Ibada ya Wakristo kuabudu Jumapili imeanza Karne ya nne. Ni kwanini Karne 3 za kwanza watu waliabudu Jumamosi?

Ibada ya Wakristo kuabudu Jumapili imeanza Karne ya nne. Ni kwanini Karne 3 za kwanza watu waliabudu Jumamosi?

Unaijuaje Jumamosi? KWA KUANGALIA KALENDA. hiyo kalenda imeundwa na nani? NA PAPA GREGORY WA KANISA KATOLIKI. mpaka hiyo kalenda inaanza kutumika kulikuwa na kalenda kabla yake? NDIYO ZILIKUWEPO NYINGI TU ILA ZILIKUWA NA MAPUNGUFU MENGI. marekebisho yaliyofanyika yalihusisha kubadili siku na tarehe? NDIYO. Kama ni hivyo kuna uwezekano jumamosi ya sasa ni jumatano ya enzi za Musa

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Jibu hili ilipaswa uzi ufungwe maana limemaliza kila kitu
 
Kwanza kabisa naomba msingi wa uzi huu uwe kwenye ukristo, maana tukiongea kwa misingi ya madhehebu yetu hatutafika lengo letu.

Karne ya kwanza ya 1, 2, 3 watu walipumzika na kuabudu siku ya Jumamosi mwanzoni mwa Karne ya nne watu fulani waliamua kubadili siku hii na kuhamia Jumapili. Je tunafuata maagizo ya wanadamu wenzetu au tunafuata Maagizo ya Mungu?

Kila aliyeuona uzi huu ninaamini ana access ya mtandao, unaweza kugoogle ibada ya jumapili imeanzishwa lini na mwanzilishi ni nani.

Tangu kuumbwa kwa dunia Mungu alishaweka wazi kwamba Sabato ni siku takatifu na aliitakasa. Na katika amri zote za Mungu hii ndio amri imeandikwa kwa maelezo marefu.

Pia wakati Musa yupo kule mlimani zile siku 40 Mungu alimgusia pia kuhusu sabato na akamuambia ni agano lake la milele.

Pia hata katika agano jipya bado watu waliendelea kuabudu siku ya sabato kuanzia Yesu mwenyewe mpaka mitume baada ya Yesu.

Mfano Luka 4:16 "Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome"

Luka 4:16 imeweka wazi kwamba ilikuwa ni desturi ya Yesu kuingia katika Sinagogi siku ya ya Sabato.

Mafungu ya sabato ni mengi na siwezi kuyaweka yote hapa, ila nataka kujibu hoja za baadhi ya watu kuhusu ibada ya J2.

1. Ibada ya J2 kama kusheherekea ufufuko wa Kristo.

Hili la kusheherekea ufufuko wa Kristo na kubadili mpaka siku aliyoweka Mungu kama siku ya ibada limeanza lini? Kwenye biblia limeandikwa wapi? Kwanini katika historia watu wameanza kutekeleza hili katika karne ya 4?

2. Yesu ndio Bwana wa Sabato, hivyo tukimfuata Yesu sabato haina haja.

Yeye mwenyewe ambaye alijiita kuwa ni Bwana wa Sabato alizishika Sabato, nimetoa mfano kwenye Luka 4:16. Lakini pia kwenye mathayo 5:18 akasema "Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie." Kwa maana hii sheria ya Mungu haibadiliki.

Na fungu la 5:19 akaonya juu ya wanaozivunja amri hizo "Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni."

3. Siku zote ni za Mungu,

Hakuna mtu aliyekukataza kuabudu siku yoyote, ila sabato ni siku ya kuacha kazi zako zote unazozifanya siku zile 6 za week na kupumzika na kuwa karibu na Mungu wako. Hata sisi wengine tunakuwa na ibada zetu kama kawaida siku zote za week ila sabato ya Bwana lazima tuitunze.

Swali langu kuu bado linabakia pale pale kwa wachangiaji wote.

Je, ni kwanini ibada ya J2 ianze karne ya nne baada ya watu kukaa na kuamua watu wapumzike na kuabudi jumapili? Je tunamfuata Mungu au tunawafuata Binadamu wenzetu kwa sababu tu wameamua mambo ambayo tumeyaona ni mema machoni petu?

Mungu atusaidie sana, Muwe na Sabato Njema.
Sabato ya Israel ilikuwa modeled after sabato ya halisi ya Mungu.

Kutoka 20: 8 - 11

8: Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.

11: Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

Kutoka 31: 16 – 17

Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika Sabato, kuiangalia sana hiyo Sabato katika vizazi vyao vyote, ni agano la milele.

Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele;
kwani kwa siku sita Bwana alifanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya saba na kupumzika.


Sasa iangalie sabato ya Mungu mwenyewe.

Mwanzo 2: 1 – 3

3: Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.

Ukisoma sura ya kwanza ya Mwanzo utaona, Mungu akiumba kitu halafu inasema ikawa jioni ikawa asubuhi siku ya ngapi. Lakini ilipofika siku ya saba Mungu akastarehe na akaacha kufanya kazi tangu siku hiyo mpaka leo.

Kwa hiyo sabato ya Mungu tangu ilipoanza haijawa na mwisho mpaka leo, hivyo jana ilikuwa ni sabato, leo ni sabato na kesho ni sabato.

Kwa waamini siku za leo tunapaswa kushika sabato ya Mungu ambayo ndo halisi (ile ya siku moja kwa wiki walipewa Israeli kama mfano wa hii sabato ya Mungu). Kila mwamini siku za leo ni mwisraeli kwa maana ya kiroho sio kwa maana ya kimwili ndo sababu tunafuata sabato halisi ya Mungu sio hii ya mfano ya waisraeli

Utasoma kitabu cha Waebrania 4

Waebrania 4: 3 Maana sisi tulioamini tunaingia katika raha ile; kama vile alivyosema, Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu:

6 Basi, kwa kuwa neno hili limebaki kwamba wako watu watakaoingia humo, na wale waliohubiriwa habari ile zamani walikosa kuingia kwa sababu ya kuasi kwao,

Sabato ya Mungu mtu yeyote anaalikwa kuingia “Leo”, na leo yako inaweza kuwa jumatatu, jumanne au siku nyingine yoyote.

7 aweka tena siku fulani, akisema katika Daudi baada ya muda mwingi namna hii, Leo; kama ilivyonenwa tangu zamani, Leo,kama mtaisikia sauti yake, Msifanye migumu mioyo yenu.

9 Basi, imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu.

Na huu mstari wa 10 anasisitiza kuwa aliyeingia ndani ya hii raha/sabato ameingia kwenye sabato ya halisi ya Mungu

10 Kwa maana yeye aliyeingia katika raha yake amestarehe mwenyewe katika kazi yake, kama vile Mungu alivyostarehe katika kazi zake.

