Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Kwa msaada zaidi, mmojawapo wa watumishi wa Mungu ambaye anaweza kuyajibu maswali ya thread hii kwa usahihi ni huyu hapa; tafuteni namba yake ya simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuabudu jumapili hakujaanza karne ya 4. Ni kumeanza tangu Yesu alipofufuka ile siku ya kwanza ya Juma.
Naongelea agano la kale wapi pameandikwa Siku ya sabato ni jumamosi? Jumamosi kiislamu ni siku ya kwanza ya juma ,jumapili ni siku ya Pili,jumatatu ni siku ya tatu jumanne ni siku.ya nne,jumatano ni siku ya tano ,alhamisi siku ya sita na ijumaa siku ya Saba.Na nchi za kiislamu ijumaa huwa siku ya mapumzikoYesu alikufa siku ya Ijumaa, akashinda kaburini siku ya Sabato, na akafufuka siku ya kwanza ya juma ambayo ni Jumapili
Hii inaonyesha kuwa siku ya saba ya juma ni Jumamosi
Naongelea agano la kale wapi pameandikwa Siku ya sabato ni jumamosi? Jumamosi kiislamu ni siku ya kwanza ya juma ,jumapili ni siku ya Pili,jumatatu ni siku ya tatu jumanne ni siku.ya nne,jumatano ni siku ya tano ,alhamisi siku ya sita na ijumaa siku ya Saba.Na nchi za kiislamu ijumaa huwa siku ya mapumzikoYesu alikufa siku ya Ijumaa, akashinda kaburini siku ya Sabato, na akafufuka siku ya kwanza ya juma ambayo ni Jumapili
Hii inaonyesha kuwa siku ya saba ya juma ni Jumamosi
Wakati wa chakula cha mana wana wa Israeli walipokuwa wanatoka Misri kwenda Kaanani nchi ya ahadi. Siku ya maandalio, siku moja kabla ya siku ya Sabato, chakula cha mana kilikuwa kinaanguka kutoka mbinguni kikiwa ni DOUBLE SHARE kwa maana kuwa walitakiwa siku hiyo kuokota share mara mbili kwa ajli ya siku ya maandalio na kesho yake siku ya sabatoNaongelea agano la kale wapi pameandikwa Siku ya sabato ni jumamosi? Jumamosi kiislamu ni siku ya kwanza ya juma ,jumapili ni siku ya Pili,jumatatu ni siku ya tatu jumanne ni siku.ya nne,jumatano ni siku ya tano ,alhamisi siku ya sita na ijumaa siku ya Saba.Na nchi za kiislamu ijumaa huwa siku ya mapumziko
Mungu alichosema agano la kale kukiwa kalenda hizi za leo hazipo kabisa alisema fanya kazi siku sita ya saba pumzika
Ni lini siku ya Saba jamii husika mahali ilipo.ndio.itaamua sababu hata masaa dunia nzima hayaendeni wengine upande mmoja wa dunia Muda wa sabato kwao huwa umefika wengine upande mwingine.wa dunia wanakuwa mashambani na makazini muda wa kuanza sabato ni tofauti kati ya mataifa mbalimbali
.
