I would like to meet these members on 23/09/2018 at Mliman city,

I would like to meet these members on 23/09/2018 at Mliman city,

Hao wanaume wote 11 unataka uwafanye nn? Utawaweza wote..? Can you handle all of them at once? alafu mtu ukizimia ufe uje useme umebakwa? Max unaweza wahandle 3 men at once kama ww ni kungwi..!!
 
Kama wewe ni meneja masoko au meneja mauzo wa mlimani city, basi umewin hiyo siku wateja wa JF watajaa kila mahali hapo mlimani city.

Kila la heri na mkutano wako / mtoko / kikao.

Kila mtu atataka kuwaona hao watajwa hapo juu.
 
Ngoja nipitie comments na posts zangu kama zimeanza kuwa na ukakasi...

Hehehehehehehee wasiojulikana.

Usihofu, natumai mleta mada ana kiu na sauti zenye koromeo. Tii kiu yake double R.... Halafu nimeona kuna mtu ameanzisha ID inaitwa double R sijui ilikiwepo tangu kitambo au ni ya hivi karibuni....
 
Kama wewe ni meneja masoko au meneja mauzo wa mlimani city, basi umewin hiyo siku wateja wa JF watajaa kila mahali hapo mlimani city.

Kila la heri na mkutano wako / mtoko / kikao.

Kila mtu atataka kuwaona hao watajwa hapo juu.
Najaribu kupitia sifa za waliotajwa. Kuna vichwa napata hofu kutajwa nao kundi moja...🙂😱
 
Back
Top Bottom