Kwa hiyo ukisoma vizuri hayo maandiko ya Waebrania utaona kwa mwamini kila siku ni sabato, unaingia siku yeyote na unaendelea kudumu ndani ya sabato siku zote. Hii ndo sababu wako wakristo wanakutana Ijumaa kusali kwenye nchi za kiislamu na sio tatizo kabisa maana kila siku tunapaswa kumwabudu Mungu.

Warumi 14:5
Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe.

Mtu anakuwa mwamini kwa kumwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi wake maana yeye ndiye Bwana wa Sabato kulingana na maandiko, kwenye kitabu cha Mathayo 11:28

Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha
 
ilianza baada ya nchi ya ROME kujitawala ndio waakanzisha dini yao na wakaamua uitwe mji wao ROMAN CATOLIC wakapanga na ibada iwe jumapili sababu ndio wao hupumzika, WAINGEREZA Kuona Rome kaanzisha dini yake nae akaanzisha dini yake kwa jina la nchi yake akaaita ANGLICANA, uislamu ulikuwepo enzi za adamu na sabatho ilikuja na yesu
 
Kwanza kabisa naomba msingi wa uzi huu uwe kwenye ukristo, maana tukiongea kwa misingi ya madhehebu yetu hatutafika lengo letu.

Karne ya kwanza ya 1, 2, 3 watu walipumzika na kuabudu siku ya Jumamosi mwanzoni mwa Karne ya nne watu fulani waliamua kubadili siku hii na kuhamia Jumapili. Je tunafuata maagizo ya wanadamu wenzetu au tunafuata Maagizo ya Mungu?

Kila aliyeuona uzi huu ninaamini ana access ya mtandao, unaweza kugoogle ibada ya jumapili imeanzishwa lini na mwanzilishi ni nani.

Tangu kuumbwa kwa dunia Mungu alishaweka wazi kwamba Sabato ni siku takatifu na aliitakasa. Na katika amri zote za Mungu hii ndio amri imeandikwa kwa maelezo marefu.

Pia wakati Musa yupo kule mlimani zile siku 40 Mungu alimgusia pia kuhusu sabato na akamuambia ni agano lake la milele.

Pia hata katika agano jipya bado watu waliendelea kuabudu siku ya sabato kuanzia Yesu mwenyewe mpaka mitume baada ya Yesu.

Mfano Luka 4:16 "Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome"

Luka 4:16 imeweka wazi kwamba ilikuwa ni desturi ya Yesu kuingia katika Sinagogi siku ya ya Sabato.

Mafungu ya sabato ni mengi na siwezi kuyaweka yote hapa, ila nataka kujibu hoja za baadhi ya watu kuhusu ibada ya J2.

1. Ibada ya J2 kama kusheherekea ufufuko wa Kristo.

Hili la kusheherekea ufufuko wa Kristo na kubadili mpaka siku aliyoweka Mungu kama siku ya ibada limeanza lini? Kwenye biblia limeandikwa wapi? Kwanini katika historia watu wameanza kutekeleza hili katika karne ya 4?

2. Yesu ndio Bwana wa Sabato, hivyo tukimfuata Yesu sabato haina haja.

Yeye mwenyewe ambaye alijiita kuwa ni Bwana wa Sabato alizishika Sabato, nimetoa mfano kwenye Luka 4:16. Lakini pia kwenye mathayo 5:18 akasema "Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie." Kwa maana hii sheria ya Mungu haibadiliki.

Na fungu la 5:19 akaonya juu ya wanaozivunja amri hizo "Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni."

3. Siku zote ni za Mungu,

Hakuna mtu aliyekukataza kuabudu siku yoyote, ila sabato ni siku ya kuacha kazi zako zote unazozifanya siku zile 6 za week na kupumzika na kuwa karibu na Mungu wako. Hata sisi wengine tunakuwa na ibada zetu kama kawaida siku zote za week ila sabato ya Bwana lazima tuitunze.

Swali langu kuu bado linabakia pale pale kwa wachangiaji wote.

Je, ni kwanini ibada ya J2 ianze karne ya nne baada ya watu kukaa na kuamua watu wapumzike na kuabudi jumapili? Je tunamfuata Mungu au tunawafuata Binadamu wenzetu kwa sababu tu wameamua mambo ambayo tumeyaona ni mema machoni petu?

Mungu atusaidie sana, Muwe na Sabato Njema.

NTAANDIKA KWA WINGI PENGINE KUTOKANA NA UZITO WA HOJA YANGU NA HUMU KUNA BAADHI YA UKWELI KWA UNACHOKIAMINI MAANA SIWEZI KUANDIKA VYOTE...

Naomba usome comments hii Ndugu yangu Najua italeta confusion kwako lakini ndo ukweli wenyewe ( Na japo utakuwa mchungu Lakini inabidi uukubali kwakuwa huna namna)


Kwanza naomba kudeclare kwamba nilikuwa SDA kama wewe Tena nikishika siku Takatifu Very strict na Kwa bahati nzuri nilipita katika njia zote salama ( Na kipindi hicho tulikuwa ni lazma upitie Mafunzo yote kutoka Adventurer mpaka master Guide kama unataka kutambilika kanisani na kupata uongozi angalau Hata wa Shule sabato ..Kwahyo ilikubidi uwe umepita MasterGuide na umesoma na kuweza kufanya refference angalau ya Roho ya unabii (Ellen G white) si chini ya vitabu 10 na kuendelea...Na nilifanikiwa kuwa miongoni mwao...

Natamani niandike vyote lakini Shortly Niliwahi kupita pale Arusha na kufanikiwa Kusoma Theology (Pastoral version Nazungmzia) kwahyo nilikuwa "kipastor" kijana nisiye na mtaa wala kuwekewa mikono (sikuwekewa mikono kwa kuwa kanuni kipind hicho haikuruhusu Pastor ambaye hajaoa kuwekewa mikono mpaka atakapo oa!...

Ok Sasa tuachane na Huko kwani hiyo ni Hadithi ndefu sana on how i became to be Like this (hivi nilivyo sasa),
kwa sababu niliwahi kuwa muslim na kusoma pia huko na nahisi kwa sasa ni bora kubaki nilivyo...

SO NIRUDI KWENYE MADA KUU ULIYOILETA

So actually bado Elimu yako kibiblia sio kubwa sana kuweza kujenga hoja na kupangua Hoja pinzani kuhusu Hoja hiyo uliyoileta japo umejaribu (Kwa sababu nimeona jinsi unavyojibu hoja za wapinzani)

kuna hoja nyingi Kama za mtume Paulo kuhusu Siku na miandamo ya mwezi hujaweza kuzijibu ipasavyo...
na kuna mmoja akatoa hoja kuhusu Mabadiliko ya Siku katika enzi mbalimbali nahisi ulimjibu kwa Mafungu ya Luka (Kuhusu maandalio mpaka ufufuo) umejibu vyema kwa imani yako..Japo bado kuna Mapungufu pia..
kuwa kuna Enzi (Era) nyingi kuna milele nyingi imepita (Najua unajua kuwa kuna milele zilizopita na milele zijazo) katika enzi hizo nani ajuaye kuwa Siku ziliwahi kubadilika? kuna mtu aliuliza swali Hili ila sijaona ukijibu...


