Iba SIRI Hizi 7 Za MAFANIKIO Kutoka Kwa Billionaire Mkinga Fred Vunjabei...(Ambazo Zitaenda Kubadisha Maisha Yako 10X) .

Iba SIRI Hizi 7 Za MAFANIKIO Kutoka Kwa Billionaire Mkinga Fred Vunjabei...(Ambazo Zitaenda Kubadisha Maisha Yako 10X) .

Joined
Jul 19, 2021
Posts
15
Reaction score
52
23,April, 2021...
.
....Fred Vunjabei akiwa XXL ya Clouds FM...

IMG_20250209_174541.jpg


Alivujisha Siri Kibao za Mafanikio

ILA...

Hizi 7 ndio Siri Konki Zaidi
.
...na Zitaenda Kubadisha Maisha 10X Zaidi Guaranteed
.
Well...nisikuchoshe Ingia Mgodini Hapa Chini...
.
1). Huwezi Kuwakamata Samaki Wakubwa (Papa) Katika Mito Midogo...👇

Ili Kuwakamata Samaki Wakubwa Itabidi uende Sehemu Walipo...(Baharini)
.
Alimanaanisha Nini?...
.
Huwezi Kukutana na Watu watakaokupa Michongo ya Pesa Nyingi Katika Mazingira ya Hovyo...Nenda Sehemu Walipo
.
Hivyo ulivyo ni Zao la Mazingira yako

Na Aina ya Watu unaotumia Muda wako Mwingi Kuwa nao!
.
2). AKILI Yako Ndio ASSET Muhimu Zaidi Katika Maisha Yako...
.
Ilinde na kuitunza Zaidi ya Mboni ya jicho Lako...
.
...Hata Siku moja Usiruhusu Magugu yaote Kichwani Mwako
.
3). Hakuna Njia ya Mkato Kwenye Mafanikio ya Aina yoyote...Lazima Kuna Gharama ya Kulipa Ili Kupata Mafanikio unayoyataka

Kwahiyo...

Tambua unataka Mafanikio ya Aina gani... Halafu Jua Gharama yake kisha Kuwa Busy Kuilipa Hiyo Gharama then Booom..!
No
Hakuna SHORTCUT ya Mafanikio!
.
4). Experience ya Mtu Mwingine Kwenye Chochote...Ndio Mwalimu wako Bora Zaidi
.
Jifunze Kutoka Kwenye Experience ya Wengine...that's how you GROW!
.
5). Acha Kusubiri Wakati Sahihi Ili Uanze Kuchukua ya Vitu vinavyoweza Kubadilisha Maisha Yako...
.
Wakati Sahihi hautakaaga ufike...utausubiri Maisha Yako yote Mpaka unaingia Kaburini
.
ANZA SASAHIVI!
.
6). Huwezi Kuwa Zaidi ya Kiwango Cha MAARIFA uliyonayo Kichwani Mwako..
.
...Ndio Maana ni Muhimu kuwekeza Kila Siku Kwenye 👇
TAARIFA Mpya Kupitia Vitabu, Courses, Mentorship, Coaching, Masterclass nk
.
The More you LEARN...the More you EARN
.
Watu Wote waliofanikiwa Duniani Wana Kitu Kimoja in Common...
.
"Wote Wanasoma Vitabu"
.
Key: Tafuta KNOWLEDGE Kwa Gharama yoyote Ile
.
7). Mtu yeyote mwenye MINDSET ya Kimasikini atazalisha Matokeo ya Kimasikini Hata Umpeleke wapi Duniani
.
Kwahiyo
.
Kama Unataka KUFANIKIWA Kwenye Chochote Unatakiwa uwe Serious kwenye Kubadilisha MINDSET Yako
.
Hivyo ulivyo ni MATOKEO ya MINDSET yako
.
Ishi Kwenye ABUNDANCE Mindset...Toroka kwenye SCARCITY Mindset
.
I hope Umepata Kitu
.
P. S. By the way sina Uhakika kama Hii Itakufaa ila kama Unatamani kutoboa kimaisha Kupitia Uwekezaji Kama vile Hisa hatifungani pamoja na Vipande

basi Gusa LinkUwekezaji Katika Hisa Ebook Kujipatia Ebook yako ya Uwekezaji Katika Hisa Bure Kabisa
.
Cc: Sukuma Dragon
 
Elon Musk...
Siri 7 za Mafanikio kutoka kwa Elon Musk:
1. Think Big and Set Audacious Goals​
2. First Principles Thinking​
3. Work Extremely Hard​
4. Persevere Through Failure​
5. Lead with a Clear Vision​
6. Continuous Learning and Adaptability)​
7. Focus on High-Impact Solutions​
 
Ukitaka kufanikiwa hakikisha matumizi yako hayazidi kipato chako, weka akiba ya pesa yako, jifunze vitu vitakavyokuingizia hela na hakikisha kipato chako kinaongezeka kila mwezi.
 
Mbona hayo yanafanywa na watu wengi sana lakini hawanyanyuki
Hawana consistency, wanakata tamaa na pia wanaendekeza vitu visivyo vya msingi kama vile pombe na pia watu wengi wanaingia kwenye biashara fulani kichwa kichwa yaani hawafanyi kwanza research kuhusu biashara wanayotaka kufanya.
 
Ukitaka kufanikiwa, kuwa tu bahiri. Hii ni principle yangu mimi na majirani zangu Wapare.
 