Cha msingi mtu afanye kazi siku sita ya saba apumzike
Wasabato hujaribu kuifanya Biblia iwe ngumu kueleweka bila sababu za msingi
Agizo la Mungu lilikuwa rahisi saba fanya kazi siku sita ya saba sabato wasabato wakaja kuongeza lao kuwa hiyo siku lazima iwe jumamosi kitu ambacho Mungu hata kwenye Amri zake kumi hakuweka
Jibu kupitia agano la kale sabato ilikotokea wapi Mungu alisema siku ya kupumzika ni siku ya Jumamosi?Yesu alikufa siku ya Ijumaa, akashinda kaburini siku ya Sabato, na akafufuka siku ya kwanza ya juma ambayo ni Jumapili
Hii inaonyesha kuwa siku ya saba ya juma ni Jumamosi
Sabato siyo siku specific kwa jina kuwa jumatatu nkWakati wa chakula cha mana wana wa Israeli walipokuwa wanatoka Misri kwenda Kaanani nchi ya ahadi. Siku ya maandalio, siku moja kabla ya siku ya Sabato, chakula cha mana kilikuwa kinaanguka kutoka mbinguni kikiwa ni DOUBLE SHARE kwa maana kuwa walitakiwa siku hiyo kuokota share mara mbili kwa ajli ya siku ya maandalio na kesho yake siku ya sabato
Siku ya sababto inajulikana kuwa ni Jumamosi tangu wakati wa agano la kale. Sema tu wao wasabato wameendelea nayo kimakosa na pasipo kujua kama wamekosea. Sabato kuwa Jumamosi hilo hliana ubishi, kulingana na maandiko matakatifu ya Biblia
Yachunguze vizuri maandiko. Sabato ya tangu agano la kale ilikuwa ni Jumamosi. Ni kweli kuwa hata siku nyingine yoyote ile ya Ibada ni Sabato pia ila Sabato iliyokuwepo tangu agano la kale, ni siku moja ambayo ni JumamosiSabato siyo siku specific kwa jina kuwa jumatatu nk
Ni ufanyaji kazi siku sita ya saba kupumzika
Fanya kazi siku sita ya saba pumzika
Mfano mimi Mkristo nikienda Uarabuni nch8 za kiislamu ambazo siku yao ya kupumzixika ya saba ni Ijumaa sina Shida ibada nitazifanya ijumaa ni siku ya Saba baada ya kufanya kazi siku sita
Nikiienda nchi yenye wasabato watupu siku yangu ya ibada itakuwa Jumamosi sababu sijavuruga kitu nafanya kazi siku sita ya saba na pumzika
Hao wako katika kupotea wanashawishi watu waiabudu siku ya sabathoHivi unajua Paulo alichokuwa anakuhubiri, unajua paulo alitumwa awahubiri akina nani?
Unajua kuwa paulo alitamani ndugu zake(wayahudi) waokolewe pamoja na kwamba walishika sabato ila walikuwa wamepotea. (Rum 10 : 1-3)
Paulo alihesabu juhudi zote za yeye kuwa farisayo(mtu aliyebobea katika kusoma na kutenda torati) kuwa ni hasara (flp 3 : 2 -10)
Soma tena paulo alisemaje gal 3 : 10-14, je unaijua baraka ya Ibrahim iliyopaswa kuwafikia mataifa?
Muangalie Yesu alichukua hatua gani kwa mambo yanayohusu sabato, biblia inasema Yesu alivunja sabato unayo ipigia kelele hapa. Je huoni haya kwenda kinyume na "Mwana" wa Mungu(Kristo) bali unataka umsikilize "mtumishi"(Musa)?( Yoh 5 :17-18)
Yesu asema hivi:
Yohana 5:45
Msidhani kwamba mimi nitawashitaki kwa Baba; yuko anayewashitaki, ndiye Musa, mnayemtumaini ninyi.
Paulo nae asema hivi:
nasi si kama Musa alivyotia utaji juu ya uso wake, ili kwamba Waisraeli wasitazame sana mwisho wa ile iliyokuwa ikibatilika; ila fikira zao zilitiwa uzito. Kwa maana hata leo hivi, wakati lisomwapo Agano la Kale, utaji uo huo wakaa; yaani, haikufunuliwa kwamba huondolewa katika Kristo; ila hata leo, torati ya Musa isomwapo, utaji huikalia mioyo yao. Lakini wakati wo wote watakapomgeukia Bwana, ule utaji huondolewa.
2 Kor 3:13-16 SUV
Sasa fikria, Kama kusoma torati ya Musa(Amri za Mungu) utaji unaziba moyo wako yaani unapotea, Je kumgeukia Bwana ndio kupi?