SASA NIENDE KWENYE HOJA YANGU..

Warumi sio watu wajinga kama wengi mnavyodhani au mnavyowachukulia...
kama waliweza kufuta historia baadhi ya dunia, wewe unawaonaje walishindwa kufuta ulichofikiria?


halikuwa taifa lenye Nguvu tu pia lenye siri nyingi sana pengine kuliko taifa lolote duniani...

Wakati ule wa Religious and Political Revolution (Reformation) Ambao ndo unasifiwa kuwa wakati bora kwa makanisa ya kiprotestant na wasabato ndo ulikuwa wakati mbaya sana kihistoria na kidini japo bado watu wengi hawajui.. (The Time of prostestantic Reformation ilikuwa ni muda wa majonzi yaliyojificha)

Kipindi kina john wycliffe ,John huss, Martine luther na wengine wengi kama kina smith wanaanza harakari za kukomboa Kanisa yaani Church reformation from Evil hiki ndo kpindi ambacho Roman walifanya Reformation kubwa kidini na kipolitical..

najua hili litakuwa jipya ila nifatilie ...

Martine luther kama baba wa reformation hasa kwa Wasabato na anaaminika hivyo (Kasome The great controverse au Pambano kuu ...Ellen G White) sasa Martine luther alipoaza Harakati miaka ya 1517 ndo alitikisa Kanisa kuliko wote...

sasa roman wakakuna kichwa wakapata cha kufanya ni kubadiki majira na Time Sasa walibadili vipi endelea kusoma usichoke utajua ...

Sasa bila speculation Mama yangu Ellen G white pamoja na mme wake Mchungaji James white wao hawakufanya speculation wakajua hasa Sabato ni lini kulingana na tarehe ili waweze kuiabudu kulinganana muda uliobadilishwa..

HAPA nataka kuzungumzia nini Hasa?

Kutokana na Reformation kuzidi na kanisa kuanza kuzidiwa Ndipo papa Gregory XIII aliazimia kubadli majira nazungumzia kalenda na nyakati, Rasmi Mwaka 1582 alibadilisha kalenda kutoka julian kalenda kwenda gregorian kalenda..

Kama sio mchunguzi unaweza ukaona haikuwa na utofauti wowote katika siku eeh ?
Sasa endelea kunifatilia..

Kama nilivyosema mwanzoni kuwa katika watu wenye akili sana Roman wanaongoza na katika kubadili siku walicheza na akili za watu wote duniani..

kwanza akasema anapunguza ukubwa wa siku za mwaka kutokana na kuwa ni mkubwa sana kwahyo alipunguza siku z mwaka kutoka 365.25 za juliani na kuwa 365.2425 za gregory..

kalenda Rasmi ilitangazwa Tarehe 04 october 1582, siku ya alhamisi (Thursday) na ikatangazwa kwamba kalenda hiyo itaskip siku kumi ili kuifanya iwe na mabadiliko Muhimu waliotangaza hivyo kesho siku ya ijumaa itakuwa Tarehe 15 October 1582...

sasa ili wayahudi Waliokuwepo wasipinge kalenda hiyo Wakatangaza kwamba siku zitabaki sawa na kesho itakuwa ijumaa kama kawaida kwahiyo kesho yake ilikuwa Tarehe 15 october 1582 , siku ya ijumaa...

Unaweza ukaona its ok kwa haraka haraka eeh?
Lakini ukifikiri vizuri utajua ni mchezo..

Leo Tarehe 04 October, 1582, siku ya Alhamisi Umebadili kalenda halafu unatuambia ili siku ziwe sawa inabidi uskip siku 10 mbele ili kutoa mabadiliko ya Julian to gregorian na kesho iwe siku hiyo ya kumi lakini isibadilishwe siku ila iwe siku ya ijumaa Tarehe 15 October 1582, bado watu wanashangilia bila kujua wamepigwa bao

Na hapo ndipo papa huyo alipowatandika watu fimbo bila ya kujua alibadilisha Siku na majira bila wao kujua kama kabadilisha...

Hiyo mimi huwa napenda kuiita Day sight illusion kutokana na wao kutoona kilichofanyika hapo...

Sasa naomba tuangalia kitu hapa chini..

Tarehe ambavyo zingeendelea kuwa kama zisingebadilishwa Yaani kuskip siku Kumi mbele kutoka Tarehe 04 na Tarehe 05 ikawa tarehe Tarehe 15 October 1582 kama ingeendelea bila kuskip ingekuwa hivi...

  • October 6, 1582: Saturday
  • October 7, 1582: Sunday
  • October 8, 1582: Monday
  • October 9, 1582: Tuesday
  • October 10, 1582: Wednesday
  • October 11, 1582: Thursday
  • October 12, 1582: Friday
  • October 13, 1582: Saturday
  • October 14, 1582: Sunday

  • October 15, 1582: Monday
  • October 16, 1582: Tuesday
  • October 17, 1582: Wednesday
  • October 18, 1582: Thursday
  • October 19, 1582: Friday
  • October 20, 1582: Saturday

Sasa umeona Tarehe 15 iliyopangwa kuwa ijumaa ni actually Jumatatu kwa hiyo jamaa alichange Jumatau kuwa ijumaa...

hiyo inakupa Picha gani?

Unajua matokeo yake?

Hata hiyo Jumamosi unayojitambia its actually not jumamosi ile walioabudu mitume kama ulivyotaja....

lets see jumamosi ya juzi tarehe 4 ilikuwa ni lini kama asingebadilisha..

November 4 Ni siku ya Jumapili..Kwa c
Kalenda kama isingebadilishwaa...

Yaani 04,November 2023 before skiping 10 days of gregory ni Siku ya Jumapili while ulienda kanisani ukiamini ni siku hiyo ni Jumamosi....

Na tarehe 3 ndo ilikuwa Saturday ya kweli..

Na nimeona umesema wewe ni mtu wa kugoogle so nakupa homework nenda kafanye reseaech zako zozote...
hata kama.utaweza unaweza tumia google uwezavyo...
Angalia uhalisia kuhusu nilichosema


Dan 7:25 SUV
Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.

CC:- Plaintiff Mega Mind Nyerere
 
ilianza baada ya nchi ya ROME kujitawala ndio waakanzisha dini yao na wakaamua uitwe mji wao ROMAN CATOLIC wakapanga na ibada iwe jumapili sababu ndio wao hupumzika, WAINGEREZA Kuona Rome kaanzisha dini yake nae akaanzisha dini yake kwa jina la nchi yake akaaita ANGLICANA, uislamu ulikuwepo enzi za adamu na sabatho ilikuja na yesu

Mbona mwishoni umechanganya madesa,uislam uliletwa 620 BC na Mudi ndio mtume
 
NTAANDIKA KWA WINGI PENGINE KUTOKANA NA UZITO WA HOJA YANGU NA HUMU KUNA BAADHI YA UKWELI KWA UNACHOKIAMINI MAANA SIWEZI KUANDIKA VYOTE...