23,April, 2021...
.
....Fred Vunjabei akiwa XXL ya Clouds FM...

View attachment 3230549

Alivujisha Siri Kibao za Mafanikio

ILA...

Hizi 7 ndio Siri Konki Zaidi
.
...na Zitaenda Kubadisha Maisha 10X Zaidi Guaranteed
.
Well...nisikuchoshe Ingia Mgodini Hapa Chini...
.
1). Huwezi Kuwakamata Samaki Wakubwa (Papa) Katika Mito Midogo...👇

Ili Kuwakamata Samaki Wakubwa Itabidi uende Sehemu Walipo...(Baharini)
.
Alimanaanisha Nini?...
.
Huwezi Kukutana na Watu watakaokupa Michongo ya Pesa Nyingi Katika Mazingira ya Hovyo...Nenda Sehemu Walipo
.
Hivyo ulivyo ni Zao la Mazingira yako

Na Aina ya Watu unaotumia Muda wako Mwingi Kuwa nao!
.
2). AKILI Yako Ndio ASSET Muhimu Zaidi Katika Maisha Yako...
.
Ilinde na kuitunza Zaidi ya Mboni ya jicho Lako...
.
...Hata Siku moja Usiruhusu Magugu yaote Kichwani Mwako
.
3). Hakuna Njia ya Mkato Kwenye Mafanikio ya Aina yoyote...Lazima Kuna Gharama ya Kulipa Ili Kupata Mafanikio unayoyataka

Kwahiyo...

Tambua unataka Mafanikio ya Aina gani... Halafu Jua Gharama yake kisha Kuwa Busy Kuilipa Hiyo Gharama then Booom..!
No
Hakuna SHORTCUT ya Mafanikio!
.
4). Experience ya Mtu Mwingine Kwenye Chochote...Ndio Mwalimu wako Bora Zaidi
.
Jifunze Kutoka Kwenye Experience ya Wengine...that's how you GROW!
.
5). Acha Kusubiri Wakati Sahihi Ili Uanze Kuchukua ya Vitu vinavyoweza Kubadilisha Maisha Yako...
.
Wakati Sahihi hautakaaga ufike...utausubiri Maisha Yako yote Mpaka unaingia Kaburini
.
ANZA SASAHIVI!
.
6). Huwezi Kuwa Zaidi ya Kiwango Cha MAARIFA uliyonayo Kichwani Mwako..
.
...Ndio Maana ni Muhimu kuwekeza Kila Siku Kwenye 👇
TAARIFA Mpya Kupitia Vitabu, Courses, Mentorship, Coaching, Masterclass nk
.
The More you LEARN...the More you EARN
.
Watu Wote waliofanikiwa Duniani Wana Kitu Kimoja in Common...
.
"Wote Wanasoma Vitabu"
.
Key: Tafuta KNOWLEDGE Kwa Gharama yoyote Ile
.
7). Mtu yeyote mwenye MINDSET ya Kimasikini atazalisha Matokeo ya Kimasikini Hata Umpeleke wapi Duniani
.
Kwahiyo
.
Kama Unataka KUFANIKIWA Kwenye Chochote Unatakiwa uwe Serious kwenye Kubadilisha MINDSET Yako
.
Hivyo ulivyo ni MATOKEO ya MINDSET yako
.
Ishi Kwenye ABUNDANCE Mindset...Toroka kwenye SCARCITY Mindset
.
I hope Umepata Kitu
.
P. S. By the way sina Uhakika kama Hii Itakufaa ila kama Unatamani kutoboa kimaisha Kupitia Uwekezaji Kama vile Hisa hatifungani pamoja na Vipande

basi Gusa LinkUwekezaji Katika Hisa Ebook Kujipatia Ebook yako ya Uwekezaji Katika Hisa Bure Kabisa
.
Cc: Sukuma Dragon
Nakubaliana nae kuna madini hapa ,ingawa anaweza asiwe anapitia yote ila kuna kitu
 
Ndo nani huyo?
Ana viwanda vya kutengeneza bidhaa gani?
 
Hawana consistency, wanakata tamaa na pia wanaendekeza vitu visivyo vya msingi kama vile pombe na pia watu wengi wanaingia kwenye biashara fulani kichwa kichwa yaani hawafanyi kwanza research kuhusu biashara wanayotaka kufanya.
Umaskin kwa wananchi wengi unasabishwa na kufanya kazi ambazo hazina mnyororo wa thamani bila ya kuwa na mnyororo wa thamani ni ngumu kupata pesa

Tutolee mfano
Mkulima anayeingia shamba kila mwaka
Anasafisha shamba mwenyewe
Analima mwenyewe
Anapalilia mwenyewe
Anapiga dawa mwenyewe
Anavuna mwenyewe
Anatafuta mawateja mwenyewe

Huyu mkulima awezi kutoka kwenye umasikini kashika vitu vingi mwenyewe

Mkulima sahihi ni yule anayeingia shambani ni yule anayefanya mambo machache mbadala ambayo wengine hawawezi kufanya

Ukishashika vitu zaidi ya viwili kwenye kazi bila kutoa ajira kwa wengine umasikini hautoki

Zaburi 86:1
Ee BWANA, utege sikio lako unijibu,
Maana mimi ni maskini na mhitaji
 
Back
Top Bottom