Karibu nyumbani mwa Bwana huku tupo huru wala hatuna mshtaki.
HIV unajua wakristo Wana kalenda yao ambayo ni Gregorian calendar, waslam wanakalenda Yao na wayahudi wana kalenda yao. Sasa kalenda iliyoongelewa hapo ni ipiUkisoma kwenye biblia kifo cha Yesu katika luka 23 mwishoni na 24 mwanzoni, zimetajwa siku tatu kwa kufuatana.
1. Siku ya maandalio(hii ni ijumaa na biblia ya wakatoliki imeandika kabisa ijumaa) Hii ndio siku aliyokufa Yesu.
2. Siku ya sabato (hii imetajwa baada ya siku ya maandalio maana yake ni siku baada ya ijumaa ambayo ni jumamosi). Hii siku mwili wake ulishinda kaburini.
3. Siku ya kwanza ya juma (hii imetajwa baada ya siku ya sabato kwa maana hiyo ni jumapili) Na asubuhi yake ndio walienda kaburini kwa Yesu.
Kwa maelezo zaidi soma Luka 23:53-56 na Luka 24:1 ni maneno machache sana ila yameeleza sabato ni siku gani?
Mungu hakuwa chizi aliporuhusu uwepo wa lugha na tafsiri mbalimbali, we ng'ang'ania na hiyo uijuayo usiwadhihaki wengine kwa tafsiri zao kila mtu ana utaratibu wake wa kumuendea Muumba wake."Siku yako ya kwanza"!!!!!! ⛔⛔⛔
Hivi tunaabudu mambo yetu sisi Binadamu au tunaabudu Mambo ambayo Mungu alituagiza tufanye?
Wewe una siku?
Suala la siku hata ukimuuliza yoyote atakujibu siku ya 7 ni ipi? Hili halujawahi kuwa mjadala.
Biblia imetaja maeneo mengi sana siku ya saba na imeirefer kama Sabato, na Jumapili imeirefer kama siku ya kwanza ya juma.
Toa uthibitisho kuwa Yesu alikufa ijumaa?Yesu alikufa siku ya Ijumaa, akashinda kaburini siku ya Sabato, na akafufuka siku ya kwanza ya juma ambayo ni Jumapili
Hii inaonyesha kuwa siku ya saba ya juma ni Jumamosi
Wewe ni myahudi?Kwanza kabisa naomba msingi wa uzi huu uwe kwenye ukristo, maana tukiongea kwa misingi ya madhehebu yetu hatutafika lengo letu.
Karne ya kwanza ya 1, 2, 3 watu walipumzika na kuabudu siku ya Jumamosi mwanzoni mwa Karne ya nne watu fulani waliamua kubadili siku hii na kuhamia Jumapili. Je tunafuata maagizo ya wanadamu wenzetu au tunafuata Maagizo ya Mungu?
Kila aliyeuona uzi huu ninaamini ana access ya mtandao, unaweza kugoogle ibada ya jumapili imeanzishwa lini na mwanzilishi ni nani.
Tangu kuumbwa kwa dunia Mungu alishaweka wazi kwamba Sabato ni siku takatifu na aliitakasa. Na katika amri zote za Mungu hii ndio amri imeandikwa kwa maelezo marefu.
Pia wakati Musa yupo kule mlimani zile siku 40 Mungu alimgusia pia kuhusu sabato na akamuambia ni agano lake la milele.
Pia hata katika agano jipya bado watu waliendelea kuabudu siku ya sabato kuanzia Yesu mwenyewe mpaka mitume baada ya Yesu.
Mfano Luka 4:16 "Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome"
Luka 4:16 imeweka wazi kwamba ilikuwa ni desturi ya Yesu kuingia katika Sinagogi siku ya ya Sabato.
Mafungu ya sabato ni mengi na siwezi kuyaweka yote hapa, ila nataka kujibu hoja za baadhi ya watu kuhusu ibada ya J2.