Naomba usome comments hii Ndugu yangu Najua italeta confusion kwako lakini ndo ukweli wenyewe ( Na japo utakuwa mchungu Lakini inabidi uukubali kwakuwa huna namna)


Kwanza naomba kudeclare kwamba nilikuwa SDA kama wewe Tena nikishika siku Takatifu Very strict na Kwa bahati nzuri nilipita katika njia zote salama ( Na kipindi hicho tulikuwa ni lazma upitie Mafunzo yote kutoka Adventurer mpaka master Guide kama unataka kutambilika kanisani na kupata uongozi angalau Hata wa Shule sabato ..Kwahyo ilikubidi uwe umepita MasterGuide na umesoma na kuweza kufanya refference angalau ya Roho ya unabii (Ellen G white) si chini ya vitabu 10 na kuendelea...Na nilifanikiwa kuwa miongoni mwao...

Natamani niandike vyote lakini Shortly Niliwahi kupita pale Arusha na kufanikiwa Kusoma Theology (Pastoral version Nazungmzia) kwahyo nilikuwa "kipastor" kijana nisiye na mtaa wala kuwekewa mikono (sikuwekewa mikono kwa kuwa kanuni kipind hicho haikuruhusu Pastor ambaye hajaoa kuwekewa mikono mpaka atakapo oa!...

Ok Sasa tuachane na Huko kwani hiyo ni Hadithi ndefu sana on how i became to be Like this (hivi nilivyo sasa),
kwa sababu niliwahi kuwa muslim na kusoma pia huko na nahisi kwa sasa ni bora kubaki nilivyo...

SO NIRUDI KWENYE MADA KUU ULIYOILETA

So actually bado Elimu yako kibiblia sio kubwa sana kuweza kujenga hoja na kupangua Hoja pinzani kuhusu Hoja hiyo uliyoileta japo umejaribu (Kwa sababu nimeona jinsi unavyojibu hoja za wapinzani)

kuna hoja nyingi Kama za mtume Paulo kuhusu Siku na miandamo ya mwezi hujaweza kuzijibu ipasavyo...
na kuna mmoja akatoa hoja kuhusu Mabadiliko ya Siku katika enzi mbalimbali nahisi ulimjibu kwa Mafungu ya Luka (Kuhusu maandalio mpaka ufufuo) umejibu vyema kwa imani yako..Japo bado kuna Mapungufu pia..
kuwa kuna Enzi (Era) nyingi kuna milele nyingi imepita (Najua unajua kuwa kuna milele zilizopita na milele zijazo) katika enzi hizo nani ajuaye kuwa Siku ziliwahimkubadilika? kuna mtu aliuliza swali Hili ila sijaona ukijibu...


SASA NIENDE KWENYE HOJA YANGU..

Warumi sio watu wajinga kama wengi mnavyodhani au mnavyowachukulia...
kama waliweza kufuta historia baadhi ya dunia, wewe unawaonaje walishindwa kufuta ulichofikiria?


halikuwa taifa lenye Nguvu tu pia lenye siri nyingi sana pengine kuliko taifa lolote duniani...

Wakati ule wa Religious and Political Revolution (Reformation) Ambao ndo unasifiwa kuwa wakati bora kwa makanisa ya kiprotestant na wasabato ndo ulikuwa wakati mbaya sana kihistoria na kidini japo bado watu wengi hawajui.. (The Time of prostestantic Reformation ilikuwa ni muda wa majonzi yaliyojificha)

Kipindi kina john wycliffe ,John huss, Martine luther na wengine wengi kama kina smith wanaanza harakari za kukomboa Kanisa yaani Church reformation from Evil hiki ndo kpindi ambacho Roman walifanya Reformation kubwa kidini na kipolitical..

najua hili litakuwa jipya ila nifatilie ...

Martine luther kama baba wa reformation hasa kwa Wasabato na anaaminika hivyo (Kasome The great controverse au Pambano kuu ...Ellen G White) sasa Martine luther alipoaza Harakati miaka ya 1517 ndo alitikisa Kanisa kuliko wote...

sasa roman wakakuna kichwa wakapata cha kufanya ni kubadiki majira na Time Sasa walibadili vipi endelea kusoma usichoke utajua ...

Sasa bila speculation Mama yangu Ellen G white pamoja na mme wake Mchungaji James white wao hawafanya speculation wakajua hasa Sabato ni lini ili waweze kuiabudu kulinganana muda uliobadilishwa..

HAPA nazungumzia nini Hasa?

Kutokana na Reformation kuzidi na kanisa kuanza kuzidiwa Ndipo papa Gregory XIII aliazimia kubadli majira nazungumzia kalenda na nyakati, Rasmi Mwaka 1582 alibadilisha kalenda kutoka julian kalenda kwenda gregorian kalenda..

Kama sio mchunguzi unaweza ukaona haikuwa na utofauti wowote katika siku eeh ?
Sasa endelea kunifatilia..

Kama nilivyosema mwanzoni kuwa katika watu wenye akili sana Roman wanaongoza na katika kubadili siku walicheza na akili za watu wote duniani..

kwanza akasema anapunguza ukubwa wa siku za mwaka kutokana na kuwa ni mkubwa sana kwahyo alipunguza siku z mwaka kutoka 365.25 za juliani na kuwa 365.2425 za gregory..

kalenda Rasmi ilitangazwa Tarehe 04 october 1582, siku ya alhamisi (Thursday) na ikatangazwa kwamba kalenda hiyo itaskip siku kumi ili kuifanya iwe na mabadiliko Muhimu waliotangaza hivyo kesho siku ya ijumaa itakuwa Tarehe 15 October 1582...

sasa ili wayahudi Waliokuwepo wasipinge kalenda hiyo Wakatangaza kwamba siku zitabaki sawa na kesho itakuwa ijumaa kama kawaida kwahiyo kesho yake ilikuwa Tarehe 15 october 1582 , siku ya ijumaa...

Unaweza ukaona its ok kwa haraka haraka eeh?
Lakini ukifikiri vizuri utajua ni mchezo..

Leo Tarehe 04 October, 1582, siku ya Alhamisi Umebadili kalenda halafu unatuambia ili siku ziwe sawa inabidi uskip siku 10 mbele ili kutoa mabadiliko ya Julian to gregorian na kesho iwe siku hiyo ya kumi lakini isibadilishwe siku ila iwe siku ya ijumaa Tarehe 15 October 1582, bado watu wanashangilia bila kujua wamepigwa bao

Na hapo ndipo papa huyo alipowatandika watu fimbo bila ya kujua alibadilisha Siku na majira bila wao kujua kama kabadilisha...

