IAEA: Iran atakuwa na Bomu la Nuclear Wiki moja kuanzia leo tarehe 27 May 2024

kacharazwa bakora akanyamaza kama mtoto, aliambiwa na Iran ukisubutu kurudisha kichapo, ujuwe kichapo kitakuwa ni kikubwa zaidi ya hicho mara 10 au zaidi akanyamaza kimyaa
Wewe unataka arudisheje wakati mjane wa Raisi bado yuko kwenye eda..๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ
 
Hiyo taarifa naona hujaielewa ila unatumia zaidi hisia labda utafute mtu akutafsirie vizuri kwa sababu ulilowea sana madrasat.
 
Cha ajabu raisi atapanda ndege iliyotengezwa na Marekani 1978 kwenda kuzindua๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
kacharazwa bakora akanyamaza kama mtoto, aliambiwa na Iran ukisubutu kurudisha kichapo, ujuwe kichapo kitakuwa ni kikubwa zaidi ya hicho mara 10 au zaidi akanyamaza kimyaa
Netanyahu hajawahi kunyamaza hata siku moja!
MOSAID iko kwenye systems zote za Iran! Hata pilot wa helkopta iliyombeba Rais wa Iran ambaye ni marehemu inaaminika alikuwa MOSAID agent!
 
Netanyahu hajawahi kunyamaza hata siku moja!
MOSAID iko kwenye systems zote za Iran! Hata pilot wa helkopta iliyombeba Rais wa Iran ambaye ni marehemu inaaminika alikuwa MOSAID agent!
Kwa hiyo na pilot aliamua kujiangamiza mwenyewe mbona mnajitoa sana ufaham has walokole wa tz
 
Kwa hiyo na pilot aliamua kujiangamiza mwenyewe mbona mnajitoa sana ufaham has walokole wa tz
Kipi cha ajabu? Vipi magaidi au mujahedina wanapojitoa muhanga kwa kulipua na kujilipua kwa mabomu wao hawajitakii maisha?
Sept.11 magaidi walipolipua yale majengo ya Trade center US kwa kutumia ndege za kiraia wakafia humo hawakujipenda?
 
US, FRANCE, UK VS RUSO, IRAN, NK

haya ndio madhara ya vira ya ukraine, watu wanaforce shift kwenye global balance of power!

in the next 3 yrs sitashangaakusikia vikwazo dhidi ya NK vimeondolewa or else Ruso watakua wanatrade freely na NOKO......

multipolar World haikwepeki
 
Kipi cha ajabu? Vipi magaidi au mujahedina wanapojitoa muhanga kwa kulipua na kujilipua kwa mabomu wao hawajitakii maisha?
Sept.11 magaidi walipolipua yale majengo ya Trade center US kwa kutumia ndege za kiraia wakafia humo hawakujipenda?
Ni ajabu mashoga hawajawahi kuwa na huo ujasiri usijitoe akili...
 
Nyuklia sio matako, kusema kila Mtu awe nayo. Iran hawawezi kutengeneza Helkopta waje watengeneze nyuklia.
Mashariki sio nchi mbili zenye nyuklia. Zipo nyingi tuuu zenye hayo machuma.
, Pakistan ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฐ , India ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ณ, Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ , China ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ, Russia ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ na mwenyewe yupo na ulaya na Asia na Japan na wenyewe watakuwa nayo
 
Mi siyo saizi yako mtu mwenyewe hujuwi nchi za mashariki ya kati ni zipi wala mashariki ya mbali ni zipi mi nitakusaidia nini sasa? Rudi darasani kwanza ukasome halafu ndio uje.
 
Na siku Iran akisema Uranium walikuwa wanatuuzia hawa ndio mtajua hamjui ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜†
 
Japan siyo nyuklia tu, hata silaha kali za kisasa hana. haruhusiwi kutengeneza silaha bila kibali na uangalizi wa Marekani. Ni kama ilivyo kwa Ujerumani. Baada ya Vita vya pili vya dunia Japan na Ujerumani walionekana vitoto vitukutu sana ambao siku moja wanaweza kuichoma dunia nzima. Hivyo, walisainishwa mikataba ya kunyang'anywa silaha walizo nazo na kupewa masharti ya kumiliki na kutengenza silaha. Lakini pia walihakikishiwa usalama na ulinzi wa mipata yao kuwa damana ya Marekani. Ndo maana Marekani ana kambi kubwa za Kijeshi ndani ya ardhi ya Ujerumani na Japan.

Kwa asia mwenye Nyuklia ni Rusia, Pakistan, India, Korea ya Kusini na Israel. Ulaya mwenye Nyukilia ni UK na Ufaransa na kaka yao USA
 
Asia add China,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