1. Ibada ya J2 kama kusheherekea ufufuko wa Kristo.
Hili la kusheherekea ufufuko wa Kristo na kubadili mpaka siku aliyoweka Mungu kama siku ya ibada limeanza lini? Kwenye biblia limeandikwa wapi? Kwanini katika historia watu wameanza kutekeleza hili katika karne ya 4?
2. Yesu ndio Bwana wa Sabato, hivyo tukimfuata Yesu sabato haina haja.
Yeye mwenyewe ambaye alijiita kuwa ni Bwana wa Sabato alizishika Sabato, nimetoa mfano kwenye Luka 4:16. Lakini pia kwenye mathayo 5:18 akasema "Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie." Kwa maana hii sheria ya Mungu haibadiliki.
Na fungu la 5:19 akaonya juu ya wanaozivunja amri hizo "Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni."
3. Siku zote ni za Mungu,
Hakuna mtu aliyekukataza kuabudu siku yoyote, ila sabato ni siku ya kuacha kazi zako zote unazozifanya siku zile 6 za week na kupumzika na kuwa karibu na Mungu wako. Hata sisi wengine tunakuwa na ibada zetu kama kawaida siku zote za week ila sabato ya Bwana lazima tuitunze.
Swali langu kuu bado linabakia pale pale kwa wachangiaji wote.
Je, ni kwanini ibada ya J2 ianze karne ya nne baada ya watu kukaa na kuamua watu wapumzike na kuabudi jumapili? Je tunamfuata Mungu au tunawafuata Binadamu wenzetu kwa sababu tu wameamua mambo ambayo tumeyaona ni mema machoni petu?
Mungu atusaidie sana, Muwe na Sabato Njema.
Reversal of burden of proof!Toa uthibitisho kuwa Yesu alikufa ijumaa?
Haiwezi kuwa hivo, wewe unaeleta hoja, thibitisha unachokisema ili tukubaliane nacho.Reversal of burden of proof!
Wewe ndiye unayetakiwa uthibitishe kwamba hakufa Ijumaa
Umejibu vyema hapa asiyekuelewa basi ana shida kichwanikiuhalisia, hatumwabudu Mungu jumapili tu au jumamosi tu, tunamwabudu Mungu kila siku maishani mwetu kwasababu tunaabudu rohoni sio mwilini. na hiyo haina siku. ninyi mnaong'ang'ania siku mnapoteza muda sana.
Wakolosai 2:16-17
Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.
Warumi 14:5-6
5 Mtu mmoja anahesabu siku fulani kuwa ni bora kuliko nyin gine na mwingine anaona kuwa siku zote ni sawa. Basi kila mmoja awe na hakika na yale anayoamini. 6 Anayehesabu siku moja kuwa takatifu hufanya hivyo kwa kumheshimu Bwana. Naye anayekula nyama hufanya hivyo kwa kumtukuza Bwana, kwa maana humshukuru Mungu. Hali kadhalika akataaye kula nyama hufanya hivyo kwa kum heshimu Bwana na humshukuru Mungu.
Utakubaliana na nini sasa wakati hujui kotekote, yaani hujui kama ilikuwa Ijumaa na hujui kama haikuwa Ijumaa? Kama hujui, nikikudanganya je, utajuaje kama nimekudanganya? Kama hujui basi unatakaiwa ukubaliane na hiki nilichokisema hapa na kama unajua, basi unatakiwa ukiseme hapa kile unachokijua ambacho kinapingana na kile nilichokisema mimiHaiwezi kuwa hivo, wewe unaeleta hoja, thibitisha unachokisema ili tukubaliane nacho.
Otherwise ulichosema ni chai
Wewe ni nani unae hubiri watu washike sabato(waache kazi siku hiyo)?Reversal of burden of proof!
Wewe ndiye unayetakiwa uthibitishe kwamba hakufa Ijumaa