Hiyo mimi huwa napenda kuiita Day sight illusion kutokana na wao kutoona kilichofanyika hapo...

Sasa naomba tuangalia kitu hapa chini..

Tarehe ambavyo zingeendelea kuwa kama zisingebadilishwa Yaani kuskip siku Kumi mbele kutoka Tarehe 04 na Tarehe 05 ikawa tarehe Tarehe 15 October 1582 kama ingeendelea bila kuskip ingekuwa hivi...

  • October 6, 1582: Saturday
  • October 7, 1582: Sunday
  • October 8, 1582: Monday
  • October 9, 1582: Tuesday
  • October 10, 1582: Wednesday
  • October 11, 1582: Thursday
  • October 12, 1582: Friday
  • October 13, 1582: Saturday
  • October 14, 1582: Sunday

  • October 15, 1582: Monday
  • October 16, 1582: Tuesday
  • October 17, 1582: Wednesday
  • October 18, 1582: Thursday
  • October 19, 1582: Friday
  • October 20, 1582: Saturday

Sasa umeona Tarehe 15 iliyopangwa kuwa ijumaa ni actually Jumatatu kwa hiyo jamaa alichange Jumatau kuwa ijumaa...

hiyo inakupa Picha gani?

Unajua matokeo yake?

Hata hiyo Jumamosi unayojitambia its actually not jumamosi ile walioabudu mitume kama ulivyotaja....

lets see jumamosi ya juzi tarehe 4 ilikuwa ni lini kama asingebadilisha..

November 4 Ni siku ya Jumapili..Kwa c
Kalenda kama isingebadilishwaa...

Yaani 04,November 2023 before skiping 10 days of gregory ni Siku ya Jumapili while ulienda kanisani ukiamini ni siku hiyo ni Jumamosi....

Na tarehe 3 ndo ilikuwa Saturday ya kweli..

Na nimeona umesema wewe ni mtu wa kugoogle so nakupa homework nenda kafanye reseaech zako zozote...
hata kama.utaweza unaweza tumia google uwezavyo...
Angalia uhalisia kuhusu nilichosema


Dan 7:25 SUV
Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.

CC:- Plaintiff Mega Mind Nyerere

Thanks nimepata kitu,pia mkuu usisahau kuleta hiyo story ya usabato uislam hadi sasa ulipo?
 
SHIDA IKO WAPI, JAMBO LOLOTE JEMA LIKIAMULIWA NA KANISA HAPA DUNIANI, MBINGUNI LINAPIGWA MUHURI WA NDIO
 
NTAANDIKA KWA WINGI PENGINE KUTOKANA NA UZITO WA HOJA YANGU NA HUMU KUNA BAADHI YA UKWELI KWA UNACHOKIAMINI MAANA SIWEZI KUANDIKA VYOTE...

Naomba usome comments hii Ndugu yangu Najua italeta confusion kwako lakini ndo ukweli wenyewe ( Na japo utakuwa mchungu Lakini inabidi uukubali kwakuwa huna namna)


Kwanza naomba kudeclare kwamba nilikuwa SDA kama wewe Tena nikishika siku Takatifu Very strict na Kwa bahati nzuri nilipita katika njia zote salama ( Na kipindi hicho tulikuwa ni lazma upitie Mafunzo yote kutoka Adventurer mpaka master Guide kama unataka kutambilika kanisani na kupata uongozi angalau Hata wa Shule sabato ..Kwahyo ilikubidi uwe umepita MasterGuide na umesoma na kuweza kufanya refference angalau ya Roho ya unabii (Ellen G white) si chini ya vitabu 10 na kuendelea...Na nilifanikiwa kuwa miongoni mwao...

Natamani niandike vyote lakini Shortly Niliwahi kupita pale Arusha na kufanikiwa Kusoma Theology (Pastoral version Nazungmzia) kwahyo nilikuwa "kipastor" kijana nisiye na mtaa wala kuwekewa mikono (sikuwekewa mikono kwa kuwa kanuni kipind hicho haikuruhusu Pastor ambaye hajaoa kuwekewa mikono mpaka atakapo oa!...

Ok Sasa tuachane na Huko kwani hiyo ni Hadithi ndefu sana on how i became to be Like this (hivi nilivyo sasa),
kwa sababu niliwahi kuwa muslim na kusoma pia huko na nahisi kwa sasa ni bora kubaki nilivyo...

SO NIRUDI KWENYE MADA KUU ULIYOILETA

So actually bado Elimu yako kibiblia sio kubwa sana kuweza kujenga hoja na kupangua Hoja pinzani kuhusu Hoja hiyo uliyoileta japo umejaribu (Kwa sababu nimeona jinsi unavyojibu hoja za wapinzani)

kuna hoja nyingi Kama za mtume Paulo kuhusu Siku na miandamo ya mwezi hujaweza kuzijibu ipasavyo...
na kuna mmoja akatoa hoja kuhusu Mabadiliko ya Siku katika enzi mbalimbali nahisi ulimjibu kwa Mafungu ya Luka (Kuhusu maandalio mpaka ufufuo) umejibu vyema kwa imani yako..Japo bado kuna Mapungufu pia..
kuwa kuna Enzi (Era) nyingi kuna milele nyingi imepita (Najua unajua kuwa kuna milele zilizopita na milele zijazo) katika enzi hizo nani ajuaye kuwa Siku ziliwahi kubadilika? kuna mtu aliuliza swali Hili ila sijaona ukijibu...


SASA NIENDE KWENYE HOJA YANGU..

Warumi sio watu wajinga kama wengi mnavyodhani au mnavyowachukulia...
kama waliweza kufuta historia baadhi ya dunia, wewe unawaonaje walishindwa kufuta ulichofikiria?


halikuwa taifa lenye Nguvu tu pia lenye siri nyingi sana pengine kuliko taifa lolote duniani...

Wakati ule wa Religious and Political Revolution (Reformation) Ambao ndo unasifiwa kuwa wakati bora kwa makanisa ya kiprotestant na wasabato ndo ulikuwa wakati mbaya sana kihistoria na kidini japo bado watu wengi hawajui.. (The Time of prostestantic Reformation ilikuwa ni muda wa majonzi yaliyojificha)

Kipindi kina john wycliffe ,John huss, Martine luther na wengine wengi kama kina smith wanaanza harakari za kukomboa Kanisa yaani Church reformation from Evil hiki ndo kpindi ambacho Roman walifanya Reformation kubwa kidini na kipolitical..

najua hili litakuwa jipya ila nifatilie ...

Martine luther kama baba wa reformation hasa kwa Wasabato na anaaminika hivyo (Kasome The great controverse au Pambano kuu ...Ellen G White) sasa Martine luther alipoaza Harakati miaka ya 1517 ndo alitikisa Kanisa kuliko wote...

sasa roman wakakuna kichwa wakapata cha kufanya ni kubadiki majira na Time Sasa walibadili vipi endelea kusoma usichoke utajua ...

