ndio watu hatari zaidi kwenye maisha ya mwanadamu hivyo liogope sana hilo neno na kuwaogopa sana wanadamu usio wajua kiundani wapo vipi. Siku nyingine utakapo toka kuna baadhi ya vitu utavijua kwa leo nilikuja kukupa taarifa iandae akili yako kwa usahihi kuna majukumu unaenda kuyabeba” mwanasheria huyu mkuu wa nchi ya Tanzania baada ya kumaliza maelezo yake hakuhitaji maswali sana alikivaa kitambaa chake na kuanza kuondoka humo ndani taratibu. Alexander alibaki mdomo wazi akiwa haamini kitu kilichokuwa kinatokea, ilikuwa ni hatari sana mtu kama huyu ambaye ndiye kiongozi mkuu wa sheria zote zinazotumika ndani ya nchi kuwa kama hivi kwa sababu kalamu yake moja tu ilikuwa inaweza kubadilisha uhalisia wa kila kitu ndani ya nchi kwa dakika moja tu na kila mtu akaiamini sentensi yake, mwanaume alifikiria kwa muda aliishia kusikitika sana nchi ilikuwa imefikia hatua mbaya ambayo ilimpa ishara ya kuacha kabisa kumwamini mwanadamu yeyote yule ambaye naye siku moja anaweza kufa na kuwaacha wengine wakiendelea kuyafanya yale aliyokuwa ameyaacha.


Mungu aliuumba ulimwengu kisha akaumba viumbe hai ambavyo vyote vilipewa usimamizi wa mwanadamu avitawale kwa namna yoyote ile, kwenye kuhakikisha mwanadamu anaishi maisha mazuri na kwa utulivu akamuumbia muda halafu akamuumbia mwanamke ambaye atamfanya mwanaume kuijua thamani ya muda na uwepo wa wanawake ndio umewafanya wanaume wengi sana waweze kumsifia sana MUNGU kwa uumbaji wake mzuri kwa warembo wa kuvutia wakimuita fundi, muda ndicho kitu ambacho ni mhimu zaidi kwenye maisha ya mwanadamu na ndipo ambapo huwa unakuja utofauti wa maisha kati ya watu wenye ukwasi (matajiri) na wale walala hoi wenzangu, muda ndio huwa unaamua nani awe bora, nani anastahili na nani hastahili kabisa. Kwenye vitabu vya RICHDAD POORDAD pamoja na THE CASHFLOW QUADRANT vilivyo andikwa na miongoni mwa waandishi bora sana wa elimu ya fedha kuwahi kuishi ulimwenguni apataye kuitwa ROBERT KIYOSAKI, kuna kitu kikubwa sana amekiandika kwenye miongoni mwa vitu vinne vya mhimu ambavyo nilijifunza ndani ya hivyo vitabu, kitu hicho kinaitwa management of time (usimamizi wa wakati) hapo ameelezea kwamba time is the most scarcest resource in the world (muda ndio rasilimali chache/haba zaidi duniani), lengo lake kubwa alikuwa anataka kuupa elimu ulimwengu kwamba sio tu pesa ndio yenye uchache/uhaba duniani japo hilo ni kweli pesa haitoshelezi kiuchumi ipo hiivyo ila unaweza ukaitafuta na kuipata tena kama ukiipoteza tofauti na muda ambao ukipotea huwa haurudi tena kwenye maisha ya mwanadamu yeyote yule mpaka anakufa.

