Voice of Tanzania JF-Expert Member Joined Sep 23, 2018 Posts 2,036 Reaction score 3,107 Dec 13, 2022 #21 Showmax said: Mikopo sio tatizo je wanaelimu juu ya uzalishaji mali? Zaidi ya kuwaza ngono Hakuna cha ziada wanajua Click to expand... Sio wote kuna graduates wanamawazo mazuri tu ya maendeleo tatizo mitaji awana usiwajumuishe wote wakaonekana wa ovyoo sio sawa
Showmax said: Mikopo sio tatizo je wanaelimu juu ya uzalishaji mali? Zaidi ya kuwaza ngono Hakuna cha ziada wanajua Click to expand... Sio wote kuna graduates wanamawazo mazuri tu ya maendeleo tatizo mitaji awana usiwajumuishe wote wakaonekana wa ovyoo sio sawa
My Honest Book JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 1,363 Reaction score 2,161 Dec 13, 2022 #22 HAYA LAND said: Tz Kuna vijana wachache hawafiki hata 2% wanaojitambua . Click to expand... Hapa unataka kulazimisha ubishi Mkuu
HAYA LAND said: Tz Kuna vijana wachache hawafiki hata 2% wanaojitambua . Click to expand... Hapa unataka kulazimisha ubishi Mkuu
Meneja Wa Makampuni JF-Expert Member Joined Jul 7, 2020 Posts 7,899 Reaction score 10,415 Dec 13, 2022 Thread starter #23 Mkandamiza Vishimo said: Sio wote kuna graduates wanamawazo mazuri tu ya maendeleo tatizo mitaji awana usiwajumuishe wote wakaonekana wa ovyoo sio sawa Click to expand... Na alishaambiwa wenye mawazo ya kufungua miradi. ππππ
Mkandamiza Vishimo said: Sio wote kuna graduates wanamawazo mazuri tu ya maendeleo tatizo mitaji awana usiwajumuishe wote wakaonekana wa ovyoo sio sawa Click to expand... Na alishaambiwa wenye mawazo ya kufungua miradi. ππππ