Sasa bila speculation Mama yangu Ellen G white pamoja na mme wake Mchungaji James white wao hawakufanya speculation wakajua hasa Sabato ni lini kulingana na tarehe ili waweze kuiabudu kulinganana muda uliobadilishwa..

HAPA nataka kuzungumzia nini Hasa?

Kutokana na Reformation kuzidi na kanisa kuanza kuzidiwa Ndipo papa Gregory XIII aliazimia kubadli majira nazungumzia kalenda na nyakati, Rasmi Mwaka 1582 alibadilisha kalenda kutoka julian kalenda kwenda gregorian kalenda..

Kama sio mchunguzi unaweza ukaona haikuwa na utofauti wowote katika siku eeh ?
Sasa endelea kunifatilia..

Kama nilivyosema mwanzoni kuwa katika watu wenye akili sana Roman wanaongoza na katika kubadili siku walicheza na akili za watu wote duniani..

kwanza akasema anapunguza ukubwa wa siku za mwaka kutokana na kuwa ni mkubwa sana kwahyo alipunguza siku z mwaka kutoka 365.25 za juliani na kuwa 365.2425 za gregory..

kalenda Rasmi ilitangazwa Tarehe 04 october 1582, siku ya alhamisi (Thursday) na ikatangazwa kwamba kalenda hiyo itaskip siku kumi ili kuifanya iwe na mabadiliko Muhimu waliotangaza hivyo kesho siku ya ijumaa itakuwa Tarehe 15 October 1582...

sasa ili wayahudi Waliokuwepo wasipinge kalenda hiyo Wakatangaza kwamba siku zitabaki sawa na kesho itakuwa ijumaa kama kawaida kwahiyo kesho yake ilikuwa Tarehe 15 october 1582 , siku ya ijumaa...

Unaweza ukaona its ok kwa haraka haraka eeh?
Lakini ukifikiri vizuri utajua ni mchezo..

Leo Tarehe 04 October, 1582, siku ya Alhamisi Umebadili kalenda halafu unatuambia ili siku ziwe sawa inabidi uskip siku 10 mbele ili kutoa mabadiliko ya Julian to gregorian na kesho iwe siku hiyo ya kumi lakini isibadilishwe siku ila iwe siku ya ijumaa Tarehe 15 October 1582, bado watu wanashangilia bila kujua wamepigwa bao

Na hapo ndipo papa huyo alipowatandika watu fimbo bila ya kujua alibadilisha Siku na majira bila wao kujua kama kabadilisha...

Hiyo mimi huwa napenda kuiita Day sight illusion kutokana na wao kutoona kilichofanyika hapo...

Sasa naomba tuangalia kitu hapa chini..

Tarehe ambavyo zingeendelea kuwa kama zisingebadilishwa Yaani kuskip siku Kumi mbele kutoka Tarehe 04 na Tarehe 05 ikawa tarehe Tarehe 15 October 1582 kama ingeendelea bila kuskip ingekuwa hivi...

  • October 6, 1582: Saturday
  • October 7, 1582: Sunday
  • October 8, 1582: Monday
  • October 9, 1582: Tuesday
  • October 10, 1582: Wednesday
  • October 11, 1582: Thursday
  • October 12, 1582: Friday
  • October 13, 1582: Saturday
  • October 14, 1582: Sunday

  • October 15, 1582: Monday
  • October 16, 1582: Tuesday
  • October 17, 1582: Wednesday
  • October 18, 1582: Thursday
  • October 19, 1582: Friday
  • October 20, 1582: Saturday

Sasa umeona Tarehe 15 iliyopangwa kuwa ijumaa ni actually Jumatatu kwa hiyo jamaa alichange Jumatau kuwa ijumaa...

hiyo inakupa Picha gani?

Unajua matokeo yake?

Hata hiyo Jumamosi unayojitambia its actually not jumamosi ile walioabudu mitume kama ulivyotaja....

lets see jumamosi ya juzi tarehe 4 ilikuwa ni lini kama asingebadilisha..

November 4 Ni siku ya Jumapili..Kwa c
Kalenda kama isingebadilishwaa...

Yaani 04,November 2023 before skiping 10 days of gregory ni Siku ya Jumapili while ulienda kanisani ukiamini ni siku hiyo ni Jumamosi....

Na tarehe 3 ndo ilikuwa Saturday ya kweli..

Na nimeona umesema wewe ni mtu wa kugoogle so nakupa homework nenda kafanye reseaech zako zozote...
hata kama.utaweza unaweza tumia google uwezavyo...
Angalia uhalisia kuhusu nilichosema


Dan 7:25 SUV
Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.

CC:- Plaintiff Mega Mind Nyerere
Hapa mkuu bado sijaelewa vzr inakuwaje hiyo hesabu?
 
NTAANDIKA KWA WINGI PENGINE KUTOKANA NA UZITO WA HOJA YANGU NA HUMU KUNA BAADHI YA UKWELI KWA UNACHOKIAMINI MAANA SIWEZI KUANDIKA VYOTE...

Naomba usome comments hii Ndugu yangu Najua italeta confusion kwako lakini ndo ukweli wenyewe ( Na japo utakuwa mchungu Lakini inabidi uukubali kwakuwa huna namna)


Kwanza naomba kudeclare kwamba nilikuwa SDA kama wewe Tena nikishika siku Takatifu Very strict na Kwa bahati nzuri nilipita katika njia zote salama ( Na kipindi hicho tulikuwa ni lazma upitie Mafunzo yote kutoka Adventurer mpaka master Guide kama unataka kutambilika kanisani na kupata uongozi angalau Hata wa Shule sabato ..Kwahyo ilikubidi uwe umepita MasterGuide na umesoma na kuweza kufanya refference angalau ya Roho ya unabii (Ellen G white) si chini ya vitabu 10 na kuendelea...Na nilifanikiwa kuwa miongoni mwao...

Natamani niandike vyote lakini Shortly Niliwahi kupita pale Arusha na kufanikiwa Kusoma Theology (Pastoral version Nazungmzia) kwahyo nilikuwa "kipastor" kijana nisiye na mtaa wala kuwekewa mikono (sikuwekewa mikono kwa kuwa kanuni kipind hicho haikuruhusu Pastor ambaye hajaoa kuwekewa mikono mpaka atakapo oa!...

Ok Sasa tuachane na Huko kwani hiyo ni Hadithi ndefu sana on how i became to be Like this (hivi nilivyo sasa),
kwa sababu niliwahi kuwa muslim na kusoma pia huko na nahisi kwa sasa ni bora kubaki nilivyo...