Wilaya ya Miramar ndani ya misitu ya Havana kwa jina lingine maarufu kama Armendares park ndani ya kambi ya kikomando ambayo alikuwa kijana Jamal, muda haukuwa rafiki sana na muda ulikuwa umesogea sana dakika zilikatika, wiki zilisonga, miezi ilikuwa imeisha kwa kasi sana, miaka ilikuwa imeenda kwa kasi mno, muda ulikuwa daktari mzuri kwa sababu mshale haukusimama kila sekunde inavyo zidi kugonga kwenye kimshale chake cha kwenye saa. Miaka miwili ilienda kwa kasi mno muda haukuwa rafiki sana kwake, hakuwa na dakika za nyongeza kuendelea kukaa kwenye nchi ya komando mkubwa zaidi kuwahi kuishi kwenye dunia ya wanadamu Fidel Castro, alihitajika arudi ndani ya nchi ya mama yake Tanzania ndilo jina lililokuwa linakatiza ndani ya kichwa chake, alitamani sana kuweza kujijua yeye ni nani hasa kama alivyokuwa ameahidiwa na baba yake mzazi ambaye yeye alimjua hivyo.

“Jamal ina maana hautaweza kurudi tena ndani ya nchi hii?” Catherine Yudel jasusi kutoka ndani ya CUBAN INTELLIGENCE DEPARTMENT(CID) ndiye aliyekuwa akiongea akiwa ameegemea kwenye bega la kijana Jamal ambaye alikuwa anahesabu masaa ya kuiacha ardhi ya nchi hiyo wakiwa wamekaa kwenye gogo moja kubwa sana wakiwa wanayatazama mawimbi ya maji yakiwa yanafanya mijongeo ya taratibu sana.

“Ninapo yatazama yale mawimbi inanifanya niyafurahie maisha ya hii sehemu ambayo nimeiishi nawewe kwa muda wa miaka miwili japokuwa penzi letu lilikuwa la siri sana ila naweza kukiri kwamba wewe ni mwanamke niliyekupenda kutoka ndani ya mishipa ya moyo wangu, sikuwahi kuyajua mapenzi tumefundishana imenifanya niifurahie sana dunia kwa sababu nimeishi maisha ambayo yalinifanya kuwa mwanadamu wa kununa kila siku angalau huku kila ninapokuona huwa ninapata hata wasaa wa kutabasamu hiyo inanifanya namimi nijione kama mwanadamu niliye kamilika sana.

Siwezi kukuahidi moja kwa moja kwamba nitarudi tena kwani sijui huko ninako enda naenda kutumia muda gani na nimeambiwa nina kazi nzito sana ambayo ipo mbele yangu hivyo nadhani hata kuletwa huku kuna maana kubwa, sina imani na urefu wa maisha yangu ndivyo nafsi yangu inaniambia hivyo moyo wangu hauwezi kudanganya mbele ya hili anga huru kwamba unakupenda sana, ukiweza kama una matumaini makubwa sana namimi unaweza ukanisubiri ila kama imani yako itakuruhusu kumpenda mtu mwingine basi nitakuwa moja ya wanadamu ambao nitakuombea furaha njema sana kwenye maisha yak……..” Jamali alikuwa anaongea kitu ambacho kilikuwa kinamuuma sana Catherine

“Hapana usiseme hivyo hata kama kungekuwa na maisha mengine ya kusubiri zaidi ya miaka mia moja basi ningekusubiri wewe tu hakuna mwanaume mwingine kwenye maisha yangu atakayekuja kuugusa mwili wangu zaidi ya wewe tu ambaye ulikuwa wakwanza nakupenda sana. Jamal kama ikichukua muda haujarudi nijakuja mwenyewe nipo tayari kuacha hata kazi yangu, usije ukalisahau jina la Catherine kwenye kichwa chako huko unakoenda kuyaanza maisha mapya” maneno matamu sana ya majonzi yalikuwa yakimtoka Catherine alikuwa anaumia sana kutengana na mwanaume aliyekiri kuwa wa maisha yake. Mwanaume alimkumbatia kwa mahaba na kumpiga busu zito sana la hisia wakati huo kuna gari ilikuwa inamsubiri aliondoka huku akikimbia mkono ulikuwa juu akimpungia Catherine mkono wa kwaheri.

Mara ya mwisho kupewa maneno matamu kama aliyo yapata Jamal ilikuwa ni lini?...... 13 naweka nukta.

Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672
SEHEMU YA KUMI NA NNE

TULIPO ISHIA SEHEMU YA KUMI NA TATU..........

maneno matamu sana ya majonzi yalikuwa yakimtoka Catherine alikuwa anaumia sana kutengana na mwanaume aliyekiri kuwa wa maisha yake. Mwanaume alimkumbatia kwa mahaba na kumpiga busu zito sana la hisia wakati huo kuna gari ilikuwa inamsubiri aliondoka huku akikimbia mkono ulikuwa juu akimpungia Catherine mkono wa kwaheri.

ENDELEA...................

"Aise ndugu yangu wanadamu wasiri sana huyu mzee tumeishi naye Kwa muda wote hapa akituzuga kumbe mwenzetu yupo kwenye dunia yake kabisa hivi umeona msafara ambao umekuja kumchukua hapa saivi?"
"Mhhhh maisha yamepiga hatua sana siku hizi wanadamu hatuaminiki tena tunabadilika mno, yule mzee mimi nilikuwa nina wasi wasi nae sana haiwezekani mshona viatu asiye na sehemu ya kulala aweze kunawiri namna ile nilikuwa namshangaa sana lakini hakuwahi kuonyesha dalili yoyote ile kuwa mtu mwenye vyake hii inaniogopesha sana kuwaamini wanadamu usije ukashangaa hata wewe kesho hapo naambiwa ni usalama wa taifa sitashangaa tena wanadamu siku hizi tunatisha sana"

"Usipende kujitoa kwenye listi kama vile wewe sio mwanadamu mwenzetu, nina imani atakuwa mpelelezi yule mzee sio bure hapa mtaani kaacha gumzo kubwa sana sikuwahi kutegemea kabisa leo hii mbona nimekoma mimi ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa ngoja nikalale sina hata hamu ya kutembea wala kuzunguka tena hapa mtaani naogopa" walikuwa ni vijana wawili maeneo ya Mburahati waliokuwa wanapiga stori kumhusu mzee mmoja fundi wa viatu ambaye alikuwa ameacha gumzo hapo mtaani. Kazi yake na kilichokuwa kimetokea hapo vilikuwa ni vitu ambavyo kwa mwanadamu yeyote wa kawaida asingeweza kuamini, gari zaidi ya kumi za kifahari zilifika hiyo sehemu majira ya saa saba za mchana kweupe kabisa na kumchukua huyo mzee kwa heshima moja kubwa kama vile ni raisi alikuwa anapelekwa ikulu, watu wa hapo mtaani hakuna aliyeweza kukiamini hicho kitu baada ya miaka mingi ya kuishi hapo akijulikana kama mtu asiyekuwa na makazi leo anakuja kuchukuliwa na magari ya kifahari ambayo ndani ya nchi yalikuwa yanahesabika ni watu wachache sana waliokuwa na uwezo wa kuyamiliki. Ukiaachana na kuwashangaza huko wakati anaondoka alichukua begi lililo jaa pesa mpya kabisa alizirusha juu zote watu wakabaki wanagombaniana yeye akaondoka na msafara wake uliokuja kumfuata ndani ya Mburahati.