SO NIRUDI KWENYE MADA KUU ULIYOILETA

So actually bado Elimu yako kibiblia sio kubwa sana kuweza kujenga hoja na kupangua Hoja pinzani kuhusu Hoja hiyo uliyoileta japo umejaribu (Kwa sababu nimeona jinsi unavyojibu hoja za wapinzani)

kuna hoja nyingi Kama za mtume Paulo kuhusu Siku na miandamo ya mwezi hujaweza kuzijibu ipasavyo...
na kuna mmoja akatoa hoja kuhusu Mabadiliko ya Siku katika enzi mbalimbali nahisi ulimjibu kwa Mafungu ya Luka (Kuhusu maandalio mpaka ufufuo) umejibu vyema kwa imani yako..Japo bado kuna Mapungufu pia..
kuwa kuna Enzi (Era) nyingi kuna milele nyingi imepita (Najua unajua kuwa kuna milele zilizopita na milele zijazo) katika enzi hizo nani ajuaye kuwa Siku ziliwahi kubadilika? kuna mtu aliuliza swali Hili ila sijaona ukijibu...


SASA NIENDE KWENYE HOJA YANGU..

Warumi sio watu wajinga kama wengi mnavyodhani au mnavyowachukulia...
kama waliweza kufuta historia baadhi ya dunia, wewe unawaonaje walishindwa kufuta ulichofikiria?


halikuwa taifa lenye Nguvu tu pia lenye siri nyingi sana pengine kuliko taifa lolote duniani...

Wakati ule wa Religious and Political Revolution (Reformation) Ambao ndo unasifiwa kuwa wakati bora kwa makanisa ya kiprotestant na wasabato ndo ulikuwa wakati mbaya sana kihistoria na kidini japo bado watu wengi hawajui.. (The Time of prostestantic Reformation ilikuwa ni muda wa majonzi yaliyojificha)

Kipindi kina john wycliffe ,John huss, Martine luther na wengine wengi kama kina smith wanaanza harakari za kukomboa Kanisa yaani Church reformation from Evil hiki ndo kpindi ambacho Roman walifanya Reformation kubwa kidini na kipolitical..

najua hili litakuwa jipya ila nifatilie ...

Martine luther kama baba wa reformation hasa kwa Wasabato na anaaminika hivyo (Kasome The great controverse au Pambano kuu ...Ellen G White) sasa Martine luther alipoaza Harakati miaka ya 1517 ndo alitikisa Kanisa kuliko wote...

sasa roman wakakuna kichwa wakapata cha kufanya ni kubadiki majira na Time Sasa walibadili vipi endelea kusoma usichoke utajua ...

Sasa bila speculation Mama yangu Ellen G white pamoja na mme wake Mchungaji James white wao hawakufanya speculation wakajua hasa Sabato ni lini kulingana na tarehe ili waweze kuiabudu kulinganana muda uliobadilishwa..

HAPA nataka kuzungumzia nini Hasa?

Kutokana na Reformation kuzidi na kanisa kuanza kuzidiwa Ndipo papa Gregory XIII aliazimia kubadli majira nazungumzia kalenda na nyakati, Rasmi Mwaka 1582 alibadilisha kalenda kutoka julian kalenda kwenda gregorian kalenda..

Kama sio mchunguzi unaweza ukaona haikuwa na utofauti wowote katika siku eeh ?
Sasa endelea kunifatilia..

Kama nilivyosema mwanzoni kuwa katika watu wenye akili sana Roman wanaongoza na katika kubadili siku walicheza na akili za watu wote duniani..

kwanza akasema anapunguza ukubwa wa siku za mwaka kutokana na kuwa ni mkubwa sana kwahyo alipunguza siku z mwaka kutoka 365.25 za juliani na kuwa 365.2425 za gregory..

kalenda Rasmi ilitangazwa Tarehe 04 october 1582, siku ya alhamisi (Thursday) na ikatangazwa kwamba kalenda hiyo itaskip siku kumi ili kuifanya iwe na mabadiliko Muhimu waliotangaza hivyo kesho siku ya ijumaa itakuwa Tarehe 15 October 1582...

sasa ili wayahudi Waliokuwepo wasipinge kalenda hiyo Wakatangaza kwamba siku zitabaki sawa na kesho itakuwa ijumaa kama kawaida kwahiyo kesho yake ilikuwa Tarehe 15 october 1582 , siku ya ijumaa...

Unaweza ukaona its ok kwa haraka haraka eeh?
Lakini ukifikiri vizuri utajua ni mchezo..

Leo Tarehe 04 October, 1582, siku ya Alhamisi Umebadili kalenda halafu unatuambia ili siku ziwe sawa inabidi uskip siku 10 mbele ili kutoa mabadiliko ya Julian to gregorian na kesho iwe siku hiyo ya kumi lakini isibadilishwe siku ila iwe siku ya ijumaa Tarehe 15 October 1582, bado watu wanashangilia bila kujua wamepigwa bao

Na hapo ndipo papa huyo alipowatandika watu fimbo bila ya kujua alibadilisha Siku na majira bila wao kujua kama kabadilisha...

Hiyo mimi huwa napenda kuiita Day sight illusion kutokana na wao kutoona kilichofanyika hapo...

Sasa naomba tuangalia kitu hapa chini..

Tarehe ambavyo zingeendelea kuwa kama zisingebadilishwa Yaani kuskip siku Kumi mbele kutoka Tarehe 04 na Tarehe 05 ikawa tarehe Tarehe 15 October 1582 kama ingeendelea bila kuskip ingekuwa hivi...

  • October 6, 1582: Saturday
  • October 7, 1582: Sunday
  • October 8, 1582: Monday
  • October 9, 1582: Tuesday
  • October 10, 1582: Wednesday
  • October 11, 1582: Thursday
  • October 12, 1582: Friday
  • October 13, 1582: Saturday
  • October 14, 1582: Sunday

  • October 15, 1582: Monday
  • October 16, 1582: Tuesday
  • October 17, 1582: Wednesday
  • October 18, 1582: Thursday
  • October 19, 1582: Friday
  • October 20, 1582: Saturday

Sasa umeona Tarehe 15 iliyopangwa kuwa ijumaa ni actually Jumatatu kwa hiyo jamaa alichange Jumatau kuwa ijumaa...

hiyo inakupa Picha gani?

Unajua matokeo yake?

Hata hiyo Jumamosi unayojitambia its actually not jumamosi ile walioabudu mitume kama ulivyotaja....

lets see jumamosi ya juzi tarehe 4 ilikuwa ni lini kama asingebadilisha..

November 4 Ni siku ya Jumapili..Kwa c
Kalenda kama isingebadilishwaa...

Yaani 04,November 2023 before skiping 10 days of gregory ni Siku ya Jumapili while ulienda kanisani ukiamini ni siku hiyo ni Jumamosi....

Na tarehe 3 ndo ilikuwa Saturday ya kweli..

Na nimeona umesema wewe ni mtu wa kugoogle so nakupa homework nenda kafanye reseaech zako zozote...
hata kama.utaweza unaweza tumia google uwezavyo...
Angalia uhalisia kuhusu nilichosema


Dan 7:25 SUV
Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.