Ni miaka miwili sasa ilikuwa imepita tangu alipoweza kutembelewa na makamu wa raisi wa Tanzania mheshimiwa Hakram Hamad ambapo alipigwa risasi mbili za mguu na kupewa majukumu ya kuweza kumtafuta Timotheo Jordan ambaye ndiye alikuwa tageti kubwa sana ya huyo mzee kukipata kitu ambacho kilionekana kugombaniwa sana bila kujulikana kama ni nini na humo ndani kulikuwa na nini hasa mpaka watu hao watoe mpaka uhai wa watu ili kukipata hicho kitu, huyu ndiye yule mzee ambaye alitoa maagizo hayo kwa makamu wa raisi wa nchi ya Tanzania. Safari ya huyu mzee ilienda kuishia maeneo ya Chanika, huko ndiko alikokuwa anaishi yeye. Gari ziliingizwa kwenye geti lililo onekana kuwa la kawaida sana na mbele yake kulikuwa na nyumba ya kawaida tu, ilikuwa inashangaza sana kivipi mtu mwenye nyumba ya kawaida sana namna hii kuweza kumiliki magari ya kifahari sana namna hii, baada ya yeye kushuka tu magari yote yaliondoka hapo haraka hakukaa sana akachukua pikipiki iliyokuwa humo ndani akiwa na mtu mmoja tu ambaye alikuwa akimuendesha walitokea uwanja wa nyuma bila kuonekana na mtu yeyote. Waliishia kwenye sehemu yenye miti miti mingi kidogo hapo ndipo yalipokuwa makazi ya huyo mzee, ni jumba la kifahari sana kupita maelezo lililokuwa linaonekana hapo, aliingia ndani kujisafisha vizuri akiwa amekifunga chumba chake kila sehemu na hakuna mtu aliyekuwa anaruhusiwa kuingia huko, ilikuwa siri ya peke yake ndani ya chumba chake switch iliyokuwa ikitumika kuwashia umeme ukiibonyeza kwa kuishikilia kwa sekunde thelathini bila kupunguza wala kuzidisha ulikuwa ukifunguka mlango wa siri ambao ulikuwa unampeleka mpaka chumba cha chini sana ya ardhi ndani ya hiyo nyumba na ndicho alicho kifanya hapo ndani safari yake ikaanza ya kuelekea chini ya hicho chumba.

Macho yalitazama anga lote la nchi ya Tanzania baada ya kuutua mguu wake kwa mara ya kwanza ndani ya ardhi ya nchi yake ya kuzaliwa kwa miaka miwili sasa, Jamal hakufurahia sana kuwa hapa kwani alihisi yupo gizani bado kitu pekee ambacho alikuwa anakifikiria kwa huo muda ni kukutana na baba yake ili apaswe kujijua kiundani yeye ni nini hasa na ni majukumu gani ambayo anapaswa kuyafanya, alikuwa na maswali mengi sana Jamal wakati anatoka hapo Airport gari za kijeshi tatu zilikuwa zipo mbele yake zikimsubiri sasa alikuwa ni komando ambaye alikuwa chini ya mkuu wa majeshi ya nchi ya Tanzania. Spidi kali ya hizo gari safari yao ilienda kuishia maeneo ya LUGALO kwenye ofisi maalumu ambayo kwa wanajeshi wa kawaida walikuwa hawaruhusiwi kabisa kuingia ndani ya ofisi hiyo. Wale watu waliokuwa wamemfuata na gari walimuacha baada ya kumfikisha mlangoni alijua wazi kwamba alikuwa anatakiwa kuingia humo ndani.

Mbele yake mkuu wa majeshi alikuw amekaa kwenye kiti akiwa hana hata wasi wasi wowote ule akimwangalia mtu huyo kwani alikuwa akitarajio ujio wake kwa asilimia miamoja.

"Umekuwa mtu mzima sasa kijana wangu nina imani huko ulikotoka utakuwa umejifunza mambo mengi sana na huenda umefurahia sana maisha kwa kiasi chake" mkuu wa majeshi alitamka maneno kwa furaha akiwa ameipotezea salamu aliyopewa na kijana Jamal, mtu huyu ni kiongozi mkubwa sana kwenye nchi hata kuonekana kwake ilikuwa ni ngumu sana Jamal alikuwa anapata wasi wasi kivipi akutanishwe kirahisi sana na mtu mkubwa kaisi hicho bila kuwepo sababu za msingi?, hakuwa na jibu aliamua kuwa mpole.

"Ni kitu kimoja tu kimenifanya nifurahie kuwa kule japo hakuna mwanadamu atakuja kulijua hili, nimekuwa mwanadamu ambaye ninaishi kama mkiwa mzee wangu sielewi chochote, sina kumbu kumbu za maisha ya nyuma, baba yangu nikimuuliza mama yuko wapi hakuna jibu la maana analonipa. Kitu kinacho nifanya niogope sana ni kwanini mtu wa maisha ya kawaida kama mimi nitengenezwe sana kiasi hiki kana kwamba mimi ni mpigania uhuru wa nchi kitu ambacho sio kweli kabisa na hakiwezi kutokea nina imani sana juu ya hilo.

"Mimi sifurahii kwa sababu wewe umerudi hapana ila nina furahi kwa sababu nimetimiza ndoto ya mwanaume ambaye huenda saivi yupo anaipigania pumzi yake ya mwisho kwenye maisha yake, sina imani kama atakuwa na maisha marefu huyo mtu kwenye uso wa dunia hii, yeye ni kama mimi mwingine, yeye ndiye ndugu pekee ambaye mimi nimebakiwa naye kwenye huu ulimwengu kiufupi ni kwamba nampenda sana lakini naskitika sana kila nikiiona hali yake kitandani inanifanya natamani sana kulia. Sio rahisi mwanaume wa kazi kama yule kuwa kwenye kitanda kwa zaidi ya miezi mitatu akiwa hana hata uwezo wa kuamka, huyo ndiye aliyetamani sana wewe uwe hivyo ulivyokuwa sasa kazi yangu nusu nimemaliza nimebakisha nusu tu yakwako wewe hivyo mimi sina cha kukwambia kuhusu maisha yako zaidi huyo mtu ndiye atakaye kupa sababu ya msingi ya yeye kuhitaji wewe uwe hivyo, hatuna muda jiandae tunaondoka sasa hivi mimi nawewe". Maneno yaliyo onekana kumtoa machozi mkuu wa majeshi aliyatamka kwa simanzi na msisitizo mkubwa ambao hata Jamal ulimtisha haikuwa rahisi namna hiyo kuweza kumuona mwanaume wa shoka kama huyo anatoa machozi kirahisi sana namna hiyo alijua lazima kutakuwa na tatizo kubwa.

Ndiyo kwanza alikuwa ameingia nchini hata kupumzika alikuwa hajapumzika kabisa lakini alikuwa ameanza kukutana na mambo mazito siku yake ya kwanza tu kurudi, alitamani sana kuulizia alipo baba yake kabla ya kitu chochote alitamani sana kumuona mzee huyo ni miaka miwili sasa alikuwa amemkumbuka sana huyo mzee ila kwa hali aliyokuwa amemuona nayo mkuu wa majeshi hakuona sababu ya msingi ya kufanya hivyo ustaarabu uliichukua nafasi yake.

Walitoka humo ndani gari la kawaida tu lilitolewa hapo na muendeshaji alikuwa ni mkuu wa majeshi mwenyewe kofia kubwa aliyokuwa ameivaa kwenye kichwa chake ilimfanya kutojulikana bendera tu ya jeshi iliyokuwa kwenye upande wa dereva ndiyo iliyofanya gari hilo lisiweze kukaguliwa kwenye mageti yote mpaka wanafika nje kabisa ya kambi hiyo. Breki zilifungwa kwenye geti moja la bluu maeneo ya Bunju, nje hapakuwa na mtu hata mmoja, geti lilijifungua lenyewe gari ikaingizwa ndani na kwenda kupakiwa sehemu yake. Jamal alishuka ndani ya hilo gari alishangaa ndani ya huo uzio kuna wanajeshi wengi sana wenye mitutu mikubwa ya bunduki wakionekana kulilinda mno hilo eneo, wote waliokuwa eneo la mbele walitoa heshima ya saluti ambazo zilimfanya nayeye kuitikia ila alishtuka baada ya kugundua kwamba hazikuwa zakwake bali zilikuwa za mkuu wa majeshi yeye hakuna aliyekuwa anamjua mpaka muda huo.