CC:- Plaintiff Mega Mind Nyerere
Duh Mkuu Humu umetema nondo Sana...
Na mimi naisubiri hiyo hadithi ya ulivyobadili kutoka Sabato kwenda Uislamu na kutoka uislamu kwenda Huko uliko sasa?

Na nini kilikufanya ubadilike na wakati umesema ulikuwa mchungaji?

Niliwahi kusikia walibadili ila sikuwahi kujua walibadili hivi hakika wanaa akili Sana..
Sasa mkuu Hapo dah inamaana hapo tulipigwa changa la macho?
Na kuhusu Martine Luther kumbe Wasabato Pia na wenyewe wanamuamini 😅😅?

Kwahiyo unataka kusema wasabato ni Toleo la walutheri mzee?
 
Duh Mkuu Humu umetema nondo Sana...
Na mimi naisubiri hiyo hadithi ya ulivyobadili kutoka Sabato kwenda Uislamu na kutoka uislamu kwenda Huko uliko sasa?

Na nini kilikufanya ubadilike na wakati umesema ulikuwa mchungaji?

Niliwahi kusikia walibadili ila sikuwahi kujua walibadili hivi hakika wanaa akili Sana..
Sasa mkuu Hapo dah inamaana hapo tulipigwa changa la macho?
Na kuhusu Martine Luther kumbe Wasabato Pia na wenyewe wanamuamini 😅😅?

Kwahiyo unataka kusema wasabato ni Toleo la walutheri mzee?
Mtu wa kwanza kuleta mabadiliko haya yote ya kiimani ni Martin Luther bado anaonekana ni mjerumani pekee aliye aliyelikosoa kanisa la Roma hivyo waasisi wote walitokea kwenye njozi zake
 
Hapa mkuu bado sijaelewa vzr inakuwaje hiyo hesabu?
Iko Hivi Time is inescapable maginitude when you mess with it you mess with Everything including events and History...
And viceversa is true..👆

Sasa hizi sheria kuhusu Kucheza na muda ndo kucheza na kila kitu Wao walizijua, kitambo kabla sisi hatujazijua...

Na nilijua wengi wataona hapo Ni sawa ila My friend kilichofanyika hapo Ilikuwa ni bonge la Alteration ya history...

Hesabu iko hivi twende polepole utanielewa...

Baada ya Papa Gregory wa XIII

kuona acheze karata ya kubadili muda alifanya kama ifuatavyo..

Alitangaza kalenda mpya Na siku anatangaza mabadiliko hayo ilikuwa Tarehe 04 mwezi OCTOBER mwaka 1582..siku ya alhamisi..

alisema kuwa kwa kurekebisha mfumo mzima wa kalenda hiyo mpya Kesho siku Ambayo ilipaswa iwe Tarehe 05 Mwezi October mwaka 1582..Itaongezwa siku kumi na itakuwa Tarehe 15 mwezi October mwkaa 1582..

Ili kuonyesha kwamba hajabadili aliwaroga na kitu kimoja kwa kuwaambia kuwa Siku itabaki kama ilivyo ila tarehe ndo itabadilika..
Unafiki ni kweli siku zilibaki hivyo hivyo na kilichobadilika kilikuwa ni Tarehe peke yake..

Sasa ,angalia Tarehe 15/10/1582 ilipaswa kuwa jumatatu ya wiki inayofuata..
Alichofanya ni kuisogeza karibu halafu kuibadilisha Siku ya Juma na kuwa Ijumaa badala ya Jumatatu kama ilivyokuwa...
Alifanikisha hivyo kwa kufuta tarehe 5 mpaka Tarehe 14 October kwenye kalenda na kuivuta karibu ili watu wasishtukie..
Kwa maana asingeweza kubadili huku simu zikiwa kawaida bila watu kuja juu....

Sasa umeelewa kwa mfamo huo ni kwamba tarehe 20/10/1582 ilipaswa kuwa Jumamosi..

Ila ilikuwa Ijumaa kwa kalenda mpya sasa sijui umenielewa...
 
Dini zina upuuzi, mwingi, karne ya 19,huko ulaya, watu walikuwa wanalipa ili waombewe, wanatoa sadaka zaidi ili Mambo Yao yaende vzr, waepuke umaskini, na magonjwa, makanisa, yakawa tajiri Sana, ilipokuja industrial revolution, watu wakagundua kuwa kumbe unaweza kubadilisha maisha yako kwa kufanya kazi na kutumia sayansi, watu Waka kacha kwenda nyumba za ibada!sasa yaliyofanyika karne 19! Ndio yapo Leo bongo, pale kawe kwa mwamposa, watu wanaenda "kutatuliwa matatizo" yao ya kiuchumi, ki afya, nk,
Wanazidi, kuwa, maskini, wenye makanisa yao, ndio, wanazidi kuneemeka.


 
Kwa sababu umewaza Kibinadamu yes ila kwa Mungu mambo hayako hivyo.
Lazima awaze kibinadamu. Mwenyezi Mungu hatashuka aje akafanye kazi hospitali aje akulindie mipaka ya nchi yako, akuzimie moto nyumba yako ikiungua nk nk. Akina James White, Mkewe Ellen G White, Hiram Edson were nothing but cult founders.
 
Tuache hayo majina ya sunday na saturday. . .

Nazungumzia ibada ya siku ya 7 na ibada ya siku ya kwanza
Haya tuyaache hayo majina, sasa unatakiwa utambue "siku yako ya kwanza" kwako kwa wengine ndio siku ya 7 na siku yako ya 7 kwa wengine ni siku yao ya 6. Siku ya 7 kutokana na utaratibu wako wa kazi ukaitenga ile ya 7 hakuna shida hapo.
Mungu hilo hana tatizo nalo ndio mana akaruhusu kuwepo na lugha, makabila na mataifa mengi ikitokea kila siku ya wiki ni siku ya 7 kwa taifa moja kwa Mungu ni sawa mana anapenda siku zote watu wake wamuabudu. Sasa muelewe na muache ubishi huu.
 
siku yako ya kwanza
"Siku yako ya kwanza"!!!!!! ⛔⛔⛔

Hivi tunaabudu mambo yetu sisi Binadamu au tunaabudu Mambo ambayo Mungu alituagiza tufanye?

Wewe una siku?

Suala la siku hata ukimuuliza yoyote atakujibu siku ya 7 ni ipi? Hili halujawahi kuwa mjadala.

Biblia imetaja maeneo mengi sana siku ya saba na imeirefer kama Sabato, na Jumapili imeirefer kama siku ya kwanza ya juma.
 
Lazima awaze kibinadamu. Mwenyezi Mungu hatashuka aje akafanye kazi hospitali aje akulindie mipaka ya nchi yako, akuzimie moto nyumba yako ikiungua nk nk. Akina James White, Mkewe Ellen G White, Hiram Edson were nothing but cult founders.
Ishike sabato kama alivyoishika Yesu, siyo kama walivyoishika watu wa kale wala hutoona mzigo,
 
Back
Top Bottom