Waliongoza mpaka humo ndani kwenye nyumba hiyo ya gorofa mbili, walipandisha ngazi mpaka chumba cha juu kabisa ,

"Khooooooo khoooooooooo" ni sauti ya kikohozi kikali sana ambacho kilisikika kuonyesha mtu aliyekuwa humo ndani hakuwa na hali nzuri sana ya kuridhisha kabisa, mlango ulifungunguliwa heshima kubwa ikafuata kwa mkuu wa majeshi ambaye hakuwa na muda nayo kabisa macho yake yalikuwa mbele tu. Jamal alikuwa bado ameganda mlangoni hakuelewa lengo la yeye kuletewa hiyo sehemu lakini akaamua kujikaza kuingia humo ndani ambapo alipotupa macho yake mbele aliona kitanda kikubwa cha wagonjwa kukiwa na mwili wa mtu umelazwa ukiwa umezungukwa na wanaume sita walio onekana kuwa madaktari, walikuwa wakiupigania sana uhai wa huyo binadamu ambaye alionekana ni lazima awe hai kwa gharama yoyote ile japokuwa walijua inapofikia hatua ya MUNGU kukihitaji kiumbe chake basi kunakuwa hakuna namna tena ya kuweza kuiokoa nafsi yake kwenye umauti. Pembeni ya hicho kitanda kulikuwa kuna kiti kimoja ambacho alikaa kijana mmoja aliyekuwa na uso wa simanzi sana macho akiwa ameyaelekeza alipokuwa amelala mwanaume mmoja wa makamo kidogo kwenye hicho kitanda, Jamal alijongea taratibu kusogea mahali ambapo palikuwa na hicho kitanda, tabasamu la kutosha lilionekana kupitia machoni pa mgonjwa ambaye alikuwa amelazwa hapo baada ya kumuona Jamal.

Ilikuwa ni tofauti kidogo kwa Jamal alishtuka sana kumuona mtu huyo, sura ya huyo mwanaume ilikuwa ni sura ya mkuu wa majeshi lakini cha ajabu mkuu wa majeshi alikuwa amekaa nyuma akiwa kajiinamia, sura zao hazikuwa na utofauti wowote ule na ilikuwa ni ngumu sana kuweza kuzitofautisha hizo sura mbili zilihitaji mtu mwenye kuwajua tabia za ndani sana za hao wanaume ili kuweza kuwaelewa.

"Imekuwa ni neema kwangu kukuona tena kabla sijaweza kwenda kutubu baadhi ya dhambi ambazo nimezifanya kwenye haya maisha nikiwa kama mwanadamu wa kawaida sana kwenye maisha yangu, mwanangu nina imani umekua sasa na unaweza kujisimamia mwenyewe bila hata uwepo wa mtu yeyote yule duniani" mzee huyo aliongea akiwa ananyanyuka hapo kitandani baada ya kuchomwa sindano ya kuongeza nguvu kidogo kwa muda flani, maelezo yake yalimuacha Jamal kwenye kitendawili kizito sana hakuelewa kivipi mzee huyo amwite yeye mwanae hakuwahi kukutana naye kabisa zaidi ya kuhisi kwamba atakuwa ni ndugu wa mkuu wa majeshi kwa namna walivyokuwa wamefanana. Mzee huyo hata hakuhangaika kabisa na Jamal aliwapa ishara watu wote waweze kuondoka na kuwaacha wao wawili tu humo ndani, baada ya watu wote waliokuwa humo ndani kutoka alijikongoja na kwenda kuubana mlango akiwa anatembea kwa kuchechemea akiwa anakohoa, uimara wa mwili wake ndio uliokuwa unamfanya mpaka huo muda aweze hata kusimama kwa mtu goi goi kwa hali aliyokuwa nayo asingeweza hata kunyanyuka pale kitandani.

14 naweka kalamu chini tukutane sehemu inayofuata

Bux the story teller.

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom